#TBC1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- #TBC1: WEKEZA TANZANIA: MAPYA JUU YA UWEKEZAJI MKUBWA WA KITUO CHA BIASHARA UBUNGO
Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka eneo la Ubungo mkoani Dar es Salaam kilipokuwa kituo cha mabasi yaendayo mikoani ambapo kwa Sasa unaofanyika uwekezaji mkubwa wa Kituo Cha Biashara na usafirishaji Cha Afrika Mashariki, uwekezaji huo una thamani ya zaidi ya Bilioni 270.
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK
Uwekezaji huu utawezesha Watanzania kupata guality products toka China kwani huko nyuma wafanya biashara wengi wa Tz walikuwa wanatuletea low quality products toka China na kutuuzia kwa bei ya juu. Kumbuka nchini China Kuna products za quality mbalimbali. Kuna zile zinazotengenezewa uchochoroni na ni za bei ya chini Sana na zikiletwa hapa zinauzwa kwa bei kubwa. Ila this time hii haipo.
Watu wasiogope inatakiwa kuwa na hizo masoko mengi ,pia wafungue viwanda TZ hapo hapo.
Sawa kabisa ....viwanda ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi
Hongera rais wetu toe I fursa zaid za uwekekezaji tunataka tuone mirad mikubwa zaid
Hii kitu nilikuwa najua tu Tukishindwa kufanya partnership na wachina waje watengeneze viwanda bac watajenga soko na watauza bidhaa zao
hii ndio akili
kwenye hilo soko watauza bidhaa za kutoka china tu au nasisi Watanzania wenye viwanda tunaruhusiwa kuuza bidhaa zetu humo...???.
Itakuwa ni platform nzuri sana ya kuuza bidhaa zetu kwa matifa jirani.
Good interview... I give them 5 🌟
Dada Cathy! Uko vizuri sana
Watanzania mnaogopa nin tunahitaj malls zaid ya hiz tz
Congratulations to Tanzania for seeing the opportunity and promoting the message of East Africa. It is good for citizens to encourage leaders when they are doing well so that they can bring us more progress. 🇧🇮🇹🇿🇹🇿
Muangalie na faida zake kwa taifa sio ilmradi miradi tu inufaishe wawekezaji pekee hayo majengo msipo angalia kwa makini mtayaona machungu ysnaweza yasiwe na faida zaid yahasara kwa taifa
Hivi,wewe Lylian mwasha huwezi kuongea kiingereza?,unamhoji vipi mtu kwa kiswahili na yeye anaongea kiingereza?,wasiojua kiingereza watajua anakujibu nini?
Ata wao ukienda china hawaongei kiingereza
Hiyo ni mall au vip
Dada hongera
Hengera dada kwa kazi nzuri
This is good may be we can get brand products and not fake ones
Kwenye bizaa umeona mbali sana