HAFLA YA UAPISHO NA KUPOKEA MRABAHA KUTOKA AIRTEL IKULU DSM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 มิ.ย. 2019
- Ikulu, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Juni, 2019 awaapisha viongozi wafuatao aliowateua hivi karibuni -
1.Mhe. Innocent Lugha Bashungwa(Mb) kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara
2.Bw. Charles Edward Kichere kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe
3.Bw. Edwin Mhede Kuwa Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Aidha Mhe. Rais Dkt. Magufuli anashuhudia kuanza kupokelewa kwa Fidia za kila mwezi kutoka katika Kampuni ya Bharti Airtel na kupokea Mchango Binafsi wa Mwenyekiti wa Bharti Airtel Bw. Sunil Mittal kwaajili ya Ujenzi wa Hospital ya Uhuru Ihumwa Jijini Dodoma
Amen Amen. Mungu wa Mbingu na Nchi awabariki nyote na kuwapa hekima yake.Amen.
MUNGU AWABARIKI SANA
Huyu prof kabudi anajua sanaaa kuzungumza kwenye public na nimpiga kazi sanaaa
Nampenda sana ananifanya nisome mpk professa huenda hii hekima inatoka huko
Kabisaaaaa
Saidi Issa Huyu ndio tunamuombea baada ya J.P.M aje ikulu yeye tufanye kazi
Viongozi wetu viongozi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi
Asante san mwenyez MUNGU kwa muongozo mwema kwa raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Mema yako ndugu John Pombe Magufuli,Mungu atakulipa mbinguni,hapa duniani historia itakukumbuka milele.
Awamu ya 5 oyeee
boss TRA mpaka katibu tawala kweli watu wafanye kaz wache mzaha
Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba endelea kuwaongoza kuwasimamia kuwarinda na kuzidi kuziimalisha afya zao viongozi wetu wote ewe mwenyez MUNGU mkuu
Fanya kazi kabsaa na huku Bujumbura tunajifunz kutok kwenu
Nice bro
Kuna nchi zina bahati, Tanzania ni miongoni mwa hizo nchi. Muhimu tulitambue hili mapema
Very true
Inabidi ufike kipindi tanzanians tuelewe this president is God sent 19 years an investor runs freely and says he is not earing profit in a country with a population of 55m while almost 5m using cellphones kweliiiii aisee these are the things we studied in exploitation
Mhe Rais wetu tunakupongeza sana kwa kuinua Taifa letu Tz
Pesa zetu za korosho
😂😂😂😂😂
Ndo unadai humu ndo kweny ofisi??
Mwambie mama yako kwani wewe ndie unaeambia au nyege
@@makiadiongala5345 unamimba au unataka kudhaa Mana ujambiwa ww
@@bakarimwamsho7090 kwani ukijibu bila lugha ya kuudhi utapungukiwa nini???
profesa kabudi kwa kujikosha ujambo
hakika hii ni serikali!!!!!!!!.............kanani ile pale tu si mbali