#TBC1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 62

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 2 หลายเดือนก่อน +8

    Good news Viva africa ❤❤❤❤🤝🤝🏻💪💪💪💪from Burundi 🇧🇮 Lives in cape Town ❤❤❤

  • @JaphetIrakoze-m5f
    @JaphetIrakoze-m5f 3 วันที่ผ่านมา

    Nice family! that's what we call unity.❤

  • @bigjohnnevergiveup
    @bigjohnnevergiveup 2 หลายเดือนก่อน +5

    GOOD NEWS IN EAST AFRICA 🌍 BURUNDI ITAKUWA INCHI YAMANA SANA VERY SOON BURUNDI DUBAI OF AFRICA 🌍 INCH IMEJAA GOLD AND MAZIWA NA HASALI GOOD TZ AND BURUNDI

  • @egbertcharles
    @egbertcharles 2 หลายเดือนก่อน +5

    God Bless TANZANIA, RWANDA, BURUNDI, as well as KENYA, UGANDA and Africa.

  • @kizepicele119
    @kizepicele119 หลายเดือนก่อน +1

    Mama iko kazini Kazi ienderee

  • @VyizigiroDeo-lu1gv
    @VyizigiroDeo-lu1gv หลายเดือนก่อน +1

    Burundi 🇧🇮 🇧🇮 razima isongembale tanzania 🇹🇿 tuyipenda 🇧🇮 I ❤❤a lov

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 2 หลายเดือนก่อน +2

    viva Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮viva africa good job for african countries

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 2 หลายเดือนก่อน +9

    R.I.P john pombe magufuli hakika utaishi mioyoni mwetu daima kwa alama zako nyigi ulizo tuachia 🙏🙏

    • @HajiMgwami
      @HajiMgwami 2 หลายเดือนก่อน

      HUO SIO MRADI WA BWAWA LA NYERERE, KHAAAAA

    • @highlife6779
      @highlife6779 2 หลายเดือนก่อน +4

      Kaka magufuli ndo aliainisha hio miradi yote unayoona inafanyiwa kazi. Alisema tanzania ina vyanzo vya umeme vinavoweza kuzalisha mpaka megawat 18000. Ukiwemo huu hapa. Maongezi ya kuujenga huu mradi ulianza kipindi cha magufuli. R.I.P JPM​@@HajiMgwami

    • @balozimkali1337
      @balozimkali1337 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@highlife6779anachuki na Magu

    • @alfinmbilinyi5985
      @alfinmbilinyi5985 หลายเดือนก่อน

      🇹🇿Yeah ♥️Rwanda na♥️ Burundi ni ndugu zetu wa damu tukiondoa siasa.Historia inaonyesha taifa lao mama ni Tanganyika (Tanzania bara) waingereza waliitoa ardhi ya Tanganyika kwa wabelgiji na kuunda nchi ya Rwanda na Burundi na hii inasababisha uadui wakati sisi ni ndugu.Watanzania tunawapenda sana warundi na wanyaranda ni ndugu zetu.karibu Tanzania kivutio kikubwa Cha utalii duniani: ngorongoro Serengeti Zanzibar mikumi ,mafia nk

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Vumilia mwasha uje sasa mwanza jamani.

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera Tanzania

  • @chrisbenchrisben1337
    @chrisbenchrisben1337 หลายเดือนก่อน

    Rwand is Tanzania is good

  • @mwake213
    @mwake213 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani bendera ya tanzania imegeuzwa juu chini taharifa ziwafikie wahusika.

  • @davidkindandi7631
    @davidkindandi7631 หลายเดือนก่อน

    Hongera umoja ninguvu endeleeni kupendana nakuungana mukono

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 หลายเดือนก่อน +3

    Bado utakuta Rwanda 🇷🇼 Inaendelea kimaendeleo na Pesa ya Rwanda 🇷🇼 inaendelea kuwa na thamani sana kuliko Nchi zote hapo. Tatizo sio uwekezaji, kitu muhimu sana hapa ni ufanisi katika usimamizi na ukuaji ( Nilikua sina shaka na Dr.John Pombe Magufuli kwenye hili ). Congrats to Rwandans for reelection of H.E Kagame continue protecting that valuable treasurer🫡.

  • @benjaminnshimiyimana917
    @benjaminnshimiyimana917 หลายเดือนก่อน +1

    CONGRATULATIONS ! HIYI NDIO KWELI ! VIGINE NA KUPIGANA MA VITA YASIYO NA MAANA NI UWONGO MTUPU NDUGU ZANGU !

  • @juliusevance
    @juliusevance 2 หลายเดือนก่อน +1

    My home,,,,na mimi nakujaaaa kuwekeza huko soon

  • @arnoldmasaki6198
    @arnoldmasaki6198 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bendera ya Tanzania imepandishwa ndivyo sivyo. The blue is always at the bottom.

  • @emmanuelmogasa498
    @emmanuelmogasa498 2 หลายเดือนก่อน +1

    Its like a radio programme, haina taste ya Tv, mandhari hayaonyeshwi, just standing in one place

  • @nelsonveryinspiringsongver8042
    @nelsonveryinspiringsongver8042 2 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ntare kwa lugha ya Kisukuma ni Mkubwa (Big)

  • @deondihokubwayo3743
    @deondihokubwayo3743 หลายเดือนก่อน

    TBC1 ni nini wandugu zangu??

  • @IsufuRajabu-v9c
    @IsufuRajabu-v9c 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa umoja tuko nao Burundi Rwanda na Tanzania mnajifikiria nini kufanya muunganiko wa nnchi hizo tatu ikiwezekana na congo iwemo ????

    • @omkalo4
      @omkalo4 หลายเดือนก่อน

      @@IsufuRajabu-v9c Congo na wakongomani hatutotaka kua katika mambo na Rwanda. Nyinyi ambao hamjajua unafiki na uongo wa hao watu, fanyeni hivyo nao. Hao wana deal wamepewa na ma beberu kuteketeza waafrika wa bantu. Mtayaona huko mbele.

    • @intarebatinya8027
      @intarebatinya8027 หลายเดือนก่อน

      ​@@omkalo4 vraiment stupide tribaliste

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji amekatisha hapo kwenye historia ya mradi, maana aliona anataka kutajwa magufuli, alivyo sikia mawaziri wa awamu ya tano tu, akasema tusimalize uhondo hapa,

  • @IsufuRajabu-v9c
    @IsufuRajabu-v9c 2 หลายเดือนก่อน

    Umoja ninguvu tuunge umoja ili nguvu za hizi nnchi tatu au nne ziwe pamoja ili ziweze kufanya kitu kikubwa zaidi hikibhapa

  • @SATZ-news
    @SATZ-news 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ilitakiwa iwe ya Kingereza ili muite wawekezaji wa kigeni waje kuwekeza sasa mnatutanazia sisi waswahili hata mitaji hatuna tunawekeza nini?😂😂😂😂
    #TBC

    • @mduda_i
      @mduda_i 2 หลายเดือนก่อน +3

      Ushawah kuona wachina wanatangaza mradi wao kwa kiingereza? Muwekezaji kama anania ya kuwekeza kiswahili atajua tu kiswahili hatuwezi tukuza lugha za mabeberu hadi hii leo ni utumwa wa kifikra.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 หลายเดือนก่อน +2

      Watanzania bwana, kukitangazwa kingereza mnalia lia, kiswahili mnalia lia

    • @balozimkali1337
      @balozimkali1337 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@BigZhumbewatanzania kwani wanajua wanataka Nini wamo tu

    • @justinmwamloso7559
      @justinmwamloso7559 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kawambie basi wewe kwa kingereza waje kwani si anaongea nasi waswahili

  • @jacksonhyera2230
    @jacksonhyera2230 2 หลายเดือนก่อน

    Natamani kuwe na kampuni private za uzalishaji na usambazaji umeme Tanzania

    • @section8ight174
      @section8ight174 28 วันที่ผ่านมา

      Sio kwenye vitu vyenye maana kama hivi😊

    • @jacksonhyera2230
      @jacksonhyera2230 28 วันที่ผ่านมา

      @@section8ight174 mcxh matatizo ya umeme yangeisha na serikali ingepata mapato mazuri kwa utozaji kodi kwa kampuni husika pia ongezeko la ajira.. Na ingeongeza nguvu viwandani kuliko kukodisha magenereta😂😂🇹🇿

    • @section8ight174
      @section8ight174 27 วันที่ผ่านมา

      @@jacksonhyera2230 Kwani wewe bado upo mwaka 2023 nini? Majenereta ya nini mzazi? 😂 mbona makubwa Haya! Nenda kasikilize speech ya Magu kuhusu strategic infrastructure alafu uangalia vile SA walivyohangaika na umeme wao walipobinafisha!

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 2 หลายเดือนก่อน

    Wananchi wanaruhusiwa kununua share

  • @Gitega350
    @Gitega350 หลายเดือนก่อน

    Tafuta. mutu anaweza sema kiswahili kizuri uyu hajuwe kiswahili

  • @KeremeSavon
    @KeremeSavon 2 หลายเดือนก่อน

    Vipi mutaonyesha mitambo yenu kwa undani hadi chumba cha mipango. Jifunzeni kama wote sio wema. Usalama wa mitambo hauruhusu hayo hata siku moja. Kama mtaalam wa ninatoyasema jitafakarini kabla ya kuweka habari zenu. Kwangu Mkurugenzi wa usalama inabidi ajiuzuru na kuomba video nzima ifutwe

  • @omkalo4
    @omkalo4 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ukisikiliza kiswahili cha huyu Mhandisi Ntare Karitanyi wa Rwanda, utafahamu kwamba huyu jamaa amejifunzia kiswahili huko Ckongo DRC. Inawezekana ka zaliwa huko na alienda shuleni Congo, na sio yeye tuu, ni ma elfu kama yeye; lakini leo hawa hawa ona wanavyo fanya kuuzi CKongo.

    • @vyuguruzumwangumwereka
      @vyuguruzumwangumwereka 2 หลายเดือนก่อน +4

      Wewe hauelewi kinacho endelea kivu kaskazini nchini Congo! Stop opining on geo-political matters that are above your pay grade!

    • @omkalo4
      @omkalo4 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@vyuguruzumwangumwereka Kama ungefahamu ujuzi wa geo-politics wa unaye jaribu ku bishana nae, usingefungua hata mdomo wako ku ...

    • @vyuguruzumwangumwereka
      @vyuguruzumwangumwereka 2 หลายเดือนก่อน +3

      @@omkalo4 Again, you have no idea what you're talking about. First off, Ntare never lived in the Congo. 2nd of all, there is a difference between Rwandan nationals, and Congolese who happen to speak kinyarwanda! What's happening in DRC is deeper than what you are hearing from BBC and VOA. Go back to your initial comment and see how ridiculous it sounds!

    • @niyorukizaelias8142
      @niyorukizaelias8142 2 หลายเดือนก่อน

      Mwanangu unazingua😂😂

    • @samwelmlwanda8789
      @samwelmlwanda8789 2 หลายเดือนก่อน

      ​gzhh

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 2 หลายเดือนก่อน

    Pumbavu tu hakuna kitakacho fanyika hapo eti kampuni ya rusumo kwa nini miradi kama hii muhimu msiwape wazungu wenye akili kuliko sisi

    • @section8ight174
      @section8ight174 28 วันที่ผ่านมา

      Mbona unangea pumba? Kachambe ulale, huna hoja hapa!!