CHIDI BENZ amnyea DIAMOND unaroho mbaya sana ,unaharibu maisha ya watu, HARMONIZE ndio msanii mkubwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.พ. 2024

ความคิดเห็น • 101

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 4 หลายเดือนก่อน +5

    Na nyie bila kumtaja vibaya Mondi hamuuzi! Mwacheni mtoto wa watu afurahie mafanikio yake!❤❤❤

    • @henrychiriba9354
      @henrychiriba9354 4 หลายเดือนก่อน

      We nawe uko na ujinga kwani unadhani watu wakaiongea kuhusu diamond ndio wanapata chati si hao wenyewe wanajua wanchosema

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 4 หลายเดือนก่อน

      @@henrychiriba9354 nadhani wewe ni mjinga zaidi! Sasa makasiriko ya nini??

    • @robertktembah3090
      @robertktembah3090 2 หลายเดือนก่อน

      Ndug yako nini

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 4 หลายเดือนก่อน +6

    CHIDI ACHA KUPAYUKA, WE ULIKUWA MKUBWA TENA KUZIDI....USHAMBA WAKO NDO ULOKUFANYA UKAIGE WAMAREKANI...TULIA WENZIO WALIKIAMINI WALICHOKIFANYA,,,UMEFANYA NA WASANII KIBAO,,ILA WE KILA SIKU,,DAI DAI..AH KHH.

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML 4 หลายเดือนก่อน +13

    Sikia chid,siyo tu kilasiku diamond bali jiulize ww je muda wako wew aliuchezea nani?😂😂

    • @andrewmmassy5204
      @andrewmmassy5204 4 หลายเดือนก่อน +5

      Jamaa Fulani ivi anaitwa "dawa ya kulevya" alitumia muda wake.

    • @WaziriRamadhan-ML
      @WaziriRamadhan-ML 4 หลายเดือนก่อน +3

      @@andrewmmassy5204 ah kbs😅😅

    • @fatumajeneby5449
      @fatumajeneby5449 4 หลายเดือนก่อน

      TUSI-RUDISHENI- YALIYOPITA TUJENGENI YAJAYO YAKISHA MWAGIKA 😂HAYAZOLEKI 😂MSI-MTONESHE KIDONDA🙏

    • @savageemperor2569
      @savageemperor2569 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@fatumajeneby5449😅😅😅Mbona yeye anachokoza wengine

    • @318stars6
      @318stars6 4 หลายเดือนก่อน

      chid anajulikana Africa nzima,wewe unajulikana wapi?Bado yuko hai mungu ndio huleta baraka

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r 2 หลายเดือนก่อน

    Nakukubari sana broo

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 4 หลายเดือนก่อน +8

    kakojoe ulala umeshakwisha habarinyako tuachie diamond wetu shwain

  • @deogratiusnjau1744
    @deogratiusnjau1744 4 หลายเดือนก่อน +8

    Uchezee maisha halafu uje kulaumu watu.

    • @fikirimbugani956
      @fikirimbugani956 4 หลายเดือนก่อน

      We unayajua maisha ni nn

    • @deogratiusnjau1744
      @deogratiusnjau1744 4 หลายเดือนก่อน

      Ukikua utayajua. Endelea kula raha kwa wazazi wako

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 หลายเดือนก่อน

    Ila chidy umenenepa now❤

  • @user-od7os6gg7n
    @user-od7os6gg7n 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kila siku Mond....bro vp kwani.....maisha ni kujitambua ww hukujitambua zimebaki ngonjera ....hata ww Kuna watu walikusaidia lakin hawalii kiiivyo!

  • @shabzismail2747
    @shabzismail2747 4 หลายเดือนก่อน

    Level za chidi ni kina roma ...bora uendelee kuvuta unga braza chidi...

  • @Marjeby
    @Marjeby 4 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu anavua nguo ndani ya mwaka huu

    • @serndaynjumbo6912
      @serndaynjumbo6912 4 หลายเดือนก่อน

      hujielew hujakamilika jamaang

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 4 หลายเดือนก่อน +9

    Kila siku Diamond Diamond, kama hutaki kitu kutoka kwake siuache kumuongelea basi

    • @user-vm4zq7kf4e
      @user-vm4zq7kf4e 4 หลายเดือนก่อน

      Shida sio yeye waandishi wanamuulizia sana kuhusu mond

    • @sylvestermatinde1005
      @sylvestermatinde1005 4 หลายเดือนก่อน

      Acheni nyinyi Jamaa anasema FACT In Bongo Fleva King Of Hip hop.

    • @serndaynjumbo6912
      @serndaynjumbo6912 4 หลายเดือนก่อน

      tatizo hujui huyo mondi kaenda kurekod wimbo wa chidi na umekuf kaupoteza kimfia achen kushabikia ujinga

    • @johnwolf2449
      @johnwolf2449 4 หลายเดือนก่อน

      Ww nn mbn una mtetea mond mme wako au

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 4 หลายเดือนก่อน +5

    huyu unga ndio shida

  • @user-br6pb6ru2s
    @user-br6pb6ru2s 4 หลายเดือนก่อน +1

    4:50

  • @Obertan_coolkid-04_
    @Obertan_coolkid-04_ 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waaandishi huwa wanamaswali ya kichonganishi sana

  • @Daniel_kimambo
    @Daniel_kimambo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndio mwamba

  • @user-kc9yp1dd5e
    @user-kc9yp1dd5e 2 หลายเดือนก่อน

    Weak people talk of others...He should maintain and work on himself.

  • @user-bm7xv3dy5n
    @user-bm7xv3dy5n 3 หลายเดือนก่อน

    Njaah najuwa kali bongo lazma awewakuoayuka😂

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli bange sio powa

  • @dogogazadogogaza111
    @dogogazadogogaza111 3 หลายเดือนก่อน

    we ulikula vitu zako sana kua mpole

  • @kobefiredady
    @kobefiredady 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hahah we uta Dead

  • @kondeboyke7512
    @kondeboyke7512 4 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond ni jina kubwa braza haulijui njoo kenya uone level yako ni kina nani chidi,humfiki hata simple boy😂

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hapo ndio ulisema humuongelei 😂

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mondi ndio aliyekulisha ngada? Pambana na hali yako Acha kulaumu wenzio! Ukichimba shimo ujue utatumbukia mwenyewe!😂😂

  • @user-bp3vz2xo7h
    @user-bp3vz2xo7h 3 หลายเดือนก่อน

    Yeah

  • @salimhussein5708
    @salimhussein5708 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wa kwanza naombeni likes zenu

  • @sniperboi257
    @sniperboi257 4 หลายเดือนก่อน

    Tittle iyo iyo ameomba msiandike mabaya The same People Mnaandika eti Kany*ea!! duh This world jamani. Anyway King ChidiBenz May Allah Bless you yOur Love For The culture is Priceless.

    • @user-ck9ji3lt4q
      @user-ck9ji3lt4q 4 หลายเดือนก่อน

      Eti mwng hadi imeniuma

  • @user-me9vw8jc4e
    @user-me9vw8jc4e 2 หลายเดือนก่อน

    Du noma

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 4 หลายเดือนก่อน

    We ulishafeli mwenyewe daimond hana uwezo wa kukubeba misaada kibao unanunulia madawa then ukishika maik Diamond 😮

  • @halfanijuma7646
    @halfanijuma7646 4 หลายเดือนก่อน

    Chidi endelea kufuta dona😂, maana kila siku Yeye tu

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 3 หลายเดือนก่อน +1

    Me naacha bangi leo km bangi inakufanya unakuwa hivi😂

    • @joshuason557
      @joshuason557 2 หลายเดือนก่อน

      Shida yake hatowe mbegu 😂😂😂😂

  • @user-br6pb6ru2s
    @user-br6pb6ru2s 4 หลายเดือนก่อน

    Diamond ni jini kaka Acha kupayuka fanya kazi wajina

  • @MovieNzuri
    @MovieNzuri 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 huyu jamaa ameshakuwa kichaa

  • @user-ck9ji3lt4q
    @user-ck9ji3lt4q 4 หลายเดือนก่อน +1

    He literally said “msitumie title mbaya kwenye hii video” na hicho ndio mmefanya sio frsh mnamfanya chidibenz aonekane miyayusho wkt kaongea tu kawaida

  • @JosephKiratu
    @JosephKiratu 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu msanii ako tu sawa wacheni wivu

  • @collinskwanga5147
    @collinskwanga5147 4 หลายเดือนก่อน

    Chidi atabaki kua juuuuuuu

  • @franklinmganga736
    @franklinmganga736 4 หลายเดือนก่อน

    Kichwa cha habari sio sahihi

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 3 หลายเดือนก่อน

    Hii bangi aliovuta hajatoa matetere. Shida ndo ipo hapo..
    .TOA MATETERE CHDI

  • @msafiriives6244
    @msafiriives6244 3 หลายเดือนก่อน

    Chidi benz wacha bangi nyingi na dawa za kurevya wewe enzi zenu kwisha kitambo diamond msani mkubwa duniani wew wakati wenu nakumbuka mziki wenu umeisha kenya na Uganda Burundi Rwanda simba wacha nayeye ako juu nyota iko juu😂

  • @WembaNdio-rs6zj
    @WembaNdio-rs6zj 4 หลายเดือนก่อน

    Rashidi

  • @vardanmsigwa8595
    @vardanmsigwa8595 4 หลายเดือนก่อน

    Yr time is off his time is nw

  • @sylvestermatinde1005
    @sylvestermatinde1005 4 หลายเดือนก่อน

    Namwitaga Tupac wa Bongo. GENIUS#

  • @shabzismail2747
    @shabzismail2747 4 หลายเดือนก่อน

    Diamond alimuona hana uwezo...chidi atakula mdomo wake

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂ched jaman

  • @Mr.wao8111
    @Mr.wao8111 3 หลายเดือนก่อน

    KWANI CHIDI KATOBOA PUA

  • @savageemperor2569
    @savageemperor2569 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani kila takataka anataka kusikika mjini kupitia Diamond😂

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe kuma endelea kuvuta unga na donda lako muda wako hukutumia vizuri wenzako walisoma toka kwako wamewekeza endelea na uchizi wako

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 4 หลายเดือนก่อน

    Sijuwi kwanini kwa chid mumeona maneno ya upuuzi tu ila katika maneno yake 10 kulikuwemo maneno 8 ya busara

    • @saidirakozi1809
      @saidirakozi1809 4 หลายเดือนก่อน

      Uswahilin ukiwa huna pesa wanakuona mjinga..thamani ya mtu iko mfukoni

  • @user-xg7nm5lc7d
    @user-xg7nm5lc7d 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani huyu jamaa kunamuda sasa anazingua, yeye kilasiku akiulizwa ana diss sasa kweli hata huyomtu atakua na moyo wa kumsaidia

  • @user-vm7bk3xr1z
    @user-vm7bk3xr1z 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiingia TH-cam diamond kajaa aisee mpunguzeni..mtu anaweza sema ata ni sheetani au mfalme..

  • @zahir374
    @zahir374 3 หลายเดือนก่อน

    Hili teja tumelichoka

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 4 หลายเดือนก่อน +5

    Tafuta hela,

  • @Mbingu77
    @Mbingu77 4 หลายเดือนก่อน

    😂 hyu cheka tu wamchukue

  • @kilimanbaboss8597
    @kilimanbaboss8597 4 หลายเดือนก่อน

    Kumamayake dangote

  • @user-oi3by7zo2i
    @user-oi3by7zo2i 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe mudawako Nani alikuoba ulichezea muda wako

  • @MrEricdraco
    @MrEricdraco 3 หลายเดือนก่อน

    Body language ya huyu msee inakaa aje?
    😑😑😑

  • @GaramaSheni
    @GaramaSheni 2 หลายเดือนก่อน

    Philosophy....😂

  • @Pbozztheartist
    @Pbozztheartist 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @MasterJay-vr6dc
    @MasterJay-vr6dc 4 หลายเดือนก่อน

    huyu mtu kila siku malalamiko,hata apewe support ya vp bdo anamlaumu mondi...achana na madawa uwe msafi

  • @Justin3Joseph-uq3tf
    @Justin3Joseph-uq3tf 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka fanya kazi bahn acha maneno

  • @user-ht6wt6kt5f
    @user-ht6wt6kt5f 4 หลายเดือนก่อน

    Sio kwamba hakuoni sema mtasema nn saiv bro

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 4 หลายเดือนก่อน

    Kujugu siyo jambo geni kulaumu binadamu wengine kwa kuharibu maisha yao wenyewe

  • @user-kd9fh3fh1b
    @user-kd9fh3fh1b 4 หลายเดือนก่อน

    Uyo kajitomba kauvuta unga anaanza kumchukia mondi atoe mkundu ampe mondi aone kama ata kuwa kama zuchu😅😅😅😅😅

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi 4 หลายเดือนก่อน

    Nakubali chid

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน +1

      @VitusEmmanuel-pe3yi huyu unae mkubali tuambie mda wake aliutumia vipi? kipaji chake kilimunufaisha nini ? Faida ya kazi zake iko wapi tuambie

  • @Odegwa-ke254
    @Odegwa-ke254 3 หลายเดือนก่อน

    Babu acha sifa wewe umeishiwa

  • @denyo_rasmi
    @denyo_rasmi 4 หลายเดือนก่อน

    Achana nao, wewe huitaji kuomba mtu akupost, usiwape nafasi yakuongea. Chidi kila unachokifanya ni HABARI hilo ulijue kabisa, hata ukianzisha Podcast utasumbua sana. Achana nao hao ukiwatajataja wanakiuta ombaomba. Fanya yako

  • @geoffreymandela6096
    @geoffreymandela6096 3 หลายเดือนก่อน

    Poleni majamaa ,but Uyu ni Nani.

  • @mrrajjy
    @mrrajjy 4 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond sio msanii mkubwa imeishaiyoo kondeboy ndo msanii mkubwa kwasasa

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน +1

      @mrrajjy: kapuku huyo Harmonize

    • @King66204
      @King66204 4 หลายเดือนก่อน +3

      Msanii mkubwa amuomba msanii mdogo wamalize bifu tokea hit ya kwangwalu kuna nyimbo yake hipi imefika mbali bila huyu mtu mziki hakuna TZ kijana achana na mashamba wa Tandahimba

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน

      @@King66204 yaani huwa nashangaa wanaojiita wasanii wakubwa tz na kuponda Diamond japo kuwa Diamond anawazidi kila kitu unajiuliza wanafaidika nini na usanii wao ukibwa nakosa jibu,

    • @savageemperor2569
      @savageemperor2569 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ukubwa hauforciwi ndio maana kila takataka nataka kumuongelea huyo msanii..Msanii mkubwa lazima uwe tisho hadi wanakuongelea kila siku sasa wewe huyo unaemuita mkubwa nae lazima apite na upepo wa platnumz ndio watu wajue uwepo wake mara nyingi pia anamdiss huyo unaemdogosha ili apate kusikika mjini

    • @williamkeita1519
      @williamkeita1519 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mkubwa huko tandahimba but tz mond,kiba

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 4 หลายเดือนก่อน

    Chid umeongea point brother mondi anapoteza wasanii wenzake 😂

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน +1

      @tomsijohni Diamond mmoja ana poteza aje walio wengi nao wampoteze chidi simunamona anajuwa basi achukuwe nafasi ya Diamond aache kupiga kelele

    • @tomsijohni
      @tomsijohni 4 หลายเดือนก่อน

      Shida yako ni moja uko na utimu ila auna ukweli wa Music