UTATA KUHUSU KAULI ZA OTHAMAN MASOUD MAJUKWAANI / ICHI NDO KINAMPA NGUVU? / NI BALAA TUPU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • WorldNewsMedia ni chanzo namba moja cha habari kinachota taarifa mbalimbali ulimwenguni . Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    #siasazanzibar #raissamia #othamnmasoud

ความคิดเห็น • 55

  • @Zivago12
    @Zivago12 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Maalim Said Miraji, wewe ni Teacher na mwanasiasa ulokomaa. Hongera sana

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 วันที่ผ่านมา +2

    Shukran broo tunakupenda sana kwa kutetea zanzibar

  • @RashidAhmed-h7t
    @RashidAhmed-h7t 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Nyerere kazi yake kubwa ilikua ni kueneza fitna tuu duniani.

  • @suleimanalisaid2201
    @suleimanalisaid2201 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Tumekuelewa vzr sisi tunataka kuinusuru zanzibar

  • @HajiJuma-k3l
    @HajiJuma-k3l 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Muheshimiwa ukinitajia maalimu Seif,Mimi unanimwagisha machozi mengi yanayokuwa hayana mwisha,Unaniliza kilio kisichoisha milele kwakumkumbuka mema aliyotufanyia sisi Wazanzibar wake. Nakuomba Allah umfufuwe maalim seif leo hii inshaallah. Ameena,Ameena yarabilighalameena.

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 9 นาทีที่ผ่านมา

    Big bless to karume kidogo

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 18 นาทีที่ผ่านมา

    Ohh ok thanks hata me sikujua hii asante kumbe wazanzubar walichenshwa na huyo salmin

  • @IlhamKhalid-mt3jp
    @IlhamKhalid-mt3jp วันที่ผ่านมา +3

    Ahsant na shukran

  • @Zivago12
    @Zivago12 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Baba yake Abui. Nakuaminia sana uko wazi kwa ulijualo.

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 28 นาทีที่ผ่านมา

    What i think ninyi where zanzubar going is separations with Mainland in the future ninyi mtasema ipo huko mbele

  • @Zivago12
    @Zivago12 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Maalim Said rudi tupambane, umeshapumzika vya kutosha. Nakumbuka ulipopata kisago.cha mateso 27/jan/21. Mungu mkubwa

  • @ramadhansimba2928
    @ramadhansimba2928 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Idrissa aliodoka kwa sababu gan
    Jamaa hx haijui😊

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 วันที่ผ่านมา

    Good history

  • @MzeesuleimanMaganga
    @MzeesuleimanMaganga 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Ningefurahi kama historia ya Zanzibar pale ilipopata uhuru kutoka kwa uingereza

    • @w4058
      @w4058 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Utaipata Google search Zanzibar History before Revolution

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Uingereza haikupata kuitawala Zanzibar isipokuwa aliombwa na mtawala Sultan kutoka Oman kuilinda Serikali yake kwa kiingereza wanasema "under protectorate" yaani utawala wa Kisultani ulikuwa chini ya himaya ya Muingereza. Kilichofanyika Dec. 10, 1963 ni kwa Muingereza kujiondoa tena kama mlinzi wa utawala wa Kisultani. Hivyo hapakuwa na Uhuru tarehe 10/12/1963.

  • @salimaloufi6470
    @salimaloufi6470 วันที่ผ่านมา +1

    Aboud jumbe aliekwa tu bila kushauriwa znzibar

  • @NassorKhSaid
    @NassorKhSaid วันที่ผ่านมา +4

    Mamlaka kamili

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Dunia tinapita tu

  • @abrahmanhmd2557
    @abrahmanhmd2557 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    MBONA HEAD NEW IPO TOFAUT NA VEDIO AMA SJAFAHAM

  • @salehabdallah4114
    @salehabdallah4114 วันที่ผ่านมา

    Io ni Culculation ya Siasa na nimejufunza kua yote yanayoendelea yanatokana na historia za kisiasa

  • @AmeKhamis-b9q
    @AmeKhamis-b9q วันที่ผ่านมา +2

    huyo jamaa kaulizwa nin anajibu nin Hana uchambuz

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mbona kajibu vizuri tuu basi kma huelewi basi mpeleke mamako ajibu vzr.

    • @MzeesuleimanMaganga
      @MzeesuleimanMaganga 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Uhakika kaulizwa kitugani anijibu nini

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hakuna mzanzibar anaitwa maganga ww mtanganyika hii mada hakuhusu ndewe Wala shikio kwa iyo siwezi kukujibu

  • @w4058
    @w4058 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Muwongo mkubwa wewe fisadi hakuwapendelea wapemba nyie mlijazawa chuki kwa makusudi wacha kusema uwongo

  • @hamzaameir4680
    @hamzaameir4680 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    MAPINDUZIIIII DAIMAAA *

    • @Zivago12
      @Zivago12 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mpuuzi usokua na akili. Wewe si mzanzibari

  • @DulaRashid-r5z
    @DulaRashid-r5z วันที่ผ่านมา

    Wewe hapo unaongea utashi sadifa aliongea Nini nakafanya nini

  • @freddyfit4132
    @freddyfit4132 วันที่ผ่านมา

    Sheini didnt win to be honest

  • @SaidAljabrisalim
    @SaidAljabrisalim วันที่ผ่านมา

    Mamlaka kamili, acheni mbamba.,
    Kama mulianganisha, toeni mkataba hadbarani.

  • @Znz-news
    @Znz-news วันที่ผ่านมา

    Kwani aliulizwa vipi naona anatoa historia ya Zanzibar

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mbona kajibu vizuri tuu

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Umesahau hata maaliSeif aliwahi kuwa waziri kiongozi wakati wa utawala wa Idrisa Abdoul Wakili hapo ndipo mambo yalipoanza kuharibika Maalim aliwapebdelea Wapemba mtifuano ukazidi

  • @KhamisSeif-t3d
    @KhamisSeif-t3d วันที่ผ่านมา

    Muandishi kwanini usimuulize OMO mwanyewe huoni ukiuliza watu wengine utapata majibu sio au ndivyo munavyotaka Ili mupate la kusema

  • @salimaloufi6470
    @salimaloufi6470 วันที่ผ่านมา

    wewe unatoa story,jibu suala

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Siasa ni mchezo mchafu,, Tunataka muungano mpya sababu walio unganisha hatujui waliyokubaliana ,inabaki Siri ambayo imekufaa,,, kama watenda haki na amani basi mukubali kuvunja na kuunda mpya

    • @w4058
      @w4058 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Siasa sio mchezo machafu wana siasa ndio wenye uchafu na kila kuzidisha uchafu wao wenyewe ndani ya nafsi zao

  • @Yussuf-b3b
    @Yussuf-b3b วันที่ผ่านมา

    Ccm b ukimsikiliza ni kichefu chefu tu,,WAZANZIBARI wanataka mabadiliko zamani sio sasa tokea marehemu seif haki yao ya kuchaguwa inaporwa ,,huyu jamaa ana mendit gani kuwajibia WAZANZIBARI, ni upuuzi tu

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j วันที่ผ่านมา

      Wee una mandet gani ya kutuzungumzia wazanzibar

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j วันที่ผ่านมา +3

      Sefu alikuwa mroho wa madaraka tu maana alikuwa ccm na aliitaka nchi hakupewa ndo maana akatimkia kwingine ili apate madaraka

    • @w4058
      @w4058 วันที่ผ่านมา

      Ushike Adabu yako wewe nuksi mmoja

    • @w4058
      @w4058 วันที่ผ่านมา

      ​@@RashidHaroun-c2jAlaysa llahu biahkamulihakimin hakimin Allah atamlipia Maalim Seif unasema uwongo kwa chuki zako loo Hasbunallah Waniimal 😢

    • @w4058
      @w4058 วันที่ผ่านมา

      ​@@RashidHaroun-c2jNa huyo alokuunga mkono nyote mtakwenda kujibu kwa MMungu kwa uzushi waongo msokuwa na adabu wakosefu wakubwa washenzi msojijuwa