NILIANZA NA KUKU 11 TU, SASAHIVI NINA TENGENEZA MILIONI MBILI KILA MWENZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 65

  • @user-pq7ej7cz5g
    @user-pq7ej7cz5g 20 วันที่ผ่านมา +1

    Nimependa darasa lenu nitajitahidi kuwafatilia Sanaa

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  20 วันที่ผ่านมา

      Karibu kwenye kundi la Mafunzo utajifunza mengi zaidi

  • @JulitaAndrea-nu6pz
    @JulitaAndrea-nu6pz หลายเดือนก่อน +5

    Mimi Nina eneo kubwa ,na ninapenda sana ufugaji na hitaji elimu sana, nahitaji ramani ya Banda ushauri wenu ni mzuri Naomba Namba zenu.

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      0712188239

  • @MaryNyoni-n7j
    @MaryNyoni-n7j 5 วันที่ผ่านมา

    Nipenda sana masomo yenu.Napenda sana kufuga kuku.

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  4 วันที่ผ่านมา

      Karibu jiunge na kundi letu la Mafunzo WhatsApp 0712188239

  • @MahitoSelemani
    @MahitoSelemani 29 วันที่ผ่านมา +1

    Jambo Kaka na mimi nahitaji sana mafunzo ya ufugaji kuku ila nipo kongo Drc

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  28 วันที่ผ่านมา +1

      Tutafute WhatsApp+225712188239

  • @bonifacemollel87
    @bonifacemollel87 หลายเดือนก่อน +1

    Baba Milioni 2 kwa mwezi aisee sio kweli hapo nae umetupiga

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa maoni na ushauri

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kingo Farm nakufatilia sana sana tena sana. Video ina motisha lakini haijaelezea namna unavyoingiza hiyo pesa kwa mwezi. Fafanua tafadhali

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 หลายเดือนก่อน +1

      Shukrani sana broh endelea kutufuatilia utajifunza mengi

    • @user-vp8yi1xe7l
      @user-vp8yi1xe7l 2 หลายเดือนก่อน

      Uhunii tuu mwingii

    • @gabrielzakaria2810
      @gabrielzakaria2810 2 หลายเดือนก่อน

      Me naomba niseme hyu jamaa sio muhun anafanya kaz me leo nmeongea nae yupo sahihi nasema hv kwa kuwa na Mimi nafuga

    • @chachawambura4030
      @chachawambura4030 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-vp8yi1xe7l wewe ni mfugaji?

  • @jofreykabulule
    @jofreykabulule 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mko sehemu gani

  • @juliusmkilima5610
    @juliusmkilima5610 หลายเดือนก่อน +1

    Mpo vizuri napenda iyo

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Shukrani

  • @FredsonNyondo
    @FredsonNyondo หลายเดือนก่อน +1

    Nafurahia elimu yenu

  • @ngwadaratifa1008
    @ngwadaratifa1008 2 หลายเดือนก่อน

    Kwasasa mna kuku wa ngap?

  • @RenaldaMunishi509
    @RenaldaMunishi509 หลายเดือนก่อน +1

    Nilitamani ufafanue jinsi unapata hyo milioni2

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Njoo kwenye kundi letu la Mafunzo ya ufugaji utaona mwenyewe

  • @DericksRoni-xz5kg
    @DericksRoni-xz5kg หลายเดือนก่อน +1

    Mimi pia ninataka hii ukulima nashindwa nitaanza zipi nisaidie bwana

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Tutafute WhatsApp au tupigie 0712188239. Ujiunge kwenye kundi la Mafunzo ya ufugaji au ununue kitabu chetu kitakusaidia sana

  • @oscakaitaba6436
    @oscakaitaba6436 หลายเดือนก่อน +2

    Sioni majogoo. Unafuga kuku wa mayai kwa njia ya kienyeji?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Hao ni chotara wanataga hata bila Jogoo

  • @user-hq2mc7fi9g
    @user-hq2mc7fi9g หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      0712188239

  • @SebastianUlomi
    @SebastianUlomi หลายเดือนก่อน

    Kaka mimi nina kuku20 lakini vifaranga vikitotolewa vinakufa nifanyeje naomba uhauri

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Pole sana nakushauri ujiunge na kundi letu la Mafunzo WhatsApp, kule tunafundisha namna ambavyo utawalea Vifaranga tokea siku ya kwanza mpaka miezi miwili, tutafute WhatsApp 0712188239 tukuunganishe Kwa TSH 5,000/=

  • @suleimanmuhiddin5363
    @suleimanmuhiddin5363 หลายเดือนก่อน +1

    Unatotolesha kwa machine au wanatotoa wenyewe?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Wanatotoleahwa kwenye mashine

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 หลายเดือนก่อน

    Kwa haraka nimemuelewa anatangaza dawa za kuku

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Sisi hatuuzi Dawa za Kuku.

  • @mariakisinda-pe7us
    @mariakisinda-pe7us หลายเดือนก่อน

    Vifaranga vyangu vinakufa tu nifanyaje?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Tutafute WhatsApp 0712188239 kama utapenda tukuunge kwenye kundi la WhatsApp la Mafunzo ya ufugaji Kwa vitendo Ili ujifunze

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yako

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      0712188239

  • @MaryNyoni-n7j
    @MaryNyoni-n7j 5 วันที่ผ่านมา

    Mpo wapi?

  • @NeliusMjungu
    @NeliusMjungu หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ninao kuku watano na nimetotoledha vifalanga 30 ila sijui namna ya kuchanganya chakula na ujenzi wa banda mnisaidie tafadhali

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Njoo WhatsApp 0712188239

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ulikuwa tayar unaeneo na pesa, ndyo maana ilikua rahs kwako,, bila hivyo ni ngum bro.

    • @chachawambura4030
      @chachawambura4030 2 หลายเดือนก่อน +4

      Kila kitu ni malengo, hata ukiwa na Kila kitu kama huna malengo na uthubutu huwezi kufanya hicho alichokifanya yeye.

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli kabisa broh weka malengo mazuri muombe mungu akutangulie upiganie ndoto yako

    • @rehemaothuman3764
      @rehemaothuman3764 2 หลายเดือนก่อน +3

      Akuna mtu atakae kupa mtaji pambana

    • @jossporahmsw8420
      @jossporahmsw8420 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sahihi,,,,,,

    • @emmanueleddiemwamakula3398
      @emmanueleddiemwamakula3398 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@KingoFarm1 mtaji ni suala pana sana na mara nyingi mtaji fedha ndio huonekana unapoanzisha biashara/mradi hivyo tuendelee kujifunza kila siku. Kikubwa anza na ulichonacho maana ndio mtaji namba moja @chachawambura4030

  • @dorcasassenga2005
    @dorcasassenga2005 หลายเดือนก่อน +1

    Ila huyu jamaa simuamini saana. Anaingiza Milioni 2 kwa Mwezi,halafu mazingira siyo rafiki.! Kwa ujumla mazingira hayavutii kulingana na kipato anachosema!

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      Ongeza idadi ya kuku, fikilia kuhusu vitu Vya msingi kama mabanda, tumia gharama ndogo iwezekanavyo Ili kuongeza margin ya FAIDA, hii itakufanya UFANIKIWE ndani ya muda mfupi, achana na vitu visivyo Vya msingi kama vile kuweka tails kwenye Banda la kuku Sababu tuu unapata pesa hapo lazima utachelewa,
      tunakukaribisha kwenye kundi letu WhatsApp 0712188239, ujifunze zaidi. Mungu akubaliki

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂❤

    • @nicodembrown7508
      @nicodembrown7508 หลายเดือนก่อน

      Waongo

    • @jossporahmsw8420
      @jossporahmsw8420 หลายเดือนก่อน +1

      Tufanye unakuku 500 wanaotaga,, utakosa trey 10 za mayai kwa siku?kwa mwez1 trey 300kwa sh11000trey, yaan sh11000×300=3300000,

    • @nicodembrown7508
      @nicodembrown7508 หลายเดือนก่อน

      @@jossporahmsw8420 hapo pigia kuku 200

  • @lightouma477
    @lightouma477 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa jamaa wanaongeaga tu ila kama huna hela hakuna utakachokifanya,maana fikiria huna hela,huna eneo,huna hata wakukukopesha kwa riba rafiki, huwezi kufanya kitu,utaushia kufanya vibarua na kupata pesa ya kula tuu

    • @samwellwiza1098
      @samwellwiza1098 2 หลายเดือนก่อน +1

      Anza na kuku hata mmoja au wawili

    • @nicodembrown7508
      @nicodembrown7508 หลายเดือนก่อน

      Waongo tu

    • @mayarajulius
      @mayarajulius หลายเดือนก่อน +1

      Mwanzo si lazma kuku 200

  • @Kefafundi5
    @Kefafundi5 หลายเดือนก่อน +1

    Number yako haitaki kujitokeza kwa whtsapp

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  หลายเดือนก่อน

      0712188239 ipo what's up

    • @EdwardHekela
      @EdwardHekela หลายเดือนก่อน

      Broiler ikifunga miezi minne wanaweza fika kilo ngapi