MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI/ MIKOCHENI JIJIDI DAR ES SALAAM/ WAHI SASA:

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 15

  • @paulmussa9800
    @paulmussa9800 13 วันที่ผ่านมา

    mnakichaaa nini😂😂😂😂 milioni 234 si bora ninunue kiwanja nijenge😂😂😂

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 23 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🙏Hatuwakatishi tamaa kwamaon ,lkn unakuta jengo la veta kama shule ya msingi 😭😭😭😭.jaman muwe wabunifu zaid m google hata mwonekano wa vyuo au majengo ya CHINA kuanzia 20000 muyaone .JAMAN FANYEN JAMBO LA UBUNIFU ZAID,NAAMINI UWEZO MNAO ......MUNGU AWABARKI NA AWAONGEZEE UWEZO.🇹🇿🇹🇿🇹🇿 INAWEZA👑👑👑

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 23 วันที่ผ่านมา

    Hongeren sana ,lkn majengo ya DUBAI na SINGAPORE c mnayaona?fanyen vi2 vyakushangaza zaid kama taasisi.lONGEZEN UBUNIFU. KAMA MOROKO SQUARE INAVOONEKANA

    • @AhmedHassan-vl5zf
      @AhmedHassan-vl5zf 16 วันที่ผ่านมา

      Waongeze u uni ina maana wawac he wizi kabda ya jengo kuanzia wamesha gawana asilimia 20 ya fedha za mradi

  • @Martin-lv1xw
    @Martin-lv1xw หลายเดือนก่อน +1

    mwenyewe anaongea kama amepgwa shot. Wizi tu. Bora ununue kiwanja ujenge mwenyewe. takataka kabisa👿👿👿

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 15 วันที่ผ่านมา

    So hao baba na mama hawana watoto okay na una mil. 99 bullshit

  • @KibwayaMsouth
    @KibwayaMsouth 2 หลายเดือนก่อน

    Wapeni wgeni ndo wataweza sio wenyeji

  • @ritamutoka7768
    @ritamutoka7768 หลายเดือนก่อน

    Kwanini wanaweka wafanyakazi ndani ya vichuguu ?!!😢

  • @benedictaustard5583
    @benedictaustard5583 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie WHI huwa siwaelewi kabisa,bei zenu ziko juu sana, mnawa-target watuishi wa Umma wa aina gani?. Kwa bei hiyo ya milioni 99 unapata nyumba ya vyumba 3 hapa Nairobi. Jua uchumi wa wateja wenu!.

  • @dullyjabri8393
    @dullyjabri8393 2 หลายเดือนก่อน

    Mifumo ya uzimaji moto ipo ?

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka7222 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie wapumbavu tu...bei kubwa nyumba za kishenzi...au kisa kukaa ghorofani

  • @samasob8233
    @samasob8233 4 หลายเดือนก่อน

    hata website mnayo? kampuni kubwa kama hii lazima muwe na website jamani

  • @ibrahimabdillah5729
    @ibrahimabdillah5729 4 หลายเดือนก่อน

    Dah...hii ni zaidi ya hatari
    Nyumba ya Chumba kimoja ni 99M!!!!!!
    Sidhani kwamba hii ni kuwasaidia hao Watumishi,bali ni kuwakadhamiza na kuwaumiza mno.

  • @mukhtarnasser6837
    @mukhtarnasser6837 3 หลายเดือนก่อน

    Does People has 99 millions to buy ? It is only able buy is worker of Government employee only

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 16 วันที่ผ่านมา

    Kkkkkkk hii mijitu ni mjinga kabisa million 234 ni sawa na dollar laki moja kwa Tanzania maisha ya Tanzania halafu ni mfuko wa watumishi ndio unajenga na vipato vya watumishi vinajulikana jama ndio maana wafanya kazi wanaiba wanachukua rushwa ukitowa miji mkubwa ulaya hiyo ni bei ya nyumba