Makonda mungu akubariki sana haya tuliyamiss sana watanzania masikin Leo wanapo pakusemea zidi kumsaidia mama ktk kutafuta haki za wananchi mungu atakubariki raisi wetu mtarajiwa baada ya mama Samia kumaliza miaka mitano Tena insha Allah
Hawa ni majambazi ndio maana wanakimbia na mabango, na serikali ya ccm kwanini imemuondoa makonda kwenye nafasi hii? Wanataka uchafuzi uendelee? Je huu ndio utawala boraaaa?
Makonda Makonda Makonda Tanzania sio ila ya 60 au 70 Tanzania ya ss inauelewa eeeee Mungu kitukuu changu kiwe na Subra kwasababu kizazi hicho kitakuwa chenye hasira kali sana
Malinda upo vzr hawa polisi wetu mm hata cjui kweli mafunzo wanajifunzia wapi mbona siyo waaminifu kwa Nini mm naona polisi niea serikali maana waonevusana laia wanapata taabu nao sana
Makonda amekuja kuendeleza kazi ya magufuli kinyume na sheria akiamini kwamba atapewa uraisi jamani watanzania msije mkaingia mkenge Nchi haiendwahwi kwa maamuzi ya kiujanja inahitaji utashi na elimu iliyo nyooka. Hana tofauti na Iddi Amin mpeni Nchi mtanikumbuka. Ccm wenyewe atawanyonga na anaweza kufanya maamuzi ambayo yatatugarimu hatari. Tuwe makini sana na huyu mwamba. Hapo anazuga tu lkn shida zenu zinaishia hapo hapo akiondoka tu.
Nasikitika, nakipenda chama changu cha CCM lakini sipendi uozo uliojaa kwenye viongozi wa juu wa serikalini. Hii yote ni kwa sababu ya ukosefu wa maadili, kutokufuata sheria, kudharau wananchi na kujifanya wao ndiyo Mungu wa pili. Sasa matatizo siku zote kila mwaka no hayo hayo hayaishi. Wananchi wanaonewa na kudhulumiwa mpaka wengine wanakufa. 😢 Acha tuwaachie CHADEMA tu for 5 years watuonyeshe mambo siyo site miaka 60 na bado tunamtamani mkoloni arudi.
Katibu mwenezi kuna wilaya umeziacha haswa simanjiro Ina changamoto ya migogoro ya aridhi viongozi wameshindwa kutatua migogoro nada yake wao ndio wanachochea migogoro kewa mslahi Yao
ACHA uchawa Hawa polisi wananyanyasa raiya ww utakua ujawahi kuingia 18 zao tayari ni maadui na wananchi wake badala ya kuwalinda wananchi wanauvimba na wananchi ambao hawana mafunzo yeyote waende mataifa ya mambele kama Lebanon,siaralion, iraq,wakutane na wanaume si kuonea raiya siwapendi kabisa
Hongera sana kwa kutukusanyia yanayo jili katika ziara nchini❤
Mungu akubariki kijan mwenzang kwa mambo unayofanya hakika una hofu ya Mungu
Safi sana afande uko sahihi wewe umekwenda kambini sio kwake hapo ni kambini
Asante Sana. Mheshimiwa Paul makonda shikilia hapohapo
Hekima kubwa akili nyingi uwezo mkubwa.
Much appreciated baba kiagan
Makonda ni mtoto wa magu ukute anafata nyayo zote👏👏👏
Wow kumbe tanzania wsko ivyo
Makonda mungu akubariki sana haya tuliyamiss sana watanzania masikin Leo wanapo pakusemea zidi kumsaidia mama ktk kutafuta haki za wananchi mungu atakubariki raisi wetu mtarajiwa baada ya mama Samia kumaliza miaka mitano Tena insha Allah
Kaka yangu mungu akubariki sana umekuja kumaliza kero zetuu
namuona magufuri 💯
Mimi niko apa congo Dr nafata saana mambo ya makonda anavyo tetea watu kweli imenipa fulaa
Tumeipenda wenyewe chaguo letu milele acha waisome namba eeeee
Makonda, pole aisee, duh mbona hii kazi ngum sana, duh,
Duh!! Hicho chuma! Noma njoo na morogoro, mzee
Taarifa za gongo😂😂😂katoe taarifa za mafisadi achana na gongo za walala hoi😊😊
Gongo sio nzuri mkuu
Acha usenge gongo sio ya walalahoi gongo imesomesha mpaka hao viongozi
Makonda wewe ni mwambaaa hamia dodoma ukiwanyosha arusha
Mungu akutunze makonda
Dawa hatar sana yaaan makonda wananchi wanamuamini makonda kama rais JPM hatar sna
ndio Makonda yuko vizuri pia ni very intelligent and smart!
Jaman ndugu zangu wa katesh kazeni buti
Makonda mheshimiwa mung akulinde na akupe siku nyingi za kuishi
Hapa naona mungu kamleta magufuli kisiri siri
Njoo Baba jamani mang'ola karatu jamani
Policy wakuda Sana
Hatuitajii kuwa na vyamaa vingi kama tutakipata kimoja kikaamuwa kuvaa uzalendo wa nchii mfumoo wa vyama vingi kamwe hatutoboii
Sahihi
Nakubali
Hawa ni majambazi ndio maana wanakimbia na mabango, na serikali ya ccm kwanini imemuondoa makonda kwenye nafasi hii? Wanataka uchafuzi uendelee? Je huu ndio utawala boraaaa?
Wasenge Sana nchi hii haonii hata aibu kunibu
Duu huyu mama mbishi vipi hajaenda kwake huku anasema nyumba iko katika mpaka wa police
Safi saaana chama langu hilooo
Hivi wale walioiba tirioni200 wamechukuliwa hatua gani
paul makonda nakuombea uchaguliwe wazir mkuu wa nchi ili uinyoosheTz mzma
Huyo askari anababaika, kibanda anaionaje ? Halafu anasema hapajui kwake??!!
Hawa wananchi wa Arusha kero zao hazikomi rc mbona utakonda kwa siku chache hizi ambazo umekaa hapo jamani
Ccm Tuokoeni jaman
Kama upo kalibu na uyo mama police mpige kibao kimoja
Hapana, amejibu vema sana binafsi nmemuelewa na amezingatia maadili ya kazi
Kaka unafa uhalisia ama nisiaas tu izi?
C.c.m imeoza!
Polis acheni izo.
Huyo si asikati bali ni arishababu
Tatizo pesa tulizo tafuta kwa Jasho letu sasa tuishi je Tanzania jaman
Huyo mama anaogea nn achia maiki
Mwizi anaeleza mwizi wanajitafutia pesa kwa kupika gongo maana maisha magu
Makonda Makonda Makonda Tanzania sio ila ya 60 au 70 Tanzania ya ss inauelewa eeeee Mungu kitukuu changu kiwe na Subra kwasababu kizazi hicho kitakuwa chenye hasira kali sana
❤❤❤❤
Iloo dada lisura mbaayaaa kweliii 😊
SAMIA Amna kiongozi hapo, MAKONDA kidogo wew ni kiongozi
Anafanya kwa maelekezo na Baraka za Raisi
Uwe Raisi Makonda tunakupenda
Nakupongeza kwa iro makonda kwa maporisi
Acha kutetea mwenyekit
Nimeipenda hii kwa kweli police huyu mwongo hata maswali hamjui kujibu
Sijaelewa hii ya katibu wa chama wa wilaya kuhusu chama kuchukua hatua😮😮
Wewe dada sema ukweli polisi hamutendi haki kwa raiya
Naongea kutoka didis pabu apa Fanya kweli uwe raisi wanchii
Hao nda wara rushwa wa tanzania hakika tunaumizwa na hawa asikari
Siasa tu hamna kitu hapo..
Kwann hawakuvunja mapema kabla ya kutoa taarifa ya wauza gongo au ilikuaje wakamuacha kajenga mpaka wameanza kuishi? Jaman
Mbaya wewe mwanamke Polisi una roho mbaya
Ccm imesimama ....hongera Rais samia kwa ajili ya Makonda
Jpm staily🔥🔥🔥🔥makonda
Mathias bwana kazinguwa😂😂😂
Kama ccm imeamuwa kuamka basii mungu kaikumbuka nchi yetu, hii nchii haiwezi piga hatua kama ccm haijabadilika
Malinda upo vzr hawa polisi wetu mm hata cjui kweli mafunzo wanajifunzia wapi mbona siyo waaminifu kwa Nini mm naona polisi niea serikali maana waonevusana laia wanapata taabu nao sana
Mheshimiwa Naona ukiwakiongozi mkubwa hapa nchini,piga kazi
Heistalking a lot for profit not for nothing as many others R.C
Huyo kiongozi wa polisi anasema hapajui kwawananchi halafu anasema amejenga eneo la polisi anajuaje naye hapajui?
Makonda watamumanua sio mda sanaa
Askari wananyanyasa sana raia makonda fanya kazi yko
Mama uko vizuri sana unafaa Kesho si maeneo ya kuvamiwa
Mhhhhhhhh
Jamn maskin tunateseka
Makonda amekuja kuendeleza kazi ya magufuli kinyume na sheria akiamini kwamba atapewa uraisi jamani watanzania msije mkaingia mkenge Nchi haiendwahwi kwa maamuzi ya kiujanja inahitaji utashi na elimu iliyo nyooka. Hana tofauti na Iddi Amin mpeni Nchi mtanikumbuka. Ccm wenyewe atawanyonga na anaweza kufanya maamuzi ambayo yatatugarimu hatari. Tuwe makini sana na huyu mwamba. Hapo anazuga tu lkn shida zenu zinaishia hapo hapo akiondoka tu.
Maamuzi yapi ya kiujanja? Makonda kakosea nini mpka hapo kusikiliza wananchi?
Hii inchi imejaa uozo
Nasikitika, nakipenda chama changu cha CCM lakini sipendi uozo uliojaa kwenye viongozi wa juu wa serikalini. Hii yote ni kwa sababu ya ukosefu wa maadili, kutokufuata sheria, kudharau wananchi na kujifanya wao ndiyo Mungu wa pili. Sasa matatizo siku zote kila mwaka no hayo hayo hayaishi. Wananchi wanaonewa na kudhulumiwa mpaka wengine wanakufa. 😢 Acha tuwaachie CHADEMA tu for 5 years watuonyeshe mambo siyo site miaka 60 na bado tunamtamani mkoloni arudi.
Mpaka bango jamani
Mungu atakulipa
Mbona hatuoni watu wanachuliwa hatua?
Kuna mda mwingine ccm iko vizuri lkn mda mwingne no ndo wezi wakuu
Innalilahii wainnailaih rajiuuni
Katibu mwenezi kuna wilaya umeziacha haswa simanjiro Ina changamoto ya migogoro ya aridhi viongozi wameshindwa kutatua migogoro nada yake wao ndio wanachochea migogoro kewa mslahi Yao
Makonda usilazimishe mambo
Kama hujui nyamaza
Amebomolewa aisee hapo ni tumbua tumbua tu.
Vp abomolewe kwa kuonysha gongo
Unamueleza mkonda kama nani
Hii ndo ccm tunayo itaka sio uhun uhuni
Hakika asikari hawafai kabisa
😢
Makonda mlowo
Hawa polisi komesha
Aibu una pora bango liloletwa kiongozi alisoma ni dharau kwa mwenezi
Tani ccm imetengeneza kero alafu eti yenyewe inataka kutatua kero aya uyu bwana anaachwa hivi hivi hakuna kitu apo ni porojo tu
Uyu dada ni askari, nimemkubali sana.....usilazimishe kujibu swali ambalo hauna majibu sahihi
Huyo mkuu wa kituo ni mwanamke ila anaonyesha ni mkatili aondolewe kwenye hilo eneo anawavuruga watu wa hanang
Any way
Polisi wamezoea ujinga
Kwamba tunaweza kulewa jua kali hahaaa makonda bana😂😂😂😂
Dawa ya moto ni moto hata yeye atavunjiwa siku moja huyo mama sijui ndo polis anaonekana ni likatili
Chama makini hulinda ustawi wa wananchi waliowapa dhamana ya kushika nchi.ccm mbele kwa mbele.
Nchi hii bado shida kubwa
Huyo mzee ni jau Sana ni zaidi ya mchawi maana ana roho mbaya sana Tena sana ☹️☹️☹️
una roho wewe mchawi baba yako na mama yako
Sasa huyu Asikari anatetea Serikali yenu alafu mwananchi kawakataa.
Makonda acha kudharaurisha polisi
ACHA uchawa Hawa polisi wananyanyasa raiya ww utakua ujawahi kuingia 18 zao tayari ni maadui na wananchi wake badala ya kuwalinda wananchi wanauvimba na wananchi ambao hawana mafunzo yeyote waende mataifa ya mambele kama Lebanon,siaralion, iraq,wakutane na wanaume si kuonea raiya siwapendi kabisa
Watumishi tumieni nafasizenu vizuri watanzania sio wapumbavu niwastaarabu Sana nawapendaamani sana lakini awapendi kuonewa nawanapoamua WANAAMua kwaiyo musiwadharau kwaukimyawao wananchi watanzania niatali Sana siku wakiamuwa wateule mutatafuta mashimo, kwenyemaendeleo yanchi muache siasa😂😂😂
Paul MAKONDA wewe unafaa kuwa Raisi. Achana na Samia ni MPUMBAVU TU Amna kiongozi hapo
Muheshimiwa raisi tunakuomba utuletee MAKONDA awe mkuu wa MKOA WA KAGERA Uone MADUDU yanapo zaliwa.