ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
SAFARI YA TRENI YA UMEME DOM - DAR, SHUHUDIA HESABU YA MASAA 4 KITUO HADI KITUOTRC RELI TV
มุมมอง 93K
MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...Global TV Online
มุมมอง 30K
ഫ്രെയിം നിറയെ കോമഡിയുടെ രാജാക്കന്മാരാണ്...😂🔥 Jayaram | Innocent | Oduvil | Sankaradi | Comedy ScenesComedy Korner Malayalam
มุมมอง 640K
LISA - NEW WOMAN feat. Rosalía (MV Teaser)LLOUD Official
มุมมอง 4.3M
"ชัยเกษม" ไม้ต่อเต็งหนึ่ง นั่งเก้าอี้นายกฯ คนที่ 31 | คลุกวงใน ถามตรงถามจริง HighlightAmarin Variety
มุมมอง 59K
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁BigSchool
มุมมอง 9M
อาจุมม่าเอาจริง! ทำห้องจิ้งจกจริง แกล้งแฟน! ถึงกับร้องไห้โมโหหนัก (เค้าขอโทษนะ)Ajumma Nammy
มุมมอง 249K
വെള്ളത്തിൽ പടുകൂറ്റൻ പാലങ്ങൾ നിർമ്മിക്കുന്നത് കണ്ടാൽ നിങ്ങൾ ഞെട്ടും !Top 10 Malayalam
มุมมอง 241K
JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANIMillard Ayo
มุมมอง 1M
മുല്ലപ്പെരിയാർ ഡാം വെള്ളപ്പാച്ചിൽ അറബിക്കടലിലേക്ക് ഒഴുകുന്നതിന്റെ 3D MapXtreme Traveller
มุมมอง 2.3M
HII HAPA SAFARI SGR DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGRTRC RELI TV
มุมมอง 39K
Electric Trains of Tanzania are open to the public. Travelling from Dar es Salaam to MorogoroExplore with Bertin
มุมมอง 92K
RAIS SAMIA ASHUHUDIA MAKOMANDO WAKIPIGANA MMOJA ABURUZWA NA GARIMillard Ayo
มุมมอง 183K
''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..Global TV Online
มุมมอง 192K
MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPOBongo Touch
มุมมอง 245K
รู้ทัน 14 สิ งหาคม 67 ปลดนายกจนได้รู้ทัน แชนแนล
มุมมอง 55K
‘ใบเตย’ ภาษาอังกฤษเรียกว่าอะไร?KND Studio
มุมมอง 54K
แมนเชสเตอร์ ซิตี้ 1-1 แมนเชสเตอร์ ยูไนเต็ด (จุดโทษ 7-6) | ไฮไลต์ คอมมิวนิตี้ ชิลด์beIN SPORTS Thailand
มุมมอง 1.2M
เปิดคำต่อคำ ช่อ-หมอวรงค์ ปมยุบพรรคประชาชน l STORY LIVE EP.43 (HIGHLIGHT)Spring News
มุมมอง 408K
Tom&Jerry🥰Real funny Twist 🤣 #shorts #shortvideoKrishna Avyu
มุมมอง 27M
The Joker was dragged away by Harley Quinn!?#joker #shortsUntitled Joker
มุมมอง 1.9M
เปิดชื่อ เเคนดิเดต นายก หลัง เศรษฐา พ้นตำเเหน่ง | 14 ส.ค. 67 | เปิดปากกับภาคภูมิTHAIRATH TV Originals
มุมมอง 598K
Homemade SPAM SANDWICH For My SON Luffy #shorts #cookingBANKII
มุมมอง 2.9M
mimi kama mkenya 🇰🇪
Nasema hongera kwa kazi nzuli ariofanya Magufuri,mbio za East ➡️ Africa ziendelee 🇰🇪🇺🇬🇹🇿
Tutamkumbuka Magufuli milele ametufungua macho Tanzania inaweza
Huu ni mpango wa Mkapa, Ila hitimisho ni hao wengine, ila mama katenda sana
@@birianination7097 mpango wa Nyerere huu
well said @birianination7097
@@birianination7097 Mpango kila mtu anaweza, ni sawa na kuchora tu ila mtelezaji ndiyo Mwamba. JPM your legacy is here to stay forever
Bibi mkubwa apewe maua yake,kwa kufanikisha zoez zima la SGR congole sana
JPM for maisha
Rip baba magu.tumeona kazi yako😢😢😢
😂😂😂achana misimu ww
Nikweli vpofu viziwa vichaa nawasiojua nakuthamini chanzo chamto hawafkiriagi kua kunamaali ayo maji yalianzia.naww ni miongoni mwao
Magufuli 💯
RIP Mzee Magu,maono Yako yameendelezwa na mama
Magufuri nijuudi zako daima tutakukumbuka mzeewetu
hizoo nijuhudiii za mama yetu acheni chukiii na wala hatutorudii kbs enziii ya mwalimmmm😂😂😂😂
@@hemedrashid2921 Uongo peleka kwenu hata like aupat ushtuk
Wewe mfwate basi
mfuate huko alipo umpe pongezi
Acha afe tu katuachiaa bungee la hovyo sana
RIP JPM,ulikuwa kiongozi moja na nusu
Dodoma ni samia
@@birianination7097 mradi ni wa mgufuli mama ni mwendelezo tu.
@@mwawekomiuda9779 mradi ni wa jakaya, wote ni mwendelezo
Hongera Mh: Rais S.S. H Kwa kuendeleza Kwa Kasi miradi mliyoianzisha na Mwendazake J.PM. Kila la Kheri.
Unaweza ku edit ilo neno kwa kasi
Pongezi zimfikie mjomba Magufuli
Umeongea vzr sana ila bila magufuli hizo pesa mngezipeleka sana nje RIP Jpm 😥💪
Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
Hii ndio tunachotaka mama uendelezaji wa mtangulizi wako mungu Akubariki kwa kutuandalia maisha ya mama Tanzania ya baadaye
Hongera magufur
Hongera Jpm
MUNGU AKUBARIK SANA MAMA SAMIA UNAUPIGA MWING PIA UMEMUHESHIMISHA MAGUFULI KAMA UNGEUPUUZIA HUU MLAD KAMWE MAGU LEO ASINGEKUMBUKWA
Mungu mpokee mtumishi wako Magufuli
Maono ya mwamba kutoka kijijini chato tunayaona endelea kupumzika kwa amani JPM
Sio kweli, alianzisha kikwetwe huo mpango, japo yeye hakua na wazo iwe ya umeme. Alicho ongezea hapo mafuli ni umeme.
@@martinisadru9899 kwani ukiukubali huo ukweli, ndio atafufuka?!!!! Magu alikua kichwa Mzee
Ameacha alama
VIVA JPM ULITHUBUTU BABA
Magufuli. Dreams
yani huyu Mkurugenzi hana facts zake kabisa, eti piga hesabu apo, utajua..😂😂
Mwenyez Mungu awabariki kwa kaz kubwa mnayo fanya viongoz
Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.
Matunda ni ya walipa Kodi Ila usafiri ni WA public
Stareh gharama unataka kufika haraka, na luxury then uende moro kwa 15 elf, mnyonge atapanda la mkokoteni na kku wake na mafuta ya mawese😂
Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤
Hongera MAMA SAMIA KWA KUIWEZESHA RELI YA SGR NA KULETA MABEHEWA NA TRENI ZA KISASA ...
Kazi nzuri...mwezi wa saba sio mbali tunahitaji huduma
Hongeraaa maguful uliyoyaacha yanaendelezwa
Hongereni sn viongozi wetu mnafanya vizuri chini ya uongozi wa Rais SSH
Jpm hata wasipo mtaja na kumpongeza Watanzania watampongeza, Rest in Peace Jpm
Mashallah...
Huu muendelezo mzuri wa rais Wetu
Watanzania tuache kuzima data lazima tumpe maua kiongozi pia aliyeanzisha kazi na hasa umeme wa ziada RIP Magu
Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki .
Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali .
Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako.
BE BLESSED MADAM PRESIDENT .
Kama bwawa la nyerere limekamilika! Sasa mbona umeme bado unakatikakatika!!!????😮
Shida miundo mbinu ya kupokea umeme na kusambaza ndio mibovu hawasemi ukweli umeme mwingi unapotea bure.tu.
@@joycelinelyimo-fenske8745 una kichwa kigumu kuelewa itakua umepata zero formfour
Hongera Mama samia piga kazi
Naona akija Rais kama jpm na hiyo yazamani inadilishwa itumie umeme
Good news
Kile kichwa Cha magu kingepimwa Kwanza aisee🎉
Bado umeme unatumika mwingi kunatakiwa kuwe na ubunifu zaidi kupunguza gharama za umeme
Nenda kaongeze ubunifu
Tukumbuke kumshukuru Mungu.
Allah ampe amlinde na ampe afyanjema raisi wetu
Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji
Asante sanaaaaaa mama Samia, kazi unayoifanya tunaiona, mwenye macho anaona .
Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.
HONGERA KWA SERIKALI KUFIKISHA MRADI HUU HATUA KUBWA ILA IFANYWE KUMBUKIZI BASI YA MUANZILISJI WA HILI WAZO LA UJENZI HUU
Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.
WAKENYA BADO WANATUMIA TRENI YA MAKAA 😂😂😂 WAAMBIENI WAJE KUJIFUNZA HAPA😂😂
😁😁😁😁😂😂😂
Reli ya watanzania,umeme wa watanzania,tumpongeze alieanzisha pia anaendeleza,swali langu mbona nauli za SGR za kuu kukaribia za ndege?
Duh gharama kubwa mno but big up to JPM
Haya ndio mambo tunayataka Kwenye nchi yetu Tanzania.
Oh wow!
Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini
UchaguZI UBAKARIBIA
Yani kama nauli tu ikiwa chini yani tufanye sh 35000 kama Kila kichwa Cha TREN kikibeba watu 60 na vichwa 35000 mara 60 nipesa ndefu Haina mfano
Good
Point
Inabariki sana
Tanzania sasa imeanza kuonekana kwenye ramani ya dunia kweli tunaweza
Niceeee
Kadogosa amezungumzia umeme zaidi, kuliko kuzungumzia Reli. Mwananchi wa uvinza atakushangaa😅😅
Umeme wa mil 2 ,,kama faida IPO piga kazi kama hakuna faida piga chini
Faida ipo kubwa mno
Tujulishsni....nauli
Kichwa Cha mchongoko kikowap tulion mlisema vimefika vikowap mbona hicho chakawaida
Wanaunganisha pale vingunguti
Daima tutakukumbuka Bulldozer, jembe, JPM ulikuwa na nia njema na nchi yetu hii TZ😢
I'm in love with you 😍 masanja kadogosa
Hiyo test mnatumia tlain ya abiria badala ya tlain ya mizigo?!
chaajabu mzee wamsoga alitaka ajenge yamafuta😂
achaaaa fitinaa na uaduii wenu tunawajuaaa na wala hatutolalalaaa tenaa futa kichwaa ujingaa wakoo
Ukichanganya mwambie aweke free kupunguza gharama ya unit.
Acheni kumsahau aliyedhubutu wamepita wangapi RIP Magufuli
MAGUFULI hoyeeeee
hoyee tena hoyeeee hata hiyo tren ingeitwa Magufuli
Million moja laki mbili subiri ianze kazi rasmi utaskia milioni 2
Kwendeni uko kazi ya magufuri na mlimbeza leo anapewa sifa mwingine? Ivi mnafikiri mtawadanganya watanzania mpaka lini
Hata hawawezi kudanganya lbd tufe kwanza sisi tulioshuhudia mwamba akipigwa vita kila kona eti leo hongera mama duuh unafiki sio mzuri
Wakupongezwa mama samia
@@user-vw6er5rz2yBila JPM kumchagua Samia awe makamu wake hata usingemjua. JPM kwanzaaa
Rip magu
Duh 1.2 million 😮😮 so mchezo
Miradi yte ya mzee magu hela zake zilikuwa zipo msituzibe macho sisi wengine tunaelewa wacheni kutupiga propaganda iyo miradi yte ni ni ya mzee magu na hela za hiyo miradi zilikuwepo
MAGUFULI BABA , ULIFANYA KAZI NZURI SANA, KWAHIVYO TANESCO WAKIKATA HAKUNA SAFARI?????
Masaa maatatu na nusu hivi kutoka dar to dom
Ila inatakiwa iwe masaa mawili tu
Imebeba viongozi wa nchi pamoja na dini haiwezi kutembea mwendo huo + ni majaribio2 kwahyo wataongeza mdogo mdogo
Wanafanya majalibio kaka awawez kukuambia wabongo jaman umuishi kukusow
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
#NASIMAMA NA SAMIA
Bila Magufuli mngevisikia tu huko nje wapuuzi nyie huwa nayashangaa majitu yanayomsema vibaya JPM, hao wote ni wapumbavu
Shingapi nataka kesho niende dar niko dodoma
Mbona bado wanatumia hivi vichwa walivyosema ni vya treni ya mzigo?? Na wakati vichwa vya mchongoko vilishafika!!
Subir tuliza moyo
Hajui kuongea
Engineer na kuongea ni vitu viwili tofauti
NA TANESKO WANAVYO KATA KATA STIMA MUNGU ATUSTIRI😅
Hayati JPM hakika ww ulikuwa na maono tunakukumbuka sana
Sasa naizo treni za zamani zinatumia nin kamapesa haziendinje
Mungu msamehe magufuli na ss pia ukweli ni juhudi zako km ungekuwepo tungekuwa mbali sana.mungu akuweke unapostahili amiin
Angekuwepo Mwamba ingekuwa ilishaanza siku nyingi safar Hawa wapo taratibu mno
Jamani njiani jaribuni kuwa makini na ajari maana mmm
Ww acha kuongea pumba kama si magu tungeendelea kuona kwenye tv tu wamepita wangu mbona hata wazo hawakuleta magu tunakukumbuka
Bei iwe rafik
Tanzania hatujawahi kuwa wasimamizi wazuri wa miradi, hoestly speaking utakufa kama mingine iliyowahi kuwepo😂
Mbona amja muuliza wametumia muda gan dar to dom ndo memuogopa
Kaka kuwamakin kusikiliza
Hujaskiliza vizuri ni masaa 3 (Wameondoka saa 15:45 na kufika 18:45) hivo ni masaa 3 takriiban
Hujasikiliza vizuri na wewe amesema kwenye saa 9 na nusu hv hana uhakika na kufika saa moja kasoro. Masaa kama 3 na dk 15@hamadsuleiman5177
JPM ulale salama!!
Tunataka safari zianze hadi Mwanza kabla ya uchaguzi ili tuchague viongozi wetu.
Usimpambe saana mama apongezwe magufuli kuwa mkwel acha sela
Kama asingeendeleza ungefanya nn
Ndan ya trein au mabehewa yana Wifer
Wangetumia mafuta ya milioni ngapi?
Rip uncle Magufuli
Wako wapi walioshangilia kifo cha jembe letu ,chapa ya Chato ! Magufuli hajafa bado ! Tunamtumia na tutamtumia ! Wako wapi Kina Lissu na gengelake la wajinga ! Leo watawaambia nini watanzania ! RIP prophesa wa chatoo! Ila Kazi iendeleee!
Njoo uchukuwe ubunge nafasi ni yako, hakika tunakuamini
Magufuli alikuwa kiongozi.
Maombi ya kuombea Taifa??? Nacheka kama mazuri ila Nchi yangu Bado tuko nyuma
kwakweli