Asante sana nimeipenda channel hii naamin nitabadirika kiufugani
Asante sana kwa madarasa yote Mungu akubari sana. Mimi nalima mpunga na mahinmi na sipendi Mbolea ya dukani naomba elimu ya kutumia samadi. Shalom
Asante mwezeshaji ninaswali kuku wangu wanaharisha mavi ya goroli goroli yenyewe ni dalili ya ugonjwa gani
Asante sana nimejifunza
Barikiwa sana🙏🙏naomba usisahau kusubscribe uendelee kua mwanachama wa channel hii
Asantee kwa maelekezo. Mazuri ya namna ya kukabili magonjwa ya kuku
Dawa ya typhoid na kipindu pindu cha kuku ni ipi?
Apo HADI duka LA mifugo ndugu WATAKUPA dawa walio nazo. Maaana dawa zipo nyingi Sana ndugu
Nimependa somo lenu nitumie video yahuounjwa wavifaranga kinyesikinanatia matakon
Nauliza Kwamba Je hizo Dawa zakienyeji Zahaya magonjwa Zinamatokeo Sawa Na hizi za dukani Au kunatofauti ?
Ni Sawa tu ila utofauti ni haraka wa ufanyaji Kaz yaani za dukani kufanya kwa haraka kazi. Kwa kuku aliyezidiwa Sana tumia za dukani
Kuku wangu anatoka vidonda katika midomo dawa gani inafaa?
Pole itakua ni ndui tumia tiba asili. Andika apo you tube tiba asili ya ndui by agalus TV
Kwangu mimi, kuku anakosa pumzi anapumua kwa kuangalia juu nifanye je?
Inakuaje ebu angalia hii video inakua kama ivyo au
th-cam.com/video/p0-uYjlt94o/w-d-xo.html
Mimi no mfugaji was kimu wa kienyeji naomba unitumie hiyo video ya kutibu ndui kwa alovela na limao
Jinsi y kutumia limao na a lovera kitibu ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html
Unaweza kunisaidia somo la matumizi ya dawa katika magonjwa haya tofauttofauti kwa kuku
Kuku wangu wanapiga wanamafua nimewapa fruban lakini bdo hawajatulia nitumie nini
Badili dawa y mafua tofauti na iyo. Nenda duka LA mifugo zipo dawa Kama vile Tylosin, tylodox, Doxycoal n. K
Nimefutahia sana somo lako lkn mimi kuku wangu wanakoroma nimewapa telosoksi siku 5 lkn bdo hawajakaa vzr sasa niwape nini tena
Vifara wakiwa wanakorima na kinyesi chenye damu niwape dawa Gani?
Apo ni kikohoz na coccidiosis.
Video hii inadawa zote izo utachagua moja wapo utakayo Pata dukani
th-cam.com/users/shortsn_WpY6ptH54?feature=share
Sasa uganjwa hii ya mwisho nidawa gani yamajani mutu anaweza kutumia kama kinga?
Nitaitangaza channel hii kwa rafki zangu wafugaj kama mm 💪✌
Utakua umefanya jambo jema sana na kusaidia wengi. Mungu atatulipa cku moja🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mim nimfugaji wa kuku wakienyeji Ila napata Sana changamojo ya ukuzaji wa vifalanga wa kienyeji ukiwa nawapatiba km hizo na chanjo kwa wakati Ila bado tatizo la kushusha mabawa, kuvimba macho na kutoa kinyesi cheupe na njano haliishi ko niliomba njia sahihi yakufuata ili niweze kukuza vifalanga vyangu vyote pia naomba No ya sim yako
Ndugu uleaji wa vifaranga Kuna mambo ya. Mcngi kuyazingatia Sasa ebu fuatilia Aya masomo kuhusu vifaranga tu. Kama Kuna th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b.html hutaelewa utatujuza
Yaani leo vifaranga wa siku 3 walipata hiyo ya choo kugandia, hii video imenifaa sana
Na nilikuwa na bata anadalili zote za typhoid hii video imenifaa
Naomba kujua namna ya kuchanja kuku na kwa mda gan
Ratiba ya chanjo zote za kuku hili somo lake🤝👇
th-cam.com/video/uakD0dx61Rg/w-d-xo.html
Kukuwangu wanamafua naomba msaada wa matumizi sahihi ya dawa nikiasi gani niwape warudi kuwa sawa
Nataka kujua kuku wanapewa chanjo wakiwa na umli gani
Siku *7 fuatilia video hii ya ratiba ya CHANJO ya KUKU
th-cam.com/video/uakD0dx61Rg/w-d-xo.html
Naomba mkufuzi nisaidie kurudia somo la mafua Kwa kuku wa kienyeji.
Kuhusu somo la mafua ya kuku, dalili zake na tiba 👇👇🙏
th-cam.com/video/Ws90o1Y0H3o/w-d-xo.html
Mimi Nina kuku wangu maguu yana magamba alafu yanafura saingine kucha za toa damu. Je niugonjwa gani nadawa yake Nini?. Swali lapili nimboga gani yafaa umpe kuku. Ni mchicha au skuma wili
Pole sana mpe sana vitamins, kuhusu majani MBOGA zote zinafaa ila kwa zaidi majani mengine yapo KWENYE video hii Kuna Aina y majani 10 tofaut tofaut
th-cam.com/video/17-yYtPoD2o/w-d-xo.html
Video
Vifaranga wangu wananyong'onyea na kuvaa koti dawa gani nitumie wana week 2
Sasa kuku akishakuwa na huo uchafu mweupe kwenye macho unpaka dawa gani
Dalili za ugonjwa za kipindupindu kwa kuku ni zipi na dawa zake
Nimefurahi kupata some hilo la dawa ila naomba ratiba ya chanjo kwa vifaranga hadi wamalize chanjo zote
Vifaranga wangu wanalemaa ni wadog wana wk moja sasa nawapa stata ya vifaranga wadogo hali hiyo inasababishwa nanini jamani.😂
Mini nafuga lakin nimetumia dawa zote za mafia haisaidii nifanyaje
Pole Sana ndugu vp kuku wako unawawekea malanda ya mbao? Na JE wa natoka nje wanakula samadi ya mifugo? Ebu tuanze na apo kwanza🙏
@@AGALUSTV wanatoka nje na wanakula may changu yote na Nina ngo,mbe wanachakura huko kwenye vinyesi vyao
Je ni ugongwa na tiba gani vifaranga Wa kifika umiri Fulani wananyanyua mabawa badaye wanakufa
Kuku wangu ni chotara wenye miguu mweupe, nashukuru wanakuwa haraka lakini napata changamoto kubwa ni dalili za magonjwa haziishi pamoja na tiba ninazowapa kwa ushauri wa wataalamu. Hasa kinyesi chekundu na uharo mweupe unanipa shida kweli!!! Nifanyeje?
Kama kuku analegea miguu na kufa huo ni ugonjwa gani?
Apo ni vigumu ndugu kujua ni ugonjwa gani. Dalili zingine Zipo vp maana Ata dalili zingine kuku analegea miguu na a naweza kufa pia
Kuku ukiwa na hiyo kifua nahajamaliza chanjo arafu nikawapea tyrodoxy nitakuja kumaliza kuwapea chanjo zile simembaki
Mimi hassan kuku wangu wesha pata ndui nikiwachoma watapona au hawaponi tena
Ninapenda niwe mwana chama wakipindi chenu
Nimependa kuwa mwanacham wa ufugaji au kipind chako plz nafug kuku hawanip faida
Kuku huyo uliye mtenga akiwa mgonjwa(gumboro/kideri) na hatimaye akifa, ni dawa gani hutumiwa kusafishia banda either ya dukani au ya asili, kabla hujaweka kuku wengine?
Dip tu za kusafishia mabanda y ng'ombe na nguruwe. Mchek muuza madawa y mifugo atakusadia
nimefurahi Kwa somo ninaswali ninafiranga miezi miwili na wagojwa wanajikuja nakukauka koon
Asante Dr. Naomba kujua tiba asili ya ndui
Tiba asili ya ndui
th-cam.com/video/sn9mzciyF64/w-d-xo.html