So proud of mama Samia and Tanzanian people..This is simply amazing..President Samia proved how tough, smart and effective she has been in continuing pushing the dreams of the late Genius, President Magufuli..Congrats Tanzania
@@Kim19onlinetvlakini bila magufuli hiyo miradi pengine isingianzishwa au ingechelewa sanaaa so acha apewe sifa zake bhana maana kwa kipindi kifupi alianzisha miradi mikubwa na yenye tija kwa nchi, huyu mama kaja kumalizia tu alipoishia.. tungoje tuone yake ndo tujue Kama anastahili sifa au la.
@@ibrahimally8073 itakuwa unachuki Sana moyoni mwako au unautafuta uenyekiti wa mtaa kwa gia hiyo, uchawa na unafki Ni mbaya mno.. pole Sana, Ila ukweli ndo huo, huyo mama yako hakuna miradi aliyoianzisha yote ameikuta imeanzishwa na mtangulizi wake, yeye kaja kuimalizia Tena kwa kusuasua sanaaa, najua unatetea tumbo lako so sikulaumu Ila ukweli ndo huo.
najihisi faraja kuona maendeleo ndani ya nchi .please viongozi jitoeni sana kwajili ya nchi yetu. Huwa inatupa faraja kubwa sana sie wananchi pale tunapoona uhalisia kuliko ahadi zamaneno. Hongera TZ .
Bado siamini macho yangu kua hii ni Tanzania nilizowea kuyaona haya Japan China na kwengineko,hongera sana Rais wetu na timu yako ya uongozi nchi nzima
Nice one and one of the best if not in East Africa, it is the best for whole Africa. One thing they need to stop CATERING SERVICE AND SELL SNACKS AND SOFT DRINKS/ALCOHOL TOO. THE FOOD IS NOT CLASS AT ALL. STOP THAT BUSINESS OF SELLING FOOD
Hivi naskiaga Dubai kule vile vivutio baadhi ya majumba na baadhi ya miji ni Serikali yenyewe ndo yajenga Kwann? Na sisi Tanzania tusianze na kijisehemu kidogo kukijenga kiwe kivutio kwa hapo Dodoma ambapo bado kuna Ardhi ya kutosha eh!!! Likawa limji limoja la serikali na jiji la kibiashara na vipi kuhusu ile ikulu pale Dodoma
Mungu ampe rehema JPM mahali alipo lala, mama SSH hongera kwa kauli mbiu kazi zieendelee Mungu bariki Taifa letu
Hongera sana Tanzania 🇹🇿 kwa maendeleo haya cha muhimu mtunze hii miundo mbinu na muwe mlinzi wa mwenzako
So proud of mama Samia and Tanzanian people..This is simply amazing..President Samia proved how tough, smart and effective she has been in continuing pushing the dreams of the late Genius, President Magufuli..Congrats Tanzania
Nimejikuta narudia kuangalia zaid ya mara tano , Mungu ibark Tanzania, Mbarik SSH, na wote wanao msaidia kazi ktk kutekeleza miradi ya maendeleo
Jamaa kaonesha saini ya magufuli apo mwsho wa andaki
Hongera magufuli tunaona kazi yako ikitekelezwa kwasababu yako tunaona mambo ambayo hakuna raisi alifanikiwa pumzika kw amani baba tutakukumbuka daima
Kwahiyo magufuli aliikuta nchi ikiwa haina maendeleo? Au kaikuta nchi ikiwa pori? Hebu tumieni maneno ya nidham kuwapa viongozi haki zao
@@Kim19onlinetvlakini bila magufuli hiyo miradi pengine isingianzishwa au ingechelewa sanaaa so acha apewe sifa zake bhana maana kwa kipindi kifupi alianzisha miradi mikubwa na yenye tija kwa nchi, huyu mama kaja kumalizia tu alipoishia.. tungoje tuone yake ndo tujue Kama anastahili sifa au la.
Nenda chato kwenye makaburini ukampe hizo hongera zako.. ila huku duniani hongera ni Kwa mama Samia..
@@ibrahimally8073 duh....!!!
@@ibrahimally8073 itakuwa unachuki Sana moyoni mwako au unautafuta uenyekiti wa mtaa kwa gia hiyo, uchawa na unafki Ni mbaya mno.. pole Sana, Ila ukweli ndo huo, huyo mama yako hakuna miradi aliyoianzisha yote ameikuta imeanzishwa na mtangulizi wake, yeye kaja kuimalizia Tena kwa kusuasua sanaaa, najua unatetea tumbo lako so sikulaumu Ila ukweli ndo huo.
Hongera MAMA Samia hongereni TRC
Hakika JPM alifanya maamzi magumu. A man from Lake zone
Hongereni Serikali ya jamuhuri wa tanzani ,, mh mama samia kweli mama wa taifaa,, Mungu ibariki Tanzani,, Mungu ibariki TRC
najihisi faraja kuona maendeleo ndani ya nchi .please viongozi jitoeni sana kwajili ya nchi yetu. Huwa inatupa faraja kubwa sana sie wananchi pale tunapoona uhalisia kuliko ahadi zamaneno. Hongera TZ .
Hakika
Lakini tabora mwanza mradi umesimama hakuna kinachoendelea
Hongela sana majilani 🇰🇪🇰🇪🇺🇬🇺🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongereni wadau wote mliowezesha mradi huu Mkubwa
Kanyimbo bwana kamefana🔥🔥
JPM YU HAI
Hongera
Bado siamini macho yangu kua hii ni Tanzania nilizowea kuyaona haya Japan China na kwengineko,hongera sana Rais wetu na timu yako ya uongozi nchi nzima
Kaz iendeiee
JPM atakumbukwa kwa miaka mingi. Mungu aiweke roho yake peponi.
mwimbo mkali sana
Ahsante TZ
Hongera Tz. From ke 🇰🇪📍
asante sana
Asante Jirani, tunawapenda Sana.!
@@aloycekiwia8613 twapenda pia
Nice one and one of the best if not in East Africa, it is the best for whole Africa. One thing they need to stop CATERING SERVICE AND SELL SNACKS AND SOFT DRINKS/ALCOHOL TOO. THE FOOD IS NOT CLASS AT ALL. STOP THAT BUSINESS OF SELLING FOOD
RIP JPM, mbona mpaka huyo samia hana mradi wake aliouanzisha?
Mitano tena mama
Hongera Tanganyika👌💪
Mama tupo pamoja na wewe sisi wazalendo wanchiyetu tuna kupenda MaMayetu❤❤❤
Rais Samia hongera umejipinda mno kuimaliza hii miradi mikubwa ambayo imeachwa na Rais maguful ikiwa haifiki asilimia 20.
Ni sawa na kuianza upya,
Wananchi wana pasion ya kuona maedeleo viongozi kazi kwenu
Kodi zetu
Mambo mazuri Kama hayapewi nafasi kubwa kwenye vyombo vyetu vya Habari Isipokuwa kutwa kucha ni habari za Makonda tu.😮😮😮😮
😀😀😀
Mama kapiga hatua kubwa sana.siyo rahisi kukamilisha hii miradi
Jpm 😢😢
Rest in peace magufuli hakika juhudi zako na maono yako sasa yanaonekana
RIP JPM
JPM.
Hii ndo TANZANIA tumayoitamani mama chapa kazi
Dodoma dar au dar Dodoma ratiba yake jamani naomba kujua na nauli ipo vp
Naomba kueleweshwa maana kuna kipindi trc team walionekana korea wakipata mafunzo, lakini yalikuwa ya vichwa vya loc, je ivi vya mchongoko vp? mafunzo
Pigeni picha za HD bwana. This is 2024
Sure hi ni aibu
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯💯
JPM
Tatizo letu kesho tuuu utasikia Imeuzwa tena kwa bei cheee kwq watu wapi sijui kuleeeee
Samia mi 10 tena
Majarabio kila siku majarabio lini inaanza
ITAUZWA SOON KWA WAARABU NIKO PALEÈEEE
😅😅😅
Shida hapo ni huo wimbo!! Tatizo kubwa
hizi nyimbo ndio uchawa uchawa uchawa
Ipo haja ya kuharakishwa uzio njia yote maana tunaona sehemu nyingi inayo pita kuna makaazi ya watu na wanyama
Ndoto zako bado zinaishi JPM pumnzika kwa amani kamanda
Nani kama mama? Ccm nambari moja, kura zetu 2025 100%
Sasa tujitahidi kufanya uzalishaji mkubwa katika nchi yetu tukitumia miundo mbinu hii kurahisisha maendeleo
Wame msahawu magafuli Sasa nyimbo za Samia.... WA Tz Jamani WA nafiki
Nawasikia wakisema asiyekuwepo na lake halipo
Kila zama na uongozi wake kwahiyo ambiwe na ni?
hawajamsahau si umeona hata Kaburi lake lilivyojengewa vizuri
Hivi naskiaga Dubai kule vile vivutio baadhi ya majumba na baadhi ya miji ni Serikali yenyewe ndo yajenga Kwann? Na sisi Tanzania tusianze na kijisehemu kidogo kukijenga kiwe kivutio kwa hapo Dodoma ambapo bado kuna Ardhi ya kutosha eh!!! Likawa limji limoja la serikali na jiji la kibiashara na vipi kuhusu ile ikulu pale Dodoma
huo wimbo tu ndio kero, acheni ujinga
Tumepigwa hiyo cio treni aliyo itaka Hati Magufuli
Nyimbo gani sasa hiyo
hahahaha Samia Oyeeeeee
Akija kupata kura yangu mniite mbwa 😅
😀😀😀😀