NENO LA SIKU | Luka 18 | Maombi Ya Kudai Haki Yako
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Leo tunasoma kitabu cha Luka sura ya kumi na nane, na tunaenda kufanya maombi ya kudai haki yako. Katika maisha tunayoishi kila siku, watu wengi haki zao zimezuiliwa na shetani, na wamejikuta wanaishi kwenye mateso, mahangaiko na vifungo vya aina mbali mbali.
Wapo watu waliozuiliwa haki ya kuishi, wengine wamezuiliwa haki ya kupona, wengine wamezuiliwa haki za kubarikiwa, na wengine wamezuiliwa haki ya kuwa na amani. Lakini habari njema ni kwamba, YESU aliposhinda kifo na kaburi, moja kati ya uwezo na mamlaka aliyotupa, ni kudai haki zetu ili tuweze kuishi sawasawa na mapenzi yake.
Katika maombi ya siku ya leo, tunaenda kudai haki zetu zote zilizozuiliwa na shetani na wajumbe wake. Nami nakuombea ukauone uaminifu na mkono wa Mungu ukikupigania na kukushindia katika maombi ya leo. Maisha yako yapate badiliko na ukapate haki zako zote zilizokuwa zimezuiliwa katika ulimwengu wa roho. Damu ya YESU inene mema na ikufunike na kukushindia daima. Amen
Isaac Javan
+255 745 76 45 72
Amen napokea haki ya uzima katika jina la Yesu kristo 🙏🙏🙏
Napokea hakiyangu iliyopotea katika jina la Yesu ameeeeeeeni
🙏 🙏 🙏
Asante mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI
Ubarikiwe sana ❤❤ 🙏 🙏 🇺🇸
Amen barikiwa sana
Kwa kweli Mungu Baba akubariki kwa chakula hiki ya kiroho unayoturisha hapa
Amen 🙏
Amen Amen 🙏🙏
Amen
Napokea haki yangu kw jina la yesu
Asante yesu nimepokea haki yNgu
Ameeen Ameeen asante Yesu napokea haki yangu
Amina ubarikiwe sana
Sifa kwa bwana Mungu
Asante MUNGU kwa kuniwezesha kusikiliza neno lako nakushkuru baba Asante
Mungu akubaliki sana mtumishi
Amee yesu ahsante nimepokea haki yangu
Amen❤ Mungu nadaihaki yangu katikajina la yesu kiristo
Amen ubarikiwe mtumishi Kwa maombi
Amina yesu nitendeye mema
Amen Ameeeen.
Ameen Napokea haki ya uzima katika jina la Yesu .Barikiwa Mtumishi wa Mungu
Amen🙏 napokea haki zangu
Amen Amen Amen
❤ Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🙌🙏
Ninakushukuru Bwana Yesu kwa kuwa nimepokea Haki yangu iliyodhuliwa na adui
Naomba kibalichakazi mtumishi
Napokea haki yangu kwa jina la yesu
Ameen.Ahsante YESU
Mungu akubariki sana mtumishi ❤
Napokea haki ya kibali ktk jina ka Yesu kristo,
AMEN
MUNGU. akubariki🙏
À Santé yesu
Yesu nadai haki yangu kwa damu ya yesu
Namjua aliye mwema kwangu atanipa haki yangu.Nitaomba mchana na usiku ili Mungu afute zuio la adui kushikilia haki yangu ya uponyaji. Yesu wangu ni mwema atanipa uzima
Barikiwa Mtumishi kwa kuungana nami katika maombi .
Mungu akubariki na nyumba yako
♥♥♥♥♥
😂😂 amen nimepokea haki yangu Leo shetani wacha nikucheke😂
Napokea uzima kwa uzao wangu na wajukuu wote
Asante baba mungu akubaliki
Amina Barikiwa sana mtumishi nimeamini nimepokea vibali vyangu vyote Asante sana nimegalagala sana muda wa maombi naamini nimepata uponyaji 🙏🙏
Asante Yesu nimepokea haki zangu
Napokea uzima na wadogo zangu na mama na kupokea haki kutoka kwa kadhi dhalimu kesi ya mirathi
🙏
Yesu bariki huyu ntumishi wako na umlinde 🙏🙏🙏
ASANTE BWANA YESU KWA KUNIFUNGUA,USIKU HUU NAOMBA GUSA NA UZO WANGU AMNA
31:27
Amen 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Amen amen
Amen
🙏
Amen
Amen
Amen Amen
Amen
Amen 🙏 🙏 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen🙏