YANGA IKULU: Hotuba kamili ya Rais Samia akiwapongeza Yanga kwa kufika fainali ya CAF CC

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na Yanga katika chakula cha jioni Ikulu Dar es Salaam, lengo likiwa ni kuwapongeza kwa kucheza fainali ya #CAFConfederationCup
    Katika hotuba yake, Rais Samia amejibu maombi ya Yanga kuhusu ardhi, ameitaka Yanga kumalizana na Feisal Salum Feitoto, amewataka Simba na Yanga kuwa kitu kimoja katika suala la Kimataifa, amefichua jambo kuhus Wallace Karia akisema "...ni Simba", ameweka wazi mipango ya serikali kuhusu michezo, na mengine mengi...

ความคิดเห็น • 21

  • @ErnestaKimati-hu3cl
    @ErnestaKimati-hu3cl 10 หลายเดือนก่อน

    My team yanga

  • @AdinanKatunzi
    @AdinanKatunzi ปีที่แล้ว

    Asante mama Kwa jambo hili jema umeonesha mshikamano

  • @suleimanchonya7736
    @suleimanchonya7736 ปีที่แล้ว

    Shukrani sana mama kwa kuhamasisha michezo

  • @merryrichie9608
    @merryrichie9608 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akipanga lake hakuna wakuzuia, well done Young African bakari Leo amekaa meza n pawakuu wa nchi💚💛

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mh; Rais KAZI Yako ni njema sana

  • @mpangaladickson6837
    @mpangaladickson6837 ปีที่แล้ว

    Hongera sana ynga.

  • @tausiferuzi9098
    @tausiferuzi9098 ปีที่แล้ว

    Asanteeeeeeeeeeeee😘😘😘😘😘

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 ปีที่แล้ว +1

    Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💛💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

  • @kiulazepha6041
    @kiulazepha6041 ปีที่แล้ว

    Wananchii tumenyooka mbele kwa mbelee iyoo💚💛

  • @mwajumarajabu7666
    @mwajumarajabu7666 ปีที่แล้ว

    Safi mama itapendeza kuwe na jez zautaifa sio za timu Ili kuitangaza Nchi yetu vema

  • @MorobiMasai
    @MorobiMasai ปีที่แล้ว

    ❤❤❤

  • @mundhir853
    @mundhir853 ปีที่แล้ว

    Asnte mama

  • @BarakaJoseph-gp4dg
    @BarakaJoseph-gp4dg ปีที่แล้ว

    Kwakweli yanga imekuwa tishio kubwa africa

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 ปีที่แล้ว

    Mama oyee

  • @official_thedon
    @official_thedon ปีที่แล้ว +3

    Wananchi hatuna ubabaifu

    • @allawiallihongeraruto2640
      @allawiallihongeraruto2640 ปีที่แล้ว

      Simba pia walistahili wapate hata chai ya Asubuhi kwani kazi, hali na moyo wa kujitoa kitaifa wameonyesha

  • @Hamisi-dc2nx
    @Hamisi-dc2nx ปีที่แล้ว

    Rais Samia kweli wewe ni mlezi wa Wananchi

  • @yazidu_tz
    @yazidu_tz ปีที่แล้ว

    sisi hao hatuna mbambambaaa

  • @omarmullah8989
    @omarmullah8989 ปีที่แล้ว

    Awabinyi Kodi yeye na wenzie wepi

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 ปีที่แล้ว

    Kama namuona mzee wa ugali sukari inavyomuuma