Mungu wangu ahsante naamini kupitia maombi haya nimefunguliwa , sitocheleweshwa tena Jina na nafsi yangu vi huru sasa, amen, ❤❤❤NAKUPENDA SANA MUNGU, YESU KRISTO ,KWA DAMU YAKO NI HURU SASA AMEN
Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu nakataa kubadilishiwa matokeo yangu Kwa Jina la yesu Kristo Kwa imani napokea majibu yaliyo sahihi kuanzia siku ya leo amen🙏
Nakataa katika jana la Yesu kristo . Mm nilibadilishiwa maisha yangu kwa ujumla ,kwasababu nmeishi maisha magumu sana ambayo mm mwenyewe ckutarajia yatakuwa hivo
Mungu nirejeshee matkeo kwa rafiki yangu napokea anirejeshee niliyomuomba anipe kwa jina la yesu napokea hitaji la moyo wangu amen amen
Mungu wangu ahsante naamini kupitia maombi haya nimefunguliwa ,
sitocheleweshwa tena Jina na nafsi yangu vi huru sasa, amen,
❤❤❤NAKUPENDA SANA MUNGU, YESU KRISTO ,KWA DAMU YAKO NI HURU SASA AMEN
AMEEN AMEEEEEEEN, Ni kweli kabisa baba BWANA YESU KRISTO Akubariki sana
Barikiwa mtumishi wa Mungu, naifurahia huduma Yako, Bwana akuinue zaidi
Amina naomba MUNGU WANGU, nikitane na mjibu yangu, na Nisicheleweshwe tena amen
Amina. Mungu nirejeshe vyote nilibadilishiwa,maisha yangu
Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu nakataa kubadilishiwa matokeo yangu Kwa Jina la yesu Kristo Kwa imani napokea majibu yaliyo sahihi kuanzia siku ya leo amen🙏
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa Maombi haye
Amen.mtumishi wa Mungu.napokeya katika jina la yesu kristo
Amen mtumish wa mungu nakataaa kibadilishiwa matokeoo naiman napokea majibu yaliyo sahihi Kwa Iman napokea napokea katk jina la yesu
Ameen mtumishi kweli kabisa naishi kinyume na matokeo Mungu aniponye nipate matokeo yangu halisi
Amen asnte sana mtumishi wa Mungu barikiwa
Amina mtumishi wa mungu kwa maombi mazuri mahali umepuguza mungu akujazie abariki
Amina asanteee mungu🤲🙏nilidishiee nyota yangu mungu ameeniii🤲😥😥
Amen napokea kufunguliwa kwa jina la yesu kristo
Amen,leo nikutane na majibu yangu kwa.jina la yesu
Balikiwa sana mtumishi ,kupitia maombi haya naomba kibali kwa kila eneo ktk maisha yangu
❤❤❤❤ ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sana mutumishi wa Mungu
Kataa roho mbaya za kukataliwa kutokuwa na kibari navunja maagano hayo nakataa kwa damu ya yesu kristo Amen 🙏
Nakataa katika jana la Yesu kristo . Mm nilibadilishiwa maisha yangu kwa ujumla ,kwasababu nmeishi maisha magumu sana ambayo mm mwenyewe ckutarajia yatakuwa hivo
Amina napokea vyangu vyote vinarejeshwa kwa jina la Yesu Kristo
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Nabarikiwa cna na Aya maombi🙏🙏
Amen napokea kwa jina la yesu
Amen, nashukuru Mungu amenifungua
Ameen nakataa roho ya kukataliwa na ndugu wote
Mungu nisaidie katika jina la yesu kristor ameeeeeen
mungu nirejeshee matokeo kwangu
Ubarikiwe mtumishi
Amen mtumishi wa mungu
Amene na Mimi mungu afunguwe watoto wangu
Nimefunguka na kupata kibali,Amen
Amin 🙏
Hakika MUNGU akubariki sana mtumishi
Kataa katika Jina la Yesu kristo,Ameeen
Amina nakataa na kujivua roho za kuibiwa pia narejesha ushindi ndani yangu
Nina komboa maisha yangu kwa jina la yesu na damu ya yesu
Nakataa roho ya kukataliwa kwa jina la yesu Christo Alie hai 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen nimeona kichefuchefu
Mungu nami nisaidie niwe na iman
Amen and Amen 🙏 🙌
Amen napokea
Mungu naomb unirejeshee matokeo yangu yaliyo badilishwa
Ameni mtumishi
Amen 🙏🙏
Kwakweli umeniona Mimi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu atusamee thambi zetu
Nakataa kwa jina la Yesu.
Amen , 🙏🙏🙏
Emeeen kwa jina la yesu
Maombi yangu nimefikiwa 🤲
Mimi nzeyimana Agnès nakataa kubalishiwa mamo yangu katika jina la yesu
Amina
Amen i believe
Ee Yesu nirudishie nilivyoibiwa
Amen
Nakataa roho Ya kubatirisha matokeho Yaku Kwa jina la Yesu Kristo wanasareti
Restoration in the mighty name of jesus
Amina Babaangu tufungue jamani!!!
Amen in jesus name
Aminaa
Nimefunguliwa saaaana
Ubarikiwe mutumishi kwa maubiri ya leo
Nakataa kubadilishiwa vilivyo vya kwangu kwa jina la Yesu
Amen mtumish napokea kwajina la yesu
Nakataha roho ya kukataliwa kwa Jina la Yesu
Nimebadilishiwa mara nyingi mno. Ee Mungu nifungue
Nakataa kwa Jina la Yesu
Chochote ambacho kimesimama katika maisha yangu leo kinakuwa hai na kinainuka kwa jin
Nakataa kucheleweshewa mshahra in the name of Jesus
Nahitaji kufunguliwa maisha yangu
Nakataa roho ya kukataliwa kwa jina la yesu
Kuanzia Leo sitabadilishiwa maisha angu
Nafunguka kupitia apa siku ya tatu leo naamini Mungu atazidi kutenda
Napokea ktk jin la yesu msjibu y ajira n mimi jina liludi nipate kaz n sio kijijini mjiji
🙏🙏
Naamini matokeo yangu ya intaview yanaenda kuwa vizuri napata ajira mwaka huu
Nikiwa Omani nimepokea ufungulivu mkubwa Sana napokea Kwa yote adui alio chukua arudishe Kwa jina la YESU
Namimi naitaji maombi
Kuanzia leo sitabadilishiwa matokeo kaz fursa n mahusiano umiliki wa pesa n matumizi
Yaan mchungaji naona kama umeniona jamani naomba uniombee
nakataa kubadirishiwa matokeo kazi wanapanda nilio wasainia barua za Ajira mimi sipandi nimegundua napinga sasa kubaditishiwa matokeo
Wakati unaomba machozi yalikuwa yananitoka
Nimehisi uponyaji nahisi nimefunguliwa asante
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Kataa katika Jina la Yesu kristo,Ameeen
Naamini kwa jina la yesu kristo
Amen
Aminaaa
Amen
Amen