Brother Sky huna tofauti na mimi kabisa kwenye hesabu. Mfanano wetu 1. Kuwahi kutoka kwenye chumba cha mtihani wa mwisho kidato cha nne. Mi nkaandika jina tu nkafanya nyepesi ili isionekane nmemdharau aliyetunga. Ikabidi nitumie dakika kumi tu nkaenda kusoma kiswahili. Maana ndo mtihani uliofuata. Falsafa Niliamini nikipata 10 ni F nkipata 0 ni F hakukuwa na haja ya kupoteza muda. 2. Kukuta herufi zimechanganyika na namba. Hiyo nlikuwa staki kabisa kuiona lakini ndo wanaita hisabati. Sijui ntamuambia nini mwanangu kumhamasisha apende hesabu hali ya kuwa baba ake alikuwa anapata Single digit 😂😂😂
Kweli kbs mm msingi niliielewa sana hesabu, Sekondari walimu wakawa wananikatisha tamaa kwenye mitihani yao sikupata hada D ila mtihani wa mwisho nimepata D
@@anojozeeTV kigezo Cha kujoin uni kwa tz 1. ni div-3 ya 13, 2. principal pass mbili kweny comb yaani D mbili, hivyo ukipat DEE una 13 lakini kigezo Cha pili ni principal pass hazijabalanc, minimum requirements kwa tz ni point 4, wewe hapo. Una point 3 kwa tz uni hazikupokei
Kwa ambao hawajafika advance, D inaanzia 50. (50-59) 😅 Wengi wanadhani ni kama D ya o level ile ya 20 😂😂. Sio mchezo kupata 50 ya physics, au maths advance
Sasa hapa Brother Fredrick Sky Walker ,nikueleweaje ,wewe ulihojiwa na Hares Kapiga kwenye chanel yako mwenyewe ukasema ulihitimu form 6 ndo ukarudi kutangaza Radio Victoria Musoma ,inakuaje Leo haujui vigezo vya ufalu huko Advance ? au ulikua unatudanganya mashabiki na Hares Kapiga aliekua ana kuhoji ?
#BigUp sana, Mh. Fredrick Bundala, aka#SkyWalker @skytanzania.
Namkubali sana huyo mwehu (Leonardo), pamoja nawe, naye ameshajiunga miongoni mwa watch ninaotamani kukutana nao maishani mwangu.🙏
Mungu afanye wepesi, amen.
Napenda sana matangazo ya Leonardo, very clever!! Hayaboi kutazama
HESABU ziko nne Sky -,+,× na ÷
Haya Mengine ndio chanzo cha F.
Kazi nzuri Sky #SNS FOREVER
Hahaha
❤ nimependa kipindi .mimi shabiki wa Leonard
interview imenyooka....jamaa yuko smart sana upstairs 🔥🔥🔥🔥
Ambao hatukupata F ya math tugonge like
🤣wote hao hamkupata f
Asante Kwa mahojiano mazuri na video nzuri zinaOnekana kwenye TV hapo nyuma
Weee huyu kaka ni kichwa elimu ya biashara kwa watoto na jinsi ya kutumia pesa Tanzania tutakuwa na mabillionea wengi mmno🥰🥰
D mbili o' leval inamtoa mwanafunzi kwenye zero
BIG UP🔥🔥🔥💯👑👑💪👊
Duhh vipaji kama vyote 👏👏👏👏👏
Daaah from zero to hero keep pushing Skywalker ❤❤
Bonge la interview. Sky na mgeni wako wote mmetutendea haki watazamaji . Kazi nzuri sana
video iko very clear hd wako poa sana hongera sana leonary na sky kwa kipindi kizuri
Brother Sky huna tofauti na mimi kabisa kwenye hesabu.
Mfanano wetu
1. Kuwahi kutoka kwenye chumba cha mtihani wa mwisho kidato cha nne. Mi nkaandika jina tu nkafanya nyepesi ili isionekane nmemdharau aliyetunga. Ikabidi nitumie dakika kumi tu nkaenda kusoma kiswahili. Maana ndo mtihani uliofuata.
Falsafa
Niliamini nikipata 10 ni F nkipata 0 ni F hakukuwa na haja ya kupoteza muda.
2. Kukuta herufi zimechanganyika na namba. Hiyo nlikuwa staki kabisa kuiona lakini ndo wanaita hisabati. Sijui ntamuambia nini mwanangu kumhamasisha apende hesabu hali ya kuwa baba ake alikuwa anapata Single digit 😂😂😂
Mix number na heruf😂😂😂
Noma Sana
Kazi nzuri, naona na ubora wa Studio unapanda viwango. #Sns
Eliasa , au tulikua tunamuita albedo, form six 2017 galaxy(galanos). Wagalatia wameelewa tyr.
The quality is damn
nawakumbusha tu D ya advance inaanzia 50
😂😂😂 sahih, wakumbushe nadhan wanafikil labda ni 30 pia
Hahahaha hawajui, 😂 D advance ni noma
Kweli kbs mm msingi niliielewa sana hesabu,
Sekondari walimu wakawa wananikatisha tamaa kwenye mitihani yao sikupata hada D ila mtihani wa mwisho nimepata D
Ila Leonard
Umenikumbusha teacher Elias alkua anakuja kufundisha pia shuleni kwetu Macechu
Phy-D chem-D na pure math-F=Div-3 ya 15 hiyo ni failure, atleast DDE= Div-3 ya 13 huo ni ufaulu wa mwisho kwa adv kwenda uni
itakuwa ilikuwa bahat yake
Weweeee form six ya 2017 ufaulu ulikua D mbili
Na D anayoizungumzia ni 50-59
Alifaulu vizuri tu
Haku feli bhn hata tuliomaliza 2020 kwa D mbili na F tumehitimu degree
Hajafel ana şifa za kuchukua degree sababu ya D 2 Mimi nilipata D E E na nikakosa şifa hio 🥺
@@anojozeeTV kigezo Cha kujoin uni kwa tz 1. ni div-3 ya 13, 2. principal pass mbili kweny comb yaani D mbili, hivyo ukipat DEE una 13 lakini kigezo Cha pili ni principal pass hazijabalanc, minimum requirements kwa tz ni point 4, wewe hapo. Una point 3 kwa tz uni hazikupokei
nawakumbusha tu D ya advance inaanzia 50% mpaka 59%
Mbili D hawawezi kuelewa 😂
Sky nimependa studio yko
Big up sky 🎉
Leo kama jamaa hana mood ivi
Leo mbn mwil wko hauwendan na uvivu....by the way mm shabik yko from zenj
Leonardo ndie mrisi sahii wa clam vevo kwenye uchekeshaji anajua sana a.k.a kibumadeni🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Lugha ya ushabiki iyo ,ila kihualisia clam hamfikii uyu jamaa kuchekesha
@@Lastbornecadet acha uchawa alafu kwenye uchekeshaji clam kashatoka uko
Yupo wapi sasa😂😂😂😂
Jamaa atafika mbal ana adabu
Naomba mnijuzee mnao fatilia GPS now
Msemo upi una bamba
D mbili
Na
Aaaah
Shenzii
@@CharifaRachidihata huu unatamba😅😅
Kwa ambao hawajafika advance, D inaanzia 50. (50-59) 😅 Wengi wanadhani ni kama D ya o level ile ya 20 😂😂. Sio mchezo kupata 50 ya physics, au maths advance
Quality Ya Picha nikali SANA
Makofi kwa eliyasa.....HESABU ALIKUWA ANAFUNDISHAA NAN AU TEACHER DOTTO😅😅😅😅
We. Sky kama mimi nilichukua dakika kumi mtihani wa mase
Sasa hapa Brother Fredrick Sky Walker ,nikueleweaje ,wewe ulihojiwa na Hares Kapiga kwenye chanel yako mwenyewe ukasema ulihitimu form 6 ndo ukarudi kutangaza Radio Victoria Musoma ,inakuaje Leo haujui vigezo vya ufalu huko Advance ? au ulikua unatudanganya mashabiki na Hares Kapiga aliekua ana kuhoji ?
Galanos sec gonga like zenu
Iv kumbe 2016 ni zamani ee!!
Kaka Sky Ur story ya kuktka exam room mapema n mm mtupu
Nisaidieni maana ya d mbili
Tuna joint the doti D mbilii
Nilichugundua waliofeli math wengi wao wanatala zakuwasaidia kwenye maisha
Ringo
❤❤❤❤
Eti wakilala wanaota Kingereza 😂
Ila picha kali sana congratulation SNS🎉🎉
🎉
Ndo uzuri wa kwenda skul
Kwani (D) mbili maana yake si ni Dude Dufu ama😂
Dude dufu ndio nini na wewe?
Mathematics sio somo ni Vita. sasa mimi sipendi vita.
😂😂😂
Dah! Etii camp lazo 😅
Aaah kudadek huyu jamaa km mzungu
Bila D mbili hauwezi elewa hapo wakizungumzia x na y
Sky bonge la company
Yani 😂😂😂huo leonardo bn anambo
Leonardo umeanza kanenepa broo😅😅
Mi kazane D inamanisha diploma mbili😂😂
mi nilikuwa wa 1 shule
Muongo 😂😂😂
Kumbe kupata D Ya esabu nilifaulu😂
Sio esabu ni hesabu
Kashafeli😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Tatanishi uchonganishi😂😂
Kitu Algebra calculator
Hawawez kuelewa kma, hawana, D2😅
Sio kila anayefail hajui, mara nyingine ni hawajatoa tu pale ambapo wewe unapajua
Kusoma galanosi si mchezo
D mbili ni four ya 33 fail
We unaehoji unaongea san, mpe nafasi huyo tumsikie!