ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

TRENI YA UMEME YAFIKA DODOMA KADOGOSA AFUNGUKA "HII NGOMA NI NZITO,TUMETUMIA UMEME WA MIL.1.2"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 198

  • @danogeto78
    @danogeto78 3 หลายเดือนก่อน +4

    mimi kama mkenya 🇰🇪
    Nasema hongera kwa kazi nzuli ariofanya Magufuri,mbio za East ➡️ Africa ziendelee 🇰🇪🇺🇬🇹🇿

  • @zakariamachinga151
    @zakariamachinga151 3 หลายเดือนก่อน +45

    Tutamkumbuka Magufuli milele ametufungua macho Tanzania inaweza

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 หลายเดือนก่อน

      Huu ni mpango wa Mkapa, Ila hitimisho ni hao wengine, ila mama katenda sana

    • @herodiduma9906
      @herodiduma9906 3 หลายเดือนก่อน

      @@birianination7097 mpango wa Nyerere huu

    • @amanimeela1106
      @amanimeela1106 3 หลายเดือนก่อน

      well said @birianination7097

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@birianination7097 Mpango kila mtu anaweza, ni sawa na kuchora tu ila mtelezaji ndiyo Mwamba. JPM your legacy is here to stay forever

    • @bavonnyaulingo4188
      @bavonnyaulingo4188 3 หลายเดือนก่อน +1

      Bibi mkubwa apewe maua yake,kwa kufanikisha zoez zima la SGR congole sana

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 3 หลายเดือนก่อน +12

    JPM for maisha

  • @user-xs6sh5wh4p
    @user-xs6sh5wh4p 3 หลายเดือนก่อน +42

    Rip baba magu.tumeona kazi yako😢😢😢

    • @elibarikikivuyo5946
      @elibarikikivuyo5946 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂achana misimu ww

    • @user-xs6sh5wh4p
      @user-xs6sh5wh4p 3 หลายเดือนก่อน

      Nikweli vpofu viziwa vichaa nawasiojua nakuthamini chanzo chamto hawafkiriagi kua kunamaali ayo maji yalianzia.naww ni miongoni mwao

  • @mopalmo5818
    @mopalmo5818 3 หลายเดือนก่อน +29

    Magufuli 💯

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 3 หลายเดือนก่อน +12

    RIP Mzee Magu,maono Yako yameendelezwa na mama

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 3 หลายเดือนก่อน +51

    Magufuri nijuudi zako daima tutakukumbuka mzeewetu

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 3 หลายเดือนก่อน +3

      hizoo nijuhudiii za mama yetu acheni chukiii na wala hatutorudii kbs enziii ya mwalimmmm😂😂😂😂

    • @gazzomaster9462
      @gazzomaster9462 3 หลายเดือนก่อน +5

      ​​@@hemedrashid2921 Uongo peleka kwenu hata like aupat ushtuk

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe mfwate basi

    • @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
      @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 3 หลายเดือนก่อน +1

      mfuate huko alipo umpe pongezi

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 3 หลายเดือนก่อน

      Acha afe tu katuachiaa bungee la hovyo sana

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b 3 หลายเดือนก่อน +33

    RIP JPM,ulikuwa kiongozi moja na nusu

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 หลายเดือนก่อน

      Dodoma ni samia

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@birianination7097 mradi ni wa mgufuli mama ni mwendelezo tu.

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwawekomiuda9779 mradi ni wa jakaya, wote ni mwendelezo

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 3 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera Mh: Rais S.S. H Kwa kuendeleza Kwa Kasi miradi mliyoianzisha na Mwendazake J.PM. Kila la Kheri.

    • @mussamussa8181
      @mussamussa8181 3 หลายเดือนก่อน +1

      Unaweza ku edit ilo neno kwa kasi

  • @anwaritesal4695
    @anwaritesal4695 3 หลายเดือนก่อน +9

    Pongezi zimfikie mjomba Magufuli

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 3 หลายเดือนก่อน +15

    Umeongea vzr sana ila bila magufuli hizo pesa mngezipeleka sana nje RIP Jpm 😥💪

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 หลายเดือนก่อน

      Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza

  • @nth3512
    @nth3512 3 หลายเดือนก่อน +6

    Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana

  • @abrahammollel3558
    @abrahammollel3558 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hii ndio tunachotaka mama uendelezaji wa mtangulizi wako mungu Akubariki kwa kutuandalia maisha ya mama Tanzania ya baadaye

  • @YugoAlly
    @YugoAlly 3 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera magufur

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera Jpm

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน +5

    MUNGU AKUBARIK SANA MAMA SAMIA UNAUPIGA MWING PIA UMEMUHESHIMISHA MAGUFULI KAMA UNGEUPUUZIA HUU MLAD KAMWE MAGU LEO ASINGEKUMBUKWA

  • @fredrickmassawe2437
    @fredrickmassawe2437 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu mpokee mtumishi wako Magufuli

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 3 หลายเดือนก่อน +14

    Maono ya mwamba kutoka kijijini chato tunayaona endelea kupumzika kwa amani JPM

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli, alianzisha kikwetwe huo mpango, japo yeye hakua na wazo iwe ya umeme. Alicho ongezea hapo mafuli ni umeme.

    • @martinndunguru6358
      @martinndunguru6358 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@martinisadru9899 kwani ukiukubali huo ukweli, ndio atafufuka?!!!! Magu alikua kichwa Mzee

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ameacha alama

  • @user-ts9lp4rm9j
    @user-ts9lp4rm9j 3 หลายเดือนก่อน +5

    VIVA JPM ULITHUBUTU BABA

  • @kassebo
    @kassebo 3 หลายเดือนก่อน +6

    Magufuli. Dreams

  • @Ben-gj6is
    @Ben-gj6is 3 หลายเดือนก่อน +1

    yani huyu Mkurugenzi hana facts zake kabisa, eti piga hesabu apo, utajua..😂😂

  • @ChinaboyKipese
    @ChinaboyKipese 20 วันที่ผ่านมา

    Mwenyez Mungu awabariki kwa kaz kubwa mnayo fanya viongoz

  • @ramadhanramadhan3698
    @ramadhanramadhan3698 3 หลายเดือนก่อน +7

    Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 3 หลายเดือนก่อน

      Matunda ni ya walipa Kodi Ila usafiri ni WA public

    • @MethodJulius-fu9hf
      @MethodJulius-fu9hf 3 หลายเดือนก่อน

      Stareh gharama unataka kufika haraka, na luxury then uende moro kwa 15 elf, mnyonge atapanda la mkokoteni na kku wake na mafuta ya mawese😂

  • @HansChuma
    @HansChuma 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera MAMA SAMIA KWA KUIWEZESHA RELI YA SGR NA KULETA MABEHEWA NA TRENI ZA KISASA ...

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri...mwezi wa saba sio mbali tunahitaji huduma

  • @user-kk6bf6bt6f
    @user-kk6bf6bt6f 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongeraaa maguful uliyoyaacha yanaendelezwa

  • @malupex6299
    @malupex6299 3 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sn viongozi wetu mnafanya vizuri chini ya uongozi wa Rais SSH

  • @bakarinondi6979
    @bakarinondi6979 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jpm hata wasipo mtaja na kumpongeza Watanzania watampongeza, Rest in Peace Jpm

  • @MikidadiSalim-xk9dc
    @MikidadiSalim-xk9dc 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah...

  • @SuzanacMgonukulima
    @SuzanacMgonukulima 3 หลายเดือนก่อน +15

    Huu muendelezo mzuri wa rais Wetu

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania tuache kuzima data lazima tumpe maua kiongozi pia aliyeanzisha kazi na hasa umeme wa ziada RIP Magu

  • @user-hm9bd8nv9h
    @user-hm9bd8nv9h 3 หลายเดือนก่อน +4

    Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki .
    Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali .
    Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako.
    BE BLESSED MADAM PRESIDENT .

    • @joycelinelyimo-fenske8745
      @joycelinelyimo-fenske8745 3 หลายเดือนก่อน

      Kama bwawa la nyerere limekamilika! Sasa mbona umeme bado unakatikakatika!!!????😮

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 3 หลายเดือนก่อน +1

      Shida miundo mbinu ya kupokea umeme na kusambaza ndio mibovu hawasemi ukweli umeme mwingi unapotea bure.tu.

    • @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
      @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 3 หลายเดือนก่อน

      @@joycelinelyimo-fenske8745 una kichwa kigumu kuelewa itakua umepata zero formfour

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera Mama samia piga kazi

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naona akija Rais kama jpm na hiyo yazamani inadilishwa itumie umeme

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz836 3 หลายเดือนก่อน +4

    Good news

  • @MasoudyMichael-ox7xl
    @MasoudyMichael-ox7xl 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kile kichwa Cha magu kingepimwa Kwanza aisee🎉

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 หลายเดือนก่อน +3

    Bado umeme unatumika mwingi kunatakiwa kuwe na ubunifu zaidi kupunguza gharama za umeme

    • @herodiduma9906
      @herodiduma9906 3 หลายเดือนก่อน

      Nenda kaongeze ubunifu

  • @shedrackmutalemwa7310
    @shedrackmutalemwa7310 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tukumbuke kumshukuru Mungu.

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allah ampe amlinde na ampe afyanjema raisi wetu

  • @hawaally2308
    @hawaally2308 3 หลายเดือนก่อน

    Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sanaaaaaa mama Samia, kazi unayoifanya tunaiona, mwenye macho anaona .

  • @rajjoshua7328
    @rajjoshua7328 3 หลายเดือนก่อน

    Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 3 หลายเดือนก่อน +1

    HONGERA KWA SERIKALI KUFIKISHA MRADI HUU HATUA KUBWA ILA IFANYWE KUMBUKIZI BASI YA MUANZILISJI WA HILI WAZO LA UJENZI HUU

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 3 หลายเดือนก่อน +1

    WAKENYA BADO WANATUMIA TRENI YA MAKAA 😂😂😂 WAAMBIENI WAJE KUJIFUNZA HAPA😂😂

    • @Soon815
      @Soon815 3 หลายเดือนก่อน

      😁😁😁😁😂😂😂

  • @PaulDavid-yk9xo
    @PaulDavid-yk9xo 3 หลายเดือนก่อน

    Reli ya watanzania,umeme wa watanzania,tumpongeze alieanzisha pia anaendeleza,swali langu mbona nauli za SGR za kuu kukaribia za ndege?

  • @justice607
    @justice607 3 หลายเดือนก่อน

    Duh gharama kubwa mno but big up to JPM

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 หลายเดือนก่อน

    Haya ndio mambo tunayataka Kwenye nchi yetu Tanzania.

  • @t1910j
    @t1910j 3 หลายเดือนก่อน

    Oh wow!

  • @MzaziMzazi
    @MzaziMzazi 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 หลายเดือนก่อน +3

    UchaguZI UBAKARIBIA

  • @maternmkomange5389
    @maternmkomange5389 3 หลายเดือนก่อน

    Yani kama nauli tu ikiwa chini yani tufanye sh 35000 kama Kila kichwa Cha TREN kikibeba watu 60 na vichwa 35000 mara 60 nipesa ndefu Haina mfano

  • @kelvinmgendwa1438
    @kelvinmgendwa1438 3 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @joshuajackson3827
    @joshuajackson3827 3 หลายเดือนก่อน

    Point

  • @mosesbuhilya4348
    @mosesbuhilya4348 3 หลายเดือนก่อน

    Inabariki sana

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania sasa imeanza kuonekana kwenye ramani ya dunia kweli tunaweza

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 3 หลายเดือนก่อน

    Niceeee

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 3 หลายเดือนก่อน

    Kadogosa amezungumzia umeme zaidi, kuliko kuzungumzia Reli. Mwananchi wa uvinza atakushangaa😅😅

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umeme wa mil 2 ,,kama faida IPO piga kazi kama hakuna faida piga chini

    • @Soon815
      @Soon815 3 หลายเดือนก่อน

      Faida ipo kubwa mno

  • @husseinkombomwachikobe8828
    @husseinkombomwachikobe8828 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tujulishsni....nauli

  • @majaliwawilson9372
    @majaliwawilson9372 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kichwa Cha mchongoko kikowap tulion mlisema vimefika vikowap mbona hicho chakawaida

    • @user-ts9lp4rm9j
      @user-ts9lp4rm9j 3 หลายเดือนก่อน

      Wanaunganisha pale vingunguti

  • @justice607
    @justice607 3 หลายเดือนก่อน

    Daima tutakukumbuka Bulldozer, jembe, JPM ulikuwa na nia njema na nchi yetu hii TZ😢

  • @JacklineswaniMakindo
    @JacklineswaniMakindo 3 หลายเดือนก่อน

    I'm in love with you 😍 masanja kadogosa

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo test mnatumia tlain ya abiria badala ya tlain ya mizigo?!

  • @user-hn7uv4yg2q
    @user-hn7uv4yg2q 3 หลายเดือนก่อน +2

    chaajabu mzee wamsoga alitaka ajenge yamafuta😂

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 3 หลายเดือนก่อน

      achaaaa fitinaa na uaduii wenu tunawajuaaa na wala hatutolalalaaa tenaa futa kichwaa ujingaa wakoo

  • @andrewbigambo6721
    @andrewbigambo6721 3 หลายเดือนก่อน

    Ukichanganya mwambie aweke free kupunguza gharama ya unit.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 หลายเดือนก่อน

    Acheni kumsahau aliyedhubutu wamepita wangapi RIP Magufuli

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 3 หลายเดือนก่อน +1

    MAGUFULI hoyeeeee

    • @OmariHamza-eo8tq
      @OmariHamza-eo8tq 3 หลายเดือนก่อน

      hoyee tena hoyeeee hata hiyo tren ingeitwa Magufuli

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 3 หลายเดือนก่อน

    Million moja laki mbili subiri ianze kazi rasmi utaskia milioni 2

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwendeni uko kazi ya magufuri na mlimbeza leo anapewa sifa mwingine? Ivi mnafikiri mtawadanganya watanzania mpaka lini

    • @herrysonk.edward609
      @herrysonk.edward609 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hata hawawezi kudanganya lbd tufe kwanza sisi tulioshuhudia mwamba akipigwa vita kila kona eti leo hongera mama duuh unafiki sio mzuri

    • @user-vw6er5rz2y
      @user-vw6er5rz2y 3 หลายเดือนก่อน

      Wakupongezwa mama samia

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-vw6er5rz2yBila JPM kumchagua Samia awe makamu wake hata usingemjua. JPM kwanzaaa

  • @Manase_js
    @Manase_js 3 หลายเดือนก่อน

    Rip magu

  • @mhammadmahfudh1324
    @mhammadmahfudh1324 3 หลายเดือนก่อน

    Duh 1.2 million 😮😮 so mchezo

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb 3 หลายเดือนก่อน +1

    Miradi yte ya mzee magu hela zake zilikuwa zipo msituzibe macho sisi wengine tunaelewa wacheni kutupiga propaganda iyo miradi yte ni ni ya mzee magu na hela za hiyo miradi zilikuwepo

  • @vero57
    @vero57 3 หลายเดือนก่อน

    MAGUFULI BABA , ULIFANYA KAZI NZURI SANA, KWAHIVYO TANESCO WAKIKATA HAKUNA SAFARI?????

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 3 หลายเดือนก่อน +1

    Masaa maatatu na nusu hivi kutoka dar to dom
    Ila inatakiwa iwe masaa mawili tu

    • @sibtwunyangeonlinetv7825
      @sibtwunyangeonlinetv7825 3 หลายเดือนก่อน +2

      Imebeba viongozi wa nchi pamoja na dini haiwezi kutembea mwendo huo + ni majaribio2 kwahyo wataongeza mdogo mdogo

    • @Adamadam-du5vx
      @Adamadam-du5vx 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wanafanya majalibio kaka awawez kukuambia wabongo jaman umuishi kukusow

    • @nth3512
      @nth3512 3 หลายเดือนก่อน

      Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 3 หลายเดือนก่อน

    #NASIMAMA NA SAMIA

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 3 หลายเดือนก่อน

    Bila Magufuli mngevisikia tu huko nje wapuuzi nyie huwa nayashangaa majitu yanayomsema vibaya JPM, hao wote ni wapumbavu

  • @NuruNgolle
    @NuruNgolle 25 วันที่ผ่านมา

    Shingapi nataka kesho niende dar niko dodoma

  • @jameshoya2115
    @jameshoya2115 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona bado wanatumia hivi vichwa walivyosema ni vya treni ya mzigo?? Na wakati vichwa vya mchongoko vilishafika!!

  • @sherallyabdallah248
    @sherallyabdallah248 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hajui kuongea

    • @ramadhanijuma4130
      @ramadhanijuma4130 3 หลายเดือนก่อน

      Engineer na kuongea ni vitu viwili tofauti

  • @tintin0019
    @tintin0019 3 หลายเดือนก่อน

    NA TANESKO WANAVYO KATA KATA STIMA MUNGU ATUSTIRI😅

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb 3 หลายเดือนก่อน

    Hayati JPM hakika ww ulikuwa na maono tunakukumbuka sana

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa naizo treni za zamani zinatumia nin kamapesa haziendinje

  • @leylaruhabaye9017
    @leylaruhabaye9017 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu msamehe magufuli na ss pia ukweli ni juhudi zako km ungekuwepo tungekuwa mbali sana.mungu akuweke unapostahili amiin

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 3 หลายเดือนก่อน

      Angekuwepo Mwamba ingekuwa ilishaanza siku nyingi safar Hawa wapo taratibu mno

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani njiani jaribuni kuwa makini na ajari maana mmm

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb 3 หลายเดือนก่อน

    Ww acha kuongea pumba kama si magu tungeendelea kuona kwenye tv tu wamepita wangu mbona hata wazo hawakuleta magu tunakukumbuka

  • @user-xm2xi9qj9n
    @user-xm2xi9qj9n 3 หลายเดือนก่อน

    Bei iwe rafik

  • @HoseaLeonard
    @HoseaLeonard 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania hatujawahi kuwa wasimamizi wazuri wa miradi, hoestly speaking utakufa kama mingine iliyowahi kuwepo😂

  • @conradruba1971
    @conradruba1971 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona amja muuliza wametumia muda gan dar to dom ndo memuogopa

    • @Adamadam-du5vx
      @Adamadam-du5vx 3 หลายเดือนก่อน

      Kaka kuwamakin kusikiliza

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 3 หลายเดือนก่อน

      Hujaskiliza vizuri ni masaa 3 (Wameondoka saa 15:45 na kufika 18:45) hivo ni masaa 3 takriiban

    • @ngoshakulwa8348
      @ngoshakulwa8348 3 หลายเดือนก่อน

      Hujasikiliza vizuri na wewe amesema kwenye saa 9 na nusu hv hana uhakika na kufika saa moja kasoro. Masaa kama 3 na dk 15​@hamadsuleiman5177

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 หลายเดือนก่อน

    JPM ulale salama!!

  • @stephenalmas4209
    @stephenalmas4209 3 หลายเดือนก่อน

    Tunataka safari zianze hadi Mwanza kabla ya uchaguzi ili tuchague viongozi wetu.

  • @omariathumani-em1lw
    @omariathumani-em1lw 3 หลายเดือนก่อน

    Usimpambe saana mama apongezwe magufuli kuwa mkwel acha sela

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 3 หลายเดือนก่อน

      Kama asingeendeleza ungefanya nn

  • @OmariHamza-eo8tq
    @OmariHamza-eo8tq 3 หลายเดือนก่อน

    Ndan ya trein au mabehewa yana Wifer

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 3 หลายเดือนก่อน

    Wangetumia mafuta ya milioni ngapi?

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 หลายเดือนก่อน

    Rip uncle Magufuli

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 3 หลายเดือนก่อน

    Wako wapi walioshangilia kifo cha jembe letu ,chapa ya Chato ! Magufuli hajafa bado ! Tunamtumia na tutamtumia ! Wako wapi Kina Lissu na gengelake la wajinga ! Leo watawaambia nini watanzania ! RIP prophesa wa chatoo! Ila Kazi iendeleee!

  • @ellenirelli4912
    @ellenirelli4912 3 หลายเดือนก่อน

    Njoo uchukuwe ubunge nafasi ni yako, hakika tunakuamini

  • @asungushepatrick5414
    @asungushepatrick5414 3 หลายเดือนก่อน

    Magufuli alikuwa kiongozi.

  • @zawadijordan9077
    @zawadijordan9077 3 หลายเดือนก่อน

    Maombi ya kuombea Taifa??? Nacheka kama mazuri ila Nchi yangu Bado tuko nyuma