Ila vunja bei ni akili kubwa sana yaani mm natamami hata siku moja tu niweze kuongea naye anipe ushauri,akiwa anaelezea kitu huwa nakuwa makini sana sana kumsikiliza he is genous vunja bei🎉
Mimi naitwa Kazungu Samuel na natokea Kenya katika jiji la Mombasa ukanda wa Pwani. Kwanza mimi ni shabiki mkubwa sana wa Chanel hii ya Carrymastory na napenda sana kwa jinsi munavyo package ripoti zenu, aisei ni kizazi Sana. Ila vile vile mimi ni shabiki mkubwa sana wa Fred Vunja bei na napenda sana akili yake nyingi katika biashara. Niko na hamu kubwa sana nionane naye siku moja anipe maarifa yake ya kufaulu. Nilijaribu biashara ya kuuza nguo kuukuu lakini ikasambaratika. Tafadhali niunganisheni naye nitafurahi sana kuonana naye. Nasoma ripoti zake kila anapofanya jambo
Aliyefanikiwa hakupi mtaji wa njia za kupita isipokuwa anakuhamasisha upite njia zako, upambanue na ufanye KAZI Kwa BIDII!!! Na Si vinginevyo!!! Ni muhimu kusikiliza stories za waliofanikiwa husaidia sana
nakubali sana mchaga na mkinga hapo kiukweli fred na frenk wanapendana sana adi raha
Ila vunja bei ni akili kubwa sana yaani mm natamami hata siku moja tu niweze kuongea naye anipe ushauri,akiwa anaelezea kitu huwa nakuwa makini sana sana kumsikiliza he is genous vunja bei🎉
Fred mwakili sna kindly need to meet him sulubu from nrb kenya 🇰🇪
Akili kubwa salute kwako the mnyalu
Huyu vunjabei Mumu tunze vizuri huko tz, nime maliza im in 🇨🇩
Ila huyu jamaaa ana AKILI sana duuuuuh
thanks kaka vunja bei
Ubarikiwe Sana vunja bei
Hongera zake
Fred usije toa mfano wa mafanikio kuhusisha biashara za magendo Haina afya
Amazing big brother
Mr Fred is genius
Vunja bei atariiiii
Kaka Fred nakukubali sana
Big.Up!
Vunja bei mtu wa maana kabisa
Vunjabei ni noma sana
Broo una akili nyingi sana ndo chanzo Cha kua tajiri Broo mungu akulinde na akusimamie nmejifunza kitu kikubwa sana.
4:30 saa za Milioni 7 zikazaa Milioni 35📌👊🏾
Ukinnua mzigo china faida ni kubwa mkuu
Eeeh hutaki au
Mimi naitwa Kazungu Samuel na natokea Kenya katika jiji la Mombasa ukanda wa Pwani. Kwanza mimi ni shabiki mkubwa sana wa Chanel hii ya Carrymastory na napenda sana kwa jinsi munavyo package ripoti zenu, aisei ni kizazi Sana. Ila vile vile mimi ni shabiki mkubwa sana wa Fred Vunja bei na napenda sana akili yake nyingi katika biashara. Niko na hamu kubwa sana nionane naye siku moja anipe maarifa yake ya kufaulu. Nilijaribu biashara ya kuuza nguo kuukuu lakini ikasambaratika. Tafadhali niunganisheni naye nitafurahi sana kuonana naye. Nasoma ripoti zake kila anapofanya jambo
Kazungu ukunda wa fanya nn na kwenu ni Malindi😊
Migogoro ikiisha huko Kenya utamtafuta utampata
Subiri zakayi arudi nyumbani Kisha uumtafute vunja bei😂😂
😂😂😄😄🤣 @@afiahsalmin7508
Kua na akili kama Fred kwanza amua kua mkinga au mbena
Vunjabei noma sana
Brother unazd kunijenga congratulations bro
Vunja kama vunja bei
👏👏
Fred vunja bei jamaa ni madini tuu
Matajiri someni zile kulasa mnazo somaga kmy kmy
Akili hzo nyingi mno zinahitaji A ya physics
Ila nampenda fred jaman8 alafu hana kujigamba
Duu huyu vunja bei akili kubwa
Kamwe usisikilize ushauri wa m2 aliye tobowa ukiwa na maarifa utangunduwa Kila m2,ananjia yake
Aliyefanikiwa hakupi mtaji wa njia za kupita isipokuwa anakuhamasisha upite njia zako, upambanue na ufanye KAZI Kwa BIDII!!! Na
Si vinginevyo!!!
Ni muhimu kusikiliza stories za waliofanikiwa husaidia sana
😂😂😂😂❤
❤❤❤
jman uyu vunja bei ni kichwa
😂😂😂😂