SAFARI ZA TRENI YA SGR DAR -DOM KUANZA JULAI 25, WAZIRI MBARAWA AKAGUA JENGO LA STESHENI DODOMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 47

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน +6

    Hiyo Kampuni iliyojenga ni nzuri mnoo, na muwatumiwe na maeneo mengine, i wish hata daraja la juu magomeni hadi jangwani wapewe, wameonyesha ukomavu kwenye tasnia ya ujenzi, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mpe afya njema SSH na viongozi na wananchi wote wa TZ

    • @seiftwahir4874
      @seiftwahir4874 หลายเดือนก่อน

      wazo zuri sana

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 หลายเดือนก่อน

      Naunga hoja yako

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 หลายเดือนก่อน +1

      Magufuli aliona mbali kuwapa kazi hao jamaa, hawa ni waturuki kaka, lakini kuna baadhi ya bongo hawawataki ukiwauliza utawasikia wanasema "wote hao ni waarabu tu hatuwataki", yani hawa ndugu zetu sijui wana ajenda gani?!

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 หลายเดือนก่อน

      halafu kiukweli waturuki sio waarabu ​@@rayisadesigns2646

  • @agustinemsambila2501
    @agustinemsambila2501 หลายเดือนก่อน +7

    Sasa mpeni sifa na john pombe magufuri

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 7 วันที่ผ่านมา

    Hongera JPM, hata km ulilala ulituachia legacy kubwa. Hawa wengine wame vamia kazi zako

  • @Neworder11
    @Neworder11 หลายเดือนก่อน +1

    Yes dodoma naenda mwezi ujao inshaalah.mungu atanifijisha nipande

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 7 วันที่ผ่านมา

    Mbarawa ni waziri wa hovyo. Husema uongo kila mara. Ameuza bandari, miradi inaenda polepole. Tarehe ya kuanza anabadilibadili. Ni waziri mzigo, ndio maana JPM alimtumbua. Hongera JPM

  • @amirisalumu544
    @amirisalumu544 5 วันที่ผ่านมา

    Naipongeza sana serekali kwa huduma hii ya treni ya sgr kwakweli umefanya jambo kubwa sana changa moto uywaji wa pombe kwenye mabehewa ni changamoto

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 หลายเดือนก่อน +5

    Acheni unafiki tunamshukulu Mungu na rais aliyeanzisha kazi hiyo rais Magufuli mama samia anafanya vizuri ila haipaswi kushukuliwa peke yake

  • @backlinemgongolwa568
    @backlinemgongolwa568 หลายเดือนก่อน +5

    Kampuni ya yap wako vzr Sana kuliko hata campuni za kichina

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 หลายเดือนก่อน

      Wachina wana shida ipi?

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli wapo vizuli sana, kwa China naikubali ccecc coz huwa wako on-time pia ubora

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mbarawa

  • @NuruhMandela-ro6nu
    @NuruhMandela-ro6nu 11 วันที่ผ่านมา

    Naul sh ngapii vile

  • @Nick16697
    @Nick16697 หลายเดือนก่อน +1

    Waambieni waoteshe miti sasa,

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 หลายเดือนก่อน +1

    Ningeshangaa sana ningekosa kusikia sifa kwa mama 😅😅

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 หลายเดือนก่อน

      Yani isingetosha mboga😅

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 หลายเดือนก่อน

      Lazma asifiwe mana yaki haribika yeye ndo anapondwa kwahyo yakiwa mazur lazma aaifiwe

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 หลายเดือนก่อน +2

    KIMYA KIMYAAA NA MAMA TUNASONGA , BRAVO TANZANIA , BRAVO TIMU MAENDELEO

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 หลายเดือนก่อน

      Kanye na Mama yko ,RIP JPM😢

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi saaana Mama mitano teno kwahaki yuko vizuri mnooo

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน

      @@deniccgabriel6153 Itakusaidia nini? JPM alikuta Nchi iko salama, je wakina Chief Mkwawa na wenzie wasingepigana na wakoloni sisi ingekuwaje? Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri ya utawala ndio maana hakuna shida kwenye kupokezana Uongozi, acha matusi hayakusaidii hata kidogo

    • @ikulunimahalipatakatifu7642
      @ikulunimahalipatakatifu7642 หลายเดือนก่อน

      @@deniccgabriel6153 aliyegundua kanuni za Mwendo alikuwa Galileo, lakini Sir Newton Aliendelea na wengine wakaendeleza ndivo dunia ilivo, Mama amendeleza alipoacha JPM, angeweza piga chini project zote za Uncle JPM, lakini projects zinatembea , Ongera sana kwa mama na timu maendelao

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 หลายเดือนก่อน

      ​@@ndukulusudikucho_kaka hao jamaa wa bando za mia tano wanasumbua sana, kasha shiba ugali wa mama yake hapo anatukana hovyo ili apate mtu wa kujibishana nae ajambe jambe apunguze shibe.

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 14 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo ndo ulipopuyanga sasa mzee.. anaetakiwa kushukuliwa ni nan? Anaetakiwa kukshukuliwaa ni HAYATI MAGUFULI na sio mwingineo.

  • @bakarijumakupaza4351
    @bakarijumakupaza4351 หลายเดือนก่อน

    Rais kafuatilia pesa za walipa kodi lakini sio yeye aliyejenga.

  • @SospeterBruno
    @SospeterBruno 16 วันที่ผ่านมา

    Dar to dom nauli sholingi ngapi?

  • @karimmunis8302
    @karimmunis8302 หลายเดือนก่อน

    Sijawahi kumuamin huyu waziri

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 หลายเดือนก่อน

    Walipa Kodi ndio wanapaswa kupongezwa Wala sio Rais pekee

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 หลายเดือนก่อน

    Duh mmepeleka mbele tena

  • @evancemnyiliki4132
    @evancemnyiliki4132 หลายเดือนก่อน +1

    Nasikia ety hupandi na mizigo kweny hi trenii😂😂

    • @edwardgafachu8932
      @edwardgafachu8932 หลายเดือนก่อน

      Inategemea mizigo ipi

    • @ContentSmartphone-rq6po
      @ContentSmartphone-rq6po หลายเดือนก่อน

      Yamizigo itakuja kama umemsikia vizuri waziri hii ya abiria au unamaana gani

    • @mukhsintwaha5909
      @mukhsintwaha5909 หลายเดือนก่อน +2

      Unataka upande na kuku na mbuzi kwel??

    • @GeradinaJohn-xh8pw
      @GeradinaJohn-xh8pw หลายเดือนก่อน

      Hapo anamaanisha mizigo mikubwa ka magunia unavoeza kueka kwenye basi ila manegi kama yako binafsi unakua nalo tu kama kawaida

    • @GeradinaJohn-xh8pw
      @GeradinaJohn-xh8pw หลายเดือนก่อน +1

      I mean mabegi

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo km inaanza july 25 so harmo yeye alipanda ipi

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 หลายเดือนก่อน

      Sikiliza vema anavyoongea waziri. Walisafiri kwa kutumia kiberenge.

  • @seluyangogo3965
    @seluyangogo3965 หลายเดือนก่อน +1

    Walisema 1 leo wanasena 25 duh

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 หลายเดือนก่อน

      Ikifika 25 tena kama kawa inasogezwa

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 15 วันที่ผ่านมา

      Acheni viele ele...muwe na subra