KIFO || Muhammad Bachu.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 119

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 7 วันที่ผ่านมา +5

    Sub'haana Allaah!
    Wallaahi maneno mazima sana tena mazito, yanasisimua nyoyo kwakweli.
    Allaah tuepushe na kughaflika na kuharibu mafunzo ya Mtume wako Muhammad Alayhisswalaatu Wassalaam

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 8 วันที่ผ่านมา +14

    Shekh Muhammad bachu twakuomba uje Tanga kila wakati twakupenda wallahi.

  • @MR_GROUZER
    @MR_GROUZER 8 วันที่ผ่านมา +24

    Ohoooooh! utamu huu hapa wa elimu Allah akupe maisha mref sheikh wangu tunafaidika sana wallah kupitia ww

  • @KhamisDaud-nz3rc
    @KhamisDaud-nz3rc 8 วันที่ผ่านมา +11

    Maa shaa Allah hii ilikua ni uso kwa uso na shekh Muhammad nasoro bachu Allah amuhifadh

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 7 วันที่ผ่านมา +4

    Jazaqallahu khaira sheikh wangu Aaah natamani Allah angewezesha ukatutembelea nasisi Bara huku tupate Hutuba hizi Maa Sha Allah.

  • @HannatKhamis-k7c
    @HannatKhamis-k7c 8 วันที่ผ่านมา +10

    Allah akuhifadhi na kila aina ya uadui, mm binafsi nakupenda sana kwa ajili ya Allah na namchukia kila sheikh anaepingana na wewe bila ya hoja akiwemo Kassim mafuta na ndugu yake wanajitia elimu wagombanishaji na wanaleta fitina katika jamii za kiislam

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp 7 วันที่ผ่านมา

      Isiwachukie pia wote waislamu waombee duaa

    • @فيصلالصائغ-و1ث
      @فيصلالصائغ-و1ث 7 วันที่ผ่านมา

      Hupaswi kuwachukia waombee kheri hiyo ndio dini. Kama unaona wapo kwenye upotevu duaa muhimu

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk 7 วันที่ผ่านมา

      Kama hujaolewa tumwambie sheikh akuoe.... bado nafasi moja😂😂

  • @salimmohamed4919
    @salimmohamed4919 8 วันที่ผ่านมา +9

    Alhamdulillah tunashukuru sana Allah akupe afya.
    Tumepata subuni ya roho safiiiii. Mashaallah.
    Lakini NAMBARI YAKO YA SIMU UNATUNYIMA SHEIKH.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 7 วันที่ผ่านมา +5

    Allaah akubariki Shekh Muhammad, una ukumbusha ummah kwa mawaidha yako mazuri Maashaa Allaah

  • @KassimSaary-q5r
    @KassimSaary-q5r 8 วันที่ผ่านมา +13

    Mashallah professor Wangu tupe ufahamu wakweli habby

  • @AbuuKiweru
    @AbuuKiweru 7 วันที่ผ่านมา +7

    Mashallah allah akuzidishie ndug yetu

  • @AdamHwai
    @AdamHwai 7 วันที่ผ่านมา +1

    Shekhe bachu Mwenyezi Mungu akupe afya nyema

  • @Smart_jarm
    @Smart_jarm 8 วันที่ผ่านมา +10

    Barabara ya 19 Tanga, mashallah tulipata chakula cha roho🙏

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 8 วันที่ผ่านมา +9

    Jazaakallahu khaira,,,,

  • @SaudaNyange-u3e
    @SaudaNyange-u3e 8 วันที่ผ่านมา +9

    Allah akuepushe na ria atupe na ss ilmu yenye manufàaa

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 7 วันที่ผ่านมา

      Hilo hapo umemuombea kwelikweli.

  • @AbdulkhadirMaulid
    @AbdulkhadirMaulid 7 วันที่ผ่านมา +2

    Jazzakalwahu kheiran maalim Allah akuhifadhi

  • @huseynmaingu6073
    @huseynmaingu6073 7 วันที่ผ่านมา +2

    Waah hii khutbah ni 🔥 lazima iupasue moyo 😢

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 7 วันที่ผ่านมา +2

    Allah akuhifadhi ndugu yetu ktk imani

  • @saidimuslim4505
    @saidimuslim4505 7 วันที่ผ่านมา +1

    حفظ الله لأب المحدث.

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 7 วันที่ผ่านมา +1

    Tumuombe Allah atupe mwisho wa kuridhiwa

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 6 วันที่ผ่านมา

    Allah akuongoze hizbi, uachane na uhizbi uje katika man hajji salafi,maana unajiita salafi lakini usalafi upo mbali na wew kabisa, upo katika man hajji ya ikhwan, kutubiyun, sururiya, umepotea sana kijana

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 8 วันที่ผ่านมา +3

    جزاكم الله خير وجعله في ميزان حسناتكم

  • @KassimuNjama
    @KassimuNjama 4 วันที่ผ่านมา

    Masha allha baaraka llhu fika

  • @AsampiMpili
    @AsampiMpili 8 วันที่ผ่านมา +6

    Allah akuongoze na wewe usife katika uhizbi Bali ufe ikiwa Salafy .

    • @makhanguwakhutu2408
      @makhanguwakhutu2408 8 วันที่ผ่านมา +2

      Tuelezee, tofauti ya hizb na salfy

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf 8 วันที่ผ่านมา +6

      Si tunakuombea ufe katika uislamu maana Allah kwenye kitabu chake kitukufu ametutaka tufe hali sisi ni waislamu,,

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 8 วันที่ผ่านมา

      @@makhanguwakhutu2408 Kwanza anaamiliana na wakina nani,kuwasema vibaya ulamaa wa sunna,mkali kwa watu wa sunna na mpole kwa watu wa bida'a.Sifa zote huyu kijana anazo watu anaoshirikiananao wamepinda,kawasema vibaya ulamaa wa sunna kama wakina sheikh Rabii ingawa saivi anaonekana kuacha kutaja neno jadida lakini hajataraajaa.

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa masalaf wa Tz hapana Salaf

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 8 วันที่ผ่านมา +2

      Ako katiki hizbi gani?

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 7 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania kuna chama tu cha masalafi, lakin usalafi kwao upo mbali sana

  • @MohamedSalim-cm9ih
    @MohamedSalim-cm9ih 8 วันที่ผ่านมา +4

    Ma Sha Allah

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq 8 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh Muhammad, tumeshachoshwa na hawa maswa’afika huku tanga, njoo utupe elimu. Hawa masalafi uchwara wameshatuchosha na mawaidha yao ya kufitinisha waislamu

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 วันที่ผ่านมา

      Siuhame uaamie anakokaa bacho kuliko uwo unafki unaotakakuuleta

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 8 วันที่ผ่านมา +1

      @@HanifaOman-oo4pl Akapate na anasheed kidogo

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaa Allah

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 2 วันที่ผ่านมา

    akulinde Allah na hasadi na chuki

  • @khamismussa6258
    @khamismussa6258 8 วันที่ผ่านมา +3

    Masha Allah

  • @IbrahimSuleyman-xs7wi
    @IbrahimSuleyman-xs7wi 8 วันที่ผ่านมา +9

    Assalam Alaykum sheikh Mohammad.
    Me ni mwanafunzi na nataman kusoma kwako na sipo Zanzibar😢 nifanyaje?
    Lakini pia lapili je unaonaje ukiwa na website Yako ambayo labda mtu yeyote atakua anaweza kukuuliza maswali ya dini na kupata faida?

    • @Claudius-sm4rg
      @Claudius-sm4rg 8 วันที่ผ่านมา +4

      Check namba zake huwa anaweka
      Angalia video za zamani kidogo utaona

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 8 วันที่ผ่านมา +1

      Nenda pongwe hapo kwa bachu hakuna elim labda Kama unataka uhizbi

    • @khamisali5942
      @khamisali5942 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@azizisulay6005acha chuki ndugu tanzania hakuna salaf kuna jina tu la salaf lkn hakuna mwenye kufanya matendo ya salaf

    • @IbrahimSuleyman-xs7wi
      @IbrahimSuleyman-xs7wi 8 วันที่ผ่านมา +2

      @@azizisulay6005 kwan elimu Tanzania nzima ipo pongwe akhy?

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 8 วันที่ผ่านมา +2

      @IbrahimSuleyman-xs7wi nimekwambia pongwe kwa sababu ya ukaribu kwa upande, ila pia waweza kwenda markaz Umar ibn khatwaab hapo dar, au ibn uthaimin Dodoma, au ibn Qayyim kigoma nk

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaallah

  • @IsmailSanga
    @IsmailSanga 7 วันที่ผ่านมา

    Hata alipokufa MTUME MUHAMMAD, MAKAFIRI walisema uislaam umefika mwisho

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 8 วันที่ผ่านมา +3

    Asalaam alaykum Sheikh nina kijani wangu ana miaka 15 naomba aje kusoma kwako ni kutoka Burundi ntagaramia kila kitu marazi na chakula nama hitajiyote?🙏🏽

  • @mohammedawais2236
    @mohammedawais2236 7 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa bachu anasema ni wenye kuzusha imam malik anasema ni wale wanao ongelea sifa za mungu ndio watu wa bidaa na wanao ongelea kuhusu sifa za mungu twawajuwa ni kina nani mara mungu ana mkono mara mungu amekaa kwenye arshi mara mungu yuko juu ni kina nani wenye tabia hizo tukiwa wakweli katika hilo tutawajuwa watu wa bidaa ni kina nani

  • @abdulnassir9127
    @abdulnassir9127 7 วันที่ผ่านมา +1

    Assalam alykum je kwa sisi tunaoanza kijufunz katk njia hii sahih tupo mbali tunawezje kumuliz sheikh maswali sis ni wanafunz wa university tupo mbali

  • @SmartPhone-i4f
    @SmartPhone-i4f 8 วันที่ผ่านมา +2

    Nzuri sana

  • @Itaqllah
    @Itaqllah 5 วันที่ผ่านมา

    Sheikh naomba ufatilie chanzo cha Mali anayomiliki qassim Mafuta utufahamishe

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 7 วันที่ผ่านมา

    Anaemjua aliongoka ni Allah peke yake,nashangaa watu kujifanya wao ndio waliongoka.Ni shirki kufanya kazi ambayo mwenyewe ni Mwenyezi Mungu peke yake.

  • @AliJuma-k2t
    @AliJuma-k2t 7 วันที่ผ่านมา

    Bachu mawaidha mazuri lakini kila nikikusikiliza naona yanakuhusuwewe mwenyewe zaidi

    • @mobilespecialschool4216
      @mobilespecialschool4216 7 วันที่ผ่านมา +1

      Sawa tu kwani shida ipo wapi ?? Mawaidha yanahusu watu naye ni mtu chukua ujumbe unaokyhusu katekeleze fullstop

    • @abdulshamte
      @abdulshamte 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ndo maana huanza kwa kusema nazihusia nafsi zenu kama ninavyoihusia nafsi yangu

    • @AliJuma-k2t
      @AliJuma-k2t 6 วันที่ผ่านมา

      😜😜😜😜😜

  • @mohammedawais2236
    @mohammedawais2236 7 วันที่ผ่านมา

    Alipo ulizwa al imam malik rahimahullahu من هم اهل البدعة فأجاب قائلا هم الذين يتكلمون في صفات الله

  • @KWACHUBOY
    @KWACHUBOY 8 วันที่ผ่านมา +3

    mm nakaa ikwrir pwani nataka kusoma kwako ikoje apo

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 8 วันที่ผ่านมา

      Nikupee namba yake kwa cmu au

  • @hajisimaikhatib9002
    @hajisimaikhatib9002 7 วันที่ผ่านมา

    Bachu kwa mujibu wa mawahabi je baba ako kafa kwenye upotevu

  • @AlmasAbdallah-r3g
    @AlmasAbdallah-r3g 8 วันที่ผ่านมา +7

    Nawe Allah akuongoze maana ulianza kuwa salafy ukauacha saivi umekua hizbi,Allah atufishe sisi na wewe tukiwa katika manhaji ya sawasawa.

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 8 วันที่ผ่านมา +2

      Ako katika hizbi gani?

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 8 วันที่ผ่านมา +5

      Akhy Hamisi naona bado haujafanya utafiti,,,,
      Emu fanya tena utafiti kisha utajua nani hizbi wa ukweli kati ya Muhammad Bachu na wengine?
      Akhy hivi ni vipengele vipi vimekujuza kuwa Muhammad bachu ni hizbi?

    • @JumaOmar-ku6cr
      @JumaOmar-ku6cr 8 วันที่ผ่านมา +2

      Nyinyi masalafi mmeambiwa msimsikilize bachoo vipi mnawapinga walimu wenu

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 8 วันที่ผ่านมา

      @@KhalfanMassoud Wallah naumia sana nikimuona akhy Muhammad Bachu akiendelea kushindana na haqq.Ukitaka kujua akhy Muhammad Bachu hayuko katika mstari angalia vitu vifuatavyo katika da'awa yake.Anashirikiana na wakina nani,Ulamaa wa Salafy anawazungumziaje kama sheikh Rabii na wengineo!!,wakina nani anawatetea na wakina nani anawajeruhi! Hivi akhy muogope Allah yule Kishki na kaka yake wale kweli ni Salafy?? Hebu waangalie wanavyokuwa na ukaribu na watu wa bida'a msikilize yule kka ake kwenye fatwa zake,Mwisho kabisa nakupa hii akhy Muhammad Bachu kalinganiwa na wale wakina Abuu Zaghar wa zanzibar na akasema ataachana na mahizbi wakina Barahiyani na kuna kitu kaacha kuita neno jadida lakini anatakiwa kitaraajaa kwa Allah na kwa umma juu ya kuwasema vibaya wanachuoni hapohapo alipokir kuachana na mahizbi bado aonekana yu pa1 na al hajar tv ambao ndio wakina Kishki na Abuu Hamza halafu hebu fikiria yaani wakina Qassim Mafuta awaita jadida wakina Kishki ndio Salafy wa sawasawa mmh hapana kuna vitu vingi Bachu yuko wrong akhy endelea kufuatilia huenda ukaona haya ninayokueleza

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 8 วันที่ผ่านมา

      ​​​@@JumaOmar-ku6crwasalafi ni wakina nani? Ila usiniambie niwale waumini wa Maulidi?😂😅

  • @Claudius-sm4rg
    @Claudius-sm4rg 8 วันที่ผ่านมา +4

    Chek namba zake.
    Nenda kwa video za zamani utaona alikuwa anaweka namba zake.
    Then wasiliana nae, nasikia huwa anajibu mapema text hata calls huwa anapatikana

  • @mussahaji2385
    @mussahaji2385 7 วันที่ผ่านมา

    Huwa cpend kucoment ila kwann hizb twajua maana ya hizbi au tuna pandikizwa kisha twasema t hizb hizb tu kwakusikia hatwend madarasan tukasoma kujuwa maama na kwa tunavyo ichukulia hatobakia hata mmoja asiwe hizb

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hizbi kasema ukweli

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 8 วันที่ผ่านมา +3

      Ako hizbi gani na uko na dalili gani

    • @imranmfyomi2919
      @imranmfyomi2919 8 วันที่ผ่านมา +2

      حزبي هو شيخك

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@mohagurey2214
      Yupo kwenye Hizbu ya kiSururi (Suruuriyyah).
      Fuatilia muhadhara wa Sheikh Muqbil uitwao
      السرورية هي الفتنة فاعرفوها
      Sheikh Sulayman Ruhayli, Abdul Aziz Rayyis n.k wamewabainisha vizuri sana hawa maSururi.
      Dhahiri yao maSururi hujidhihirisha kama ni Masalafi lkn uhalisia wao ni majanga ya wanaharakati waharibifu. Hao ndio Mahizbu wa kiSururi, na adui yao mkubwa kwao ni Masalafi na wanachuoni wao والله المستعان.

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Msiwatukane maswahaba, watamtukana Allah kwa uaduith-cam.com/video/0GMKpXADZes/w-d-xo.htmlsi=8aGYhOAAFTP2Y7tV

  • @abdallahshabani710
    @abdallahshabani710 8 วันที่ผ่านมา

    Subhaanah-Allaah kumbe wenzetu MASALAFI watu WA peponi...n hamsemiiiii....😊😊😊 Kama kuna Pepo MUISLAM MWENZIO ankufa unafurahiiii hiii KWELI Pepo ya BACHU ,MAFUTA NA DELELE

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 7 วันที่ผ่านมา +1

      Chuki na hasad imekuenea Mungu akusamehe

  • @MustafaAli-w4x4s
    @MustafaAli-w4x4s 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyushekh amekosa hekma na busara na kuwahifadh mashekh wenziwe shekh iyo sionjia ya mafundisho ukitaka kuwaelimisha tumia nijia ya private nasio kujionyesha kwenye mitandao unawazalilisha mashekh naiyosio sunna na faraz ,chungasan iposk utaulizwa usiyoyajua, inakibr kwenye elimuyako mashekh wote wa tanzania na nnje ya tanzania wanakuonaww2 umaarufu hautafutwi ivo usiwemjinga,ukiamua kuaelimisha watafite kwanjia ya private uwspe elimu nasio kuwakashif pumbavuzako .

  • @RajabuMsumari-dh5jb
    @RajabuMsumari-dh5jb 7 วันที่ผ่านมา

    Bachu ili ujue ujinga wako ni kwamba.Maneno matamu uliyo zungumza kayasema Sheikh wa Kisufi halafu una mtukana

    • @kanzucentre3468
      @kanzucentre3468 6 วันที่ผ่านมา +1

      Msimamo wake ni kuchukua zuri kwa yoyote

  • @HamadMwalimu
    @HamadMwalimu 8 วันที่ผ่านมา +2

    Masha Allah