TONNY WA CHERRY AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA/KUAMBUKIZWA UKIMWI/KUKONDA/UGUMU WA KUISHI NA MWENYE VVU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 222

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 23 วันที่ผ่านมา +36

    Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢

  • @elizabethmwaseba8164
    @elizabethmwaseba8164 23 วันที่ผ่านมา +35

    Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine

  • @salmabasil385
    @salmabasil385 12 วันที่ผ่านมา +9

    Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe

  • @janethzacharia7967
    @janethzacharia7967 17 วันที่ผ่านมา +12

    Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 14 วันที่ผ่านมา +14

    Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 วันที่ผ่านมา +1

      Life gumu kaweka Helen maskio yote vijana tuache bishoo tutafute hela

  • @user-fi7ky7ub6s
    @user-fi7ky7ub6s 14 วันที่ผ่านมา +10

    Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤

  • @jacklinepeter4158
    @jacklinepeter4158 21 วันที่ผ่านมา +19

    Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 24 วันที่ผ่านมา +21

    Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 20 วันที่ผ่านมา +4

      Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani

  • @joycekasimbazi9817
    @joycekasimbazi9817 2 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani mkaka wa watu mwe mpka katunga wimbo unaitwa uwongo ukute ndugu zake waliomba mpka Mungu akawasikia u

  • @ibrahim.kelvin
    @ibrahim.kelvin 23 วันที่ผ่านมา +15

    This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 19 วันที่ผ่านมา +10

    Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi

    • @darlenesalum3667
      @darlenesalum3667 17 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo

  • @charlesmtitu5606
    @charlesmtitu5606 24 วันที่ผ่านมา +33

    Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh

    • @frankrobertkomba2318
      @frankrobertkomba2318 23 วันที่ผ่านมา +13

      Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha

    • @user-re2em2zd2u
      @user-re2em2zd2u 22 วันที่ผ่านมา

      @@frankrobertkomba2318very true

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s 22 วันที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉

    • @MS.independent8934
      @MS.independent8934 15 วันที่ผ่านมา

      Upo sahihii 💯

  • @user-qq5rx1bl7e
    @user-qq5rx1bl7e 24 วันที่ผ่านมา +8

    Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f 21 วันที่ผ่านมา +10

    Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f 21 วันที่ผ่านมา +13

    Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 22 วันที่ผ่านมา +14

    Jaman umetoka mzima kwel😭

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 15 วันที่ผ่านมา

      Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 21 วันที่ผ่านมา +3

    Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe

  • @hanamakamba373
    @hanamakamba373 23 วันที่ผ่านมา +5

    Pole❤

  • @user-rm1sr3if9n
    @user-rm1sr3if9n 22 วันที่ผ่านมา +3

    Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha

  • @user-re2em2zd2u
    @user-re2em2zd2u 22 วันที่ผ่านมา +12

    Huyu kaka anaonekana anaumia sana

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 20 วันที่ผ่านมา +1

      Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 24 วันที่ผ่านมา +14

    Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu

  • @user-el7ut2qk4e
    @user-el7ut2qk4e 22 วันที่ผ่านมา +8

    Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.

    • @isakahissa4130
      @isakahissa4130 22 วันที่ผ่านมา +11

      Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa
      Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi
      Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine

  • @aminamasalu6988
    @aminamasalu6988 23 วันที่ผ่านมา +8

    Tonny anaonekana ana maumivu

  • @user-cr8pr3kn3c
    @user-cr8pr3kn3c 23 วันที่ผ่านมา +15

    Yani hata sura yake imepoteza nuru

  • @godfreykasilingi4041
    @godfreykasilingi4041 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .

  • @annamussa185
    @annamussa185 20 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo

  • @user-ey5mv1yz3s
    @user-ey5mv1yz3s 23 วันที่ผ่านมา +3

    Duuh, aisee haya maisha mmh,

  • @shanikiwele3111
    @shanikiwele3111 22 วันที่ผ่านมา +12

    Dah kweli umepungua Alton jmn😢

    • @darlenesalum3667
      @darlenesalum3667 17 วันที่ผ่านมา +1

      Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini

    • @tinajohn6296
      @tinajohn6296 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 วันที่ผ่านมา

      ​@@darlenesalum3667swadakta

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f 22 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu kaka anamaumivu jmn

  • @ReenKey-d5q
    @ReenKey-d5q 18 วันที่ผ่านมา +1

    Dah!pole sana kaka

  • @EmmanuelKawawa
    @EmmanuelKawawa 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona kwangu haina sauti

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x 22 วันที่ผ่านมา +2

    Duh mtihani

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 18 วันที่ผ่านมา +3

    Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini

  • @Patricianicholaus24
    @Patricianicholaus24 19 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki

  • @angeladegens7139
    @angeladegens7139 2 วันที่ผ่านมา

    Iove you Tonny🎉

  • @AlliNasra
    @AlliNasra 17 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.

  • @WemaMchomvu
    @WemaMchomvu 22 วันที่ผ่านมา +7

    Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton

    • @joycekasimbazi9817
      @joycekasimbazi9817 20 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito

  • @aminaelibrahimu4792
    @aminaelibrahimu4792 12 วันที่ผ่านมา

    Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok

  • @qayllahkusaga1207
    @qayllahkusaga1207 7 วันที่ผ่านมา +1

    Tony lov u bro

  • @DinahAnthony
    @DinahAnthony 21 วันที่ผ่านมา +9

    Kwakwel me Nilitaka waachane

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f 21 วันที่ผ่านมา +8

    Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin

    • @naah884
      @naah884 21 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅

    • @allyahahmed1091
      @allyahahmed1091 21 วันที่ผ่านมา +2

      Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko

    • @user-pp9mp1pz9f
      @user-pp9mp1pz9f 21 วันที่ผ่านมา

      @@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂

  • @IreneMwanaa-zo2wz
    @IreneMwanaa-zo2wz 21 วันที่ผ่านมา +2

    Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 23 วันที่ผ่านมา +6

    Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @anneyrommoka9024
    @anneyrommoka9024 9 วันที่ผ่านมา +2

    Wanawake wakichaga mpooooooo????

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 13 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee

  • @Fahilarashid
    @Fahilarashid 19 วันที่ผ่านมา +2

    Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 21 วันที่ผ่านมา +1

    😭😭Yani inauma sana

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 22 วันที่ผ่านมา +7

    Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.

  • @salmauae2261
    @salmauae2261 22 วันที่ผ่านมา +1

    isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤

  • @deborahissaya1601
    @deborahissaya1601 24 วันที่ผ่านมา +15

    Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 19 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment

    • @user-bo2yf5hw7s
      @user-bo2yf5hw7s 18 วันที่ผ่านมา

      Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo

    • @faridamapogolo2892
      @faridamapogolo2892 5 วันที่ผ่านมา

      Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 21 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???

  • @JeniferMassawe-lu3de
    @JeniferMassawe-lu3de 23 วันที่ผ่านมา +19

    Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 21 วันที่ผ่านมา +4

    huo ufala siwezi ufanya

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 14 วันที่ผ่านมา +1

    ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote

  • @Unju-q4e
    @Unju-q4e 12 วันที่ผ่านมา +2

    blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 22 วันที่ผ่านมา +8

    Duuu tunakuogopa aisee

    • @mixboysofredorfamily6210
      @mixboysofredorfamily6210 21 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂

    • @darlenesalum3667
      @darlenesalum3667 17 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa why umuogope😢😂

    • @irenemlay9769
      @irenemlay9769 17 วันที่ผ่านมา

      @@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 18 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan kaka kaumia.huyu😢😢

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 24 วันที่ผ่านมา +8

    Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 22 วันที่ผ่านมา +2

    😢😢😢😢😢

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kwan mlipata.watoto wangap.nae

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde

    • @thebroski9763
      @thebroski9763 7 วันที่ผ่านมา

      Pole mpendwa 🙏

  • @user-vr8fx4vg2r
    @user-vr8fx4vg2r 24 วันที่ผ่านมา +5

    Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa

    • @anifamickidard4555
      @anifamickidard4555 23 วันที่ผ่านมา

      Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote

  • @KudratMkangama
    @KudratMkangama 20 วันที่ผ่านมา +4

    Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹

    • @Amina-ig3jw
      @Amina-ig3jw 16 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅

  • @VeronicaSteven-of1qe
    @VeronicaSteven-of1qe 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 24 วันที่ผ่านมา +7

    Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali

    • @estherminnahboaz6956
      @estherminnahboaz6956 24 วันที่ผ่านมา +1

      Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅

    • @YvonnegipsonGipson
      @YvonnegipsonGipson 24 วันที่ผ่านมา +4

      😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 23 วันที่ผ่านมา

      @@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana

    • @zawadgunza2093
      @zawadgunza2093 22 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 22 วันที่ผ่านมา +2

    Itakuwa amepewa ngom

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389 22 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @nanaleetz
      @nanaleetz 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @darlenesalum3667
      @darlenesalum3667 17 วันที่ผ่านมา

      Il watu mna nini?😂😂😂

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 6 วันที่ผ่านมา

    Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂

  • @happyalbert5089
    @happyalbert5089 23 วันที่ผ่านมา +2

    Du!

  • @felistersanga7903
    @felistersanga7903 14 วันที่ผ่านมา

    Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 19 วันที่ผ่านมา +2

    Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa

  • @JeremiahJohn-tt2ij
    @JeremiahJohn-tt2ij 13 วันที่ผ่านมา

    Bileke bigende bindi bilozaa😢😢

  • @zuwenahassan3624
    @zuwenahassan3624 24 วันที่ผ่านมา +3

    Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke

  • @user-hm1nt4mj4n
    @user-hm1nt4mj4n 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kiki tu

  • @allyahahmed1091
    @allyahahmed1091 21 วันที่ผ่านมา +8

    This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%

    • @leadflavour_tz
      @leadflavour_tz 17 วันที่ผ่านมา

      😅😂😂

    • @user-sb7lz9xp4v
      @user-sb7lz9xp4v 15 วันที่ผ่านมา

      Kabisaaaa

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c 13 วันที่ผ่านมา

      Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako

    • @allyahahmed1091
      @allyahahmed1091 13 วันที่ผ่านมา

      @@user-iy7xy1np7c acha umalaya period

    • @allyahahmed1091
      @allyahahmed1091 13 วันที่ผ่านมา

      @@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo

  • @user-yn3kg8ip2h
    @user-yn3kg8ip2h 14 วันที่ผ่านมา

    Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 13 วันที่ผ่านมา

    Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kimekuramba😂

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 15 วันที่ผ่านมา

    Hata siamin nyie😢

  • @lydiajuma01
    @lydiajuma01 22 วันที่ผ่านมา +3

    Mapenz usenge

  • @annakbunga8377
    @annakbunga8377 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani ungekaa kimya ingekuwaje

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 22 วันที่ผ่านมา

      Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 21 วันที่ผ่านมา +4

      ​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 15 วันที่ผ่านมา

    Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 19 วันที่ผ่านมา +1

    Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo 23 วันที่ผ่านมา +2

    Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 23 วันที่ผ่านมา +7

    Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali

    • @Khadija-ne8ul
      @Khadija-ne8ul 23 วันที่ผ่านมา +3

      Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi

    • @doymatata4702
      @doymatata4702 22 วันที่ผ่านมา +4

      Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s 20 วันที่ผ่านมา

      @@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s 20 วันที่ผ่านมา

      @@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua

  • @rehemamoyo4182
    @rehemamoyo4182 24 วันที่ผ่านมา +3

    Wakwanza

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 23 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 23 วันที่ผ่านมา

      😅😊

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 21 วันที่ผ่านมา +4

      Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini

  • @rehemamoyo4182
    @rehemamoyo4182 24 วันที่ผ่านมา +7

    Amechit Cherry

    • @Humanity21216
      @Humanity21216 22 วันที่ผ่านมา

      We umemuona akicheat?

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 13 วันที่ผ่านมา

    Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia

  • @juditholotu7249
    @juditholotu7249 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu atakupa mke mwingine

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 18 วันที่ผ่านมา +3

    Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au

    • @petetyohana
      @petetyohana 14 วันที่ผ่านมา

      Jicho lilifumba kwa muda

  • @LubnaGeorge-re4yp
    @LubnaGeorge-re4yp 20 วันที่ผ่านมา

    Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk

    • @cathyjb4339
      @cathyjb4339 10 วันที่ผ่านมา

      Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 24 วันที่ผ่านมา +2

    😳😳🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂

    • @Official83640
      @Official83640 23 วันที่ผ่านมา

      Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 23 วันที่ผ่านมา

      @@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara

    • @darlenesalum3667
      @darlenesalum3667 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@Official83640mmmh

    • @cathyjb4339
      @cathyjb4339 10 วันที่ผ่านมา

      Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 17 วันที่ผ่านมา

    Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka

  • @vee4296
    @vee4296 20 วันที่ผ่านมา

    Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?

  • @ramadhanhassan9308
    @ramadhanhassan9308 22 วันที่ผ่านมา +4

    Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 22 วันที่ผ่านมา +3

      We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 22 วันที่ผ่านมา +1

      Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 21 วันที่ผ่านมา +2

      Tatizo wengi wetu elimu hatuna

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 21 วันที่ผ่านมา

      Tatizo wengi wetu elimu hatuna

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 20 วันที่ผ่านมา

      Hii comment 100%

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l 20 วันที่ผ่านมา

    Chalii wa pugu hahhahaha

    • @franciscomalimi8070
      @franciscomalimi8070 14 วันที่ผ่านมา

      Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary

  • @user-cm6ts4qi3b
    @user-cm6ts4qi3b 24 วันที่ผ่านมา +3

    Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 24 วันที่ผ่านมา

      Na amekonda 😢😢

    • @siamoye4549
      @siamoye4549 23 วันที่ผ่านมา +5

      Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@siamoye4549mh, inatisha asee