PROF KABUDI ATAJA VIFUNGU VYA BIBLIA AKIAPISHWA IKULU DODOMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ย. 2020
- Macho ya Watanzaia wengi siku ya leo yanaelekea jijini Dodoma kusikiliza kile kitakachojiri kwenye hafla ya uapisho wa Waziri Mkuu Mteule wa Tanzania Kassimu Majaliwa. Hafla hii iafanyika katika Ikulu ya Chamwino jijii Dodoma ambapo inatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali
Kumcha Mungu ndiyo siri ya MAARIFA na Hekima.
Hongera Prof. Palamagamba Kabudi
Kazi njema Prof
Hakka'' unayo hekima Mungu akutunze
Kabudi unatakiwa upewe nch tu hiyo nafasi bado haitoshi
Hekima ya juu sana
🙏🙏🙏
fact
nataman saana kuwa kama wewe kabudi ,
Kuna MTU amesikia kama mimi mheshimiwa mungu!
Biblia haihalalishi haramu ,haramu itabaki kiwa haramu na Mungu ATAIHARAMISHA.
Mzee wa biblia
!!!!!!!!!!!!!!!!!?!?!!!
Mungu azidi kukupa hekima