JE UZINZI NDIYO DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ธ.ค. 2023
- #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
Bwana yesu asifiwe mwalimu, swali langu ni jee unawezaje kujua kama uko huru kwa sababu mtu akiwa ameolewa ma pepo yani jini je waweza kutoka vipi katika hiki kifungo,yani unapasa kufuata hatua zipi ili uwe huru tafadhali nisaidia Asante ubarikiwe
Kumkufuru roho mtakatifu, ni kumsema mtumishi kama mwamposa kua yeye ni freemason, Hali akitumia nguvu ya YESU KRISTO. Au gwajima, au kakobe, nk.
Washitaki wote TCRA wanaokutukana tafadhali sana!
BIBLIA inatuambia tuzijaribu Roho tuzithibitishe kuwa zinatokanana na Mungu
Mimi ni mchungaji na mwinjilisti nisimamaye nje vijijini nakushukuru maana niko peke yangu nakushukuru kwa èlimu
Kwa hiyo mtumishi watu wote walishamkufuru Roho Mtakatifu kwani kabla ya watu kumwamini Mungu(Bwana Yesu) walikataa kazi za Mungu zilizofanywa na Roho Mtakatifu ndani ya watu sasa kama ndivyo ilivyo dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu kama ndiyo hiyo basi hakuna mtu atakaye kwenda mbinguni?
Mwalimu isaya nakukubali mnoooooooo masomo yako naomba nijibu tu swali hili mojaa je sabato ya kweli ni ipi ni jumamosi au jumapili maana ukisoma kutoka 20 inaelekeza na je jumapili ilikujaje
KWA KUTUNGA MAMBO Iko siku mtatakiwa kuelezea HAYO MANENO yenu ya kutungatunga
Bwana yesu apewe sifa mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa mafundisho Yako mazuri,,,, Mimi nina Swal MAANDIKO yana SEMA MBINGUN KUNA BARAZA LA WAZEE 24 Je hao WAZEE walawahai kuish DUNIAN/ULIMWNGU HUU?? Au ni Moja wapo ya jeshi la malaika wa MUNGU walaio umbwa na Mungu?? Kama ni ndiyo kwann wait we WAZEE na sii majina ya kiutumish Kam vile mch,mwinj,nabii,mwalm,ama mitume?? Na kama waliwahi kuishi ndunian ni akina nan hao?? Nitashukuru endapo nitapata majibu ya maswali yangu By OSWARD SYLVESTER napatikana masaki KinondonDARESaalm
Ngosha malambo ndeko mwalimu mimi nataka kujuwa mke wa Adam wakwanza ririth nae alizaa
Mwalimu
Mungu akutunze sana Baba yangu wa kiroho
Leo nimekuelewa sana mtumishi
Wewe ni mwalimu wa neno kweli
Asante kwa ufafanuzi huyo ila wale mafarisayo walijua ukweli,ila leo wengi hawana uwezo wakutambua matendo ya ibilisi au roho ,maana leo inakua ngumu.
Usijari pastor achana nao hao wanao tukana maana hata yesu alitukanwa pastor
Nimenufaika na mafundishoyako sikinyingi
Mungu aendelee kukutumia, maana unaujenga mwili wa Kristo, mimi binafsi hakufuatilia na unanijenga sana.
Barikiwa mtumishi kwa somo zuri ,mejifunza kwa upana kidogo hili swali
Tupe madini baba