Dah...hii ni zaidi ya hatari Nyumba ya Chumba kimoja ni 99M!!!!!! Sidhani kwamba hii ni kuwasaidia hao Watumishi,bali ni kuwakadhamiza na kuwaumiza mno.
Nyie WHI huwa siwaelewi kabisa,bei zenu ziko juu sana, mnawa-target watuishi wa Umma wa aina gani?. Kwa bei hiyo ya milioni 99 unapata nyumba ya vyumba 3 hapa Nairobi. Jua uchumi wa wateja wenu!.
Dah...hii ni zaidi ya hatari
Nyumba ya Chumba kimoja ni 99M!!!!!!
Sidhani kwamba hii ni kuwasaidia hao Watumishi,bali ni kuwakadhamiza na kuwaumiza mno.
Nyie WHI huwa siwaelewi kabisa,bei zenu ziko juu sana, mnawa-target watuishi wa Umma wa aina gani?. Kwa bei hiyo ya milioni 99 unapata nyumba ya vyumba 3 hapa Nairobi. Jua uchumi wa wateja wenu!.