CHID BENZ : SIJAONA HIYO VIDEO, MANARA HAJAKOSEA, PROFESSOR JAY NIMEMUACHISHA POMBE MIMI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ธ.ค. 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 25

  • @GwankoTv
    @GwankoTv 6 หลายเดือนก่อน +2

    CHID NI GENIUS,WATU WANAMCHUKULIA POA.

  • @okangakelvin2216
    @okangakelvin2216 6 หลายเดือนก่อน +2

    Miwani mpya kweli yaani hadi tag bado ipo....nakupenda Chid❤ utainuka tu

  • @hassanyunus4634
    @hassanyunus4634 6 หลายเดือนก่อน +1

    First to comment, chidy uko vizuri, nakutafuta Kwa TH-cam sikuoni, jaribu uingize nyimbo zako TH-cam Ili tukuone..

  • @user-lg3ru3vd2g
    @user-lg3ru3vd2g 6 หลายเดือนก่อน

    Msera all good. Angalau umeua issue ya gigi moneey. Happy New year more blessing

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 6 หลายเดือนก่อน

    Mpitie na kwangu wapenzi ❤

  • @HamisindeeLeembo-xp7iz
    @HamisindeeLeembo-xp7iz 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli camera maan kazingua ameleta fezea sema kaka mkubwa umemchana safi sana chumaa

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 6 หลายเดือนก่อน +1

    Chidi hatabiriki maana kila mazingira yupo kwa haiba yake, na hivyo wengi kumchukulia visivyo

  • @dieudonnemirindi8111
    @dieudonnemirindi8111 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona yuko Sawa tu uyu jama sioni tatizo lake kwa sasa

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hawamjui ndmn wanapata shida

    • @mvungigaming
      @mvungigaming 6 หลายเดือนก่อน +1

      Chid anakuja jinsi ww ulivyomjia ukimjia kichizichiz na yeye akuwa hivyo hivyo.

    • @jimmyhabarugira4232
      @jimmyhabarugira4232 6 หลายเดือนก่อน +1

      Subirini nguvu ya methadone iishe

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 6 หลายเดือนก่อน

    Mabu fanya kazi piga miba watu wanafarakana mungu anawaona.nyimbo zake zoote zinahit kama yeye hajui namna yakuweka nyimbo zake yutub msaidieni nayeye apate maokoto yake.nawale alio fanya nao kolabo hizo nyimbo wamlipe na sio kufanyia figisu.jasho ya mtu ukidhukum ipo siku utailipa.wapo watu wakifanyiwa figisu figisu anaingia ktk ulev.anaona atapata faraja kumbe ndio anaangamia.maadui za wakio kua wanamchukia ndio wanafurahi.mana jamaa anatalent sijaona anakwamishwa tu chid ili wampiteze kimziki.mungu amvue mabalaa yote hasada na sikhiri zote mungu amuondoshee.nanyie wadau msisikilize maneno ya watu msaidieni.na ninamuomba daimond amrudishe kaka yake alipo kosea kama nikweli chid alikosea ni kaka yake daimond chid ni kakiyo msamehe ulipley part yako daimond na chid akawa nafaraja kubwa basi usimtrnge mungu atakulipa mrudishe uhusiano mzuri na kaka yako.

  • @mussacharlesSongo-or4wn
    @mussacharlesSongo-or4wn 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu bloo no kichwa saana ila bastu huyu cameraman hakili hana ila chidi kamsanua kinoma

  • @wafiq4
    @wafiq4 6 หลายเดือนก่อน

    Msenge sanaaa Mr zuchu ... ile tunaishi nao amekudhulumu chumaaa yeee ngoma yake ungetia vokoo wangekufunga lkn yakwako suprise ushwaaaaaani tu .... niko na ghadhabu sanaaa .. 🐵

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 6 หลายเดือนก่อน

    Child Kuna mambo anayo kutana nayo anayaona kabisa hii sio sawa anapotezea lakini anaumia kwandani.hakuna anaweza kuyaona anayo yaona.ila anamshikiru mungu matokeo yake.kwakua watu baadhi Yao hawayaoni anayo fanyiwa child.wao wanamlaumu tu.haitamsaidia kumlaamu.hay daimondi alimchukua kampambania matokeo yake sijui nifitn au ni mina baby fanya kazi.matokeo daimondi na child wamefarakana child atajisikiaje

  • @aboudiga6381
    @aboudiga6381 6 หลายเดือนก่อน +1

    Simuelewi kabisa

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 6 หลายเดือนก่อน

    Camera man umezingua😂

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 6 หลายเดือนก่อน

    Energy hiyo akishavutan ila baadae tukaona matokeo yake,,,ata Maradona nae alikuwa hivyo ana snif kimya kimya ,,,pamoja na Talent yake lakini coccaine ilikuwa inamsaidia kuwa na energy pia

  • @shamtesefu5040
    @shamtesefu5040 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona chidi uyu na yule tofauti wakati ata mwezi bado

  • @user-fe3ff8kb8q
    @user-fe3ff8kb8q 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka njoo Kenya rehab awakupendi ao. we dorecovary njoo usipoteze time ww ndugu yangu waki Islam changamka haya maisha tu. after rehab tunakupa kazi

  • @mussajeremia9072
    @mussajeremia9072 6 หลายเดือนก่อน

    Kameza dawa😂😂

  • @allanndoro1051
    @allanndoro1051 6 หลายเดือนก่อน

    uyu jamaa ukimchukulia teja anakupa za kiteja ukimchukulia poa nae ako poa,so kumuelewa yategemea approach yako
    ila nakubali kama ashawahi haribika kwa madawa

  • @ismailisuleimani6183
    @ismailisuleimani6183 6 หลายเดือนก่อน

    Chid ukitenda wema nenda zko ndg yngu usingoje shukran ndg yngu

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 6 หลายเดือนก่อน

    Kaamua kukoga

  • @hpoo5369
    @hpoo5369 6 หลายเดือนก่อน

    th-cam.com/video/j6np9dSkEVg/w-d-xo.htmlsi=zB0Qum7XNF-VzEuF usikili utan hii balah