Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu nakataa kubadilishiwa matokeo yangu Kwa Jina la yesu Kristo Kwa imani napokea majibu yaliyo sahihi kuanzia siku ya leo amen🙏
Nakataa katika jana la Yesu kristo . Mm nilibadilishiwa maisha yangu kwa ujumla ,kwasababu nmeishi maisha magumu sana ambayo mm mwenyewe ckutarajia yatakuwa hivo
Amen.mtumishi wa Mungu.napokeya katika jina la yesu kristo
AMEEN AMEEEEEEEN, Ni kweli kabisa baba BWANA YESU KRISTO Akubariki sana
Barikiwa mtumishi wa Mungu, naifurahia huduma Yako, Bwana akuinue zaidi
Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu nakataa kubadilishiwa matokeo yangu Kwa Jina la yesu Kristo Kwa imani napokea majibu yaliyo sahihi kuanzia siku ya leo amen🙏
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa Maombi haye
Amina. Mungu nirejeshe vyote nilibadilishiwa,maisha yangu
Amen mtumish wa mungu nakataaa kibadilishiwa matokeoo naiman napokea majibu yaliyo sahihi Kwa Iman napokea napokea katk jina la yesu
Ameen mtumishi kweli kabisa naishi kinyume na matokeo Mungu aniponye nipate matokeo yangu halisi
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi wa mungu kwa maombi mazuri mahali umepuguza mungu akujazie abariki
Mungu nisaidie katika jina la yesu kristor ameeeeeen
Amen, nashukuru Mungu amenifungua
Amen mtumishi wa mungu
Amen napokea kwa jina la yesu
Amina asanteee mungu🤲🙏nilidishiee nyota yangu mungu ameeniii🤲😥😥
Amina napokea vyangu vyote vinarejeshwa kwa jina la Yesu Kristo
Nabarikiwa cna na Aya maombi🙏🙏
Amin 🙏
Balikiwa sana mtumishi ,kupitia maombi haya naomba kibali kwa kila eneo ktk maisha yangu
Mungu atusamee thambi zetu
❤❤❤❤ ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sana mutumishi wa Mungu
Amen napokea
Ameen nakataa roho ya kukataliwa na ndugu wote
Ameni mtumishi
Kataa roho mbaya za kukataliwa kutokuwa na kibari navunja maagano hayo nakataa kwa damu ya yesu kristo Amen 🙏
Nakataa katika jana la Yesu kristo . Mm nilibadilishiwa maisha yangu kwa ujumla ,kwasababu nmeishi maisha magumu sana ambayo mm mwenyewe ckutarajia yatakuwa hivo
Nimefunguka na kupata kibali,Amen
Amene na Mimi mungu afunguwe watoto wangu
Hakika MUNGU akubariki sana mtumishi
Amina
Kataa katika Jina la Yesu kristo,Ameeen
Amina nakataa na kujivua roho za kuibiwa pia narejesha ushindi ndani yangu
Amen i believe
Amen 🙏🙏
Amen and Amen 🙏 🙌
Mungu nami nisaidie niwe na iman
Emeeen kwa jina la yesu
Amen
Naamini kwa jina la yesu kristo
Aminaa
amen..amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen , 🙏🙏🙏
Nina komboa maisha yangu kwa jina la yesu na damu ya yesu
Nimefunguliwa saaaana
Amen in jesus name
Ee Yesu nirudishie nilivyoibiwa
Mimi nzeyimana Agnès nakataa kubalishiwa mamo yangu katika jina la yesu
Amen mtumish napokea kwajina la yesu
Ubarikiwe mutumishi kwa maubiri ya leo
Amina Babaangu tufungue jamani!!!
Nakataa roho ya kukataliwa kwa jina la yesu Christo Alie hai 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nakataa kwa Jina la Yesu
🙏🙏
Nakataa kubadilishiwa vilivyo vya kwangu kwa jina la Yesu
Nimebadilishiwa mara nyingi mno. Ee Mungu nifungue
Nakataa roho Ya kubatirisha matokeho Yaku Kwa jina la Yesu Kristo wanasareti
Nakataha roho ya kukataliwa kwa Jina la Yesu
Nakataa kucheleweshewa mshahra in the name of Jesus
Nahitaji kufunguliwa maisha yangu
Kuanzia Leo sitabadilishiwa maisha angu
Naamini matokeo yangu ya intaview yanaenda kuwa vizuri napata ajira mwaka huu
Napokea ktk jin la yesu msjibu y ajira n mimi jina liludi nipate kaz n sio kijijini mjiji
Nikiwa Omani nimepokea ufungulivu mkubwa Sana napokea Kwa yote adui alio chukua arudishe Kwa jina la YESU
Kuanzia leo sitabadilishiwa matokeo kaz fursa n mahusiano umiliki wa pesa n matumizi
Yaan mchungaji naona kama umeniona jamani naomba uniombee
Wakati unaomba machozi yalikuwa yananitoka
Nimehisi uponyaji nahisi nimefunguliwa asante
nakataa kubadirishiwa matokeo kazi wanapanda nilio wasainia barua za Ajira mimi sipandi nimegundua napinga sasa kubaditishiwa matokeo
Kataa katika Jina la Yesu kristo,Ameeen
Amen
Aminaaa
Nakataa kwa jina la Yesu.
Amen