MAKONDA ambananisha OCD Hanang, Polisi wamekimbia na Bango la Mwananchi na Kumbomolea Nyumba yake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 136

  • @tingathebest
    @tingathebest 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa kutukusanyia yanayo jili katika ziara nchini❤

  • @frankantony-s4z
    @frankantony-s4z 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki kijan mwenzang kwa mambo unayofanya hakika una hofu ya Mungu

  • @EliasMwasambili-hu6ph
    @EliasMwasambili-hu6ph 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana afande uko sahihi wewe umekwenda kambini sio kwake hapo ni kambini

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Sana. Mheshimiwa Paul makonda shikilia hapohapo

  • @shikuhata
    @shikuhata 8 หลายเดือนก่อน

    Hekima kubwa akili nyingi uwezo mkubwa.
    Much appreciated baba kiagan

  • @StephenMundi-hv1lv
    @StephenMundi-hv1lv 8 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda ni mtoto wa magu ukute anafata nyayo zote👏👏👏

  • @alimwafisi6659
    @alimwafisi6659 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wow kumbe tanzania wsko ivyo

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 8 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda mungu akubariki sana haya tuliyamiss sana watanzania masikin Leo wanapo pakusemea zidi kumsaidia mama ktk kutafuta haki za wananchi mungu atakubariki raisi wetu mtarajiwa baada ya mama Samia kumaliza miaka mitano Tena insha Allah

  • @DianaBwire-s7g
    @DianaBwire-s7g 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka yangu mungu akubariki sana umekuja kumaliza kero zetuu

  • @bongo5914
    @bongo5914 8 หลายเดือนก่อน +4

    namuona magufuri 💯

  • @deckyidrissa8855
    @deckyidrissa8855 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi niko apa congo Dr nafata saana mambo ya makonda anavyo tetea watu kweli imenipa fulaa

  • @goodlucktarimo6170
    @goodlucktarimo6170 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tumeipenda wenyewe chaguo letu milele acha waisome namba eeeee

  • @JumaMadebe-gp7ov
    @JumaMadebe-gp7ov 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda, pole aisee, duh mbona hii kazi ngum sana, duh,

  • @JumaMadebe-gp7ov
    @JumaMadebe-gp7ov 3 หลายเดือนก่อน

    Duh!! Hicho chuma! Noma njoo na morogoro, mzee

  • @ramadhanimaricha3799
    @ramadhanimaricha3799 9 หลายเดือนก่อน +7

    Taarifa za gongo😂😂😂katoe taarifa za mafisadi achana na gongo za walala hoi😊😊

    • @fredybanda2861
      @fredybanda2861 8 หลายเดือนก่อน

      Gongo sio nzuri mkuu

    • @JosseKatumwe-ik5vs
      @JosseKatumwe-ik5vs 13 วันที่ผ่านมา

      Acha usenge gongo sio ya walalahoi gongo imesomesha mpaka hao viongozi

  • @AllySelemani-ne5wv
    @AllySelemani-ne5wv 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda wewe ni mwambaaa hamia dodoma ukiwanyosha arusha

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze makonda

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 9 หลายเดือนก่อน +9

    Dawa hatar sana yaaan makonda wananchi wanamuamini makonda kama rais JPM hatar sna

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 2 หลายเดือนก่อน

      ndio Makonda yuko vizuri pia ni very intelligent and smart!

  • @JescaSimon-sg3rt
    @JescaSimon-sg3rt 4 หลายเดือนก่อน

    Jaman ndugu zangu wa katesh kazeni buti

  • @TulySemea
    @TulySemea 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda mheshimiwa mung akulinde na akupe siku nyingi za kuishi

  • @JosephKaka-nh3co
    @JosephKaka-nh3co 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa naona mungu kamleta magufuli kisiri siri

  • @MageJordan
    @MageJordan 8 หลายเดือนก่อน

    Njoo Baba jamani mang'ola karatu jamani

  • @ShabanKawambwa
    @ShabanKawambwa 2 หลายเดือนก่อน

    Policy wakuda Sana

  • @Mrugurudigitalsolutions
    @Mrugurudigitalsolutions 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hatuitajii kuwa na vyamaa vingi kama tutakipata kimoja kikaamuwa kuvaa uzalendo wa nchii mfumoo wa vyama vingi kamwe hatutoboii

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 4 หลายเดือนก่อน

    Hawa ni majambazi ndio maana wanakimbia na mabango, na serikali ya ccm kwanini imemuondoa makonda kwenye nafasi hii? Wanataka uchafuzi uendelee? Je huu ndio utawala boraaaa?

  • @GreceMwalende
    @GreceMwalende 3 หลายเดือนก่อน

    Wasenge Sana nchi hii haonii hata aibu kunibu

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 9 หลายเดือนก่อน +2

    Duu huyu mama mbishi vipi hajaenda kwake huku anasema nyumba iko katika mpaka wa police

  • @mahelaolban8224
    @mahelaolban8224 9 หลายเดือนก่อน +2

    Safi saaana chama langu hilooo

  • @seif3401
    @seif3401 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi wale walioiba tirioni200 wamechukuliwa hatua gani

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 3 หลายเดือนก่อน

    paul makonda nakuombea uchaguliwe wazir mkuu wa nchi ili uinyoosheTz mzma

  • @AllySelemani-ne5wv
    @AllySelemani-ne5wv 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo askari anababaika, kibanda anaionaje ? Halafu anasema hapajui kwake??!!

  • @EdwardOkemba
    @EdwardOkemba 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa wananchi wa Arusha kero zao hazikomi rc mbona utakonda kwa siku chache hizi ambazo umekaa hapo jamani

  • @AlbertShayo-i6v
    @AlbertShayo-i6v 8 หลายเดือนก่อน

    Ccm Tuokoeni jaman

  • @idrissaabubakari859
    @idrissaabubakari859 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kama upo kalibu na uyo mama police mpige kibao kimoja

    • @amonymzawaaa8934
      @amonymzawaaa8934 8 หลายเดือนก่อน

      Hapana, amejibu vema sana binafsi nmemuelewa na amezingatia maadili ya kazi

  • @AlfaniAlmasi
    @AlfaniAlmasi 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka unafa uhalisia ama nisiaas tu izi?

  • @PhilipoMwasha
    @PhilipoMwasha 9 หลายเดือนก่อน +1

    C.c.m imeoza!

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 9 หลายเดือนก่อน +3

    Polis acheni izo.

  • @EmmaKalumbi
    @EmmaKalumbi 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo si asikati bali ni arishababu

  • @AlbertShayo-i6v
    @AlbertShayo-i6v 8 หลายเดือนก่อน

    Tatizo pesa tulizo tafuta kwa Jasho letu sasa tuishi je Tanzania jaman

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo mama anaogea nn achia maiki

  • @JohnManyilizu-jz2qu
    @JohnManyilizu-jz2qu 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mwizi anaeleza mwizi wanajitafutia pesa kwa kupika gongo maana maisha magu

  • @zuanshimchina2278
    @zuanshimchina2278 8 หลายเดือนก่อน

    Makonda Makonda Makonda Tanzania sio ila ya 60 au 70 Tanzania ya ss inauelewa eeeee Mungu kitukuu changu kiwe na Subra kwasababu kizazi hicho kitakuwa chenye hasira kali sana

  • @PetroMaiko
    @PetroMaiko 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 8 หลายเดือนก่อน

    Iloo dada lisura mbaayaaa kweliii 😊

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 9 หลายเดือนก่อน

    SAMIA Amna kiongozi hapo, MAKONDA kidogo wew ni kiongozi

    • @tashone7884
      @tashone7884 8 หลายเดือนก่อน

      Anafanya kwa maelekezo na Baraka za Raisi

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 8 หลายเดือนก่อน

    Uwe Raisi Makonda tunakupenda

  • @fredrickbaryagati2194
    @fredrickbaryagati2194 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupongeza kwa iro makonda kwa maporisi

  • @AlfaniAlmasi
    @AlfaniAlmasi 3 หลายเดือนก่อน

    Acha kutetea mwenyekit

  • @SilivyoMahenge-g9x
    @SilivyoMahenge-g9x 8 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda hii kwa kweli police huyu mwongo hata maswali hamjui kujibu

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sijaelewa hii ya katibu wa chama wa wilaya kuhusu chama kuchukua hatua😮😮

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe dada sema ukweli polisi hamutendi haki kwa raiya

  • @AlfaniAlmasi
    @AlfaniAlmasi 3 หลายเดือนก่อน

    Naongea kutoka didis pabu apa Fanya kweli uwe raisi wanchii

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 8 หลายเดือนก่อน

    Hao nda wara rushwa wa tanzania hakika tunaumizwa na hawa asikari

  • @punchlinetz
    @punchlinetz 8 หลายเดือนก่อน

    Siasa tu hamna kitu hapo..

  • @raphaelmlewa1901
    @raphaelmlewa1901 8 หลายเดือนก่อน

    Kwann hawakuvunja mapema kabla ya kutoa taarifa ya wauza gongo au ilikuaje wakamuacha kajenga mpaka wameanza kuishi? Jaman

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mbaya wewe mwanamke Polisi una roho mbaya

  • @williamkazi4116
    @williamkazi4116 8 หลายเดือนก่อน

    Ccm imesimama ....hongera Rais samia kwa ajili ya Makonda

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 8 หลายเดือนก่อน

    Jpm staily🔥🔥🔥🔥makonda

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 7 หลายเดือนก่อน

    Mathias bwana kazinguwa😂😂😂

  • @Mrugurudigitalsolutions
    @Mrugurudigitalsolutions 8 หลายเดือนก่อน

    Kama ccm imeamuwa kuamka basii mungu kaikumbuka nchi yetu, hii nchii haiwezi piga hatua kama ccm haijabadilika

  • @LukasNgunda
    @LukasNgunda 8 หลายเดือนก่อน

    Malinda upo vzr hawa polisi wetu mm hata cjui kweli mafunzo wanajifunzia wapi mbona siyo waaminifu kwa Nini mm naona polisi niea serikali maana waonevusana laia wanapata taabu nao sana

  • @jacksonmbonea7411
    @jacksonmbonea7411 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mheshimiwa Naona ukiwakiongozi mkubwa hapa nchini,piga kazi

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 หลายเดือนก่อน

    Heistalking a lot for profit not for nothing as many others R.C

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo kiongozi wa polisi anasema hapajui kwawananchi halafu anasema amejenga eneo la polisi anajuaje naye hapajui?

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 8 หลายเดือนก่อน

    Makonda watamumanua sio mda sanaa

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 9 หลายเดือนก่อน +2

    Askari wananyanyasa sana raia makonda fanya kazi yko

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 9 หลายเดือนก่อน

    Mama uko vizuri sana unafaa Kesho si maeneo ya kuvamiwa

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg 8 หลายเดือนก่อน

    Jamn maskin tunateseka

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 8 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda amekuja kuendeleza kazi ya magufuli kinyume na sheria akiamini kwamba atapewa uraisi jamani watanzania msije mkaingia mkenge Nchi haiendwahwi kwa maamuzi ya kiujanja inahitaji utashi na elimu iliyo nyooka. Hana tofauti na Iddi Amin mpeni Nchi mtanikumbuka. Ccm wenyewe atawanyonga na anaweza kufanya maamuzi ambayo yatatugarimu hatari. Tuwe makini sana na huyu mwamba. Hapo anazuga tu lkn shida zenu zinaishia hapo hapo akiondoka tu.

    • @chriskudilla5355
      @chriskudilla5355 8 หลายเดือนก่อน

      Maamuzi yapi ya kiujanja? Makonda kakosea nini mpka hapo kusikiliza wananchi?

  • @kjb_user0077
    @kjb_user0077 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hii inchi imejaa uozo

    • @evaemil856
      @evaemil856 9 หลายเดือนก่อน +2

      Nasikitika, nakipenda chama changu cha CCM lakini sipendi uozo uliojaa kwenye viongozi wa juu wa serikalini. Hii yote ni kwa sababu ya ukosefu wa maadili, kutokufuata sheria, kudharau wananchi na kujifanya wao ndiyo Mungu wa pili. Sasa matatizo siku zote kila mwaka no hayo hayo hayaishi. Wananchi wanaonewa na kudhulumiwa mpaka wengine wanakufa. 😢 Acha tuwaachie CHADEMA tu for 5 years watuonyeshe mambo siyo site miaka 60 na bado tunamtamani mkoloni arudi.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 9 หลายเดือนก่อน

    Mpaka bango jamani

  • @evaemil856
    @evaemil856 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atakulipa

  • @FrecoShirima-qb1qo
    @FrecoShirima-qb1qo 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona hatuoni watu wanachuliwa hatua?

  • @barakampenja-to4sm
    @barakampenja-to4sm 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna mda mwingine ccm iko vizuri lkn mda mwingne no ndo wezi wakuu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 9 หลายเดือนก่อน

    Innalilahii wainnailaih rajiuuni

  • @selemanimvungi7259
    @selemanimvungi7259 9 หลายเดือนก่อน

    Katibu mwenezi kuna wilaya umeziacha haswa simanjiro Ina changamoto ya migogoro ya aridhi viongozi wameshindwa kutatua migogoro nada yake wao ndio wanachochea migogoro kewa mslahi Yao

  • @NicholausAlois
    @NicholausAlois 9 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda usilazimishe mambo

    • @dotojohn9316
      @dotojohn9316 8 หลายเดือนก่อน

      Kama hujui nyamaza

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 8 หลายเดือนก่อน

    Amebomolewa aisee hapo ni tumbua tumbua tu.
    Vp abomolewe kwa kuonysha gongo

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 8 หลายเดือนก่อน

    Unamueleza mkonda kama nani

  • @SilivyoMahenge-g9x
    @SilivyoMahenge-g9x 8 หลายเดือนก่อน

    Hii ndo ccm tunayo itaka sio uhun uhuni

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 8 หลายเดือนก่อน

    Hakika asikari hawafai kabisa

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge6943 8 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @djdrbwille3952
    @djdrbwille3952 8 หลายเดือนก่อน

    Makonda mlowo

  • @evaemil856
    @evaemil856 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa polisi komesha

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 9 หลายเดือนก่อน

    Aibu una pora bango liloletwa kiongozi alisoma ni dharau kwa mwenezi

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 8 หลายเดือนก่อน

    Tani ccm imetengeneza kero alafu eti yenyewe inataka kutatua kero aya uyu bwana anaachwa hivi hivi hakuna kitu apo ni porojo tu

  • @amonymzawaaa8934
    @amonymzawaaa8934 8 หลายเดือนก่อน

    Uyu dada ni askari, nimemkubali sana.....usilazimishe kujibu swali ambalo hauna majibu sahihi

  • @cleversalbaba-em4jf
    @cleversalbaba-em4jf 9 หลายเดือนก่อน

    Huyo mkuu wa kituo ni mwanamke ila anaonyesha ni mkatili aondolewe kwenye hilo eneo anawavuruga watu wa hanang

  • @rabielkaaya3764
    @rabielkaaya3764 9 หลายเดือนก่อน

    Any way

  • @omaryduruduru2719
    @omaryduruduru2719 3 หลายเดือนก่อน

    Polisi wamezoea ujinga

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 9 หลายเดือนก่อน

    Kwamba tunaweza kulewa jua kali hahaaa makonda bana😂😂😂😂

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 9 หลายเดือนก่อน

    Dawa ya moto ni moto hata yeye atavunjiwa siku moja huyo mama sijui ndo polis anaonekana ni likatili

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 9 หลายเดือนก่อน

    Chama makini hulinda ustawi wa wananchi waliowapa dhamana ya kushika nchi.ccm mbele kwa mbele.

  • @Sawaka-v9b
    @Sawaka-v9b 9 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii bado shida kubwa

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 9 หลายเดือนก่อน

    Huyo mzee ni jau Sana ni zaidi ya mchawi maana ana roho mbaya sana Tena sana ☹️☹️☹️

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 8 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu Asikari anatetea Serikali yenu alafu mwananchi kawakataa.

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 9 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda acha kudharaurisha polisi

    • @dullayomwinyi3359
      @dullayomwinyi3359 9 หลายเดือนก่อน

      ACHA uchawa Hawa polisi wananyanyasa raiya ww utakua ujawahi kuingia 18 zao tayari ni maadui na wananchi wake badala ya kuwalinda wananchi wanauvimba na wananchi ambao hawana mafunzo yeyote waende mataifa ya mambele kama Lebanon,siaralion, iraq,wakutane na wanaume si kuonea raiya siwapendi kabisa

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 8 หลายเดือนก่อน

    Watumishi tumieni nafasizenu vizuri watanzania sio wapumbavu niwastaarabu Sana nawapendaamani sana lakini awapendi kuonewa nawanapoamua WANAAMua kwaiyo musiwadharau kwaukimyawao wananchi watanzania niatali Sana siku wakiamuwa wateule mutatafuta mashimo, kwenyemaendeleo yanchi muache siasa😂😂😂

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 9 หลายเดือนก่อน

    Paul MAKONDA wewe unafaa kuwa Raisi. Achana na Samia ni MPUMBAVU TU Amna kiongozi hapo

  • @JoswamBalongo
    @JoswamBalongo 4 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa raisi tunakuomba utuletee MAKONDA awe mkuu wa MKOA WA KAGERA Uone MADUDU yanapo zaliwa.