YANGA IKULU: Hotuba kamili ya Rais Samia akiwapongeza Yanga kwa kufika fainali ya CAF CC
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na Yanga katika chakula cha jioni Ikulu Dar es Salaam, lengo likiwa ni kuwapongeza kwa kucheza fainali ya #CAFConfederationCup
Katika hotuba yake, Rais Samia amejibu maombi ya Yanga kuhusu ardhi, ameitaka Yanga kumalizana na Feisal Salum Feitoto, amewataka Simba na Yanga kuwa kitu kimoja katika suala la Kimataifa, amefichua jambo kuhus Wallace Karia akisema "...ni Simba", ameweka wazi mipango ya serikali kuhusu michezo, na mengine mengi...
My team yanga
Asante mama Kwa jambo hili jema umeonesha mshikamano
Shukrani sana mama kwa kuhamasisha michezo
Mungu akipanga lake hakuna wakuzuia, well done Young African bakari Leo amekaa meza n pawakuu wa nchi💚💛
Hongera sana Mh; Rais KAZI Yako ni njema sana
Hongera sana ynga.
Asanteeeeeeeeeeeee😘😘😘😘😘
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💛💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Wananchii tumenyooka mbele kwa mbelee iyoo💚💛
Safi mama itapendeza kuwe na jez zautaifa sio za timu Ili kuitangaza Nchi yetu vema
❤❤❤
Asnte mama
Kwakweli yanga imekuwa tishio kubwa africa
Mama oyee
Wananchi hatuna ubabaifu
Simba pia walistahili wapate hata chai ya Asubuhi kwani kazi, hali na moyo wa kujitoa kitaifa wameonyesha
Rais Samia kweli wewe ni mlezi wa Wananchi
sisi hao hatuna mbambambaaa
Awabinyi Kodi yeye na wenzie wepi
Kama namuona mzee wa ugali sukari inavyomuuma