HII HAPA TRENI YA UMEME IKIKATA UPEPO KUELEKEA DODOMA, TAZAMA IKIPITA KWENYE MADARAJA, MAHANDAKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 เม.ย. 2024
  • HII HAPA TRENI YA UMEME IKIKATA UPEPO KUELEKEA DODOMA, TAZAMA IKIPITA KWENYE MADARAJA, MAHANDAKI

ความคิดเห็น • 81

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 2 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu ampe rehema JPM mahali alipo lala, mama SSH hongera kwa kauli mbiu kazi zieendelee Mungu bariki Taifa letu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 หลายเดือนก่อน +14

    Hongera sana Tanzania 🇹🇿 kwa maendeleo haya cha muhimu mtunze hii miundo mbinu na muwe mlinzi wa mwenzako

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 วันที่ผ่านมา +1

    So proud of mama Samia and Tanzanian people..This is simply amazing..President Samia proved how tough, smart and effective she has been in continuing pushing the dreams of the late Genius, President Magufuli..Congrats Tanzania

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nimejikuta narudia kuangalia zaid ya mara tano , Mungu ibark Tanzania, Mbarik SSH, na wote wanao msaidia kazi ktk kutekeleza miradi ya maendeleo

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 2 หลายเดือนก่อน +11

    Jamaa kaonesha saini ya magufuli apo mwsho wa andaki

  • @SafayaPlatnum-zz1dz
    @SafayaPlatnum-zz1dz 2 หลายเดือนก่อน +18

    Hongera magufuli tunaona kazi yako ikitekelezwa kwasababu yako tunaona mambo ambayo hakuna raisi alifanikiwa pumzika kw amani baba tutakukumbuka daima

    • @Kim19onlinetv
      @Kim19onlinetv 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwahiyo magufuli aliikuta nchi ikiwa haina maendeleo? Au kaikuta nchi ikiwa pori? Hebu tumieni maneno ya nidham kuwapa viongozi haki zao

    • @davidl.shangali6924
      @davidl.shangali6924 2 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@Kim19onlinetvlakini bila magufuli hiyo miradi pengine isingianzishwa au ingechelewa sanaaa so acha apewe sifa zake bhana maana kwa kipindi kifupi alianzisha miradi mikubwa na yenye tija kwa nchi, huyu mama kaja kumalizia tu alipoishia.. tungoje tuone yake ndo tujue Kama anastahili sifa au la.

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 2 หลายเดือนก่อน +2

      Nenda chato kwenye makaburini ukampe hizo hongera zako.. ila huku duniani hongera ni Kwa mama Samia..

    • @zeddyshindika9502
      @zeddyshindika9502 2 หลายเดือนก่อน

      @@ibrahimally8073 duh....!!!

    • @davidl.shangali6924
      @davidl.shangali6924 2 หลายเดือนก่อน

      @@ibrahimally8073 itakuwa unachuki Sana moyoni mwako au unautafuta uenyekiti wa mtaa kwa gia hiyo, uchawa na unafki Ni mbaya mno.. pole Sana, Ila ukweli ndo huo, huyo mama yako hakuna miradi aliyoianzisha yote ameikuta imeanzishwa na mtangulizi wake, yeye kaja kuimalizia Tena kwa kusuasua sanaaa, najua unatetea tumbo lako so sikulaumu Ila ukweli ndo huo.

  • @mkude
    @mkude 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera MAMA Samia hongereni TRC

  • @alfredkalaba1614
    @alfredkalaba1614 2 หลายเดือนก่อน +7

    Hakika JPM alifanya maamzi magumu. A man from Lake zone

  • @tabysareva586
    @tabysareva586 หลายเดือนก่อน

    Hongereni Serikali ya jamuhuri wa tanzani ,, mh mama samia kweli mama wa taifaa,, Mungu ibariki Tanzani,, Mungu ibariki TRC

  • @husseinzakaria914
    @husseinzakaria914 2 หลายเดือนก่อน +8

    najihisi faraja kuona maendeleo ndani ya nchi .please viongozi jitoeni sana kwajili ya nchi yetu. Huwa inatupa faraja kubwa sana sie wananchi pale tunapoona uhalisia kuliko ahadi zamaneno. Hongera TZ .

  • @danogeto78
    @danogeto78 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongela sana majilani 🇰🇪🇰🇪🇺🇬🇺🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hongereni wadau wote mliowezesha mradi huu Mkubwa

  • @BaitohCodes
    @BaitohCodes 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kanyimbo bwana kamefana🔥🔥

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 2 หลายเดือนก่อน +3

    JPM YU HAI

  • @abdulkarimshabanmhandeni847
    @abdulkarimshabanmhandeni847 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bado siamini macho yangu kua hii ni Tanzania nilizowea kuyaona haya Japan China na kwengineko,hongera sana Rais wetu na timu yako ya uongozi nchi nzima

  • @ZakariaFaraja
    @ZakariaFaraja 3 วันที่ผ่านมา

    Kaz iendeiee

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 21 วันที่ผ่านมา

    JPM atakumbukwa kwa miaka mingi. Mungu aiweke roho yake peponi.

  • @arnoldmambali3770
    @arnoldmambali3770 2 หลายเดือนก่อน +3

    mwimbo mkali sana

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante TZ

  • @ICONIFCMUSIC11
    @ICONIFCMUSIC11 2 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera Tz. From ke 🇰🇪📍

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m 2 หลายเดือนก่อน

    Nice one and one of the best if not in East Africa, it is the best for whole Africa. One thing they need to stop CATERING SERVICE AND SELL SNACKS AND SOFT DRINKS/ALCOHOL TOO. THE FOOD IS NOT CLASS AT ALL. STOP THAT BUSINESS OF SELLING FOOD

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 2 หลายเดือนก่อน +1

    RIP JPM, mbona mpaka huyo samia hana mradi wake aliouanzisha?

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mitano tena mama

  • @felllokip
    @felllokip 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera Tanganyika👌💪

  • @jkaaya3639
    @jkaaya3639 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mama tupo pamoja na wewe sisi wazalendo wanchiyetu tuna kupenda MaMayetu❤❤❤

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rais Samia hongera umejipinda mno kuimaliza hii miradi mikubwa ambayo imeachwa na Rais maguful ikiwa haifiki asilimia 20.
    Ni sawa na kuianza upya,

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wananchi wana pasion ya kuona maedeleo viongozi kazi kwenu

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kodi zetu

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mambo mazuri Kama hayapewi nafasi kubwa kwenye vyombo vyetu vya Habari Isipokuwa kutwa kucha ni habari za Makonda tu.😮😮😮😮

  • @jumanzumbi1215
    @jumanzumbi1215 2 หลายเดือนก่อน

    Mama kapiga hatua kubwa sana.siyo rahisi kukamilisha hii miradi

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jpm 😢😢

  • @joma8989
    @joma8989 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rest in peace magufuli hakika juhudi zako na maono yako sasa yanaonekana

  • @Neycent
    @Neycent 2 หลายเดือนก่อน +1

    RIP JPM

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 2 หลายเดือนก่อน +1

    JPM.

  • @thomasernest-ct2vs
    @thomasernest-ct2vs 2 หลายเดือนก่อน

    Hii ndo TANZANIA tumayoitamani mama chapa kazi

  • @ShufaaSalumu
    @ShufaaSalumu 13 วันที่ผ่านมา

    Dodoma dar au dar Dodoma ratiba yake jamani naomba kujua na nauli ipo vp

  • @angosele
    @angosele 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba kueleweshwa maana kuna kipindi trc team walionekana korea wakipata mafunzo, lakini yalikuwa ya vichwa vya loc, je ivi vya mchongoko vp? mafunzo

  • @ChrisPA2007
    @ChrisPA2007 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pigeni picha za HD bwana. This is 2024

    • @westside5542
      @westside5542 2 หลายเดือนก่อน

      Sure hi ni aibu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 2 หลายเดือนก่อน

    SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯💯

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 หลายเดือนก่อน

    JPM

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga5249 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo letu kesho tuuu utasikia Imeuzwa tena kwa bei cheee kwq watu wapi sijui kuleeeee

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 หลายเดือนก่อน +2

    Samia mi 10 tena

  • @mrajani786
    @mrajani786 2 หลายเดือนก่อน

    Majarabio kila siku majarabio lini inaanza

  • @kingwandeinvestment8002
    @kingwandeinvestment8002 2 หลายเดือนก่อน +1

    ITAUZWA SOON KWA WAARABU NIKO PALEÈEEE

    • @salumumakombo
      @salumumakombo 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅

  • @makolokolodavid6707
    @makolokolodavid6707 2 หลายเดือนก่อน

    Shida hapo ni huo wimbo!! Tatizo kubwa

  • @martinmhando2079
    @martinmhando2079 2 หลายเดือนก่อน

    hizi nyimbo ndio uchawa uchawa uchawa

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 2 หลายเดือนก่อน

    Ipo haja ya kuharakishwa uzio njia yote maana tunaona sehemu nyingi inayo pita kuna makaazi ya watu na wanyama

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 หลายเดือนก่อน

    Ndoto zako bado zinaishi JPM pumnzika kwa amani kamanda

  • @mzungungaravit5580
    @mzungungaravit5580 2 หลายเดือนก่อน

    Nani kama mama? Ccm nambari moja, kura zetu 2025 100%

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa tujitahidi kufanya uzalishaji mkubwa katika nchi yetu tukitumia miundo mbinu hii kurahisisha maendeleo

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wame msahawu magafuli Sasa nyimbo za Samia.... WA Tz Jamani WA nafiki

    • @mimifineliving2022
      @mimifineliving2022 2 หลายเดือนก่อน

      Nawasikia wakisema asiyekuwepo na lake halipo

    • @Kim19onlinetv
      @Kim19onlinetv 2 หลายเดือนก่อน

      Kila zama na uongozi wake kwahiyo ambiwe na ni?

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 2 หลายเดือนก่อน

      hawajamsahau si umeona hata Kaburi lake lilivyojengewa vizuri

  • @adammakoye9332
    @adammakoye9332 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi naskiaga Dubai kule vile vivutio baadhi ya majumba na baadhi ya miji ni Serikali yenyewe ndo yajenga Kwann? Na sisi Tanzania tusianze na kijisehemu kidogo kukijenga kiwe kivutio kwa hapo Dodoma ambapo bado kuna Ardhi ya kutosha eh!!! Likawa limji limoja la serikali na jiji la kibiashara na vipi kuhusu ile ikulu pale Dodoma

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x 2 หลายเดือนก่อน

    huo wimbo tu ndio kero, acheni ujinga

  • @CalvinMungure-nu1wl
    @CalvinMungure-nu1wl 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tumepigwa hiyo cio treni aliyo itaka Hati Magufuli

  • @aminata3702
    @aminata3702 2 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo gani sasa hiyo

  • @gideonmrema1851
    @gideonmrema1851 2 หลายเดือนก่อน +1

    Akija kupata kura yangu mniite mbwa 😅