ASKARI APAMBANA NA CHUI MPAKA KUMUUA, ASIMULIA "ALINIRUKIA KICHWANI NIKAMKABA SHINGO NIKAMWANGUSHA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 208

  • @madalemachemba5556
    @madalemachemba5556 5 หลายเดือนก่อน +6

    Pole brother na Hongera sana tunaitaji Askari kama awa Ungekua Mfanyakazi wangu Ningekupandisha Cheo kama Motisha zaidi

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 5 หลายเดือนก่อน +26

    Sio Hongera tu na pole apewe kitu ambacho kitamfanya Aishi maisha yenye nafuu na yeye ,ajengewe hata nyumba ,pamoja sana brother

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 5 หลายเดือนก่อน +6

    Pole sana kaka na ongera kwa mungu kukupa ujasili wa kupambana na chui mnyamba huyo hatari sana hawana masiara

  • @emmanueltillya8719
    @emmanueltillya8719 5 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera kamanda,unastahili pongezi.na hao askari wenzako mliokuwa pamoja siku hiyo.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 5 หลายเดือนก่อน +12

    Msukuma 1 tu,askari poli jasiri kabisa.Mungu akupe afya njema na uendelee kuipenda kazi yako.utafika mbali sana.

    • @maryamabdullah9169
      @maryamabdullah9169 4 หลายเดือนก่อน

      Honger Afande na pole kwa kukujeruhi

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 5 หลายเดือนก่อน +30

    Jambo lingine kwanini Serikali msibuni hata mavazi ya kujilinda na wanyama kama CHUI,MAMBA,SIMBA mavazi ambayo yafanya makucha ya mnyama au meno asiweze kumwathiri mtalii au askari wetu ???

    • @mtumeananiasjohachim8760
      @mtumeananiasjohachim8760 5 หลายเดือนก่อน

      Ushauri Bora Sanaa,,

    • @wemaMichael-fr4th
      @wemaMichael-fr4th 5 หลายเดือนก่อน +3

      Tena ndo vizuri hata wasipate hayo mavazi hili wanyama wawaue vizuri bila shida tena naomba na leo simba atokee kwenye kambi yao awalalue wotee

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@wemaMichael-fr4thkichwa box

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@wemaMichael-fr4thkichwa box

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@wemaMichael-fr4th kwa nn dadang kipenz? Mbona u mkatili hivyo?

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Askari wetu..Mungu daimabakupe ulinzi..pia upone haraka.

  • @wemu4774
    @wemu4774 5 หลายเดือนก่อน +7

    Pole sana afande kwa uliyokutana nayo lakini hongera kwa ushindi,atiwe moyo kwa kupewa zawadi maalum maana kupambana na chui sio mchezo baba.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 หลายเดือนก่อน +17

    Hongera sana,Askari wangu,uongexewe vyeo kibao.

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 5 หลายเดือนก่อน +8

    Pole sana kaka mungu akuponye halaka

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 5 หลายเดือนก่อน +5

    Pole ndugu na hongera Sana na Happy New year 🎉

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kamanda.nakuombea upandishwe cheo

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 5 หลายเดือนก่อน +6

    Waaah pole sana chui 😢😢😢😢😢Nakimbuka hata kwetu kuna baba mmoja alinusurika na chui

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna kazi ngumu na mazingira magumu na hii ya kufanya kazi ktk hifadhi za wanyama pori ni ngumu na hatarishi mno..mfn nyoka kuingia ndani ni jambo la kawaida kabisa ,.kupishana na tembo au nyati nyoka nk ni kawaida...ki ukweli ni Mungu tuu anawalinda! Alitulindaga🙏
    Huyu askari malipo ya kuumia kazini yanamuhusu

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sire na hongera ALLAH akupe afia yako kama kawaida INSHALLAH ❤

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 5 หลายเดือนก่อน +1

    Utukufu Kwa Mungu 🙏 hongera sana Kwa ujasiril na atukuzwe Mungu kukulinda.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 5 หลายเดือนก่อน +21

    Katoe sadaka kwa yatima kumshukuru Mungu aliyekuokoa

    • @Awatee
      @Awatee 5 หลายเดือนก่อน +2

      Kwa kweli mtihan

  • @petermremi9898
    @petermremi9898 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana shujaa.umeonyesha uzalendo kweli. Umejihatarishia maisha Kwa ajili ya usalama wa wengine. Mungu akubariki sana

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pole broo umepambana umeonyesha ujasiri

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndo mwanaume sio hao walamba lips😅 hongera sana na pole sana afande wetu

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera braza

  • @magdalenamoro7629
    @magdalenamoro7629 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana shujaa,Mungu akulinde na majanga

  • @alexiskubwimana8854
    @alexiskubwimana8854 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu! Bwana Yesu asifiwe sana kwa kukulokoa

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l 5 หลายเดือนก่อน +4

    Pole sana kamanda

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 5 หลายเดือนก่อน +3

    Dahhh pole sana ndugu. Jmn pole maana chui ni hatari sana!

  • @user-xh1yn3tb1p
    @user-xh1yn3tb1p 5 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh mungu awasimamie mapolisi wote wa wanyama poli ❤❤❤❤❤❤

  • @elikanasamwel
    @elikanasamwel 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana afande kwa umahili huo

  • @MussaKingu255
    @MussaKingu255 5 หลายเดือนก่อน +17

    Wanaume wa daa wanaogopa hadi mende😂😂😂

    • @AishaTarimo
      @AishaTarimo 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sio wa Dar tuu hadi wanaume wa kiarabu hadi mende wanamuogopa

    • @aminathaabubakarmasoud565
      @aminathaabubakarmasoud565 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @AleringoKimaro
      @AleringoKimaro 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @rashidisaidi8535
      @rashidisaidi8535 5 หลายเดือนก่อน

      Ww maku ha ha ha

    • @joyce55727
      @joyce55727 5 หลายเดือนก่อน

      😁😁

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 5 หลายเดือนก่อน +7

    GOLI MOJA MILIONI 5 SASA TUONE HUYU ITAKUWAJE😢😢

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana blooo upewe najuwa yako

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624 5 หลายเดือนก่อน +3

    hongera mwamba

  • @user-zq6gi7cl4o
    @user-zq6gi7cl4o 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana na mungu ako na mpango juu yako sio raisi kumuua uyo chui

  • @user-tj2gg5mr2s
    @user-tj2gg5mr2s 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Kaka mkubwa pia mungu akulinde akuponye mapema

  • @brightonybunani8999
    @brightonybunani8999 5 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera sana kamanda kwa ujasiri

  • @barakae.n6418
    @barakae.n6418 5 หลายเดือนก่อน +7

    Only God did 🙏

  • @claudjoseph6932
    @claudjoseph6932 หลายเดือนก่อน

    Bwana mdogo Mungu akuongezeeujasili

  • @thinker1094
    @thinker1094 5 หลายเดือนก่อน +1

    Big up soldier

  • @deusmichael2290
    @deusmichael2290 5 หลายเดือนก่อน

    Nawashauri muongeze protective gears.....k.v helmet za kufunika vichwa, gloves ngumu n.k......by the way huyo jamaa anastahili heshima anayostahili, ni shujaa kama mashujaa wengine....salute kwako ngosha...

  • @lilianmoyo316
    @lilianmoyo316 4 หลายเดือนก่อน

    Pole na ubarikiwe sana

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 5 หลายเดือนก่อน

    Mwamba apewe cheo 🏆

  • @joelmwanza6009
    @joelmwanza6009 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kamanda

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera na pole. We ni mwamba.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Samia mzawadie kama magoli ya timu zetu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kaka yangu

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki kamanda Wangu

  • @user-so7sq9tk8e
    @user-so7sq9tk8e 5 หลายเดือนก่อน

    Pole kaka angu Mungu ni mwema

  • @nathanielmigeni8316
    @nathanielmigeni8316 4 หลายเดือนก่อน

    This is a real soldier, a hero.

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutunze kamanda wetu.

  • @stanleymaganga503
    @stanleymaganga503 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera shujaa

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sn na hongera

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 5 หลายเดือนก่อน +6

    MWANAUME USIKUBALI KUFA KIZEMBE, PAMBANA MPAKA MWISHO.

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 5 หลายเดือนก่อน

      Hahaha wew unawez kupambn na Chui

    • @johannesssamsonambogo4125
      @johannesssamsonambogo4125 5 หลายเดือนก่อน +2

      @@aminatanzanya7475 SIYO CHUI TU KIUMBE CHOCHOTE AMBACHO KITA NIATTACK ILI KUTOA UHAI WANGU NAPAMBANA NITAKABILIANA NACHO IPASAVYO BILA UOGA WOWOTE, ALAFU TAMBUA SHUJAA HANA SIRI ZAIDI YA KUWA JASIRI KUKABILIANA NA TATIZO LINAPOTOKEA

  • @lutumbinduta1702
    @lutumbinduta1702 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze Askari.

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna mshua morogoro ali pambana nae chuku chuku hakuna panga Wala lisasi.... Hongera Police poli

  • @Atb300
    @Atb300 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera na Mungu akuponye

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndiye Chui sugu.hongera askari

  • @user-rv7nm5ep4p
    @user-rv7nm5ep4p 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kaka.

  • @Silentman006
    @Silentman006 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kaka

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 5 หลายเดือนก่อน +1

    Apewe fidia ya kutosha kwa ushujaa wake hongera sana na pole kwa maumivu

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 5 หลายเดือนก่อน

      Kuna malipo ya kuumia kazini

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana wenzako wasingekuwepo yangekuwa mengne

  • @saidomary7930
    @saidomary7930 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana kamanda watu kama nyie ni wachache sana kutetea maisha yetu wananchi

  • @egbertcharles
    @egbertcharles 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera na Mungu akujalie afya njema tena na kukupa Ujasiri zaidi siku za usoni katika kazi zako.
    Hifadhi za wanya mapori inabidi wakawatafutie nguo na vifaa vyenye ubora zaidi wa kuwalinda Asikari ili kuhepusha majeraha zaidi kwenye mili yao.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 หลายเดือนก่อน

      Vipi kuhusu nyoka aina ya cobra na black mamba, hii hutokea kwa bahati mbaya sanasana mara nyingi wanyama kama chui na simba wakizeeka husogea karibu na vijiji kwa ajili ya kuwinda mifugo ya wana vijiji na hata wakikosa basi hula hata wanavijiji wenyewe ni kwasababu ya kupoteza uwezo wa kupambana na wanyama pori maana wanakuwa hawana nguvu tena. Hivyo hata wakipiwa nguo za chuma vipi kuhusu wanakijiji nao.

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mwenye mume huyu akae Kwa adabu😢

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 5 หลายเดือนก่อน

      Waja mnamambo😂😂

    • @Awatee
      @Awatee 5 หลายเดือนก่อน

      😂​@@fettyrashid9042

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@fettyrashid9042
      Wajamnamboooo nyimbo ya leila Rashid😂😂😂😂

    • @madalemachemba5556
      @madalemachemba5556 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @suleimanissa2089
    @suleimanissa2089 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kamanda jasiri. Unastahili upewe cheo wewe ni askari wa kweli

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndio makamanda tunao wataka hongera kamanda🙋

  • @mwitasamuel4237
    @mwitasamuel4237 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana askari wa wanyama pori.

  • @kephatz2814
    @kephatz2814 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ngosha kamili 🔥🔥🔥

  • @user-tb8zi2mf2p
    @user-tb8zi2mf2p 5 หลายเดือนก่อน

    Mshukuru Mungu Mwamba.

  • @user-me1gb7rm9g
    @user-me1gb7rm9g 5 หลายเดือนก่อน

    Pole xan kamanda na hawa ndo watu wa kupewa motisha kwenye kaz zao

  • @faithnyamburairungu-hq2nk
    @faithnyamburairungu-hq2nk 4 หลายเดือนก่อน

    KWS jifunzeni, wanyama wakivamia wananchi wanastahili kuuliwa, hasa kama fisi huko Juja na Nyacaba

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 5 หลายเดือนก่อน +1

    HONGERA SANA ASKARI WETU SHUJAA.

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 5 หลายเดือนก่อน +1

    Samson wa Tanzania 🇹🇿😅
    Tunamsubiri delila

  • @barakambise181
    @barakambise181 5 หลายเดือนก่อน

    pole sana kaka safi

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa1613 5 หลายเดือนก่อน

    Duh...hatari sana...Ayo uturudishe siku moja TRC watuoneshe zile interiors za behewa za VIP, second na first walizoleta ...

  • @EnockMushi
    @EnockMushi 5 หลายเดือนก่อน

    Pole mkuu kwa kupambana na chui mshukuru mungu

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sna mtani wangu

  • @aklanhassan2917
    @aklanhassan2917 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kichwa cha habari na habari yenyewe tofauti. Chui kauliwa kwa silaha (bunduki) tena waliomuua ni askari wenzake. Kichwa cha habari kinasema askari apambana na chui mpaka kumuua. Karagabaho pyeeee!! 😅

    • @pakacha70
      @pakacha70 5 หลายเดือนก่อน

      NIi kweli kichwa cha habari ni tofauti kupambana na chui mpaka kumuua si rahisi tena mtu mmoja mnyama chui anaweza kupambana na watu zaidi ya 3 na akashinda pasipo watu hao kutumia silaha

  • @simasima8084
    @simasima8084 5 หลายเดือนก่อน

    Aisee pole maana ulikua ukitetea uhai wako sio wale wa kutaka kick,mungu akulinde

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 5 หลายเดือนก่อน

    ❤ Utapata afya njema Ameen.

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 5 หลายเดือนก่อน

    sasa mwamba alituma CV ya kuomba kazi ili awatumikie wananchi na sio kuongeza zero zero kwa namba inayo fuata mikataba mirefu mirefu tu mnao faidika wacheche tunao umia wengi pesa zetu mnaenda kuziweka geneva huko kichomi kingine jeshi la zima moto fanyeni kazi kiufanisi 🏆💛💚💪🇹🇿🇦🇪

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 5 หลายเดือนก่อน +4

    Bila risasi usingepona bro,, Chui ni mnyama pekee kwenye taaluma za Martial arts,,, Riadha na Kuogelea,,,,, HAKUNA binadamu mwenye uwezo wa kumuua pekeake kwa mikono,, bila hata Kisu....

    • @alitante4279
      @alitante4279 5 หลายเดือนก่อน +1

      Zipo mbn njoo nkufunze dgo😅😅

    • @OmanOman-bx5du
      @OmanOman-bx5du 5 หลายเดือนก่อน +4

      Yupo kija mmoja. Uko tunduru wilaya nyasa aliua kwa mikono alimkamdamiza. Kwa mikono na kumshambulia akamuuwa

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa maelezo yake kwakuwa alikuwa tayari memuamgusha chini na amemuwekea goti tumboni nauhakika Chui angekufa tu.

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 5 หลายเดือนก่อน +2

    Apewe zawadiii ambayo hatosahau

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sama kamanda

  • @mariawanjiru1275
    @mariawanjiru1275 5 หลายเดือนก่อน

    Pole kaka

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 5 หลายเดือนก่อน +3

    Baba wabeja detele ngosha

  • @linahmlay8512
    @linahmlay8512 5 หลายเดือนก่อน

    Chui ua ni mzuri sana shida ni vita zake

  • @ramadhanimwinyi-7445
    @ramadhanimwinyi-7445 5 หลายเดือนก่อน +1

    safi

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 5 หลายเดือนก่อน +1

    Utapona ila hiy kaz sio kaz tafut kaz nyngine watakukula hao wanyama

  • @SamsoniSona-sx3sw
    @SamsoniSona-sx3sw 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mh rais muone huyu baba kwa jicho lako

  • @user-yt1qg3ce9q
    @user-yt1qg3ce9q 5 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi ndo asikali wa ukweli na sio askali polisi wazulumati wale nyinyi ni myamba bigap

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba yangu 😢😢😢

  • @everlineakinyiogolla5599
    @everlineakinyiogolla5599 5 หลายเดือนก่อน +1

    Congratulations shujaa

  • @mustafaseif3586
    @mustafaseif3586 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera ila muandishi muongo ameuliwa na askari wenzake bila askari wenzie angeuwawa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana 😢

  • @chindemasoftware
    @chindemasoftware 5 หลายเดือนก่อน

    Ameuua huyo, maana huyo chuwi ni mnhama anaeitunzwa katika mbuga, akamatwe afungwe ameua chuwi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 5 หลายเดือนก่อน

    😮😮😮😮Pole sana baba

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 5 หลายเดือนก่อน

    Duuh kumbe chui wa miaka kumi nambili ao kumi natano ni muzee yaani umepigana na chui muzee 😂

  • @chuwimkali547
    @chuwimkali547 5 หลายเดือนก่อน

    Uyu angekuwa pekeyake asinge muweza mwamba yupo mtwara uyo alipambana nachuwi pekeyake

  • @AndreaHamisi-fg9bt
    @AndreaHamisi-fg9bt 5 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo umemuua rayvany

    • @charityjoshua6135
      @charityjoshua6135 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 5 หลายเดือนก่อน +1

    Daah unavyobisha kama ulikuepo simulia wewe basi.