MWL//ISAYA BENSON JE WAFILISTI NDIYO WAISLAM?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- 04/02/2024 By His Excellent Hon. Dr. GeorDavie
SEHEMU YA PILI.
DIRA YA MWELEKEO TUNAOENDA NAO KUANZIA SASA MWAKA 2024.
TAA NA MWANGAZA WA DIRA MPYA. 【HII NI BAADA YA MIAKA MIWILI YA UAMSHO WA INJILI YA KINABII】
Very Smart Akili na Muonekano wa uvaaji wa mavazi pia :Historia hii ya Israel tungeipata wapi?Maua yako Maalumu Isaya Benson
Wafilisti na miungu Dagon ni sawa Lakini waisilamu wanaabudu allah . Rekebisha hapo
Wewe ni mwongo ktk manabii wote ,Kwa nini ;ukristo waweza badilika lakini siyo Kristo Wala siyo Wa Kristo ,wewe huna uthibitisho wowote Kinabii,kihistoria Wala kihalisa ktk Neno,ni kuchanganya Kwa maelezo yasiyotoka ktk Roho Mtakatifu. 2Pet 1:18-21wanadamu waliandika wakiongozwa na Roho,wewe huna Roho.1kor 12:1---- na kazi ni Roho
Ndugu Faida Jishiku.kanisa hua lina mipango yake.ili mladi hali halikufuru.
Règles 3 fois, la circoncision 1 fois dans la vie 👋🏽
❤
😢naona unajipendekeza sana kwa waisilamu waabudu shetani hawanaga shukurani hao
Koma ahika adabu yako. Muabusu shetani ni wewe usie na Dini, Mungu, wala kitabu. Anatuzidishia nini ktk uislamu. Acha kuropoka kama umekunywa maji ya chooni.
Mungu atusitiri waisilamu wote duniani na wanao amini. Nakuona huna adabu hata ya KUVALIA chupi yako wewe. Ungekuwa unataka kujuwa nini maana ya dini usinge mtukana. Asante sana mwalimu kwa kutuelimisha
Wewe umeumia sana. Pole sana usije ukashikwa na maradhi ya moyo 😅😅😅😅Amakweli mnawachukia sana waarabu. Alhamdulilah rabillamin mnawachukia sababu ya mali zetu. Wake Up bro fanya kazi Vizuri bila roho mbaya na ufisadi pamoja na kuchukia mtu yoyote yule alieubwa na mwenyezimungu utafanikiwa kama hao Waarabu. Waarabu hawachukii binadamu yoyote yule ndio maana tumebarikiwa na mwenyezi mungu
Wewe umeumia sana. Pole sana usije ukashikwa na maradhi ya moyo 😅😅😅😅Amakweli mnawachukia sana waarabu. Alhamdulilah rabillamin mnawachukia sababu ya mali zetu. Wake Up bro fanya kazi Vizuri bila roho mbaya na ufisadi pamoja na kuchukia mtu yoyote yule alieubwa na mwenyezimungu utafanikiwa kama hao Waarabu. Waarabu hawachukii binadamu yoyote yule ndio maana tumebarikiwa na mwenyezi mungu
Wewe umeumia sana. Pole sana usije ukashikwa na maradhi ya moyo 😅😅😅😅Amakweli mnawachukia sana waarabu. Alhamdulilah rabillamin mnawachukia sababu ya mali zetu. Wake Up bro fanya kazi Vizuri bila roho mbaya na ufisadi pamoja na kuchukia mtu yoyote yule alieubwa na mwenyezimungu utafanikiwa kama hao Waarabu. Waarabu hawachukii binadamu yoyote yule ndio maana tumebarikiwa na mwenyezi mungu na mwenyezi mungu atuzidishie kila lenye kheri na dini yetu ameen yaarabi lalamini 🙏🙏🙏🙏
Waalabu Walikuwa wanaabudu miungu kwa matabaka yao miungu 610
Na wakati huo uislamu haukuwepo muhamadi ndio aliekuja kuwapotosha kupitia wale malaika waovu waasi
zion means fortress au Ngome au sayuni.
wazion maana yake waliotoka Sayuni mji wa Daudi.
by Samson
Mwalimu naomba utusaidia kutufafanulia uislam ni nini.Je wanamwabudu Mungu anaye abudiwa na wakristo
Mwl bwana yesu sifiwe mimi niko simiyu swali langu yesu alikufa msalabani ilipo kalibia sabato wakamtoa wakamzika hajapelekwa kanisani swali kwanini Leo mtu akifa anapekwa kanisani?.
Wanao uliza maswali wote wako Arusha
Ilikuaje wafilisti wawe mtu kama Goliathi ambaye anaonekana kama mabaki ya wanefili?by Maganga nipo Tunduma
Mtumishi Ni Kweli Mwalimu Usijipendekeze Kwa Waisilam
Mwalimu,nauliza ile nyota yenye pembe sita inayoonekana Israeli,maana yake nini?
Yaan hapo ndo sikuelewag, unasema wanamwamin muumba wa mbingu halaf unawaambia isa sio yesu, sasa muumba wa mbingu hapo ni yule aliyemtuma isa au Ni aliyemtuma yesu? Kuwa makin na mafundisho yako, roho ya mpinga kristo inakuendesha, halaf bdo hujajibu swali uliloulizwa
Ongea ukristo unaojidai unaujua. Usidanganye watu kuhusu uislam. Ukijiita mwalimu jifunze kusema kweli.
Swali lako lipi hapa sikuelewi
Tulieni
Kidogo umeanza kujitambua, kujipendekeza kwako kwa waisramu hakufichi ukweli kwamba waisrael si wavamizi ila wameludi kwao
Shalom mwalimu, tunashukuru kwa mafundisho ubarikiwe sana, lakini kuna jambo linanichanganya naomba kupata ufafanuzi wako, Je kizazi kinacho tajwa kwenye mwanzo 1 ndiyo kinacho tajwa kwenye mwanzo 2? Na vipi kuhusu Lilith ndiye anayetajwa kwenye mwanzo 1? Hili jambo linanitatiza sana naomba sana mtumishi utuondolee huu utata, 🙏🙏🙏
Ama kweli waraabu ni mapweza yaani watu million 6 inawachanganya waraabu maelfu na maelfu
Mapwenza ni familia yako bro kabla hujatukana waarabu wewe angalia familia yako. Iko vipi upo nyanya
Sasa wewe ni muarabuni??
Kwanini wewe isaya unajichanganyaga
Tatizo lako huna msimamo wa kile unachoamini wewe kwaujumla upo kuokota viewers wa pande zote ndicho nilichokiona kwako ,, Lakini pia unayo history but huna ukweli halisi bado.
Waislam ni waabudu majini that's the truth
Ni sawasaw🎉a na wewe unaechonga kinyago kwa mikono yako hlf wakiabudu na kukiita Mungu.
Kama waisilamu ni maadui na nimashetani. Tueleze muislam aliuwa Baba yako aliuwa Mama yako. Kwenye shetani mwisilam gani amekulea mashetani kwenye familia yako kama sio pumbavu wewe
Mwabudu mashetani ni familia yako isio kufundisha dini yako ya kweli paka mweusi
Acha chuki