Askofu sikweli kwamba hizo ndizo dhambi kubwa. Dhambi ni dhambi hakuna inayomzidi mwingine. Dhambi ni yeyote inayomwasi Mungu. Fundisha watu wazikimbie dhambi kila uchwao. Amri kumi ni muhimu. Ukikosa moja kati ya tisa, umeasi juu ya zote. Uzinzi ni jambo dogo sana mbele za Mungu. Ibrahim, Yakobo, Samson na Daud wote hawa walikuwa wanzinzi wakubwa, lakini hatimaye wamefia mikononi pa Yesu. Walisamehewa hatimaye.
Mungu atusaidie kwa kweli haswaa ambao bado vijana damu inahema Kwa Kasi Roho Mtakatifu atushindie hili.. from Saudia Arabia barikiwa sana askofu 🤔🇸🇦🇰🇪🇰🇪
Ni kweli mtumishi tunachangamana kanisani kwa upande mmoja inaweza kusababisha kuchochea uasherati.lakini kujitenga kati ya wanaume na wanawake ktk nyumba za ibada sio kigezo cha kuepuka uzinzi pia , kwani kuna watu huwa ni watakatifu wakiwa kwenye nyumba za ibada ukiwakuta mtaani huwezi kuamini kwa matendo mabaya wanayofanya.hivyo Mungu anataka tujitambue na kuishi maisha yanayompendeza muda wote na popote.
Asante sana kwa swali lako zuri mpendwa mwalimu Bagheni. Mungu ni wa rehema, ukitubu kwa kumaanisha, anasamehe kabisa. Jambo la kwanza ni kuhakikisha kwamba una mahusiano mazuri na Mungu wako. Jamii watakuelewa pole pole wakishaona mwenendo wako ulivyo tofauti.
Amina baba yangu! Min mwanao Melkizedek wiliam. Kwa sababu ya mafundisho yako leo nimekuwa miongoni mwa wachungaji wenye washirika zaidi ya mia mbili. Mafundisho yako yamekataa kuondoka moyon mwangu na yamekuwa msaada mkubwa sana. Utukufu kwa Mungu wetu
Bwana Mungu unisaidie na familia jamii iliyotuzunguka tuweze kuzishinda dhambi ya uzinzi uasherati na kupenda fedha kupita kiasi.MTU KUJILINDA MWENYEWE INAWEZEKANA ,AMINA
@@SimonLyamuya-pe1gg rafiki kujilinda mwenyewe huwezi bila msaada Roho Mtakatifu. La muhimu ni kujitambua udhaifu wako na kumkabidhi Roho wa Mungu, ili akuongoze njia ya kushinda dhambi hizo
Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana nimeenda na wew hadi mwisho yani for sure nikama unaniona yan haya masomo yamekuja kwa ajili yangu nikweli ninampenda mungu huduma ninayo ila hi roho ya uzinzi inaendelea kunifuata NAIKIMBIA ZINAA kwa jina la yesu christo
Kufunga na kuomba si suluhisho pekee. Kuwa na adabu na Neno la Mungu, kukubali kuongozwa na Roho Mtakatifu tena kwa unyenyekevu, kubali nguvu ya Damu ya Yesu na utakombolewa.
Mungu wangu nihurumie, maana nami niliwahi anguka ktk dhambi ya uzinzi,,,na nkakosa Aman moyon mwangu lkn baada ya kukumbuka kuwa mm n mpitaji dunian, cku yoyote naweza twalia nilitubia dhambi nkawa na Aman moyon mwangu, na Sasa naendelea na wokovu. Mungu nilinde nisitende dhambi Tena!! Hata vjana wenza ngu wasaidie na uwaokoe na hiyodhambi
Mchungaji nauliza Kwa mfano mm nikiongoz wa idala ya vjana na nimelielewa SoMo je ina wezekana kwenda kuwafundisha vijana juu ya hii habali ya dhambi inavyo ya tesa nakuangamiza watu je inawezekana kwenda kulifundisha pale nilipolielewa SoMo hili naomba nipate majibu kama inawezekana na MUNGU akubaliki
Asante sana muhubiri! Nina swali: kulingana na ulivyo hubiri, umesema huku ukinukuu maneno katika bibilia kuwa tujiepushane na uzinzi na uasherati Kwa kukimbia na kuridhika na wapenzi ikiwa tumeoa na kuolewa au pia kulinda na kuwa na subira ikiwa hatuja oa au olewa. Swali langu Sasa; ikiwa mtu amewahii kunaswa katika mtego huu wa uzinzi na uasherati, anawezaje kujitakasa na kusahau yote? Suala langu linaangazia hali ambamo watu wengi wakinaswa katika dhambi hiyo, wanaamua kuendelea hivyo kwasababu jamii,dhamiri na wale ambao walihusika nao hawawezi kusahau. Tafadhali toa maoni Yako au mahubiri yatakayo landana na suala hilo ili kusaidia na kunusuru roho zilizo zama. Asante. Jina langu ni bagheni Joshua mwana Uganda, mwalimu wa shule za sekondari/upili.
Umeongea somo kubwa sana maana hapo Ndipo panakuwa na kiini Cha kumrudisha mtu dhambini ni Muhimu watu wajue namna yakujitakasa na namna ya kufunga huo mlango
Maana baadi ya watu walio okoka wameacha hiyo dhambi kwa mwili lakini kwa mawazo wanatenda na bado wanahisi wapo salama"Yesu akasema yeyote atakae mtizama mwanamke nakumtamani amekwisha zini nae ""hapa Ndipo panapohitaji mafundisho kuishanda dhami ya uzinz katika mawazo.
MiMi niko fiti sema tuu namuogopa MUNGU Asante YESU wambinguni nitakuwa mwaminifu milele 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
We cover such teachings mostly for the church,God bless you
3i
Ubarikiwe sana mtumishi,ee Mungu wa huruma uturumie na kutuepusha na dhambi hi kuu.
Ameen baba...
Amina ....ni kweli mtumishi wa Mungu...Mungu atusaidie sana
Amina baba Askofu,Mungu akubariki somo zuri na lamhimu SANA KTK maisha YA Mkristo na safari yakwenda mbinguni
Ameen Mtumishi wa Mungu
Asante Kwa SoMo nzuli
Mwenyezi MUNGU akubariki sana baba .🙏
Ameen Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana mtumishi kwa SOMO kubwa MNO B shop
Ameen Mtumishi wa Mungu
Amen. Tunabalikiwa Sana Dr Frederick saimon.
Amina ... Mtumishi wa Mungu
Askofu Mungu akubariki sana na andelee kujaza na roho wake uwaponye wengi wanao angamia kwa dhambi hii kubwa
Haya masomo kusikia niadimu sana kwa kizazi hiki mtumishi ubarikiwe sana
Ni kweli mtumishi,.....Amina Mtumishi wa Mungu
Askofu sikweli kwamba hizo ndizo dhambi kubwa. Dhambi ni dhambi hakuna inayomzidi mwingine. Dhambi ni yeyote inayomwasi Mungu. Fundisha watu wazikimbie dhambi kila uchwao. Amri kumi ni muhimu. Ukikosa moja kati ya tisa, umeasi juu ya zote. Uzinzi ni jambo dogo sana mbele za Mungu. Ibrahim, Yakobo, Samson na Daud wote hawa walikuwa wanzinzi wakubwa, lakini hatimaye wamefia mikononi pa Yesu. Walisamehewa hatimaye.
Asante baba askofu
@@pcctonlinetvp😊 lol😊p😊
@@pcctonlinetv😅are lp
😅😅p😊 on on pl😊ol
Somo zuri sana.
Barikiwa sana baba
Mungu atusaidie kwa kweli haswaa ambao bado vijana damu inahema Kwa Kasi Roho Mtakatifu atushindie hili.. from Saudia Arabia barikiwa sana askofu 🤔🇸🇦🇰🇪🇰🇪
Bora uowe kuliko kuingia kwenye dhambi
@@mathiaschipa3790 ndio hivo ndg Sema ndoa nazo neema inahitajika
Mungu akubaliki Sana mtumishi dunia inashida kwa dhambi ya uzinzi hubili Niko pamoja na wewe
Amina ubarikiwe kanisa Ra reo rimepotea MUNGU atudaidie
Ni kweli mtumishi tunachangamana kanisani kwa upande mmoja inaweza kusababisha kuchochea uasherati.lakini kujitenga kati ya wanaume na wanawake ktk nyumba za ibada sio kigezo cha kuepuka uzinzi pia , kwani kuna watu huwa ni watakatifu wakiwa kwenye nyumba za ibada ukiwakuta mtaani huwezi kuamini kwa matendo mabaya wanayofanya.hivyo Mungu anataka tujitambue na kuishi maisha yanayompendeza muda wote na popote.
Mtumishi neno jema Sana baba kwa dini zote
Amina Mtumishi wa Mungu
Asante sana kwa swali lako zuri mpendwa mwalimu Bagheni. Mungu ni wa rehema, ukitubu kwa kumaanisha, anasamehe kabisa. Jambo la kwanza ni kuhakikisha kwamba una mahusiano mazuri na Mungu wako. Jamii watakuelewa pole pole wakishaona mwenendo wako ulivyo tofauti.
Amenii ubarikiwee asikofuu
Amina.. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana.
Fundisho la maana Sana Kwa kanisa,barikiwa Sana bishop.
Amen Mtumishi wa Mungu
Oooh somo lizur saana hakika limenibariki saana
Amina Mtumishi wa Mungu..Ubarikiwe zaidi
Amina kubwa baba ubarikiwe sana
Amina Mtumishi wa Mungu
Sahihi kabsa mungu tusamehe utuondolee hizo roho kweli zina
tutesa sana
Amen 🙏 Amen 🙏 nimeshukuru Askofu kwa kunifunza vyema
Amina baba yangu! Min mwanao Melkizedek wiliam. Kwa sababu ya mafundisho yako leo nimekuwa miongoni mwa wachungaji wenye washirika zaidi ya mia mbili. Mafundisho yako yamekataa kuondoka moyon mwangu na yamekuwa msaada mkubwa sana. Utukufu kwa Mungu wetu
Bwana Mungu unisaidie na familia jamii iliyotuzunguka tuweze kuzishinda dhambi ya uzinzi uasherati na kupenda fedha kupita kiasi.MTU KUJILINDA MWENYEWE INAWEZEKANA ,AMINA
@@SimonLyamuya-pe1gg rafiki kujilinda mwenyewe huwezi bila msaada Roho Mtakatifu. La muhimu ni kujitambua udhaifu wako na kumkabidhi Roho wa Mungu, ili akuongoze njia ya kushinda dhambi hizo
Pastor Mimi manywele nakupata vizuri Sana .
Amina.... Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Baba Mungu akubaliki sana ,,,,,kwa somo
Mungu uwasaidie watumumishi wako wengi wametawali na hiyo roho mbaya
Nimekufatilia Leo2 na nimebarikiwa nawee barikiwa sana bishop
Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana nimeenda na wew hadi mwisho yani for sure nikama unaniona yan haya masomo yamekuja kwa ajili yangu nikweli ninampenda mungu huduma ninayo ila hi roho ya uzinzi inaendelea kunifuata NAIKIMBIA ZINAA kwa jina la yesu christo
Amina kubwa sana
Ubarikiwe pst kwa mafunzo yako
Ubarikwe sana Baba
Mungu awa urumie wazazi wote tu
Amina mpakwa mafuta wa bwana!!
Uko vizuri baba
Amen true barikiwa sana pastor
Mtumishi umeniponya kwa SoMo lako, mungu akudizishie
Amina ... nashukuru sana Mtumishi wa Mungu
Amen ubarikiwe 🙏
You are a good pastor ,
Ameen Nashukuru Mtumishi wa Mungu
Kweli tunataka Kama hawa
Thank you pastor kwa neno nzuri
Asante kwa neno
Mungu Nisaidie mimi
Amina Mungu atakusaidia Mtumishi wa Mungu
Amina baba yangu
Ubarikiwe mwanangu
@@pcctonlinetv❤❤ amen 🙏🙏
Mtumishi mungu akubariki somo lako limenibariki
Amina Mtumishi wa Mungu
Bishop Bwana awabariki hili ni ukweli mtupu
Asante mtumishi hali hiyo ya usherati naipitia kwa myumba yangu niombee
Ubarikiwe Baba
Amina Mtumishi wa Mungu
Amina kubwa baba
Amen
🙏amen asnt sana ubarikiwe
Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
Amina sana Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana
Amina Mtumishi wa Mungu
Amina
Ahsante kwa Elimu kubwa kama hii, umenifungua mtumishi wa Bwana
Amina Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Amen na ubarikiwe sana
MUNGU AKUTUNZE Baba yangu
Amen
Aisee mungu atusaidie sana
Thank you very much man of God
Barikiwa sana baba askofu
Amiiiiina
Baba 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Ubarikiwe sana Baba
Amina
Mungu azidi kupa maneno zaidi kutufundisha
😭😭 nahitaji msaada wako BWANA YESU.
Amina ... Mungu atakusaidia Mtumishi
nilikuwa sijui kama Bado mahubir kama hayo yapo MUNGU akubariki pastor
Amen mtumishi
Ukweli na kanisa inaitaji kumtambua Mungu, hii ndio njia moja ya kushida yote...... Wapi wokovu, na wapi nafasi ya Roho mtakatifu Kwa kanisa
Barkiwa sana ❤
Roho yangu hii radhi lakini mwili n dhaifu!!!Eee Mungu baba atusaidie tuweze kuyaishi mafundisho yake na kushinda uzinzi
Que Dieu soi loué
AMEN 🙏
Kweli kabisa mtumishi
Me muhanga WA uzinzi na uasherati, nimejitahidi kufunga masaa 12 Hadi 24, lakini bado nahitaji msaada mchungaji. 😭😭😭
Kufunga na kuomba si suluhisho pekee. Kuwa na adabu na Neno la Mungu, kukubali kuongozwa na Roho Mtakatifu tena kwa unyenyekevu, kubali nguvu ya Damu ya Yesu na utakombolewa.
Amen
Amena mtu mungu
Mtumishi unaokoa wengi . Tutapataje kupona tusipojari wokovu mkuu namna hii.
Amina ...nikweli Hakika
Mungu wangu nihurumie, maana nami niliwahi anguka ktk dhambi ya uzinzi,,,na nkakosa Aman moyon mwangu lkn baada ya kukumbuka kuwa mm n mpitaji dunian, cku yoyote naweza twalia nilitubia dhambi nkawa na Aman moyon mwangu, na Sasa naendelea na wokovu. Mungu nilinde nisitende dhambi Tena!! Hata vjana wenza ngu wasaidie na uwaokoe na hiyodhambi
Asante
Amen
Amen
Amen 🙏
Ubarikiwe sana
Amen amen
Amen, 🙏Amen 🙏Amen 🙏
Man of God unaongea ukweli kabisa.. na hii ni onyo kwa ulimwengu
❤❤❤❤❤
MUNGU AKUTUNZE BABA
Amina sana.... Mtu wa Mungu
Amen amen 🙏
Amen baba mchungaji
Ubalikiwe baba Kwa SoMo zur
Mchungaji nauliza Kwa mfano mm nikiongoz wa idala ya vjana na nimelielewa SoMo je ina wezekana kwenda kuwafundisha vijana juu ya hii habali ya dhambi inavyo ya tesa nakuangamiza watu je inawezekana kwenda kulifundisha pale nilipolielewa SoMo hili naomba nipate majibu kama inawezekana na MUNGU akubaliki
❤❤❤🎉🎉
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Congratulations Bishop Fredrick Simon
Amina Mtumishi wa Mungu
Hili kanisa like wapi
@@simonkinyua7759 Liko Dar es salaam Tegeta katika uwanja wa Mkanada
Thank you man of God.
@@bishopfredricksimon9064Thank you too
Blessed divine instructions
Ameen
❤
Amen
Amen 🙏 in the name of Jesus
😊😊😊😊à
?❤❤❤❤❤
Ameen
Baba ya ngu ni mebarkiwa saana na somo
Naitwa mchungaji Yusuph Saimon hakika baba ubarikiwe Sana sanaaaaa umenena vema sanaaaaa amen
Amina Mtumishi wa Mungu endelea kubarikiwa na Bwana
Amina Mchungaji.. Mungu aendelee kukubariki zaidi
Neema na maarifa zikuongoze mtumishi!!?...Kenya...watamu.
Amina nashukuru sana ...Mtumishi wa Mungu
Kweri kabisa
Amina Mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki baba askof
Mungu akuongezee ukuu kufariki moyo
Asandi pastor umenihinua mahali
Baba ninamunagani nawezakupata mawasiliano na wewe nimebalikiwa sana kwasomohili
Amina ni +255 755 911 332
Asante sana muhubiri! Nina swali: kulingana na ulivyo hubiri, umesema huku ukinukuu maneno katika bibilia kuwa tujiepushane na uzinzi na uasherati Kwa kukimbia na kuridhika na wapenzi ikiwa tumeoa na kuolewa au pia kulinda na kuwa na subira ikiwa hatuja oa au olewa. Swali langu Sasa; ikiwa mtu amewahii kunaswa katika mtego huu wa uzinzi na uasherati, anawezaje kujitakasa na kusahau yote? Suala langu linaangazia hali ambamo watu wengi wakinaswa katika dhambi hiyo, wanaamua kuendelea hivyo kwasababu jamii,dhamiri na wale ambao walihusika nao hawawezi kusahau. Tafadhali toa maoni Yako au mahubiri yatakayo landana na suala hilo ili kusaidia na kunusuru roho zilizo zama. Asante. Jina langu ni bagheni Joshua mwana Uganda, mwalimu wa shule za sekondari/upili.
Ubarikia
Umeongea somo kubwa sana maana hapo Ndipo panakuwa na kiini Cha kumrudisha mtu dhambini ni Muhimu watu wajue namna yakujitakasa na namna ya kufunga huo mlango
Swali kama somo
Maana baadi ya watu walio okoka wameacha hiyo dhambi kwa mwili lakini kwa mawazo wanatenda na bado wanahisi wapo salama"Yesu akasema yeyote atakae mtizama mwanamke nakumtamani amekwisha zini nae ""hapa Ndipo panapohitaji mafundisho kuishanda dhami ya uzinz katika mawazo.
Okoka
Nikweli Kati ya maeneo yanayohita msaada nihili,uzinzi kupenda cheo ,fetha
Location of your church please
Mafundisho no mazuri Mchugaji