Hongereni sana Vijana wenzetu kwa kuaminika na kupata pongezi toka kwa Mh Rais. Vile vile Pongezi kwa Mh Rais kwa juhudi zake za kuhakikisha Rasilimali za watanzania hazichezewi
Aiseeeh kazi nzuri sana. Kwa Mara ya kwanza nasikia feedback za zoez la mwenge as Uhuru. JPM shikamoooo viva viva Mh kipenzi changu. Maagizo yametolewa shauri yenu watekelezaji msipo mzee wa majipu atafanya kazi yake. Mwenge Angaza angaza angaza mulika chafuu safi tuone.
Asante san raisi wetu kwa upendo mkuwa wa taifa retu la TANZANIA mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu na viyongoz wengen ote wanaomsaidia raisi wetu kuriongoza taifa retu
Mh RAIS hongera sana hakika wewe ndie RAIS ambae tulikua tunakusubir kwa miaka mingi wewe ni RAIS wawa nyonge unaejali wananchi wote shida za wananchi zitaisha iwapo viongozi wote ulowateuwa watakua tayar kufanya kazi M/mungu akujalie umri mrefu ilikulitumikia taifahili
Hongera sana watanzania endeleeni kujipanga kuboresha Nchi iliyo na utajiri mkubwa bila ya wananchi kufaidika kiufasaha kutokana na UFISADI. Wataalamu wamegunduwa kiinimacho DANGANYATOTO inayo danganya Taifa kuiba mali za uma washindwe wote wenye nia mbaya AMIN🙏🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
HONGERA SANA RAISI MAGUFULI. HAKIKISHA KABLA YA 2020 UCHAGUZI; MAMBO MAWILI HAYA UMEYASIMIKA. 1) DINI YA IKULU YETU... a-uaminifu b-heshima na c)-utii 2)KATIBA kutoka mbinguni yenye ibara saba (mihuri saba) aliyopewa Yesu (AS)..... a-Wema b-Utajiri c-Hekima d-Nguvu e-Heshima f-Utukufu na g-Baraka. ufu 5:1, 6, 12. Muhammad (SAW) Q6:83-90 Aliagizwa na Mungu kufuata uongozi huo. Nasi ni jukumu langu KUFIKUSHA Q5:67 tufanikiwe kuwakwepa nahasidi wa nje na ndani kwa Mungu Kukulinda.
UAMINIFU, HESHIMA na UTII ni dini yetu Watu Weusi Asili. mh J. Muhagama hii ndiyo NURU. 2019 MWENGE UZINDUE DINI YETU HII IKULU. ILI USEMI WA RAISI MAGUFULI UKAMILIKE ' TUMWEKE MUNGU MBELE .
2019 MWENGE UZINDUE IKULU DINI YA TAIFA LETU, NDIPO UTOKE. DINI YETU IKULU NO UAMINIFU, HESHOMA na UTII. TAIFA LISILO NA DINI KITAIFA, HALIWEZI KURA HUYU. kasema maneno haya Raisi wa marikani wa awamu ya tatu...Thomas Jefferson...jaribu kugougle
Hongereni sana... Kwasisi tuliowahi kukimbiza Mwenge kiwilaya tunajua umuhimu na kazi wanayoifanya hawa wakimbiza Mwenge!!!! TZ nakupenda. Mungu ibariki Tanzania
Hongereni sana Vijana wenzetu kwa kuaminika na kupata pongezi toka kwa Mh Rais.
Vile vile Pongezi kwa Mh Rais kwa juhudi zake za kuhakikisha Rasilimali za watanzania hazichezewi
Aiseeeh kazi nzuri sana.
Kwa Mara ya kwanza nasikia feedback za zoez la mwenge as Uhuru.
JPM shikamoooo viva viva Mh kipenzi changu.
Maagizo yametolewa shauri yenu watekelezaji msipo mzee wa majipu atafanya kazi yake.
Mwenge Angaza angaza angaza mulika chafuu safi tuone.
ahsante sana bro wangu Issa Abass umewakilisha our family u are great bro
Hongereni sana vijana kwa kazi nzuri
Hongereni makamanda
Kweli bado kuna viongoz wanamdanganya Nyerere haiwezekani duka la dawa linafunguliwa then baada ya mwaka hakuna dawa kwenye duka hilo
Asante san raisi wetu kwa upendo mkuwa wa taifa retu la TANZANIA mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu na viyongoz wengen ote wanaomsaidia raisi wetu kuriongoza taifa retu
hongereni sana mwenge nitunu ya taifa letu mungu ubaliki mwenge wetu baliki nchi yetu tanzania ameni...
Hongera Rais
Kazi nzuri sana Vijana.. hongera sana President Dr. John Pombe Magufuli pamoja Na Prime minister
Mh RAIS hongera sana hakika wewe ndie RAIS ambae tulikua tunakusubir kwa miaka mingi wewe ni RAIS wawa nyonge unaejali wananchi wote shida za wananchi zitaisha iwapo viongozi wote ulowateuwa watakua tayar kufanya kazi M/mungu akujalie umri mrefu ilikulitumikia taifahili
Asante Serikali yetu
Safi sana ndo mara ya kwanza kuona taarifa nzuri ya mwenge, hii ndo kazi ya Mwenge wetu wa uhuru
Asante san viyongoz wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi
Vijana ni Nguzo ya Taifa,Hongera Rais wetu,hongera vijana wa Tz.
Safi cn mwexhimiwa rais, na viongoz wako wa serikali, tz, kwasasa inasitawi kwa uongozi wako uliyotukuka, mungu akubariki.Amen.
Mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu
Hongera sana watanzania endeleeni kujipanga kuboresha Nchi iliyo na utajiri mkubwa bila ya wananchi kufaidika kiufasaha kutokana na UFISADI. Wataalamu wamegunduwa kiinimacho DANGANYATOTO inayo danganya Taifa kuiba mali za uma washindwe wote wenye nia mbaya AMIN🙏🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mmefanya kazi nzuriii
Uzalendo Kwanza.... Hongereni Sana Makamanda
ikiwezekana waongezewe mwaka mmoja wamefanya kazi kubwa sana hapa mufindi
hongera Sana rais Wetu Mungu akusimamie
Miladi mingi ya maji ni majanga Rais wetu naomba uliangalie hilo ni muhimu sana
Safi sana vijana shikamoo Jpm
Hongereni sana vijana wetu
Hongereni wapendwa
HONGERA SANA RAISI MAGUFULI. HAKIKISHA KABLA YA 2020 UCHAGUZI; MAMBO MAWILI HAYA UMEYASIMIKA.
1) DINI YA IKULU YETU...
a-uaminifu
b-heshima na
c)-utii
2)KATIBA kutoka mbinguni yenye ibara saba (mihuri saba) aliyopewa Yesu (AS).....
a-Wema
b-Utajiri
c-Hekima
d-Nguvu
e-Heshima
f-Utukufu na
g-Baraka.
ufu 5:1, 6, 12.
Muhammad (SAW) Q6:83-90 Aliagizwa na Mungu kufuata uongozi huo. Nasi ni jukumu langu KUFIKUSHA Q5:67 tufanikiwe kuwakwepa nahasidi wa nje na ndani kwa Mungu Kukulinda.
Kamanda na vijana uliowaongeza mpo makini ongereni sana
HESHIMA YAKO JPM SHIKAMO BABA MPYA WA TAIFA
Kwann wanamdanganya nyerere??
UAMINIFU, HESHIMA na UTII ni dini yetu Watu Weusi Asili. mh J. Muhagama hii ndiyo NURU. 2019 MWENGE UZINDUE DINI YETU HII IKULU. ILI USEMI WA RAISI MAGUFULI UKAMILIKE ' TUMWEKE MUNGU MBELE .
tanzania kwanza
Makamanda wote mguu pande.......
Makamanda wanasitahiri pongezi, wamejitoa kwa tz, kwanza.
2019 MWENGE UZINDUE IKULU DINI YA TAIFA LETU, NDIPO UTOKE. DINI YETU IKULU NO UAMINIFU, HESHOMA na UTII. TAIFA LISILO NA DINI KITAIFA, HALIWEZI KURA HUYU. kasema maneno haya Raisi wa marikani wa awamu ya tatu...Thomas Jefferson...jaribu kugougle
pongezi zina stahili
Hongera mheshimiwa raisi
Mimi reo nimeripia Umeme ninamiezi 10 tangy nimeripia mpakasasa Nina miezi 10 sijapata Umeme
Hongereni sana... Kwasisi tuliowahi kukimbiza Mwenge kiwilaya tunajua umuhimu na kazi wanayoifanya hawa wakimbiza Mwenge!!!! TZ nakupenda. Mungu ibariki Tanzania
Makamanda wote mguu pande.......