Uko vizuri kaka kwenye kufuga lakin unakosea kwenye kumshika kuku ama kumbeba kuku hashikwi mbawa zake unapo mbeba unamuumiza unamshika miguu na bata usimshike miguu unamuumiza bata unamshika miguu watu wengi wanawatesa kuku kwa kuashika mbawa wanapo wabeba ni makosa
Mm nilichukuwa vifaranga 300 vya kroilla kwenye farm ya ACHI ILIYOPO MOROGORO tarehe 8feb 2024 leo nina kuku 30 tu kuku wanazungusha shingo wanakufa ukipasua ndani wananuka na wanarangi ya kijani na njano maeneo mengine kama damu imevilia yaani nimepata hasara na sijui huo ni ugonjwa gani??? Ningetumia dawa gani???
As a pharmacist si washauri kufanya hivyo. Inaweza ikawa sababu ya microbial resistance kea kuku na kwa mtumiaji. Na dosage yake in terms of weights ipoje?
Hivi karibuni ulipost dawa ya mafua ikiwa na mchanganyiko wa pilipili kitunguu swaumu na tangawizi. Je.hiyo dawa aikufanya vizuri? Au unamaanisha kuwa zote ni dawa nzuri za mafua?....
Sasa mimi niko na kuku mia nne nitanywesha hivyo kwa mda gani
Utaweka amoxicillin vidonge vinne na Panadol mbili kwenye kila Lita tatu za maji
Hicho kinyesi ni coccidiosis, na ugonjwa huo husababishwa na kuku kula au kunywa maji yakiochanganyika na kinyesi
Sawa
Sawa bro shukran
Dawa ni Aprolium, au anticox
Sawa
Picha haionyeshi vizuri
Na mbn mm nilikuwa batumia amoxlim lkn wanapona na hyo hali kurudia lkn baada ya kutumia dawa za kienyej wakawa vzr
Mimi sijajua hicho kinyesi ni ugonjwa gani
Unatumia mda gani
Ugonjwa wa kuhara damu. Amprolium
Sasa kama ndo ivo siumnyweshe tu ivo vidonge kwapamoja ya nn kukata nakuikoroga kama dozi nd iyo shika kuku nywesha kama vilivo inaokoa muda
Jibu la swali lako hicho kinyesi ni ugonjwa wa Coccidiosis unasababiswa na protozoan tiba yake ni antibiotics mfano Esb3.
Na mbn mm nilikuwa natumia amoxlim lkn baada ya mda kdgo hyo hal inarud lkn baada ya kutumia dawa za kienyej wakaw vzr mpak sa
Dawa gan ya kienyej ultumia ndg
Kuku wako mmoja anakula gm ngapi kwa siku
Mafua na antibiotics?
Ugonjwa wa kuhara damu
Hiyo ni coccidiosis
Uko vizuri kaka kwenye kufuga lakin unakosea kwenye kumshika kuku ama kumbeba kuku hashikwi mbawa zake unapo mbeba unamuumiza unamshika miguu na bata usimshike miguu unamuumiza bata unamshika miguu watu wengi wanawatesa kuku kwa kuashika mbawa wanapo wabeba ni makosa
🙏 Kwa ushauri
Daw yake ni aprolliam au vita xosti
Unampa kiasi gani?
Amoxicillin ina mg 250 anatumia binafamu hadi kilo 30 ww una mpa kuku wa kilo tatu?
Ugonjwa wa coccidiosis tiba yake ni amprolium au coxb3
Maijiganui yenye vitameni
Nakwa Bata kama Wana mafuta je
Kwani hayo mafua ndio mdondo?
Kuku ambae imelalia utaipea
Typhoid
Kuku wangu wana mafua sugu kabisa hayasikii dawa..
Tutafute WhatsApp 0712188239
Tuambie vipimo vya dawa kuanzia hatua ya mwanzo ya ukuaji wa kuku
Karibu kwenye kundi la WhatsApp tunatoa hayo maelekezo
Doz ya siku ngap
Mpe siku 3
Tusaidie bado tuko gizani,
Karibuni sana pia tuna makundi ya WhatsApp Utapata vitu vizur sana
Je ni ugonjwa ugani unaosababisha kuku kuvimba maini hatimaye kufa?
Homa ya matumbo na kideri
Kuku wangu anaharisha nimpe dawa gani
Mpe aloevera na kitunguu saumu kimoja
L
Sasa kama kuku amba bado ana umri wa juma mona ama mbili nae ni je kumtibu
Hapana
Na chotara wanataga baada ya miezi 4 ?
Ndio
Je hiyo dose ya mafua utampa mara ngapi hadi apone?
Mara mbili
Coccidiosis dawa amprolium
Naomba namba yako
0712188239
Coccidiosis tiba yake ni anticoccidioss
Hiyo panadol na Amoxlin anapewa kwa siku moja tu?
Ndio
Je BATA bukini aeza kunywa
Unawapatia itatibu
@@KingoFarm1 ooh, asante sana
Habari ndugu naomba kukuuliza je kama kuku wachanga unatumia vipi mana kuku miezi 4 kipimo ndoicho
Unaweka nusu
Kokdiosis,
Ni single dose ama unampa kwa siku ngapi?
Mara Moja tuu
Jibu la swali, huo ugonjwa ni occidiosisi, sababu ni kuku kula kinyesi, dawa sijui ....
Dawa AGROCOX.
Cocid
Mm nilichukuwa vifaranga 300 vya kroilla kwenye farm ya ACHI ILIYOPO MOROGORO tarehe 8feb 2024 leo nina kuku 30 tu kuku wanazungusha shingo wanakufa ukipasua ndani wananuka na wanarangi ya kijani na njano maeneo mengine kama damu imevilia yaani nimepata hasara na sijui huo ni ugonjwa gani??? Ningetumia dawa gani???
Duh pole njoo WhatsApp ujiunge na kundi letu hutajutia na utapenda ufugaji tutafute 0712188239
Hiyo ndio dawa???
@@kuntakinte7339ndio
Iko wapi hiyo kampuni nami nahitaji vifaranga
Naomba namba yako ya What's app tafadhali
As a pharmacist si washauri kufanya hivyo.
Inaweza ikawa sababu ya microbial resistance kea kuku na kwa mtumiaji.
Na dosage yake in terms of weights ipoje?
Unafuga kuku??
@@KingoFarm1 yeah
Tuambie wewe sasa, tutumie nini kama hiyo unaona siyo sawa.@Azam
@@RenaldaMunishi509 ninachokijua Mimi na kinachofanya kazi hapa shambani ndio ninawaelekeza kwangu imetoa matokea mazuri na kuku wanapona,
Hivi karibuni ulipost dawa ya mafua ikiwa na mchanganyiko wa pilipili kitunguu swaumu na tangawizi. Je.hiyo dawa aikufanya vizuri? Au unamaanisha kuwa zote ni dawa nzuri za mafua?....
Zote zipo vzr, tunatoa mbadala kama utaikosa basi unatumia ingine
Coccidiosis nitawapa trimafarm
Wape AGROCOX
Hata trimafam n nzuri kwa Cox,tyfod,n mafua
Na mbn mm nilikuwa natumia amoxlim lkn baada ya mda kdgo hyo hal inarud lkn baada ya kutumia dawa za kienyej wakaw vzr mpak
Zote zipo vizuri
Mimi sifahamu
Njoo what's up 0712188239
Njoo what's up 0712188239
Kwa kuku 100 unawapa kiasi gani.?
Unaandaa kwenye maji Lita 20
Kwa dozi ya kiasi gani Cha limoxlin na Panadol@@KingoFarm1
@@KingoFarm1kwa kuiu Mia ?
Nafikiri swali ni kama una kuku wengi, Kwa Lita Moja ya maji unaweka amoxy ngapi na panado ngapi?
Navip sasa kuhusu dozi ya hii dawa! Je.kuku anapaswa kunyweshwa mara ngapi kwa siku na kwasiku ngapi?....
Dawa nyingi za kuku ni siku nne, mpe tuu mara Moja
Ni mara moja tu