Jambo lingine kwanini Serikali msibuni hata mavazi ya kujilinda na wanyama kama CHUI,MAMBA,SIMBA mavazi ambayo yafanya makucha ya mnyama au meno asiweze kumwathiri mtalii au askari wetu ???
Kuna kazi ngumu na mazingira magumu na hii ya kufanya kazi ktk hifadhi za wanyama pori ni ngumu na hatarishi mno..mfn nyoka kuingia ndani ni jambo la kawaida kabisa ,.kupishana na tembo au nyati nyoka nk ni kawaida...ki ukweli ni Mungu tuu anawalinda! Alitulindaga🙏 Huyu askari malipo ya kuumia kazini yanamuhusu
Nawashauri muongeze protective gears.....k.v helmet za kufunika vichwa, gloves ngumu n.k......by the way huyo jamaa anastahili heshima anayostahili, ni shujaa kama mashujaa wengine....salute kwako ngosha...
@@aminatanzanya7475 SIYO CHUI TU KIUMBE CHOCHOTE AMBACHO KITA NIATTACK ILI KUTOA UHAI WANGU NAPAMBANA NITAKABILIANA NACHO IPASAVYO BILA UOGA WOWOTE, ALAFU TAMBUA SHUJAA HANA SIRI ZAIDI YA KUWA JASIRI KUKABILIANA NA TATIZO LINAPOTOKEA
Hongera na Mungu akujalie afya njema tena na kukupa Ujasiri zaidi siku za usoni katika kazi zako. Hifadhi za wanya mapori inabidi wakawatafutie nguo na vifaa vyenye ubora zaidi wa kuwalinda Asikari ili kuhepusha majeraha zaidi kwenye mili yao.
Vipi kuhusu nyoka aina ya cobra na black mamba, hii hutokea kwa bahati mbaya sanasana mara nyingi wanyama kama chui na simba wakizeeka husogea karibu na vijiji kwa ajili ya kuwinda mifugo ya wana vijiji na hata wakikosa basi hula hata wanavijiji wenyewe ni kwasababu ya kupoteza uwezo wa kupambana na wanyama pori maana wanakuwa hawana nguvu tena. Hivyo hata wakipiwa nguo za chuma vipi kuhusu wanakijiji nao.
Kichwa cha habari na habari yenyewe tofauti. Chui kauliwa kwa silaha (bunduki) tena waliomuua ni askari wenzake. Kichwa cha habari kinasema askari apambana na chui mpaka kumuua. Karagabaho pyeeee!! 😅
NIi kweli kichwa cha habari ni tofauti kupambana na chui mpaka kumuua si rahisi tena mtu mmoja mnyama chui anaweza kupambana na watu zaidi ya 3 na akashinda pasipo watu hao kutumia silaha
sasa mwamba alituma CV ya kuomba kazi ili awatumikie wananchi na sio kuongeza zero zero kwa namba inayo fuata mikataba mirefu mirefu tu mnao faidika wacheche tunao umia wengi pesa zetu mnaenda kuziweka geneva huko kichomi kingine jeshi la zima moto fanyeni kazi kiufanisi 🏆💛💚💪🇹🇿🇦🇪
Bila risasi usingepona bro,, Chui ni mnyama pekee kwenye taaluma za Martial arts,,, Riadha na Kuogelea,,,,, HAKUNA binadamu mwenye uwezo wa kumuua pekeake kwa mikono,, bila hata Kisu....
Pole brother na Hongera sana tunaitaji Askari kama awa Ungekua Mfanyakazi wangu Ningekupandisha Cheo kama Motisha zaidi
Sio Hongera tu na pole apewe kitu ambacho kitamfanya Aishi maisha yenye nafuu na yeye ,ajengewe hata nyumba ,pamoja sana brother
Pole sana kaka na ongera kwa mungu kukupa ujasili wa kupambana na chui mnyamba huyo hatari sana hawana masiara
Hongera kamanda,unastahili pongezi.na hao askari wenzako mliokuwa pamoja siku hiyo.
Msukuma 1 tu,askari poli jasiri kabisa.Mungu akupe afya njema na uendelee kuipenda kazi yako.utafika mbali sana.
Honger Afande na pole kwa kukujeruhi
Jambo lingine kwanini Serikali msibuni hata mavazi ya kujilinda na wanyama kama CHUI,MAMBA,SIMBA mavazi ambayo yafanya makucha ya mnyama au meno asiweze kumwathiri mtalii au askari wetu ???
Ushauri Bora Sanaa,,
Tena ndo vizuri hata wasipate hayo mavazi hili wanyama wawaue vizuri bila shida tena naomba na leo simba atokee kwenye kambi yao awalalue wotee
@@wemaMichael-fr4thkichwa box
@@wemaMichael-fr4thkichwa box
@@wemaMichael-fr4th kwa nn dadang kipenz? Mbona u mkatili hivyo?
Hongera sana Askari wetu..Mungu daimabakupe ulinzi..pia upone haraka.
Pole sana afande kwa uliyokutana nayo lakini hongera kwa ushindi,atiwe moyo kwa kupewa zawadi maalum maana kupambana na chui sio mchezo baba.
Hongera sana,Askari wangu,uongexewe vyeo kibao.
Pole sana kaka mungu akuponye halaka
Pole ndugu na hongera Sana na Happy New year 🎉
Hongera sana kamanda.nakuombea upandishwe cheo
Waaah pole sana chui 😢😢😢😢😢Nakimbuka hata kwetu kuna baba mmoja alinusurika na chui
Kuna kazi ngumu na mazingira magumu na hii ya kufanya kazi ktk hifadhi za wanyama pori ni ngumu na hatarishi mno..mfn nyoka kuingia ndani ni jambo la kawaida kabisa ,.kupishana na tembo au nyati nyoka nk ni kawaida...ki ukweli ni Mungu tuu anawalinda! Alitulindaga🙏
Huyu askari malipo ya kuumia kazini yanamuhusu
Pole sire na hongera ALLAH akupe afia yako kama kawaida INSHALLAH ❤
Utukufu Kwa Mungu 🙏 hongera sana Kwa ujasiril na atukuzwe Mungu kukulinda.
Katoe sadaka kwa yatima kumshukuru Mungu aliyekuokoa
Kwa kweli mtihan
Hongera sana shujaa.umeonyesha uzalendo kweli. Umejihatarishia maisha Kwa ajili ya usalama wa wengine. Mungu akubariki sana
Pole broo umepambana umeonyesha ujasiri
Huyu ndo mwanaume sio hao walamba lips😅 hongera sana na pole sana afande wetu
Hongera braza
Hongera sana shujaa,Mungu akulinde na majanga
Mungu wangu! Bwana Yesu asifiwe sana kwa kukulokoa
Pole sana kamanda
Dahhh pole sana ndugu. Jmn pole maana chui ni hatari sana!
Duuh mungu awasimamie mapolisi wote wa wanyama poli ❤❤❤❤❤❤
Hongera sana afande kwa umahili huo
Wanaume wa daa wanaogopa hadi mende😂😂😂
Sio wa Dar tuu hadi wanaume wa kiarabu hadi mende wanamuogopa
😂😂😂
😂😂
Ww maku ha ha ha
😁😁
GOLI MOJA MILIONI 5 SASA TUONE HUYU ITAKUWAJE😢😢
😅😅😅
Hongera Sana blooo upewe najuwa yako
hongera mwamba
Pole sana na mungu ako na mpango juu yako sio raisi kumuua uyo chui
Pole sana Kaka mkubwa pia mungu akulinde akuponye mapema
Hongera sana kamanda kwa ujasiri
Only God did 🙏
Bwana mdogo Mungu akuongezeeujasili
Big up soldier
Nawashauri muongeze protective gears.....k.v helmet za kufunika vichwa, gloves ngumu n.k......by the way huyo jamaa anastahili heshima anayostahili, ni shujaa kama mashujaa wengine....salute kwako ngosha...
Pole na ubarikiwe sana
Mwamba apewe cheo 🏆
Hongera sana kamanda
Hongera na pole. We ni mwamba.
Mama Samia mzawadie kama magoli ya timu zetu
Hongera sana kaka yangu
Mungu akubariki kamanda Wangu
Pole kaka angu Mungu ni mwema
This is a real soldier, a hero.
Mungu akutunze kamanda wetu.
Hongera shujaa
Pole sn na hongera
MWANAUME USIKUBALI KUFA KIZEMBE, PAMBANA MPAKA MWISHO.
Hahaha wew unawez kupambn na Chui
@@aminatanzanya7475 SIYO CHUI TU KIUMBE CHOCHOTE AMBACHO KITA NIATTACK ILI KUTOA UHAI WANGU NAPAMBANA NITAKABILIANA NACHO IPASAVYO BILA UOGA WOWOTE, ALAFU TAMBUA SHUJAA HANA SIRI ZAIDI YA KUWA JASIRI KUKABILIANA NA TATIZO LINAPOTOKEA
Mungu akutunze Askari.
Kuna mshua morogoro ali pambana nae chuku chuku hakuna panga Wala lisasi.... Hongera Police poli
Hongera na Mungu akuponye
Huyu ndiye Chui sugu.hongera askari
Pole sana kaka.
Pole sana kaka
Apewe fidia ya kutosha kwa ushujaa wake hongera sana na pole kwa maumivu
Kuna malipo ya kuumia kazini
Pole sana wenzako wasingekuwepo yangekuwa mengne
Pole sana kamanda watu kama nyie ni wachache sana kutetea maisha yetu wananchi
Hongera na Mungu akujalie afya njema tena na kukupa Ujasiri zaidi siku za usoni katika kazi zako.
Hifadhi za wanya mapori inabidi wakawatafutie nguo na vifaa vyenye ubora zaidi wa kuwalinda Asikari ili kuhepusha majeraha zaidi kwenye mili yao.
Vipi kuhusu nyoka aina ya cobra na black mamba, hii hutokea kwa bahati mbaya sanasana mara nyingi wanyama kama chui na simba wakizeeka husogea karibu na vijiji kwa ajili ya kuwinda mifugo ya wana vijiji na hata wakikosa basi hula hata wanavijiji wenyewe ni kwasababu ya kupoteza uwezo wa kupambana na wanyama pori maana wanakuwa hawana nguvu tena. Hivyo hata wakipiwa nguo za chuma vipi kuhusu wanakijiji nao.
Mwenye mume huyu akae Kwa adabu😢
Waja mnamambo😂😂
😂@@fettyrashid9042
@@fettyrashid9042
Wajamnamboooo nyimbo ya leila Rashid😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Pole sana kamanda jasiri. Unastahili upewe cheo wewe ni askari wa kweli
Hawa ndio makamanda tunao wataka hongera kamanda🙋
Hongera sana askari wa wanyama pori.
Ngosha kamili 🔥🔥🔥
Mshukuru Mungu Mwamba.
Pole xan kamanda na hawa ndo watu wa kupewa motisha kwenye kaz zao
KWS jifunzeni, wanyama wakivamia wananchi wanastahili kuuliwa, hasa kama fisi huko Juja na Nyacaba
HONGERA SANA ASKARI WETU SHUJAA.
Samson wa Tanzania 🇹🇿😅
Tunamsubiri delila
pole sana kaka safi
Duh...hatari sana...Ayo uturudishe siku moja TRC watuoneshe zile interiors za behewa za VIP, second na first walizoleta ...
Pole mkuu kwa kupambana na chui mshukuru mungu
Pole sana
Pole sna mtani wangu
Kichwa cha habari na habari yenyewe tofauti. Chui kauliwa kwa silaha (bunduki) tena waliomuua ni askari wenzake. Kichwa cha habari kinasema askari apambana na chui mpaka kumuua. Karagabaho pyeeee!! 😅
NIi kweli kichwa cha habari ni tofauti kupambana na chui mpaka kumuua si rahisi tena mtu mmoja mnyama chui anaweza kupambana na watu zaidi ya 3 na akashinda pasipo watu hao kutumia silaha
Aisee pole maana ulikua ukitetea uhai wako sio wale wa kutaka kick,mungu akulinde
❤ Utapata afya njema Ameen.
sasa mwamba alituma CV ya kuomba kazi ili awatumikie wananchi na sio kuongeza zero zero kwa namba inayo fuata mikataba mirefu mirefu tu mnao faidika wacheche tunao umia wengi pesa zetu mnaenda kuziweka geneva huko kichomi kingine jeshi la zima moto fanyeni kazi kiufanisi 🏆💛💚💪🇹🇿🇦🇪
Bila risasi usingepona bro,, Chui ni mnyama pekee kwenye taaluma za Martial arts,,, Riadha na Kuogelea,,,,, HAKUNA binadamu mwenye uwezo wa kumuua pekeake kwa mikono,, bila hata Kisu....
Zipo mbn njoo nkufunze dgo😅😅
Yupo kija mmoja. Uko tunduru wilaya nyasa aliua kwa mikono alimkamdamiza. Kwa mikono na kumshambulia akamuuwa
Kwa maelezo yake kwakuwa alikuwa tayari memuamgusha chini na amemuwekea goti tumboni nauhakika Chui angekufa tu.
Apewe zawadiii ambayo hatosahau
Pole sama kamanda
Pole kaka
Baba wabeja detele ngosha
Chui ua ni mzuri sana shida ni vita zake
safi
Utapona ila hiy kaz sio kaz tafut kaz nyngine watakukula hao wanyama
Mh rais muone huyu baba kwa jicho lako
Nyinyi ndo asikali wa ukweli na sio askali polisi wazulumati wale nyinyi ni myamba bigap
Pole sana baba yangu 😢😢😢
Congratulations shujaa
Hongera ila muandishi muongo ameuliwa na askari wenzake bila askari wenzie angeuwawa
Pole sana 😢
Ameuua huyo, maana huyo chuwi ni mnhama anaeitunzwa katika mbuga, akamatwe afungwe ameua chuwi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😮😮😮😮Pole sana baba
Duuh kumbe chui wa miaka kumi nambili ao kumi natano ni muzee yaani umepigana na chui muzee 😂
Uyu angekuwa pekeyake asinge muweza mwamba yupo mtwara uyo alipambana nachuwi pekeyake
Kwahiyo umemuua rayvany
😂😂😂😂😂😂😂
Daah unavyobisha kama ulikuepo simulia wewe basi.