HAYA MAMBO SIO YA KUCHEKA LAKINI MASHEIKH WANAYACHEKEA || Muhammad Bachu.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 260

  • @salminkijemkuu4616
    @salminkijemkuu4616 3 วันที่ผ่านมา +1

    Maasha allah shekh bachu Allah akulipe kutokana na kusudio lako.
    ILA SHEKH KOSA MOJA NA WWE UMEKOSEA.
    Unge muuliza shekh anakusudia malaika wapi hao anao waagiza kabla huja hukumu.
    ikiwa ni malaika hao viumbe vitukufu bas mhukumu kuingilia mamlaka ya Allah na ikiwa si hao bas ni maneno yasio na msingi ni ya kucheka tu na kutupa kando kama walivyo cheka mashekh hapo.

  • @MuslimIbrahim-qf4nn
    @MuslimIbrahim-qf4nn 3 วันที่ผ่านมา +2

    Nipo GOMA DRC nakufata sana sheikh mashallah Tabarakalla

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev 7 วันที่ผ่านมา +11

    Shukran Muhammad kwa elimu mm nakuelewa vizuri sana Allah akulinde na kila shari pamoja na mashekh wengine anapo Kosea mtu muweke sawa haijalishi yy nani hii ni dini

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi 8 วันที่ผ่านมา +13

    Wallah hatotokea sheikh mwengine kw kipind hichi ambae ataweza kuongea ukwel km unavyoongea ww juu ya ukwel ktk dini haijalishi ni serekal au ni mufti, na hao w2 wa twarika sio km hawayaon haya ila wamekaa kimya na hawataongea llte hata km wanayakini kua muongeaj amekosea na anaxhoongea ni shirki yaan hii dini imekua mtihan wallah mtu anaujua ukwel ila anaufich eti tu kua aloongea ni miongon mwa w2 wa manhaji yao yaan allah atawalipa ambacho wanastahiki InshaAllah...

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 6 วันที่ผ่านมา

      SIO KILA MZEE ANAUFAHAMU WA DINI

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 6 วันที่ผ่านมา

      alaika wote Yafughaluuna ma yughmaluuna na Allah

    • @KitasaWaaction-gm9zr
      @KitasaWaaction-gm9zr 3 วันที่ผ่านมา

      Usiseme hivyo anaeleta ni Allah unaapa vp hatotokea kwani umepata ujumbe kwamba Allah hatoleta mwengine?

  • @KishkitvAhmad
    @KishkitvAhmad 7 วันที่ผ่านมา +4

    Sheikh Muhammad nassor bachu wallahi wa billahi mimi nakupenda kwa jili ya Allah. Masha Allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 Allah ukupe umri mrefu wenye baraka na manufa sheikh Muhammad nassor bachu uhibuka fi Allahi.

  • @OmarAli-pd5xw
    @OmarAli-pd5xw 7 วันที่ผ่านมา +2

    MaashaAllah wewe ndiye sheikh msema kweli katika zama zetu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe Amin.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@OmarAli-pd5xw
      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @salimmohamed4919
    @salimmohamed4919 7 วันที่ผ่านมา +6

    Alhamdulillah Ujumbe Umefika .
    Allah akuhifadhi wewe na sisi biidhinillah.
    Hawa masheikh ni mitihana sana wallahi lakini Hakki itasimama biidhnillah.
    Shukran al akh sheikh Muhammad.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@salimmohamed4919
      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 7 วันที่ผ่านมา +4

    UJUMBE umefika Sheikh wangu WAMESIKIA WENYE KUNUNA WANUNE ILA Allah kasikia pia.Hauna dhima Tena kwahilo. Jazaqahau khaira ..Allah akuhifadhi.

  • @SheikhHassanMussa
    @SheikhHassanMussa 8 วันที่ผ่านมา +5

    Sheikh Muhammad Bachu Namuomba Allah Akupe Umri Mrefu Wenye Manufaa Mawe Pia Azidi Kukutumia Katika Dini

  • @MohammedBakari-pn9yg
    @MohammedBakari-pn9yg 7 วันที่ผ่านมา +6

    Sheikh muhammad bachu ALLAH azidi kukupa elimu yanye manufaa kubwa zaidi ALLAH akueushe na husda na kijicho na ALLAH akupe dunia na akhera na akuepushe na moto 👏

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +2

      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

    • @othmanali7408
      @othmanali7408 7 วันที่ผ่านมา +2

      Amin

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 8 วันที่ผ่านมา +5

    Subhaanallaah wallahi hawawatu wanashida sana asee yani kilasiku vituko ,wakisemwa wakiwekwasawa wanaleta kibri wanahisi wanajua sanaaaa

  • @SefoOmarSaide
    @SefoOmarSaide 7 วันที่ผ่านมา +6

    ALLAH awateuwe wengui mfano wako. Malipo ya sio na kifani yawe Ju yako sheikh.

  • @AbuuAhmed-d4n
    @AbuuAhmed-d4n 8 วันที่ผ่านมา +5

    Allah akuhifadhi shk mohamad bachu kutubainishia haq
    Bila ya kupepesa jicho hiyo ni hatari sana
    Allah akuhifadhi watu na baadhi ya mashekh wanafanya Istihidhai ktk dini ya Allah
    Allah awaongoze na sisi pia

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@AbuuAhmed-d4n
      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @muhamadkhalid4976
    @muhamadkhalid4976 7 วันที่ผ่านมา +3

    Shukraan sheikh Muhammad hakika ww ni nguzo tegemez sana

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@muhamadkhalid4976
      JazakaAllaahu'khayran

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 8 วันที่ผ่านมา +8

    Maashallah Jazaakallahu khaira sheikh Muhammad Bachu,,,,

    • @arifali3942
      @arifali3942 8 วันที่ผ่านมา

      Nan huyo ?

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +1

      Sheikh Muhammad Nassor Bachu Allaah Akuhifadhi kutokana na Hasadi na Jicho Baya na Chuki za watu.
      Alhamdulillah.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@KhalfanMassoud
      Alhamdulillah

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 7 วันที่ผ่านมา +2

    Sheikh Bachu Allah akuhifadhi wewe pamoja na sisi Allahumma aamin, Tunapata fawaida kubwa saaana, Alhamdulillah.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@husseynomar9523
      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @abdullahimohamudosman3695
    @abdullahimohamudosman3695 8 วันที่ผ่านมา +4

    Maa shaa Allah sheikh wetu Allah akuhifadhi nasi kwa pamoja in shaa Allah.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@abdullahimohamudosman3695
      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @MbongoinToronto
    @MbongoinToronto 8 วันที่ผ่านมา +15

    Chawa wa ccm hao, njaa zinawafanya wamkufuru Allah ili kumfurahisha binadamu. Allah akuweke na akusimamie kwenye kuisimamisha dini yake sheikh Bachu

    • @AdamAlzubedi
      @AdamAlzubedi 8 วันที่ผ่านมา +2

      Kabisa

    • @OmaryHunte-o5c
      @OmaryHunte-o5c 5 วันที่ผ่านมา

      ACHA ujinga hakuna shekhe maskini mwenye njaa wewe ndo una njaa kwani mashekhe walikuomba hela au chakula chako

    • @OmaryHunte-o5c
      @OmaryHunte-o5c 5 วันที่ผ่านมา +1

      @@MbongoinToronto hahahahaha Mimi so yatima au useme kilema ndo unipe pesa zako alhamdulillah nguvu alizo nipa Allah na akili vinanitosha hela zako kula mwenyewe.

    • @MbongoinToronto
      @MbongoinToronto 5 วันที่ผ่านมา +1

      @@OmaryHunte-o5c Hii dini ni ya Allah sio kitu cha kuchezea ndugu na Kama wewe hauoni tatizo hawa masheikh wanapokosea basi jitafakari na wewe akhii. Usilete ushabiki wako wa kutetea batil

    • @OmaryHunte-o5c
      @OmaryHunte-o5c 5 วันที่ผ่านมา

      @@MbongoinToronto dini Haina kitu kinaitwa ushabiki ushabiki upo kwenye mipira michezo mwingine ya kidunia .usichanganye mipira na michezo mwingine ya kidunia na dini

  • @Juleybibsalim
    @Juleybibsalim 8 วันที่ผ่านมา +5

    Maashallah sheikh nimekuelewa vizuri sana Alhamdulillah

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +1

      Alhamdulillah

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 8 วันที่ผ่านมา +6

    MASHAALLAH SHEIKH BACHU.. ALLAH AKUPE NGUVU NA AKUSIMAMIE

    • @muhamadkhalid4976
      @muhamadkhalid4976 7 วันที่ผ่านมา +1

      Aamin

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา

      @@mohammedi8850
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @MussaSeif5G
    @MussaSeif5G 7 วันที่ผ่านมา +1

    Alhamdulillah. Shikh ujumbe ushafikisha. Jukum lak ushaliondoa kwa Allah kukosoa watu wakikosea

  • @IssaLuhindi
    @IssaLuhindi 7 วันที่ผ่านมา +1

    Allah Akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu. Nilishawahi kusema huko nyuma, chunguzeni sana vikao vya wazee wetu hawa Masheikh wa DSM, kwenye kila kikao huwa kuna mashindano ya kuwa ni nani atakayetoa jambo jipya imma la kuwachekesha watu au la kuwashangaza watu almuradi aonekane yeye ndio mtu wa hikma nyingi alafu watu wanafurahi na hata mara nyingine kumtuza kwa pesa- chunguzeni sana hili jambo. Huku kutaka kuonekana kwa style hii ndiko kunakopelekea matamshi ya ajabu kwenye mijumuiko ya dini. Allah Atuongoze sisi pamoja na wazee wetu, maana ndio washakuwa wazee wetu tena!

  • @abdouibnmninara7000
    @abdouibnmninara7000 8 วันที่ผ่านมา +8

    Innalillahi wainna ilayhi raajiuun anatoa Amri kwa Malaika yeye kiumbe dhaifu "kuishi kwingi kuona mengi"

  • @AbuuLuqman-oz1td
    @AbuuLuqman-oz1td 7 วันที่ผ่านมา

    Sheikh Mohammed bacho nakupenda sana kwa ajili ya allaah namuomba allaah akuhifadhi azid kukupa umri urefu wenye manufaa na akulinde kutka na mahasidi na vijicho AMIIIN 🙏 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MagariUsed
    @MagariUsed 8 วันที่ผ่านมา +5

    Kweli wazee wetu sasa wanapoelekea daaaaaah!!!!! Bachu Allah Akulipe

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@MagariUsed
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @selasboy3966
    @selasboy3966 7 วันที่ผ่านมา +2

    Maashallah umepiga mshono wa masufi shekh...

    • @awathislammwalile4537
      @awathislammwalile4537 7 วันที่ผ่านมา

      sio masufi hii ni kufru kotekote haijalishi bali wale mashekhe wapo wanaangalia matumbo yao

  • @yassinsaid-b7v
    @yassinsaid-b7v 7 วันที่ผ่านมา +1

    Achukie mwenye kuchukia lakini darsa ya sheikh muhammad bachu ni ilimu tupu ..acha ushabiki kando... muhammad bachu anatusomesha mambo mingi kupitia rudud ..Allah akulipe mema kwa juhudi hizi

  • @ramadhanisalumu2667
    @ramadhanisalumu2667 8 วันที่ผ่านมา +6

    M/MUNGU Akufanyie wepesi bachu na huo ndio uislam unavyotaka ttuwe wa kweli na tukumbushane kwaiyo sio vibaya kuwakumbusha haijalishi umri
    Hauna kosa na kosa sio lako

  • @SaliminhizzaHizza
    @SaliminhizzaHizza 8 วันที่ผ่านมา +6

    Allah akulipe sheikh Muhammad na akupe mwisho uliokua mwema

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

    • @hamisisaidi9525
      @hamisisaidi9525 4 วันที่ผ่านมา +1

      AMEEN

  • @Juleybibsalim
    @Juleybibsalim 8 วันที่ผ่านมา +3

    Mashallah sheikh alla akuoe afya njema,,,,,napenda vile ukirekebisha makosa unatumia vitabu tu na wala sio akili yako

  • @AlbanSaifullah-w1y
    @AlbanSaifullah-w1y 7 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤ sheikh wng muhammad bachu Allah azidi kukuhifadhi Ahsante kwa faida ❤❤❤

  • @salumjazaa5595
    @salumjazaa5595 8 วันที่ผ่านมา +3

    Allah akuhfadh sheikh Muhammad bachu

  • @abdallahmudi9263
    @abdallahmudi9263 8 วันที่ผ่านมา +3

    Allah akuhifadhi kila aina ya shari

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@abdallahmudi9263
      Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 6 วันที่ผ่านมา

    MAASHAA ALLAH tabarakalla sheikh, shukran ,,,,,

  • @RanadhanHamad
    @RanadhanHamad 7 วันที่ผ่านมา +2

    Allah akuhifadhi sheikh Muhammad

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@RanadhanHamad
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @OmaryHunte-o5c
    @OmaryHunte-o5c 5 วันที่ผ่านมา

    Nashangaa sana kitu kimoja mbona hakuna. Shekhe ata mmoja katika hao unawaowazungumzia anayeyajadili maisha yako . na imani yako

    • @Hemedi-m9m
      @Hemedi-m9m 4 วันที่ผ่านมา

      wewe nawe kwenda zako fala wewe huna unalo juwa

    • @OmaryHunte-o5c
      @OmaryHunte-o5c 4 วันที่ผ่านมา

      @Hemedi-m9m ورد الله الذين كفروا بغيظهم لم ينالوا خيرا وكفى الله المؤمنين القتال وكان الله قويا عزيزا

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 7 วันที่ผ่านมา +1

    وفقكم الله شيخنا إلى مايحبه ويرضاه اللهم أمين

  • @SwaahibLota
    @SwaahibLota 6 วันที่ผ่านมา +1

    Allaah akubaariki

  • @RashidMohamed-f9s
    @RashidMohamed-f9s 8 วันที่ผ่านมา +6

    Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh Sheikh Mohammad bachu samahani sana tunaomba usifunge download kwa sababu sisi wengine tunasoma kupitia hizi darsa zako jazakallah kheyr

    • @mirajimsigiti7317
      @mirajimsigiti7317 7 วันที่ผ่านมา +2

      Tunaweza sasa kudownload AKHY,mambo yamerudi KAMA kawa

    • @RashidMohamed-f9s
      @RashidMohamed-f9s 7 วันที่ผ่านมา +1

      @mirajimsigiti7317 shukran sana

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +2

    Alhamdulillah

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 8 วันที่ผ่านมา +7

    Halafu kunamjinga mmoja anakuja anamlaumu Muhammad bachu kwa ruddud kilasiku raddi tu raddi tu ujinga ndo kama huu vipi mwenye elimu anyamaze wallah Muhammad bachu Allah atakulipa mema yako kwahili na jengine insha Allah

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +4

      Ameen JazakaAllaahu'khayran
      Simba wa Afrika Mashariki na kati (Sh Muhammad Nassor Bachu)

  • @AbdulRama-u7d
    @AbdulRama-u7d 7 วันที่ผ่านมา +1

    Allaah akubaarik
    Aaamiin

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 7 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wa twarika wamepotea Allah awaongoze...

  • @seifsaid9905
    @seifsaid9905 7 วันที่ผ่านมา

    MASHAALLAH ILA HII MADA ANGEZUNGUMZA SHEKH ABDU ROGO AU ABUU ISMAIL PANGECHIMBIKA KWA HAO MUNAFIKINA

  • @Zsdaughter
    @Zsdaughter 7 วันที่ผ่านมา

    Jazajakallahu khair Sheikh.

  • @jumasaidi3161
    @jumasaidi3161 7 วันที่ผ่านมา +3

    Allah akuhifadh

  • @IsmailiSeif-y4r
    @IsmailiSeif-y4r 7 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤sheikh wangu muhammad Bachu ❤

  • @unknowna8442
    @unknowna8442 7 วันที่ผ่านมา +3

    Hawa masheikh wa bakwata ni shida

  • @ABDULHAMIIDMUSSA-pt3is
    @ABDULHAMIIDMUSSA-pt3is 8 วันที่ผ่านมา +3

    جزاك الله خيرا و أحسن الله إليك.

  • @spartachize122
    @spartachize122 8 วันที่ผ่านมา +4

    Anchokiongea shekhe wetu apa, hauhitaji akili kubwa sana kumuelewa, yaani amenyoosha maelezo kabisa ila wale wenzetu njaa inawasumbua na uoga wa kuambiana ukweli😢😢

  • @saadaAbdalla1371
    @saadaAbdalla1371 7 วันที่ผ่านมา

    Ahsante kwenye upande wa kuombewa dua na malaika umetupa faida kubwa Allah akulipe kheri

  • @KhamisDaud-nz3rc
    @KhamisDaud-nz3rc 6 วันที่ผ่านมา

    Jazaakallah khayra

  • @SuleimanAlly-c9p
    @SuleimanAlly-c9p 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani dah tunaelekea wapi ss jmn ,subhanallah yaani mtu anathubutu kuongea hivo

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 8 วันที่ผ่านมา +5

    Sheikh umenyooka huna baya mwenyezi mungu akulinde na akupe mwisho mwema njaa zinasababisha watu wamuone rais kama mungu naye rais badala ya kuwaonya anafrahi TU mtihani huo

    • @MachanoabdullaBakari19
      @MachanoabdullaBakari19 8 วันที่ผ่านมา +3

      Lawama hatutomuelekezea rais kwa kiwango kikubwa. Man twajua hana kiwango cha kutengemewa kwa kiasi kikubwa ktk Taaaluma ya Dini. Yawezekana akawa hajui asa!
      Ila masheikh ndo tuwaelekee ktk hili.
      Hongera akhiy ❤.

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 7 วันที่ผ่านมา

    UCHAWA HADI WANAVUKA MIPAKA YA ALLAH, ALAFU MASHEIKH MBACHEEEEEEKA

  • @mootelahamongus633
    @mootelahamongus633 8 วันที่ผ่านมา +3

    Halafu Hawahawa ndio wakikosolewa hata kwa mambo yasiyo na ikhtilafi, hawatakagi kukubali kuwa wamekosea hata siku Moja.
    #Inasikitisha Sana Kuona Wanaoupaka Sifa Mbaya Uislamu ndiyo Waislamu Wenyewe.
    Bakwata Badilikeni.

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 7 วันที่ผ่านมา

    Waalaykum salam warahmatullah
    wabarakatuh

  • @JaylanAbdallah
    @JaylanAbdallah 6 วันที่ผ่านมา

    Muhamadi bacho Allah akuifazi

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 7 วันที่ผ่านมา +2

    Tumuombe allah amchukue huyu mzee
    Ili aende akaone ni nani mwenye mamlaka ya kiwaagiza malaika wa allah

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 7 วันที่ผ่านมา

      Hapana huyu ni wakumuombea tu Allah amuongoze sazingine huwa nikujisahau tu

  • @SalimHamad-qy5ki
    @SalimHamad-qy5ki 6 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulilah

  • @NahimanaAssumani
    @NahimanaAssumani 4 วันที่ผ่านมา

    Allah atuongoze kwahuruma wake

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi 8 วันที่ผ่านมา +2

    Jmn mengine tuwen makin tusijaongee tu wallah imekua too much tena w2 tumekua hatuong llte ila kw mungu ni kuzito, wallah angalien me naamin ostdh haji upepo,ostdh mziwanda, mufti, ostdh diwan, osdtdh said wa kenya, kina masheikh shahran, ostdh msellem bin ali sheikh farid na masalafii majadida wote hili hamulion au mwahis sio kosa kias ambacho kwenu halina umuhim musisahau kua na nyny yote mutaulizw na mutahukumiwa pia wallah kweny ukwel shikamaneni muutete ukwel na muondoe batwili, hlf endeleen na raddi kw lengo la kufundisha ila sio kubomoa na kuharibiana ktk dini fahamun ipo sk mutaulizw na mutahukumiw dunian tunapita tu...🙏😢😭

    • @NasriSaidi-s4h
      @NasriSaidi-s4h 7 วันที่ผ่านมา

      Tukinyamaza mjinga atajuaje kusema hivyo ni kosa

  • @HabibMohd-l3h
    @HabibMohd-l3h 8 วันที่ผ่านมา +3

    Masha Allah

  • @mayasahamisi1233
    @mayasahamisi1233 8 วันที่ผ่านมา +2

    Tulisha ambiwa katika kitabu namungu ...hao wanataka duniaa

  • @suleimanhamad2396
    @suleimanhamad2396 7 วันที่ผ่านมา +1

    Shekh bachu mm ukiwa unasafisha mazingira usiwe una tabasam uwe mkal kwel kweli kama marehm bachu

  • @shafiiluunje5043
    @shafiiluunje5043 7 วันที่ผ่านมา +1

    Shukrani sheikh

  • @Juleybibsalim
    @Juleybibsalim 8 วันที่ผ่านมา +3

    kulikalia kimya jambo la makosa pia ji makosa,,,,ila mtu akirekebisha huonekana ndio mkosa zaidi

  • @MustafaAli-w4x4s
    @MustafaAli-w4x4s 5 วันที่ผ่านมา +1

    Sw lakini asitumie njiahii ya uzalilishaji shekh lzm atumie hekma anawazalilisha wadini,akiamua kuelimisha awatafute kwanjia ya priva nasio kujionyesha kwenye mtanda hakuna mtume wala swahalo alowahi kuwaelimishawatu kwanjiahii, huyu amekosa hekma na busara, wapo wamesoma kulikoyeye lkn hawana ujingakamahuu. tumia hekma katika kuelimisha shekh,maanaww huelimishi wewe unawakosoa.

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 7 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 7 วันที่ผ่านมา

    Viras kama hawa ndio hupandikizwa kwenye vichwa vya watu, sasa nilini wataelewa Dini safi na Dini ambayo ni Muzayyaf?
    Mashekhe wakubwa ujinga wao kwenye mambo muhimu ya ki iimaan ndio kama huu ,hao wachini unadhani watakuaje?
    Wallaahi namuombea Dua sana Shekhe wangu Shekh Nassor Abdalla Bachu, Allaah amsamehe makosa yake, na amtengenezee kizazi alicho kiacha, na amuingize Janna ya Firdaus...........
    Kwani yeye ndio sbb yamimi kuacha upumbavu, ujinga, uzuka, na uzushi wa kisufi.
    Alhamdu lillaah kwa kunitoa kwenye wazushi na kuniweka kwenye mwangaza wa Elimu sahihi na Sunnah.

  • @saidsaidoo9723
    @saidsaidoo9723 5 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @mbwanahussen2950
    @mbwanahussen2950 6 วันที่ผ่านมา

    Shekhe wakumbushe mashekhe wa dunia na ss wanafunzi tusomeshe

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 7 วันที่ผ่านมา +2

    أسأل الله أن يرفع درجتك

  • @MustafaAli-w4x4s
    @MustafaAli-w4x4s 5 วันที่ผ่านมา +1

    yaani kaziyenu kukashifianatu ibada zinawashinda ujingatu mlokuwanao upuuzimtupu

  • @Captainome
    @Captainome 8 วันที่ผ่านมา +5

    Njaa mbaya shekh wangu hawa watu wanaagalia matumbo yao,kisha mkirekebishwa mwasema mawahabi hawana adabu kwa mashekh wakubwa. Mnajichekea chekea.mtadhalilika mpaka kuingia kaburini kwenu makhurafi mijisufuuu.

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp 8 วันที่ผ่านมา

      Ila lazima tufaahamu

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 8 วันที่ผ่านมา

      Msikosoe mashehe wetu

    • @Captainome
      @Captainome 8 วันที่ผ่านมา

      @mohagurey2214 hapo amesema maneno ya sawa

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 8 วันที่ผ่านมา

      @@Captainome kabisa

    • @Captainome
      @Captainome 8 วันที่ผ่านมา +1

      @mohagurey2214 mikhurafii tu hawa mashekh njaa tupu.anatoa amri kwa malaika kama.nani yeye hata kama wanataka poshooo wapime maneno yao,kisha uje umskie mtu kama.mziwanda au haji manara akiwasifia tumelelewana na hawa wazeee brother nisiwe mnafiki nawachukuia watu wanaovuka mipaka ya Allah.

  • @HannatKhamis-k7c
    @HannatKhamis-k7c 7 วันที่ผ่านมา +3

    Bachu ni mwanachuoni aliezama kwenye elimu sijawahi kumuona kuongea isipokuwa kwa kitabu

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 7 วันที่ผ่านมา +3

      Swadaqta
      Alhamdulillah

  • @Bantu-u9m
    @Bantu-u9m 8 วันที่ผ่านมา +3

    Hapo pembeni kushoto yopo ,aliye ona tatizo- anatikisa kichwa namna ya kukataa.

  • @makamebakari7106
    @makamebakari7106 7 วันที่ผ่านมา +3

    hilo jongooo lisha zoe kukufuru sio mara yakwanza tena kukiwa na mikusanyiko ya viongozi wa kubwa. hao ni walinganiaj wanao walingania watu kuelekea katika milango ya moto nawatao wafuata wataingia nao. Allah atuifadhi.

    • @AbuuNusaiba
      @AbuuNusaiba 7 วันที่ผ่านมา

      Allah akbar

  • @Zanzibar0001
    @Zanzibar0001 8 วันที่ผ่านมา +3

    Wale mabwana wanajulikana kama wasaka tonge wote wale waongo wale md wa kupiga pesa sass hv utasikia dua utakuja kusikia Halal badri isomwe mwisho watakwanga hadharani

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi 8 วันที่ผ่านมา +1

    Na wallah watatokea w2 watatetea hichi k2 kisa kimeongelea na masheikh zao wkt hii ni shirki ya wazi jmn hii dini sio katiba tufahamu ipo sk tutahukumiwa tusiangalie kula ya sk chaxhe tu, binaadam hamuna k2 leo yupo hai kesho marehemu

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota 8 วันที่ผ่านมา +2

    Issue yeye ni nani mpk aamrurishe malaika yaan kusomeshwa nje ya nchi na nyerere ndo iwe sabab kuwaamrisha malaika

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 6 วันที่ผ่านมา

    Misufi ni watu wa kejeli na dhihaka kwa dini ya Allah.

  • @KassimSaary-q5r
    @KassimSaary-q5r 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee unafkiri mama hajasoma, WW mzee unaona Dili bahasha inafwata, umri Huo, Na Hio group inacheka bila waswas, upungufu wa elimu bachu somesha shamba geng

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 7 วันที่ผ่านมา

      Kubali hakki hata ikija kwa adui wako

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 7 วันที่ผ่านมา

    Shukran ❤

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 7 วันที่ผ่านมา

    Laa hawla walaa quwwata illaa billaah!!!
    Mara nyingi husema, masufi ndio waharibifu wa Dini hii, wengine huona haiwezekani, kuna mawalii, mashekhe wakubwaaaaa😂😂😂😂😂
    Ukiwa sufi lazima uwe mwepesi kwenye Dini yako, au uwe mnafiki, mpumbavu, chizi..............
    Hapo ndio utaungwa mkono na masufi wenzio.
    Na haiwezekani uwe sufi, khalafu hapohapo uwe mtetezi wa haqqi, abadan.
    Khalafu masufi hawana khofu ya Allaah hata kidogo, yani jambo kubwa kama hili eti wanacheka na kukwekweteka mbavu, wasanii wakubwa hawa.
    Khalafu musitarajie vile vinafiki vidogovidogo kina upepo vitasema lolote, labda kutetea, hilo wanaweza, na diwani wao😢😢😢!
    Masufi kubwa ni kuhakikisha tonge inakwenda kinywani, hapo hawana Dini, hawana aibu, hawana utu, wakati tonge inakwenda kinywani, chochote watakifanya, na watakitetea, ndiomana nasema;
    Zama hizi kuna Mashekhe ni muhimu sana kuwepo hai, ndio kama huyu Shekh Muhammad Bachu, Allaah amhifadhi, na amlinde na kila shari, na amzidishie maarifa na ujasiri wa kuyafikisha maarifa hayo sehemu husika.

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mm nilivyoiona tu juzi nilijua jongo kaaribu mambo na hapo mustawa wng ni ibdaiya😂😂😂

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 8 วันที่ผ่านมา +3

    TATIZO LA HAWAWATU WAKISHAPEWA VIELAKIDOTU WANASAHAU HATA MIPAKA YA ALLAH, HUYOMTUMWENYEWE MNAE MUOMBEA NI DHAALIM KUPITILIZA NA HIO SEREKARIYAKEPIA PIA ALLAH HAYUPO RADHI NAYO,LEO MALAIKA WAMUOMBEE MMH KWAKIP, EHU NYIEMASHEKHE IZONJAAZENU ZISEMEENI.MUOGOPENI ALLAH

    • @ShabaniJumbe
      @ShabaniJumbe 8 วันที่ผ่านมา

      Utakua unaupungufu kichani kwako ww

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 7 วันที่ผ่านมา

      Nidhalim Maana anaidhulum Hadi nafsi yake . N a hao Masheikh njaa wanazidi kumpalilia dhulma.

  • @selasboy3966
    @selasboy3966 7 วันที่ผ่านมา +2

    Usufi ni ujinga , utaahila na unafiki ktk dini fatilieni mtajua tu

  • @saidhalfan3452
    @saidhalfan3452 8 วันที่ผ่านมา +1

    Una amrisha mema na kukataza mabaya, kumbuka maagizo ya Luquman kwa mwanawe

  • @nnajahtv
    @nnajahtv 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa wanao Hara nimfano wao maana watu wanazungumzia ryknul iiman mwengine anasema sijui kasm mafuta, oh ufahamua wajo mmbivu
    Masufi wote akili zao zina fanana kama walivyo sema wanazuoni

  • @MswahiliIdd
    @MswahiliIdd 8 วันที่ผ่านมา +2

    Kitaeleweka

  • @saidomarkiroboto8229
    @saidomarkiroboto8229 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huo....ni upuzi shekhe wangu

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 8 วันที่ผ่านมา

      Upuuzi au wapi hapo na anayetoa maagizo kwa malaika au anaye kosoa juu ya aliyekosea ili watu wengine wajue kuwa kitendo cha mwanadamu kukusudia kutoa maagizo kwa malaika sio jambo sahihi yaani ni makosa makubwa .

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 7 วันที่ผ่านมา +4

    Misufi ni mapunda wa mashia( imam shafiii)

  • @allyjuma9669
    @allyjuma9669 8 วันที่ผ่านมา +2

    Al khamdulilah kuwa ninashika manhaji salafi kweli masufi hawana akili

  • @hajisimaikhatib9002
    @hajisimaikhatib9002 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa mashekh hamna kitu alipo mama si uwislamu ni democracy maskini duwa hiyo hata juu ya vichwa vyao havifiki.

  • @nnajahtv
    @nnajahtv 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mashufi niwenda wazimu kama alivyo sema imam maalik masufi hawana akili

    • @OmariOmari-y8h
      @OmariOmari-y8h 8 วันที่ผ่านมา +1

      Hapo hakuna majahazi Wala mitumbwi😂

    • @hassanmzandy1421
      @hassanmzandy1421 8 วันที่ผ่านมา +1

      Ni imam Shafy

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 8 วันที่ผ่านมา +3

    Uko vizur,
    Ila utakua vizur zaidi pale utakapo muogopa ALLAH zaidi kuliko usalama wa taifa katika daawa zako,
    Usiwaogope hao hawawezi kukufanya lolote ila ALLAH aridhie.
    Nakama utabaki kuwaogopa basi daawa yako haitokua ya Moja kwa Moja kwakua kunamambo hautoyabainisha kwa umma kisa kuwaogopa usalama wa taifa,
    (Daawa ni chungu sana
    Nakwakua ww umeamua kua mtu wa daawa basi usimuogope mtuu,)
    Fikisha kama ilivyo pokewa.
    ,{kimsingi upo vizuri sana na ALLAH AKUHIFADHI}

    • @SheheMachili
      @SheheMachili 8 วันที่ผ่านมา

      Busara inaitajik shekh Musa anatumw Kwa firaun na Allah kamwambia lakin kamwambie Kwa hekm umpe maneno mazur

    • @HassanHassan-si2rt
      @HassanHassan-si2rt 8 วันที่ผ่านมา

      @SheheMachili
      Huoni kama ni busara na muft + walid nao wametumia busara kutomkosoa mzee jongo hapo hapo,
      Nani katika sisi ajuae kua baada ya hapo walimkosoa au laa,
      Pengine nao walitumia hekima kwa mzee jongo ,
      Je nawao wasilaumiwee?
      Jamaa uislamu ni Quran na Sunnah nje na hapo hio sio dini.
      Ninachomaanisha hapo mm nikwamba hata daawa ifikishwe kama ilivyo kuja bila kujali cheo wala wadhifa wa mtu,
      Mtume s.w andetizama wadhifa kwa wale mabwana wakubwa wa makka basi hii dini isingesimama,
      Aliki alifikisha kama alivyopokea ndio maana akapigwa vikali na usalama wa taifa wa kipindi Kila ila hakusita kuifikisha daawa.
      Usitie hekima katika kulinda MAOVU.

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 7 วันที่ผ่านมา

      Busara kwenye kusema kweli ni kusema lililo la haki Mfano. Mwanamke haifai kuwa kiongozi hekma ni kusema haifai mwanamke kuwa kiongozi . Na hapo Allah hawezi kumrizia huyu Maana amekanusha .

    • @HassanHassan-si2rt
      @HassanHassan-si2rt 7 วันที่ผ่านมา

      @abuuaidh6500
      Sure,
      Sema sasa masheikh hawawezi kusema hivyo kwakua wanawaogopa usalama wa taifa,
      Nawatu wasio julikana,
      Badala yake wanaanza kumsifia nakusema kua apewe MITANO mingine.
      Khatar tupu kwa masheikh wetu

    • @KhamisDaud-nz3rc
      @KhamisDaud-nz3rc 6 วันที่ผ่านมา

      Hili jambo alilolisema hapa ni jambo kubwa mno wale wanaoogopa usalama wa taifa hawawez kuinua midomo hapa mana kukosoa hapo ni kama umemkosoa raisi kwani hao wote hapo ni watu wake na hapo walipo wanatetea posho zao

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 8 วันที่ผ่านมา +1

    Masufi ndio wakona uwezo ya kuamrisha malaika na majini ndugu

  • @BouShakuri
    @BouShakuri 8 วันที่ผ่านมา +1

    Aseme zile b2 zimeenda wapi

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 5 วันที่ผ่านมา

    Maskini hawa ni watu wa njaa na ilimu ndogo mwenyezimgu awaongoze wawe watu wa tawheed.