Hiyo Kampuni iliyojenga ni nzuri mnoo, na muwatumiwe na maeneo mengine, i wish hata daraja la juu magomeni hadi jangwani wapewe, wameonyesha ukomavu kwenye tasnia ya ujenzi, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mpe afya njema SSH na viongozi na wananchi wote wa TZ
Magufuli aliona mbali kuwapa kazi hao jamaa, hawa ni waturuki kaka, lakini kuna baadhi ya bongo hawawataki ukiwauliza utawasikia wanasema "wote hao ni waarabu tu hatuwataki", yani hawa ndugu zetu sijui wana ajenda gani?!
Mbarawa ni waziri wa hovyo. Husema uongo kila mara. Ameuza bandari, miradi inaenda polepole. Tarehe ya kuanza anabadilibadili. Ni waziri mzigo, ndio maana JPM alimtumbua. Hongera JPM
@@deniccgabriel6153 Itakusaidia nini? JPM alikuta Nchi iko salama, je wakina Chief Mkwawa na wenzie wasingepigana na wakoloni sisi ingekuwaje? Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri ya utawala ndio maana hakuna shida kwenye kupokezana Uongozi, acha matusi hayakusaidii hata kidogo
@@deniccgabriel6153 aliyegundua kanuni za Mwendo alikuwa Galileo, lakini Sir Newton Aliendelea na wengine wakaendeleza ndivo dunia ilivo, Mama amendeleza alipoacha JPM, angeweza piga chini project zote za Uncle JPM, lakini projects zinatembea , Ongera sana kwa mama na timu maendelao
@@ndukulusudikucho_kaka hao jamaa wa bando za mia tano wanasumbua sana, kasha shiba ugali wa mama yake hapo anatukana hovyo ili apate mtu wa kujibishana nae ajambe jambe apunguze shibe.
Hiyo Kampuni iliyojenga ni nzuri mnoo, na muwatumiwe na maeneo mengine, i wish hata daraja la juu magomeni hadi jangwani wapewe, wameonyesha ukomavu kwenye tasnia ya ujenzi, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mpe afya njema SSH na viongozi na wananchi wote wa TZ
wazo zuri sana
Naunga hoja yako
Magufuli aliona mbali kuwapa kazi hao jamaa, hawa ni waturuki kaka, lakini kuna baadhi ya bongo hawawataki ukiwauliza utawasikia wanasema "wote hao ni waarabu tu hatuwataki", yani hawa ndugu zetu sijui wana ajenda gani?!
halafu kiukweli waturuki sio waarabu @@rayisadesigns2646
Sasa mpeni sifa na john pombe magufuri
Hongera JPM, hata km ulilala ulituachia legacy kubwa. Hawa wengine wame vamia kazi zako
Yes dodoma naenda mwezi ujao inshaalah.mungu atanifijisha nipande
Mbarawa ni waziri wa hovyo. Husema uongo kila mara. Ameuza bandari, miradi inaenda polepole. Tarehe ya kuanza anabadilibadili. Ni waziri mzigo, ndio maana JPM alimtumbua. Hongera JPM
Naipongeza sana serekali kwa huduma hii ya treni ya sgr kwakweli umefanya jambo kubwa sana changa moto uywaji wa pombe kwenye mabehewa ni changamoto
Acheni unafiki tunamshukulu Mungu na rais aliyeanzisha kazi hiyo rais Magufuli mama samia anafanya vizuri ila haipaswi kushukuliwa peke yake
Kampuni ya yap wako vzr Sana kuliko hata campuni za kichina
Wachina wana shida ipi?
Ni kweli wapo vizuli sana, kwa China naikubali ccecc coz huwa wako on-time pia ubora
Asante sana mbarawa
Naul sh ngapii vile
Waambieni waoteshe miti sasa,
Ningeshangaa sana ningekosa kusikia sifa kwa mama 😅😅
Yani isingetosha mboga😅
Lazma asifiwe mana yaki haribika yeye ndo anapondwa kwahyo yakiwa mazur lazma aaifiwe
KIMYA KIMYAAA NA MAMA TUNASONGA , BRAVO TANZANIA , BRAVO TIMU MAENDELEO
Kanye na Mama yko ,RIP JPM😢
Uko sahihi saaana Mama mitano teno kwahaki yuko vizuri mnooo
@@deniccgabriel6153 Itakusaidia nini? JPM alikuta Nchi iko salama, je wakina Chief Mkwawa na wenzie wasingepigana na wakoloni sisi ingekuwaje? Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri ya utawala ndio maana hakuna shida kwenye kupokezana Uongozi, acha matusi hayakusaidii hata kidogo
@@deniccgabriel6153 aliyegundua kanuni za Mwendo alikuwa Galileo, lakini Sir Newton Aliendelea na wengine wakaendeleza ndivo dunia ilivo, Mama amendeleza alipoacha JPM, angeweza piga chini project zote za Uncle JPM, lakini projects zinatembea , Ongera sana kwa mama na timu maendelao
@@ndukulusudikucho_kaka hao jamaa wa bando za mia tano wanasumbua sana, kasha shiba ugali wa mama yake hapo anatukana hovyo ili apate mtu wa kujibishana nae ajambe jambe apunguze shibe.
Hapo ndo ulipopuyanga sasa mzee.. anaetakiwa kushukuliwa ni nan? Anaetakiwa kukshukuliwaa ni HAYATI MAGUFULI na sio mwingineo.
Rais kafuatilia pesa za walipa kodi lakini sio yeye aliyejenga.
Dar to dom nauli sholingi ngapi?
Sijawahi kumuamin huyu waziri
Walipa Kodi ndio wanapaswa kupongezwa Wala sio Rais pekee
Duh mmepeleka mbele tena
Acha ujinga basi
Nasikia ety hupandi na mizigo kweny hi trenii😂😂
Inategemea mizigo ipi
Yamizigo itakuja kama umemsikia vizuri waziri hii ya abiria au unamaana gani
Unataka upande na kuku na mbuzi kwel??
Hapo anamaanisha mizigo mikubwa ka magunia unavoeza kueka kwenye basi ila manegi kama yako binafsi unakua nalo tu kama kawaida
I mean mabegi
Kwahiyo km inaanza july 25 so harmo yeye alipanda ipi
Sikiliza vema anavyoongea waziri. Walisafiri kwa kutumia kiberenge.
Walisema 1 leo wanasena 25 duh
Ikifika 25 tena kama kawa inasogezwa
Acheni viele ele...muwe na subra