Inakuwaje polisi awe mkusanyaji deni kutoka Kwa mtuhumiwa Kwanini mtuhumiwa alivyo towa maelezo yake asiwapeleke Mahakamani au Baraza lausuluhishi la biashara
Yeye anampa Oder ya kulipa kama nani,,Mbona sisi wengine tukienda police kama tunamdai mtu tnaambiwa tuende mahakamani,,Mbona leo Muniro kwawa hakimu,mwanasheria na kila kitu
Kwanini Huyo Kamanda Asimwambie Mdai aende Mahakamani. Anaingilia Mitandao ya Simu na Kukamata Magari na Mali kwa hukumu gani? Kama Ni Taprli Mahakama Iseme
Hapa nimegundua kitu Uyu jamaa mbabaishaji Utajiri wake anawazulum Sana wafanya biashara wadogo Wadogo sasa siyo mchongo Lipa kwanza pesa za watu Halafu ayo magar yaliyopo chin Yawateja wako yatakuwa yako Unaonaje hapo hili hao raiya Walio kuagizia magar 2 au ma3 Wasiwe wanakuriport kuwa unawazungusha kuwa unataka Uwazulum fanya ivyo kama Siyo tapeli walipe kisha wasikuzoe Kuwa kalibu yako ususan Kwenye uwagizaji wa magar Ya maroli na mabasi
nimejifunza kitu bro kupitia hiki swala lakonmaana binadam ss niatali mtu anakuletea pesa kwa mafungubafu anazunguka anataka yy avunje mkataba na laipwe oesa keshi weli dunia hii
Dah awa police police 🚔 🤔 😑 wa Tanzania mungu anawaona dah vitu vya ovyo vinafanyika na wakubwa viongozi wao wamenyamaza wanasifia RIP 🙏 magufuli wanyonge wanalia
Ila RPC unasema mnachunguzaga mambo?unamjua Mr KUKU Afande, analiza watu wa nchi hii na bado anadunda jumla ya 8billions kawapiga watu takribani 4000,sasa mbona hilo hulichunguzi mkuu.
@@samuelemmanuel3400 hahahah maana kisheria hakuna mtu anaruhusiwa kukusanya fedha kwa umma kama hujawa registered mayb banks au capital markerts etc so mjinga mmoja akija danganya watu njooni tuweke hela tufanye hvi mtapata faida ujue kikiaribika hakuna pa kukimbilia
@@zedekiahjulius6 ni kweli najua but wangefanya yafatayo 1. Wangetoa elimu kwa uma 2. Wange zuia hizo shuguli(upati usio rasmi) 3. Wange simamia sheria Sio uhuni wanaofanya maana huyo mr kuku alikuwa anatangaza kabisa kwenye media na mitandao yakijamii kwa uhuru, waliamuatu kufumbia macho iliwaje kupiga hizo hela
@@samuelemmanuel3400 unachezea akil ya binadam human stupidity will never end bongo watu washatapeliwa sana tu kuna jamaa mbongo alitoka USA katangaza fursa za wafanya biashara wanaotaka ku export bidhaa america akawajaza watu ukumbia jk nyerere wafanyabiashara wakubwa kutoka mikoa yote nchini na walitoa pesa za connection imagine kuna media house hapa kubwa nchini ililipwa mil 300 kufanya promo ya hùyo jamaa mwisho wasiku jamaa kapiga mpunga kasepa
Very Good question Kwa ni ni polisi ishufhulike na Madai ya Muhindi, Mimi namdai Suleiman Msomali mamilioni ya hela mbona Jeshi la Polisi limekataa kunisaidia?
Nchi yetu haifai kwa biashara maonevu kibao Ukiwa maskini nogwa Ukiwa tajiri balaa zaidi Nchi imekua kama danguro Rais achambue watu wakuwapa nafasi sio Kila mtu nikiongozi Mfano aende vituo vya polisi boda kibao zimeshikwa kisa bima hawajalipa Sasa ukistaajabu kwanini umsiruhusu wafanyekazi Ili walipe kuliko kuozea hapo Wanamuharibia mama Samia mbaya
@@ScopionScopion-zj9cd huu ndio ukilaza tunaozungumza,kama hujui kitu nyamaza! Kazi ya polisi ni kukamata Kisha kupeleka mtuhumiwa mahakamani,sio kutoa hukumu! Kama huelewi kitu usidandie comment yangu
@@ScopionScopion-zj9cd nabishana na mtu pengine la pili b,Kwa mifano hiyo ya kipuuzi inaonesha upeo wako,hivyo relax don't waste my time,bishana na la pili b wenzio tu
Kuchukua pesa za watu si mfanya biashara mkubaliano ya wateja walipe kidogo kidogo mwishowe wamegaili sasa yeye afanyeje wakati kashatoa oda China. Na anafanya kaz na kampuni lazima aendane nao vizur asijihalibie civ zake huko akakosa kuaminika
Huyu ni mtu wa ajabu.Alishawahi kuishi Kakola Kahama na kufungua tuition center.Na baada ya muda akaomba mgodi wa Barrick umpe msaada wa kuendelea kuboresha hiyo kazi.Kwa maana alisema anasaidia watoto yatima.Barrick akatoa msaada huo kwa kigezo hicho kama kusaidia Kijiji jirani na mgodi.Hiyo sehemu ya kurudisha faida kwa vijiji jirani.Jamaa akasepa.
Rushwa Rushwa Rushwa adui wa haki, Polisi inahusikaje na madai? badala ya mdai ndio aende mahakamani amwite Shammy kujibu shtaka la madai? na kwanini wamtishe? hizi zama tulishazipita naona akina kamanda Muliro wanataka kuturudisha nyuma wakati Mama Mh.Samia Suluhu hataki kuona wala kusikia mtu akionewa.
Kifupi jamani hapa ni hivi mnaumiza kichwa bure Kama pesa alizopewa kama kweli ni mfanya biashara na mi muadilifu anyooshe story liishe lakin kama ni longolongo awe wazi . Ila kama kapewa pesa na kalipa huko china awaambie wajue waendelee kwa sababu china ukitoa advance ndio wanaanza kutengeza wakimaliza wanakuambia malizia pesa gar iende porty hujamaliza hawapakii sasa awaachie wao wamalize
Matapeli yanapiga pesa watu yakitamani kupelekwa mahakamani yakalipe kidogokidogo. Hilo sio deni ni Utapeli jamaa limeshindwa kuleta magari na Na alidangaynya anafanya na Howo jama wameangapiga hogo hawalijui tapeli
Maelezo ya yule muhundi ni sensitive na maelezo ya huyu sammy pia ni sensitive ilikuwa ni swala la kumpa muda sammy kulipa thats correct maana tiar alishaingia mkataba na wachina .
Hawa police wa bongo kuna namna wanatakaga kuhisi sheria haiwawajibishi, najaribu kuangalia hili jambo kwa hali ya kawaida kwanini walipaswa kutojihusisha nalo kabisaa na kumshauri mdai afike mahakamani au kwenye baraza la usuluhishi wa biashara
Mulilo anatumika vibaya, mbona jamaa kajieleza vizuri na kaeleweka, na mpk kasema ana mikataba na hao jamaa na risiti zote za kutuma pesa hata polisi mmlipewa.. taratibu za kudaiana kisheria zifwatwe na sio kutishiana tishiana.
Uyo anaedai ndio anatakiwa amfungulie kesi iyende mahakamani na sio nyie ndio mumshikilie mumlazimishe alipe izo pesa Mzee wangu mlilo mnakosea mnaiingilia sheria
Huyu jamaaa ni taperi nimesikiliza pande Zote .rudisha pesa za wahindi. mnakimbilia kesi ya madai Ili mlipe taratibu hapana huo ni wizi wa kuaminiwa hukukopeshwa
YUKO SAWA! MM NILIAGIZA MZIGO CHINA, USAFIRI UKAWA GHARAMA NA KUFANYA MZIGO KUWA HAUNA FAIDA. NILIPOTAKA NILIPOTAKA KURUDISHIWA HELA MCHINA ALIGOMA AKAWA HASARA KWANGU.
Mfanyabiashara Mzawa ukiwa na Ngozi nyeusi watakiwa Uwe makini saaana tena saaana mana hata Viongozi au Polisi hawajazoea kuona mtu mweusi Ni bilionea, huwa haiwaingii akilini kuona mtu mweusi Ni tajiri
Mulilo hapa umefel na umeichafua nafas yako..we ulishaona ana kosa hil na chombo husika ni mahakama kwann msimpeleke mahakaman..Na ilikuw ina haja gan ya kuchunguz wakt wahusik wap na yey hajagoma kulipa...Hiy nafas hap haikufai na kwann ww ushughulikie hilo na wapo wasaidiz wako lilifikia kiwango gan cha kushindikan nawe kama huna msukumo au rushwa nyuma yake...we have to be careful na kama huy mhusika kaja kukuomba ushaur ungemuambia aende mahakaman....kamanda ndio unasimamia deni lilipwe na mtu keshaleta shida na sheria unazijua kama sasa tumemshaur ila amekengeuk hap hap police mngemkamata mkampelek mahakamani ila hik kitendo ameleta kadhaa mnamtuma tena akalete mwishow kulikuw na picha mbaya na hat huenda ilitakiw afilisiwe...wanadamu hatupendan ata kidogo
Kwani yeye ndo alivunja mikataba? Je kwani ni kazi ya police kulipisha madeni au ni mahakama. Police fanyeni kazi kwa weledi. Hiyo siyo kazi yenu. Acheni mahakama ifanye kazi yake. Mmetoa wapi mamlaka ya kushikilia gari ya mtu eti ili slete ela acheni kufanya hivyo.
So, sad 😭😭..... Pole sana brother coz hakuna kikubwa chini ya juA
Tuwe na Hofu ya Mungu. Mzee mwinyi katuhusia maisha ni hadithi. Tuache hadithi nzuri kwa wasomaj watakaohadithia
Pole broo. Shammy his very innocent.. namjua since yupo kimara.
Jamaa wa arusha huyo
😂😂😂😂😂
Inakuwaje polisi awe mkusanyaji deni kutoka Kwa mtuhumiwa Kwanini mtuhumiwa alivyo towa maelezo yake asiwapeleke Mahakamani au Baraza lausuluhishi la biashara
Hujawahi kudhulumiwa wewe ndio maana unasema ivo
Iyo tumeshazoea polis ni benki
Pole sana kk yameshanikuta mm hawa jamaa dah!
Hawa sio wa kuwa zungumzia nikuwa tendea sawa sawa na matendo yao
Kuna mtu wangu wa karibu ilimkuta issue km hii,pole kaka,,jeshi la polisi lazima lijirekebishe Kwa kweli
Yani hio ni chupuchupu kutekwa mwenye kisu kikali ndio anae kula nyama kapuku huna nguvu kwa mtu mwenye pesa
Atali tupu
Ndivyo wanavyofanya kazi
Kazi kweli kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
Ukiwa MASKINI nchi hii ni matatizo na ukiwa TAJIRI matatizo , ....POLISI hawana tofauti na MASHETANI..!..Huyu jamaa ameongea kitu kilichonyooka..!
Yeye anampa Oder ya kulipa kama nani,,Mbona sisi wengine tukienda police kama tunamdai mtu tnaambiwa tuende mahakamani,,Mbona leo Muniro kwawa hakimu,mwanasheria na kila kitu
kweli.. anayedai kawaonga ama ni kiongozi mkubwa
Hapo sasa
Kwanini Huyo Kamanda Asimwambie Mdai aende Mahakamani. Anaingilia Mitandao ya Simu na Kukamata Magari na Mali kwa hukumu gani? Kama Ni Taprli Mahakama Iseme
Polisi tunaotakiwa tuwakimbilie ili watulinde wanafanya uharamia😢 Mambo ya ajabu kabisa. Mahakama zipo kwa nini wasiende huko?
Murilo ujue mungu anakuona!
Marehemu hamza alikuwa sahihi
😅😅😅
Kabisa
Af wakajidai kuumda tume yao na uwonqo km wote
😅😅😅
🇦🇱
Police ndiyo majambazi wakubwa nchini, na kumbambikizia watu case, ila Mungu ndiyo hakimu
Sawa sisi ni majambazi amna noma
😂😂😂@@adudeswalehe8724
@@adudeswalehe8724tena wauaji wakubwa mbwa nyie
Hahaha unakubali kama Sifa@@adudeswalehe8724
@@adudeswalehe8724tena ninyi sio majambazi ni wauwaji kabisa
Daaah, nimemsikikiza jamaa ameeleza vizuri sanaaa... Kuna muda watendaji ndo tuna m-let down Mama😢😢😢😢😢😢
Kabisa
Kamanda Mulilo nikushauri tuu achana na maswala haya yanakutia doa
Mambo ya madai iachie mamlaka inayohusika ni aibu
Hujazulumiwa wewe kaa kimya
@@adudeswalehe8724kwani Nani kazirumiwa hapo? Kwenda huko
@@anastaziamathias8861 kwahiyo hizo pesa anazoambiwa alipe ni wanamuibia au alipewa ??
@@adudeswalehe8724 wote tumedhulummiwa.. Taratibu zifuatwe.. mahakamani
Kwa nini Muliro akusanye hizo fedha?? ,Hapo tu kuna ukakasi wa wazi kabisaa!!
Muliro amelamba asali!!
Amekua kijumbe sasa anakusanya marejesho😅
Kijumbe😂
Mdaiwa hafungwi 😅😅😅😅
Hapa nimegundua kitu
Uyu jamaa mbabaishaji
Utajiri wake anawazulum
Sana wafanya biashara wadogo
Wadogo sasa siyo mchongo
Lipa kwanza pesa za watu
Halafu ayo magar yaliyopo chin
Yawateja wako yatakuwa yako
Unaonaje hapo hili hao raiya
Walio kuagizia magar 2 au ma3
Wasiwe wanakuriport kuwa unawazungusha kuwa unataka
Uwazulum fanya ivyo kama
Siyo tapeli walipe kisha wasikuzoe
Kuwa kalibu yako ususan
Kwenye uwagizaji wa magar
Ya maroli na mabasi
kama huelewi tulia subiri sikiliza
Kumbuka walikuwa kwa makubariano alafu kunamikataba so funga kimya kama hujui jambo
Kumbuka walikuwa kwa makubariano alafu kunamikataba so funga kimya kama hujui jambo
Acha kuropoka kama umekunywa gongo mfanyabiashara hakai na pesa pesa ipo kwenye mzunguko na mtu kasema apewe muda alipe
Huyu Mrilo ajuwe atakuja kusitaafu haya ni maisha tu
Aombe mwisho mwema. Uwizi sio mzuri
Kmbe polisi ck iz😂😂 nd waksanyaji hela duuuh this country pole sana brother 😢
nimejifunza kitu bro kupitia hiki swala lakonmaana binadam ss niatali mtu anakuletea pesa kwa mafungubafu anazunguka anataka yy avunje mkataba na laipwe oesa keshi weli dunia hii
Pole bro Mungu yupo
R.I.P MAGUFULI
Magufuli mwenyewe ndo alianza huu ujambazi
Hatowe pesa za watu magufur kafany nn atowe pesa bwan
Pole sana kaka!
Duu pole my brother hii nchi naona niyaviongozi maana hata madeleva wanauwawa namatajili halafu jeshi la police linamtetea tajili.
Dah awa police police 🚔 🤔 😑 wa Tanzania mungu anawaona dah vitu vya ovyo vinafanyika na wakubwa viongozi wao wamenyamaza wanasifia RIP 🙏 magufuli wanyonge wanalia
Utapeli kibao
Ila RPC unasema mnachunguzaga mambo?unamjua Mr KUKU Afande, analiza watu wa nchi hii na bado anadunda jumla ya 8billions kawapiga watu takribani 4000,sasa mbona hilo hulichunguzi mkuu.
Serikali ili chukua huo mpunga ponzi scheme zote serikali ikichukua hairudish kwa investors
Serekali ni matapeli
@@samuelemmanuel3400 hahahah maana kisheria hakuna mtu anaruhusiwa kukusanya fedha kwa umma kama hujawa registered mayb banks au capital markerts etc so mjinga mmoja akija danganya watu njooni tuweke hela tufanye hvi mtapata faida ujue kikiaribika hakuna pa kukimbilia
@@zedekiahjulius6 ni kweli najua but wangefanya yafatayo
1. Wangetoa elimu kwa uma
2. Wange zuia hizo shuguli(upati usio rasmi)
3. Wange simamia sheria
Sio uhuni wanaofanya maana huyo mr kuku alikuwa anatangaza kabisa kwenye media na mitandao yakijamii kwa uhuru, waliamuatu kufumbia macho iliwaje kupiga hizo hela
@@samuelemmanuel3400 unachezea akil ya binadam human stupidity will never end bongo watu washatapeliwa sana tu kuna jamaa mbongo alitoka USA katangaza fursa za wafanya biashara wanaotaka ku export bidhaa america akawajaza watu ukumbia jk nyerere wafanyabiashara wakubwa kutoka mikoa yote nchini na walitoa pesa za connection imagine kuna media house hapa kubwa nchini ililipwa mil 300 kufanya promo ya hùyo jamaa mwisho wasiku jamaa kapiga mpunga kasepa
Very Good question Kwa ni ni polisi ishufhulike na Madai ya Muhindi, Mimi namdai Suleiman Msomali mamilioni ya hela mbona Jeshi la Polisi limekataa kunisaidia?
Kama kweli unadai mbona hiyo kazi ndogo
hio kampuni itakuwa inamkono wa public official tena senior ,yaani hakuna usawa hadi uwe kigogo?
MPELEKE MAHAKAMANI. SHORT AND CLEAR
😂😂
8:45
Ndio mjue kuwa kunapolisi wengine hawapendi haya yanayoendelea,zuluma ni mbaya polisi achen hizo
Kwa sasa ni bora niwamin mgàmbo kuliko polis wa 🇹🇿
Jamn maisha haya Sina hela lakn Kuna shida
Hata linavyoongea tu hilo li kamanda Muliro jambazi kubwa, mbwa kabisa
Polis hawaaminiki tena tanzania%
Jamaa kanyooka haswa. Hakuna uongo kwenye hili. Muliro ana tatizo na anaonekana kutumika. Hapa tupaze sauti.
Mhindi na polisi wanapenda sana na hz mambo.
Mmmh haya maisha yako hatal
Mmmmh apa Kuna kitu kweli jamaaa kaongea ukweli
Police police police mungu anawaona
Doh pole sana
Wanasema usingizi wa maskini ni mtamu
HAhaha acha mambo yako ndg tafuta pesa umasikini ni mbaya zaidi
Tafuta Pesa umaskini sio sifa
😅😅😅😅
Nchi yetu haifai kwa biashara maonevu kibao
Ukiwa maskini nogwa
Ukiwa tajiri balaa zaidi
Nchi imekua kama danguro
Rais achambue watu wakuwapa nafasi sio Kila mtu nikiongozi
Mfano aende vituo vya polisi boda kibao zimeshikwa kisa bima hawajalipa
Sasa ukistaajabu kwanini umsiruhusu wafanyekazi Ili walipe kuliko kuozea hapo
Wanamuharibia mama Samia mbaya
Ipo siku Moja kazi hiyo kwake itaisha atende mema mulilo Apache story nzury
Ila kamanda ulikuwa unampressuarize huyu mtu amlipe huyo mfanyabiashara aletoa pesa kwani we ni mahakama?? Kwanini hukumpeleka mahakamani???
we nae huna unachojua kwani kama mtu ukitapeliwa unaendal kwanza police au mahakamani
@@ScopionScopion-zj9cd huu ndio ukilaza tunaozungumza,kama hujui kitu nyamaza! Kazi ya polisi ni kukamata Kisha kupeleka mtuhumiwa mahakamani,sio kutoa hukumu! Kama huelewi kitu usidandie comment yangu
nyinyi ndio wale anakuja mtu anakuvua nguo akubake unaona ila humzuii mpaka anakubaka unasubili upate ushahidi wakwenda mahakamani mwenyewe hajakataa amekubali kwamba kweli nimepatiwa pesa alipe2 mahakamani kufanya Nini mahakama zenyew vitu ambavyo nivyakumaliza viishie police2
@@ScopionScopion-zj9cd nabishana na mtu pengine la pili b,Kwa mifano hiyo ya kipuuzi inaonesha upeo wako,hivyo relax don't waste my time,bishana na la pili b wenzio tu
sio lapili2 fanya bx sijasoma bx ila Nina akili zakutosha zakuchambua jambo unaweza ukiwa msomi harafu vision ukawa huna ndio mana wasomi wengi ndio wanakua mashoga
Kaka shammy mungu akusaidie pesa yako wasiikodolee macho tunachotaka maendeleo na kutafuta kihalali tu
Ni vituko..kwa mwenye pesa kuwekeza nchini..ni ngumu .mazingira hayo yana ashiria kutokuwepo kwa usalama wa wafanyabiashara
Ndani ya siku sita ushafanya hadi booking ya meli , daaaaah😂😂😂
Mmi sielewi aseee wakat malipo Yalikua ya kusua sua.
Alaf SI mteja Angelina 50% Ili aagize Kwa feza zake mana ni bilionea huyu au mmi sielewi
Africa polisi lazima wafate Sheria. Sasa kesi kama hii polisi wanaingiliya wapi..
Sio kitu kigeni hichi, wazungu au wahindi wakishtaki wakuwa na haki hata kama wao ndio wenye makosa, tunahitaji ukombozi
Jumanne mliro Kwanini ww unasisitiza alipe ela na sio mahakama?
Kosa Kubwa Simu Zimewekwa Rekodi Kwanini Umeacha Kurekodi Ukiwa Unaongea Na Watu Kama Mfano Wa Hao Wapenda Vya Bule Kwa Kutumia Nguvu
Kuchukua pesa za watu si mfanya biashara mkubaliano ya wateja walipe kidogo kidogo mwishowe wamegaili sasa yeye afanyeje wakati kashatoa oda China. Na anafanya kaz na kampuni lazima aendane nao vizur asijihalibie civ zake huko akakosa kuaminika
murilo yeye anamadaraka gani yakusema hivyo yeye ni mahakama?sio sawa jamani
Huyu ni mtu wa ajabu.Alishawahi kuishi Kakola Kahama na kufungua tuition center.Na baada ya muda akaomba mgodi wa Barrick umpe msaada wa kuendelea kuboresha hiyo kazi.Kwa maana alisema anasaidia watoto yatima.Barrick akatoa msaada huo kwa kigezo hicho kama kusaidia Kijiji jirani na mgodi.Hiyo sehemu ya kurudisha faida kwa vijiji jirani.Jamaa akasepa.
Hii nchi inahatari sana
So painful 😢pore broh
Rushwa Rushwa Rushwa adui wa haki, Polisi inahusikaje na madai? badala ya mdai ndio aende mahakamani amwite Shammy kujibu shtaka la madai? na kwanini wamtishe? hizi zama tulishazipita naona akina kamanda Muliro wanataka kuturudisha nyuma wakati Mama Mh.Samia Suluhu hataki kuona wala kusikia mtu akionewa.
Kwani nani aliyekuwa anapenda kuona na kusikia mtu kaonewa? Kila kitu Siasa tu!
Hapo kuna shida kubwa sana ,
Kifupi jamani hapa ni hivi mnaumiza kichwa bure
Kama pesa alizopewa kama kweli ni mfanya biashara na mi muadilifu anyooshe story liishe lakin kama ni longolongo awe wazi .
Ila kama kapewa pesa na kalipa huko china awaambie wajue waendelee kwa sababu china ukitoa advance ndio wanaanza kutengeza wakimaliza wanakuambia malizia pesa gar iende porty hujamaliza hawapakii sasa awaachie wao wamalize
Hiko hivi uzifanye biashara na kampuni unayohisi ina uwezo wa kuifanya hiyo biashara yenyewe wala usichukue tenda ya serikali bila cash hawalipagi
Dah pole sana, hapa police
Moliro kaisha pewa hongo ndomana kesi kaisimamia anashindwa kusaidia watu dar kahongwa maliro
Kaichukulia kesi personal Sana.. Kama kampuni yake, kama hakukuwa na jinai wangeawacha waende mahakamani
Watanzania pekee wenye asili ya Asia ndio wako Huru hapa TANZANIA, tukae tujue hivyo siku chache zilizopita mfanyabiashara Mzawa kajipiga risasi
Kwann ukubar kulipa pesa wakat wamesitisha wenyewe mkataba
Si ameshakwambia alitishiwa kwamba ni dili la kiongoz wa Serikali tena na kamanda. Kwahyo alifanya hvyo kwa uoga
Si kazi ya police kuendesha kesi,kwanini wasimpeleke mahakamani?
Matapeli yanapiga pesa watu yakitamani kupelekwa mahakamani yakalipe kidogokidogo. Hilo sio deni ni Utapeli jamaa limeshindwa kuleta magari na Na alidangaynya anafanya na Howo jama wameangapiga hogo hawalijui tapeli
Maelezo ya yule muhundi ni sensitive na maelezo ya huyu sammy pia ni sensitive ilikuwa ni swala la kumpa muda sammy kulipa thats correct maana tiar alishaingia mkataba na wachina .
Kuna sababu ya msingi ya kujua majukumu na kazi ya polisi tofauti na hapo raia mtaumia
Hawa jamaa wanajifanya wananguv wanadhani wanaweza kufanya chochote sasa sio kila mahali kuna mahali lazim washikike
KAMANDA YUKO SAHIHI, kama hujazulumiwa huwezi kuelewa
Hawa police wa bongo kuna namna wanatakaga kuhisi sheria haiwawajibishi, najaribu kuangalia hili jambo kwa hali ya kawaida kwanini walipaswa kutojihusisha nalo kabisaa na kumshauri mdai afike mahakamani au kwenye baraza la usuluhishi wa biashara
Pole sana mwanangu shammy!!Kuna kitu hauko hivyo aiseeeh!!
Askari wanataka hela kwako
Mulilo anatumika vibaya, mbona jamaa kajieleza vizuri na kaeleweka, na mpk kasema ana mikataba na hao jamaa na risiti zote za kutuma pesa hata polisi mmlipewa.. taratibu za kudaiana kisheria zifwatwe na sio kutishiana tishiana.
Nimesikitika sana hii inchi ngumu sana😢😢
Kifupi ukilipwa pesa na we umelipa china advance kule si wapeleke hao wenye pesa zao wakamalize huko
Mfanyabiashara na pesa ni kitu cha kawaida tafuteni suluhu wahusika msiwape tamaa wengine
Kaka hutakufa bali utaishi MUNGU mwenye mamlaka atakulinda popote usiogope vitisho
Kwani Tanzania kuna shida gani kila cku watanzania hawana Amani na inchi yao shida ninii???
bongo sio nchi ya kuishi kaka
Sure kabsaa
Ni nchi ya kuishi ila sio nchi ya kuwekeza😂
Jeshi la police ni pasua kichwa yaani ata hamza alikuwa sahii
Hizo pesa ni za kiongozi mkubwa katumia mhongo wa wahindi juzi nimemsikia na mkuu wa mkoa nae kazungumzia hilo swala 😂😂😂😂😂😂
Rais alivyo hafanyi kazi watu kama hawa bado wapo ofisini, police wameanza lini kukusanya madeni? Muliro hufai kuendelea kua ofisini huu ni ujambazi.
You right bro pole chamy ,,kwa hiyo hawo police ndio walikuwa hiyo kampuni anadai alitoa pesa kimashinikizo ????
Sasa kesi ya madai wao wameamua vipi alipe pesa za watu na kesi ni ya mahakama hii
Uyo anaedai ndio anatakiwa amfungulie kesi iyende mahakamani na sio nyie ndio mumshikilie mumlazimishe alipe izo pesa Mzee wangu mlilo mnakosea mnaiingilia sheria
Ningekuwa mkuu wa jeshi la polisi huyu mlilo ningemfukuza kazi mara moja.
Jeshi la baba ako labda
@@adudeswalehe8724wewe utakuwa ni police Na ushenzi wenu
@@Kabwela776 sawa mimi ni mshenzi
Ndio maana wakistafu wanapalalaiz
Na IGP WAMBURA HAPENDI UONEVU KABISAAA AINGILIE KATI
Hii nchi rushwa kila maali jamani munatuumiza sana mungu atawalipa 😭😭🙏
Jamaa anaeleza openning sana tz ipo shida
Ukweli inabidii tuwasikilize upande wa 2 tujuwe nan mkweli
Upande wa pili ndo kina murilo sasa😂😂 c wamelipwa ili wawe mahakimu
Pole sana ALLAH akufanyie wepesi
Kuna kasumba ya kuwatetemekea wageni wawekezaji hata km wanakiuka utaratibu na kuwadidimiza wazawa vijana wanaojitafuta
Huyu jamaaa ni taperi nimesikiliza pande Zote .rudisha pesa za wahindi. mnakimbilia kesi ya madai Ili mlipe taratibu hapana huo ni wizi wa kuaminiwa hukukopeshwa
YUKO SAWA! MM NILIAGIZA MZIGO CHINA, USAFIRI UKAWA GHARAMA NA KUFANYA MZIGO KUWA HAUNA FAIDA. NILIPOTAKA NILIPOTAKA KURUDISHIWA HELA MCHINA ALIGOMA AKAWA HASARA KWANGU.
Mfanyabiashara Mzawa ukiwa na Ngozi nyeusi watakiwa Uwe makini saaana tena saaana mana hata Viongozi au Polisi hawajazoea kuona mtu mweusi Ni bilionea, huwa haiwaingii akilini kuona mtu mweusi Ni tajiri
Mulilo hapa umefel na umeichafua nafas yako..we ulishaona ana kosa hil na chombo husika ni mahakama kwann msimpeleke mahakaman..Na ilikuw ina haja gan ya kuchunguz wakt wahusik wap na yey hajagoma kulipa...Hiy nafas hap haikufai na kwann ww ushughulikie hilo na wapo wasaidiz wako lilifikia kiwango gan cha kushindikan nawe kama huna msukumo au rushwa nyuma yake...we have to be careful na kama huy mhusika kaja kukuomba ushaur ungemuambia aende mahakaman....kamanda ndio unasimamia deni lilipwe na mtu keshaleta shida na sheria unazijua kama sasa tumemshaur ila amekengeuk hap hap police mngemkamata mkampelek mahakamani ila hik kitendo ameleta kadhaa mnamtuma tena akalete mwishow kulikuw na picha mbaya na hat huenda ilitakiw afilisiwe...wanadamu hatupendan ata kidogo
Kwani yeye ndo alivunja mikataba? Je kwani ni kazi ya police kulipisha madeni au ni mahakama. Police fanyeni kazi kwa weledi. Hiyo siyo kazi yenu. Acheni mahakama ifanye kazi yake. Mmetoa wapi mamlaka ya kushikilia gari ya mtu eti ili slete ela acheni kufanya hivyo.
Pole sana kaka mkubwa
Pole sana brother
Kwanini analazimisha kumwambia alipe pesa za watu mbona wasimshauri kwenda mahakamani
Huyu jamaa ni mtapeli na inakaa amefanya huu ukora kwa miaka mingi😂😂😂😂😂😂😂
Polisi kama huwajui utawatetea
Siro watu wanakukumbuka sana
Siro ni wale wale
Siro yupi unamzungumzia?