JAMBO MUHIMU UNAPOELEKEA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 32

  • @aishamsemwa-zu3eo
    @aishamsemwa-zu3eo 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka joeli Mungu akumiminie baraka tele katika maisha yako

  • @user-sn9bc7fv5l
    @user-sn9bc7fv5l 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki bwana Joel

  • @williamcosmas1986
    @williamcosmas1986 7 หลายเดือนก่อน

    Eeee wahhhhh

  • @SaidMkashari
    @SaidMkashari 8 หลายเดือนก่อน +2

    Assalamualaikum Hisia Ile ninapotafuta kitu sikipati ndio inanumiza sana

  • @nadiaseif
    @nadiaseif 7 หลายเดือนก่อน

    Shukran kaka Joel

  • @user-di8dt1ih4w
    @user-di8dt1ih4w 8 หลายเดือนก่อน

    True kbsa

  • @ShadiyaMahmoud
    @ShadiyaMahmoud 3 หลายเดือนก่อน

    Nipo shinyanga kahama tanzania kaka joel je.?naweza pata vp vitabu vyako kwa ap kahama

  • @shedubwi
    @shedubwi 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hasira ili niandama kwa muda mrefu sana ila leo umenifungua akili BROTHER JOEL 🎉🎉🤝🤝🤝

  • @TalentedmediaTz
    @TalentedmediaTz 8 หลายเดือนก่อน +1

    Unatoa elimu nzuri sana boss mungu azidi kukubariki

  • @tumainselestine3398
    @tumainselestine3398 6 หลายเดือนก่อน

    Zote ulizozitaja aina za kihisia zilikuwa zinanisumbua sana, lkn nashukuru hivi ninavyoandika huu ujumbe, nimefanikiwa kwa kiwango fulani kuanza kuzi-control najua bado nahitaji kuweka nguvu na jitihada za ziada lkn kwa hali ya sasa inanitia moyo na kunipa picha ya hapo kesho nitakuwa nina uwezo mkubwa wa kuziongoza hizo hisia

  • @rachelclifford5465
    @rachelclifford5465 8 หลายเดือนก่อน

    Hasira zinanisumbua sana , ila Leo umenipa somo ku bwa sana Bwana Joel, mwenyezi Mungu akulinde

  • @neemaanatory1880
    @neemaanatory1880 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akujalie maisha marefu yenye afya njema,amani furaha na maarifa zaidi uzidi kutuelimisha najifunza mengi kutoka kwako na napiga hatua🙏🙏

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 8 หลายเดือนก่อน

    Asante bro najifunza mengi Sana ukiwa na hali duni pia una hasira naona unaisha mwenyewe

  • @seraphinemuthama5119
    @seraphinemuthama5119 7 หลายเดือนก่อน

    Hasira kweli inanikalia mimi

  • @imanimwashiuya223
    @imanimwashiuya223 8 หลายเดือนก่อน

    ukweri mutupo nirionahikwangu. irikupitia wewe nimejifunza vingisana. na mungu aendereekukupa marfa

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla 8 หลายเดือนก่อน

      Umejifunza vingi kupitia huyu? Basi jifunze pia kusoma na kuandika kiufasaha itakusaidia sana ujue namna ya kutofautisha matumiz ya R na L" au tafuta kitabu kinaitwa "JIFUNZE KISWAHIL"

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 8 หลายเดือนก่อน

    JOEL YOU ARE GENIUS BRO🤺💡🏌️‍♂️

  • @alexpiusyoung1389
    @alexpiusyoung1389 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hasira na Uzuni. Ndio vitu ambavyo vinafunga mafanikio yangu.

  • @Chagha_lee_69
    @Chagha_lee_69 8 หลายเดือนก่อน

    Pamoja sana

  • @erickathanas
    @erickathanas 8 หลายเดือนก่อน

    Thanks sana brother Joel kwa somo zuri

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 8 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Joel

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 8 หลายเดือนก่อน

    Ahsante

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 8 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana kwa Elimu ya Maisha

  • @aikajaphet1108
    @aikajaphet1108 8 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏naisubiri kwa hamu

  • @Sumay228
    @Sumay228 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ikiwa nonstop kusingiziwa kukataliwa au Halifax ngumu ya maisha I think better uhame hilo eneo from there ni rahic kuachilia kuanza upya na kusamehe otherwise is not dat easy

    • @ashamadunda1532
      @ashamadunda1532 8 หลายเดือนก่อน +1

      Huwa nakosa furaha, kuona naonewa kwa kosa ambalo sijalifanya hvy huwa napatwa na hasira hadi nalia mwenyewe.... But now nitaweza juzi control ili niwe imara

    • @kezamutimajoselyne7848
      @kezamutimajoselyne7848 8 หลายเดือนก่อน

      J9k

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 8 หลายเดือนก่อน

    Shukrani kaka kwa elimu ❤❤

  • @emanueleugen921
    @emanueleugen921 8 หลายเดือนก่อน

    Hisia wakati nko chini kiuchumi

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa 8 หลายเดือนก่อน

    Kweli umenifundisha kitu

  • @user-qx6ov1yr2q
    @user-qx6ov1yr2q 8 หลายเดือนก่อน

    Hasira ndo jambo linalonisumbua ila Leo umenifungua bro

  • @benjaminthomas3775
    @benjaminthomas3775 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona hamna au muda bado jmn?