JE KUCHEZA KAMARI/BETTING NI DHAMBI?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
True please don't stop continue from Zambia
True please don't stop continue
Hii Ndiyo kazi aliyokuitia Mungu achana na mambo ya uchambizi wa migogoro baina ya nchi na nchi Mimi nimefulahi sana kupata ufafanuzi wa utofauti wa Isa na Yesu Kristo maana waislam wanataka kumlazimisha Isa wao kuwa Yesu Kristo ambapo Isa hajafa msalabani na Wala hakuutoa uhai wake Kwa ajili ya ondoleo la dhambi za wanadamu wote.
Tufafanulie yesu kristo ambae ni mzungu
Asante sana Mwl. IBM! Baadhi ya nchi kama Ukrain wanakusanya kodi kutokana na biashara ya ngono. Je, hii si dhambi? Huyu Kaisari jamani!!!!!
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Nakukubali sana Mwalimu
asante sina mengi nimekuelewa mwalimu
Ndigu, sinajua iwapo unahitaji sana msaada wa Roho mtakatifu, kunibu maswali , naona unategemea sana akili sanaaa,,
You nailed it brother
Mambo ya Mungu hatuendi na takwimu ili tuone. La kufuata
Huwezi kuwapenda Mungu na Mali
Isaya Benson nakukubali sana
Unajua sana namimi nataka kuuliza nafanyaje?
Mambo ya kubashiri. Ni chukizoo,
Ukweli unauma
Lakini mwalimu isaya ukisoma kumbukumbu 18:10 anapo sema asionekane kwenu anae bashiri Wala kutazama bao anamaanisha nini?
Hivo ni vitu vya dunia.na nchi.kuna.vitu wakuu wa nchi hawavijui.ko.si kila kitu ambacho serikali ikiamua.kanisa.laweza kufanya.hapana.mfano kukopa.na.kukopesha.kwa liba serikali haioni.shida.lakini.biblia.imekataa kabisa kamali.mtu akiwa na nguvu.ya.Mungu hawezi kucheza HatA.kubeti.mtu.akiwa.na.nguvu ya Mungu.hawezi.kubeti.kwan.Mungu.hana.hela.
Mtumishi wa Mungu ebu tuambie kibiblia;
Je Mkristo ni halali kushabikia mpira wa miguu na boxing? Kunywa pombe je?
Imeandikwa kila ubaya us
Itajwe kwenu ninyi.wewe unauona.mpira.una maneno mazuri watu wanabondi.mpaka.wake zao kama unampenda.Mungu mipira.huwezi.kushabikia
Mzungu na mwaafrika.wote ni sawa Mungu anafanya chochote anachotaka ndio maana mweusi.anazaa.albino
Huyu ni nabii wa.uongo
Acha uongo bro kasome vyema
Sema ukweli wako wew uliyesoma vizuri.
Ndugu yangu uongo wake ni upi tusaidie tujue.
Nami nauliza je,mkristo kushabikia mpira? Yaani iwe ni football au netball.
Ni dhambi?
Mpira ni dhambi ndugu kaa ukijua hilo mpira ni Ibada ya sanamu
Kubwa kabisa