NENO LA SIKU | Luka 7 | Maombi Ya Kuvunja Vifungo Vya Magonjwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Leo tunasoma kitabu cha Luka sura ya saba, na tunaenda kufanya maombi ya kuvunja vifungo vya magonjwa. Kwa tafsiri vifungo vya magonjwa ni nguvu ya kiroho inayofanya magonjwa yatese maisha ya mtu bila kumuachia.
Lakini habari njema ni kwamba, upo msaada ndani ya YESU na katika maombi ya leo anaenda kufungua vifungo vyote vya magonjwa vinavyotesa maisha ya watu. Kama unasumbuliwa na magonjwa, maombi ya leo ni ya kwako. Nakushauri ushiriki kikamilifu katika maombi haya na utapokea ushindi wako.
Damu ya YESU inene mema kwa ajili yako. YESU akupiganie na kukushindia. Mkono wa BWANA ukuvushe na kukutoa kwenye vifungo vya magonjwa yanayotesa maisha yako. Nakuombea upokee uzima wa afya yako siku ya leo, na utembee katika ushindi siku zote. Mungu akubariki na kukutetea. Amen
Isaac Javan
+255745 76 45 72
Asante Bwana Yesu kwa maombi
Amen Amen
Asante Yesu kwa uponyaji
Amen 🙏🙏🙏 Amen 🙏🙏
Ameen Ameen
Asante yesu 🤲 mungu akubariki mtumishi 🙏
Asante Yesu Wangu Nakupenda Sana
Amina🙏🙏🙏
Amen 🙌🙏🙏🙏Mungu akubari na azidi kuku tumia mtumishi
Thank you so much my God
I love you so much my God ❤ ❤❤❤🙏 nakupamba mauwa Mungu wangu kwa kuwa umeniponya asate sana na kushukuru mungu wangu 🌹🌹🌹🌹💕💕💕🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🙏utukufu naeshima vikurundiriye amena ❤
Sema Neno tu Bwana Yesu na Ugonjwa uliomo mwilini mwangu utakoma Hallelujah Bwana Yesu Asifiwe
Sifa , heshima ,na utukufu ni kwa Bwana
Mtumishi Mungu akutunze
Amina
Nimepokea kwa Jina la YESU ALIYEHAI
Barikiwa mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI 🙏 🙏
Asante Mungu kwa neno lako❤❤❤❤
Mungu Wangu Nakupenda Sana Asante Kwa Neno Lako Zuri Lenye Furaha matumaini na Amani
Amen and amen 🙏🙏🙏🎉🎉🎉 nashukuru
Amen ubarikiwe Sana mtumishi MUNGU akulinde na akubariki sana kwa maombi
Ameen Ameen Mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimebarikiwa na kuona ukuu wa Bwana.Barikiwa
Amen and amen, I receive Devine heeling in Jesus mighty name Amen
Amen Amen asante mtumishi wa Mungu kwa kutufunza jia y kutunbu 😢😢😢
Amen Amen Asante mutumishi wa mungu ubarikiwe Sana 🙏🙏🙏
Ameen 🙏🙏 asant mtumishi Kwa neno lako
Mungu amponye mtoto Shamiri mukoya Kwa Damu ya yesu
Mungu baba Katika jina la Yesu Napokea uponyaji wangu kwa jina la Yesu kupitia maombi haya hakuna ugonjwa utakaositirika ndani Kupitia Nenohili la Mungu na maombi haya asante Yesu kwa uponyaji
Mtumishi Mungu aliyekutuma na kukuongoza Akubariki na kukutunza wewe na familia yako AMEN ASANTE SANA
Barikiwa sana MTUMISHI wa Bwana kwa kutuongoza maombi ya uponyaji barikiwa sana
Barikiw🙏
Ubarikiwe sana mtumishi
Asante. Bwana kwa maombi
Ahsante BWANA Yesu...
Zidi kumwinua mtumishi katika viwango vya juu zaidi, Amina.
Amen amen