Huyu ndiye Prophet Lovy Longomba, mpwa wa Awilo, alinunua kanisa lake la Marekani kwa TZS Bilioni 22

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ธ.ค. 2023
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
    whatsapp.com/channel/0029Va84...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

ความคิดเห็น • 387

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah3384 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu mm ni mwenye dhambi, nisaidie Mungu wangu 👐👐

  • @prestonkenyaofficial
    @prestonkenyaofficial 6 หลายเดือนก่อน +4

    Dude has been nominated for Grammy as the best producer. LOVY IS BLESSED

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 7 หลายเดือนก่อน +10

    Njia za Mungu kamwe HAZICHUNGUZIKI.Do not comment negatively for something you do not know for sure😢😢

  • @johnjackson9665
    @johnjackson9665 6 หลายเดือนก่อน +1

    Papaa Lovy my prophet since I saw you preaching in Tanzania on the night of wonder you are the wonderfully anointed Prophet gether with our Papaa Java, Iam now make a follow up on your page insta and you tube, I learn a lot the word of Lord Jesús through your preching

  • @evelinadodie9443
    @evelinadodie9443 7 หลายเดือนก่อน +7

    Dunia iko mbali Mungu atupe macho ya kuona mbali

  • @mikkello3590
    @mikkello3590 6 หลายเดือนก่อน +1

    All these servants of God have the same encounter that leads them to serve God. They all encounter Jesus one on one

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ok,Longombas two bro who had good vibes in their music chemistry but they work hard but Kenya was there base foundation.God is great

  • @abelsimfukwe8404
    @abelsimfukwe8404 7 หลายเดือนก่อน +2

    Yes pastor LOVY GOD BLESS YOU MORE THAN MORE

  • @kimah9855
    @kimah9855 7 หลายเดือนก่อน +5

    Lovy na Christian tunajua😂😂😂❤️Sasa hana bro yake 😢It’s good to see Sasa ni mtu wa Mungu ❤❤❤

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 7 หลายเดือนก่อน +5

    Thank I've seen them performing live in Kenya at mombasa show grounds as curtains riser for Mr Nice #Fagilia bongo and that time Mr Nice ndio kusema but look now #Lovy Longombas God has lifted him up to better the world.

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 7 หลายเดือนก่อน +3

    Utajiri na eshima viko kwa mungu 😍

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hallelujah 🙏 Men of God ❤❤❤

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 7 หลายเดือนก่อน +18

    Mwenye sikio na asikie ...Manabii wa uongo wamekuwapo Mathayo 24:24 na utawagundua kwa matendo yao mionekano yao Yakobo 2:26 ...ila tuwe makini na haya matamasha mnauzwa nafsi zenu mnaposhiriki madhabahu ya haw manabii ...

    • @ProphetRomly
      @ProphetRomly 7 หลายเดือนก่อน

      Mungu asipowaokoa wewe waweza? Lini ushawahi waombea hao unaodhani wamepotea? Je, Ushawahi kufunga kumuombea mtu yeyote mbali na ndugu zako? Kama niliyoyasema jawabu ni hapana basi utubu na uanze kumtafuta Mungu Nawewe ukahubiri maana wote tumeagizwa kueneza habari Njema.

    • @clouartmichael7296
      @clouartmichael7296 7 หลายเดือนก่อน

      @@ProphetRomly1 Wakorinto 14:33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.

  • @irakozesania1680
    @irakozesania1680 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ni mukubwa

  • @dianafinnes3248
    @dianafinnes3248 7 หลายเดือนก่อน +8

    I honour the Annointing on you ,Papa Lovy,GodBless you 🙏🏽

  • @janenandi4095
    @janenandi4095 7 หลายเดือนก่อน +1

    PROPHETIC Word FEARLESS Preacher UK 🇬🇧 IM IN AGREEMENT WITH YOU U PAPA LOVY : BLESSINGS ARE ONLY FROM GOD ; 👀 POA ; F FOREVER REMAIN BLESSED ; FOR THE MOUTH 👄 OF THE LORD HAS Spoken NO OTHERWISE ; IIM GLAD WE SPEAK 🗣️ SPEAK language AND FROM SAME COUNTRY ; I LOVE ❤️ KENYA 🇰🇪 KARIBU HOME 🏠🙏🏼❤️

  • @kipleedy
    @kipleedy 5 หลายเดือนก่อน +1

    Life is spiritual, kafara hutolewa... wachache sana wataelewa nilivyo sema.

  • @silviasaleh4667
    @silviasaleh4667 7 หลายเดือนก่อน +1

    Lord have mercy, kanisa Lao nilagarama which it's not a lie but.....aprophet knows all his neighbors that's a good one.

  • @stephenmwanzake
    @stephenmwanzake 7 หลายเดือนก่อน +8

    ❤Nampenda sana Pops. Jamaa amenyenyekea sana kutumiwa na Mungu, Jehovah ahimidiwe kwa hilo jambo. Maneno yananiishia, machozi ndo mengi, Ya furaha na kumshukuru Yeova

  • @KhojaNasri
    @KhojaNasri 7 หลายเดือนก่อน +7

    Nashukuru Mungu kuzaliwa muislam

  • @MujuniKamugisha
    @MujuniKamugisha 7 หลายเดือนก่อน +15

    Dunia hii maprophet kila kona watu wanadanganywa kwa sababu wamekosa maarifa
    Wakristo tafuteni sana kujua neno

    • @TabiaMwaisumo-ss7pz
      @TabiaMwaisumo-ss7pz 7 หลายเดือนก่อน +1

      Tupe hilo neno tulijue lkn kama huna neno acha maneno luka 6:37 itakusaidia sana kuchunga kinywa chko

    • @francisprot5586
      @francisprot5586 7 หลายเดือนก่อน

      Toa sababu na evidence, usiongee usivyo vijua. Be +ve

    • @Elllllllllllly
      @Elllllllllllly 7 หลายเดือนก่อน

      Neno linasemaje??

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@TabiaMwaisumo-ss7pzZidi kusoma neno hyo verse moja haiezi kukisaidia coz hawa si watumishi wa Mungu wa kweli
      Yesu alichkiwa sana ukiona mtumishi yuapendwa jua ni wale kondoo ndan ya mbwamwitu

  • @user-pq2vt8yz6p
    @user-pq2vt8yz6p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wateule tuwe macho ni siku za mwisho,neno la Mungu linasema mtawatambua kwa matendo yao.Si kila mtu asemaye Bwana Bwana ataingia katika ufalme wa Mungu.

  • @contentprince9198
    @contentprince9198 7 หลายเดือนก่อน +4

    Tutakuwepo sisi tuliobarikiwa n Mungu

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 7 หลายเดือนก่อน +18

    Ivi na wewe mtangazaji unaamini kuwa hawa ni watumishi wa Mungu,ivi mnadhani mbinguni ni rahisi ivo kufika Mungu atusaidie sana😢😢

    • @florazacharia5982
      @florazacharia5982 7 หลายเดือนก่อน +1

      Uwi we ndo hujui embu Kaa sikiliza mafundisho ya Prophet Lovy..afu muombe Mungu akuoneshe kweli yote. Mungu sio Mungu wa ma suti tu.. unawaza tattoo. Izo alichora kabla hajampokea Yesu. Ata waovu Yesu anawatafuta ukumbuke kesi ya Mtume Paul

    • @thescop1003
      @thescop1003 7 หลายเดือนก่อน +3

      We nani alikuambia ni ngumu, mnajudge watu mionekano utafkili mlishaenda mkaongea na mungu mkarudi

    • @stainlesseducators699
      @stainlesseducators699 7 หลายเดือนก่อน +3

      Acha uongo nani kakwambia ni ngumu?
      Mtu kwenda kwa baba yake ugumu upo wapi.
      Kama Mungu sio baba yako kweli itakuwa ngumu.

    • @viktamade
      @viktamade 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@florazacharia5982 tattoo alichora muda sio mrefu wakati ameshaanzq huduma

    • @betty_900
      @betty_900 6 หลายเดือนก่อน

      😂huezi elewa

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 7 หลายเดือนก่อน +4

    Yesu sura. Yake iko aje msanii ni msanii tu

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kafanana sana na AWILO MWENYEWE anzia kichwa mwili hadi sura

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 7 หลายเดือนก่อน +24

    Watoto wa Mungu jihadharini hizi ni nyakati za mwisho na kwa promotion zao huwa ni kubwa kwan Ibilisi hutumia nguvu ya media sana ila tusome Biblia ,Neno ni Kristo mwenyew Kwa Roho wake atawajulisha ukweli ..nuru na giza hazina hushitika 2 Wakorinto 6:14 ,1 Yohane 4:1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
    Leo hii imani ya rasta ya jamaica imaingia kwa manabii wa kanisani kwa kupotosha watu kwa kuibadili injili ya Kristo kwa kusema Samson alikuw na rasta wakati Samson alikuw na nywele ndefu na Mungu alitak kuonyesha utukufu wake pale kwenye nywele ya Samson...

    • @DavisMubake
      @DavisMubake 7 หลายเดือนก่อน +1

      Niambie kwenye Biblia imeandikwa wapi mtu lazima akate nywele?

    • @CelestinMvungi
      @CelestinMvungi 7 หลายเดือนก่อน +1

      Unampa ukubwa shetani kuliko Mungu. Don't you know that God work with those u don't even xpect

    • @clouartmichael7296
      @clouartmichael7296 7 หลายเดือนก่อน

      @@DavisMubake mm sijasema habari ya kukata nywele ,rudia Tena kusoma vizuri ujumbe wa Mungu pia Mungu wetu sio machafuko kwa maana ya kubishana 1 Wakorinto 14:33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.

    • @clouartmichael7296
      @clouartmichael7296 7 หลายเดือนก่อน +2

      Baba wa Mbinguni Hana ushirika na miungu mingine Soma Neno hapo 1 Wakorinto 6:14...hata watumishi wake aliowaokoa huwatumia ktk utukufu wake Kwa Mavazi ndio maana anasema vaeni nguo za adabu ,hasa sasa Mitume,manabii,waalimu,wainjilisti ,wachungaji ,maaskofu, hawezi kuwatumia katika mionekano ya kidunia maan Yeye anasema mssifatishe namna ya Dunia hii Warumi 12:2 ,1 Petro 3:3 ,pia hata mionekano ya nywele Yakobo 2:16 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa...hizi ni Nyakati za mwisho wapo wengi wanakuja hata watakaovaa heleni na wewe utakuja kusema Mungu anamtumia mtu yoyote yule ...upo sahihi lakini sio Kwa watumishi wake aliowateua kumhubiri maana Yeye mwenyewe anakataza wanaume kuwa na mionekano ya Wana wa Ulimwengu huu kuwa makini sana na Jitahidi kusoma Neno na Roho akuongoze maana tunaambiwa tuishi Kwa roho na sio kimwili

    • @CelestinMvungi
      @CelestinMvungi 7 หลายเดือนก่อน

      Hujasikiliza mafundisho yao, ila umewahukumu kwa mavazi yao Yohan mbatizaji alivaa na kula kama chizi na watu wote walimwona hvyo je ingekua leo si ungesema dini imeingiliwa. Kuna nabii wa Mungu pia alihubiri uchi kwa miaka 3 je huyo pia hakutumwa na Mungu. Yesu alisema hata msipomwamini yeye basi aminini kazi zake watu wanapona na mapepo yanatii je hao hawaponyi watu, mapepo hayatoki. Utasema wanatumia nguvu za giza ila Yesu alijibu swali hilo akisema ufalme uliogawanyika je si utaanguka wenyewe. So stop pointing fingers by judging things of the spirit with your mind.

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 7 หลายเดือนก่อน +2

    Duh ukristo umekuwa usanii na watu Wana sapoti

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 7 หลายเดือนก่อน

    Dah🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TheBossOdhis
    @TheBossOdhis 7 หลายเดือนก่อน +17

    He is also a Kenyan Music Legend. Group yake na kake ilikua moto 🔥 sana miaka hio ya nyuma

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 7 หลายเดือนก่อน +6

      Sio wakenya hawana uhusiano na hiyo nchi isipokuwa wameishi Hawa jamaa ni wakongomani

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 7 หลายเดือนก่อน +3

      Ukisema ni wakenya basi baba yake awilo longomba naye ni mkenya

    • @TheBossOdhis
      @TheBossOdhis 7 หลายเดือนก่อน +2

      @michaelthobias9967 wewe kwenda..he grew up in Kenya not Congo..you heard sky say ni Mkenya-Congo..Awilo ni mjomba wake..sio baba

    • @TheBossOdhis
      @TheBossOdhis 7 หลายเดือนก่อน +1

      @michaelthobias9967 shida iko wapi...wameishi Kenya so he is a Kenyan Music Legend..

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@michaelthobias9967b4 ujibu kitu skiza kwa makini sawa hawa ni half kenyas half Congo

  • @salvatoryngowi7233
    @salvatoryngowi7233 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @evemurugi3399
    @evemurugi3399 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wow we fallow each other tiktok and I didn't know he is a longomba

  • @noelyjonsi9741
    @noelyjonsi9741 7 หลายเดือนก่อน

    Kabisaa

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 7 หลายเดือนก่อน +1

    Manabii wa upande wa pili,Sawa. Sio wa Yesu mnazareti.

  • @queennambeye1236
    @queennambeye1236 7 หลายเดือนก่อน +2

    Lovy Longomba Mkubwa Amewai Kuishi Tanzania

  • @isamazatv.115
    @isamazatv.115 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hahahha this is too much kabisa izi church nimajabu kabisa 😂😂😂😂😂

  • @AsmaAmeir
    @AsmaAmeir 7 หลายเดือนก่อน

    Duh bas nami nikimuona yesu tayar nakuwa nabii

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 7 หลายเดือนก่อน +1

    Welcome to TANZANIIA.. OUT Prophets we ❤❤❤uuu

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 7 หลายเดือนก่อน +2

    God is my first one in my life

  • @EllyFredy
    @EllyFredy 7 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu atusaidie nabii kavaa mpaka kipini 🙏🙏ee mungu shughulika na hawa watu wanaopoteza kondoo wako

    • @mjkazidi1265
      @mjkazidi1265 7 หลายเดือนก่อน

      Umeshasoma Biblia Historia ya Sauli alivyo waua wakristo baadae akawa Paulo....Mungu anaweza kumtumia mtu yoyote wakati wowote...Wengii wanadanganywa na muonekano wa mtu.

    • @farijala1
      @farijala1 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@mjkazidi1265 Unajua Mtazamo wa Hivyo Ndio unaopelekea Ulimwengu Kila kukicha Unaangamia. Mema Hayatendi kiriho TU HADI muonekanoq

    • @barakaduma4888
      @barakaduma4888 6 หลายเดือนก่อน

      Koma

  • @user-mz3vu5jm5f
    @user-mz3vu5jm5f 7 หลายเดือนก่อน +15

    Mwisho wa Dunia akuna. Mtumishi wa mungu apo

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 7 หลายเดือนก่อน +3

      Kabisa hao ni deval worshiper na uyo mwenyejiwao WA apa Tanzania

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 7 หลายเดือนก่อน +2

      Nyie wapuuz wote mliokoment BWANA NA AWASAMEHE

    • @akajoza4043
      @akajoza4043 7 หลายเดือนก่อน

      Bwana yupi😂😂😂

    • @HansChuma
      @HansChuma 7 หลายเดือนก่อน

      @@Churchofecclesia em naww amka acha kulala naww huyo bwana unaemuongelea angekuepo apo angekucha vibao

    • @wenawenawena3647
      @wenawenawena3647 7 หลายเดือนก่อน

      Bwana which bwana where😂😂

  • @user-mk2bq6io1e
    @user-mk2bq6io1e 7 หลายเดือนก่อน

    Ehhhhh niatari Dunia

  • @rosebullens5155
    @rosebullens5155 7 หลายเดือนก่อน +4

    Wawwwl wellbethere son of Godfromkenya

  • @elcharismaticohommeromanti748
    @elcharismaticohommeromanti748 7 หลายเดือนก่อน +4

    Akuna kipia apo, ila vipofu wa imani ndo wata a mini awo ma nabii wauongo

    • @danielyjarome9439
      @danielyjarome9439 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hongera kwakuwa wewe ni mtakatifu uliye kamilika mwenye uwezo wa hata ya kutoa kasoro za wengine ila nakushauri tuu muda unaotumia kukosoa watu utumie muda huo kuchunguza maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??

  • @veeJesus
    @veeJesus 7 หลายเดือนก่อน +53

    Uezi kumtumikia Mungu kiukweli ukwel ukawa maskini. Hawa watumishi kama wewe ni mchanga kiroho unaangalia kwa macho ya nyama huwezi waelewa😊.

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 7 หลายเดือนก่อน +12

      Wewe ni mjinga kama wajinga wengine Paulo Petro Yohana mbona walikua maskini na walimtumikia Mungu kwa kiwango Cha juu zaidi na Bado wakabakia kua maskini why? Jitahidi kumjua Mungu Ili uyakwepe matapeli

    • @veeJesus
      @veeJesus 7 หลายเดือนก่อน

      @@raphaelkaswahili323 we ndo mjinga wa mwisho lakin sio kosa lako. Kitabu cha matendo kinasema katika wale mitume hakuna aliekua na uhitaji maana yake nini wote walikua matajiri kwendraaaaaa uko kasome bible uko unataka watu wawe maskini ili nink kitokee akati Mungu tunaemwabudu ndo ameumba vitu vyote tena kwa ajili ya watoto wake. We vipi bwana

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 7 หลายเดือนก่อน +5

      Uwe tajiri? Ambae kuuona ufalme wa mbingu ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano, huyo yesu hakuna sehemu unaona yeye au watumishi wake wanajihusianisha na utajiri wa kidunia ila nyinyi tu watumishi wa kichaga na kiha ndio lazma muwe matajiri , amkeni nyie watoa sadaka mnaowapa watu utajiri nyie mkiwa hoi mnapanda daladala na vikwapa vinawanuka

    • @veeJesus
      @veeJesus 7 หลายเดือนก่อน

      @@fahadfaraj6474 weweeee tunakua matajiri kwa ajili ya Mungu. Tunakua matajiri kwa ajiri ya ufalme. Huezi kuhubiri injili bile fedha na nyie mnaosema utajiri ni dhambi wanafki wa kubwa kwa nini huwa mnaamka ahsubuh mnaenda kufanya kazi ili nini. Mungu alimtajirisha Abraham kwa nn afanye hivyo wakati ni dhambi. Abraham alikua tajiri mnoooooooo. Vipi kuhusu Solomon kaombwa hekima kajiziwa na utajiri juu yake. Vipi kuhusu Ayubu tajiriiiii haijawahi tokea na wako kwenye biblia na walimjua Mungu vibaya mno. Hiyo fikra ya kusema utajiri ni dhambi nikwambie tu ni ya kipepo ili uwe maskini na biblia inaandika hakuna kinyonge kitakachoingia kwenye ufalme wa Mungu. Kuna sehemu biblia inaandika Mimi ni Mungu nikupae nguvu za kupata UTAJIRI. MUNGU WETU NI TAJIRI NA WATOTO WAKE TUNATAKIWA KUWA KAMA BABA YETU SIO NYIE MNAJIFANYA WA KIROHO MKITOKA KUOMBA KANISANI MNAANZA KUOMBA LIFT ZA MAGARI. KUWA TAJIRI LAKINI UTAJIRI HUO NI KWA AJILI YA MUNGU. JENGA MAKANISA ENEZA INJILI TOA HELA YA MAKONGAMANO SAIDIA WAHITAJI NK

    • @Officialkeeler
      @Officialkeeler 7 หลายเดือนก่อน +9

      Kweli Kabisa umeongea point sana kama shetani anatajirisha kwann MUNGU asitajirishe watumishi wake

  • @meshack3266
    @meshack3266 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bhanaa eee asiye amini asi Amin na anae Amin na amini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 หลายเดือนก่อน

    ✌️👍👊.

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 7 หลายเดือนก่อน +21

    Alhamndulillah kuwa muislam mana haya mambo yaku nunuwa kanisa ikiwa yako na sikiaga tu kwa wenzetu 😢😢

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaa yaani, ila hayana maana Cha muhimu ni kumpenda Mungu , muda mwingine pesa inaruhusu kama huna utanunua nini

    • @prosperreuben1724
      @prosperreuben1724 7 หลายเดือนก่อน +4

      Kwahiyo ile misikiti iliyopo kwenye masheli ni ya nani kama haimilikiwi na mtu binafs

    • @goddyffmarsacha259
      @goddyffmarsacha259 7 หลายเดือนก่อน +5

      Uislamu is a false religion

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 7 หลายเดือนก่อน +2

      @@prosperreuben1724 huwezi kusikia hata siku moja msikiti ni wa mtu
      Misikiti yote ni ya M.Mungu

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 7 หลายเดือนก่อน +3

      @@goddyffmarsacha259 mtu mwenyewe hujielewi sasa utauelewa Uislam
      Haya tambeni na mitume wenu marasta 😂😂😂

  • @michilita2959
    @michilita2959 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmmmm jamani hela inatafutwa

  • @fayverenah
    @fayverenah 7 หลายเดือนก่อน +1

    How i wish picha za kina paul john na peter wote waliotembea na yesu mkaona muonekano wao😂i think those guys were looking more funny thsn prophet lovy longomba😂😂

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ndiye anajua walio wake ,😂😂😂

  • @Odogwu9667
    @Odogwu9667 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana Yesu Asifiwe

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 7 หลายเดือนก่อน +6

    Wahuni walioamua kujiita manabii

  • @fayverenah
    @fayverenah 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona watu mko bitter na prophet lovy😂😂muonekano wake unawauma mbaya😂kama mnataka kumsikiza sawa kama hutaki pita ukienda😂😂😂

  • @bakarisaidi3022
    @bakarisaidi3022 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu hakumtoa broo wake kafara🤔Umaskini ni kitu kibaya sana lakini Mungu ndio anajua zaidi.Ukristo umekua biashara kubwa na biashara inayotajirisha rahisi sana,Muumini Maskini anazidi kua maakini na mchungaji anazidi kuwa Tajiri kisha anahubiri kua Tajiri itakua vigumu kuingia katika ufalme wa mbinguni na yeye ni Tajiri.

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 7 หลายเดือนก่อน +21

    Lovy is the genuine Prophet of God.

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 หลายเดือนก่อน +2

      Ur dreaming wake up

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 7 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@KassimAlly-xp4dztulia ww hujui unachokiongea et ur dream stop foolishness

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 7 หลายเดือนก่อน +2

      @@Churchofecclesia sasa wewe kwa akili yako hao wanaweza kua mitume wa Mungu?
      Hebu acheni kumtania M.Mungu nyie jamani

    • @sammotv6920
      @sammotv6920 7 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@Churchofecclesiahuna akili amkaa ulipolalar

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 7 หลายเดือนก่อน

      @@sammotv6920 wewe zako ndo uziamshe zakwetu zimeamka muda ndo maana tunasema cha ukweli, zako zimelala na zimetiwa giza kabisaa

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ukristo una utatizo kweli

  • @edchrisbeatz8976
    @edchrisbeatz8976 7 หลายเดือนก่อน +6

    mungu akikuita ufanye kaz yake lazma akubadilishe kwanza sasa huwa wavaa vipini na kusuka sijui imekuwaje!!? 😢 so sad gyz bora kujisomea maandiko mwenyewe kuliko kusomewa haya ndo madhara na hawa ndo wanasababisha ukristo uonekane wa hovyo stupid😡

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 7 หลายเดือนก่อน

      Mavazi hayakupeleki popote dear

    • @luciasteven3314
      @luciasteven3314 7 หลายเดือนก่อน

      Kitendo cha kubadrishwa tabia sio cha sku wala wiki wala mwezi aliemuokoa ndio atambadr siku had siku plz kua mpole

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 7 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah watumishi full Rasta mix tatuu😂

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 6 หลายเดือนก่อน

    Prophet Lovy anafundisha mafundisho mazuri sana

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sadaka za bwana muhimu sana

  • @africa7479
    @africa7479 7 หลายเดือนก่อน +3

    eee kanisa linanunuliwa ?

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 7 หลายเดือนก่อน

    Msiiwa ite watumishi wa Mungu kwakuwa mnachafua Imani ya ukristo hawa waabudu shetani kabisa aslimia miamoja

    • @danielyjarome9439
      @danielyjarome9439 7 หลายเดือนก่อน

      Hongera kwakuwa wewe ni mtakatifu uliye kamilika mwenye uwezo wa hata ya kutoa kasoro za wengine ila nakushauri tuu muda unaotumia kukosoa watu utumie muda huo kuchunguza maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??

  • @jayspermlewa7425
    @jayspermlewa7425 7 หลายเดือนก่อน +3

    Wacheza porn wanaweka vipin puani na wanamatatuuu na ww mchungaj unaweka sasa nn tofaut yake na hao wahuni damn it this is shame as Christianity😢

    • @danielyjarome9439
      @danielyjarome9439 7 หลายเดือนก่อน

      wewe chunga maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??????? na njia zako pia sije siku ya kiama ikafika wale ulioona wakosaji kumbe ndio wako sasa na wewe umejaa dhambi. Muombe MUNGU akusaidia kuishi maisha matakatifu sio kukosoa watu wengine.

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 7 หลายเดือนก่อน

    And u know KISWAHILI 😂😂❤❤🎉🎉🎉

  • @Dranka186
    @Dranka186 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa wenye akili 😮😮😮

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 7 หลายเดือนก่อน +2

    Prophet Tb Joshua japo ni Muslim ILa namsikiliz kila siku ndio namwamin

    • @jamaldeenmakenga
      @jamaldeenmakenga 7 หลายเดือนก่อน

      Prophet Tb Joshua,
      A freemasonry agent!!!
      What are you talking about?

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 7 หลายเดือนก่อน +18

    Maskini kondoo wa mungu wanazidi kupotea 😢😢😢😢

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 7 หลายเดือนก่อน +3

      Mmoja wapo n wewe usiejielewa

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 7 หลายเดือนก่อน +2

      Mmoja wapo n wewe usiejielewa

    • @abdulrahmankafuku3449
      @abdulrahmankafuku3449 7 หลายเดือนก่อน

      @@Churchofecclesia Mathayo 24:24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
      Mathayo 24:25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.
      Mathayo 24:26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki.
      Mathayo 24:27 Kwa maana kama vile umeme utokavyo mashariki ukaonekana hata magharibi, hivyo ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.

    • @abdulrahmankafuku3449
      @abdulrahmankafuku3449 7 หลายเดือนก่อน

      @@Churchofecclesia Soma brother usipoteee kwa kukosa maarifaa

    • @salmabinyaga2357
      @salmabinyaga2357 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@Churchofecclesiawe ndo hujielewi kenge wee

  • @MAMA_KIAN
    @MAMA_KIAN 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @MAMA_KIAN
    @MAMA_KIAN 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @Officialkeeler
    @Officialkeeler 7 หลายเดือนก่อน +2

    Namuelewa sana huyu Jamaa

  • @MAMA_KIAN
    @MAMA_KIAN 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc 7 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi kavaa kipini puuan ni jambo jema haya sawa sina lakusema zaidi only God can judge his servants

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ukimwengu wa giza unapambana saana kuvuna nafsi za watu kuzipeleka kuzim

  • @happnesskatandula4189
    @happnesskatandula4189 7 หลายเดือนก่อน +3

    I was there yesterday airport nikiwapokea nitaman nimguse Prof anibariki

    • @lakhaly19
      @lakhaly19 7 หลายเดือนก่อน

      Akubariki kwan yeye ni mungu?

    • @subirahowen124
      @subirahowen124 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂 kazi ipo

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 7 หลายเดือนก่อน +7

    WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA. 😭😭😭😭😭😭😭

    • @DannyScorp-zq1sp
      @DannyScorp-zq1sp 7 หลายเดือนก่อน

      polee tunakuombea upate maarifa

    • @cmoshi7014
      @cmoshi7014 6 หลายเดือนก่อน

      Nakuombea wewe umtafute Yesu mwenyewe maana anapatikana ili uione mbingu. Yesu Anarudi nyie shobokeeni tu sijui nabii, mtume tutawaacha. Mtafute Mungu peke yako. Ubarikiwe

  • @Mikael-xh4cp
    @Mikael-xh4cp 7 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio kitu inazidi kunidhihirishia kuwa europeans are very smart and will not tolerate such nonsense , vitu kama hivi havitokei huku because no one will tolerate everyone is busy hustling

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 7 หลายเดือนก่อน +2

    Naknaga clip zake insta maneno mazur lkn jins alivyo sio ushuhuda kabsa pengne aliachana na mamb ya dunia ndy akaokoka tusimbeze

    • @haridimpelengana1246
      @haridimpelengana1246 7 หลายเดือนก่อน

      Yesu akikuokoa anakubadilisha.
      Bado ana matendo na tabia za kiibilisi.
      Kuna roho nyingine iko ndani yake.
      I assume LGBT wako nyuma yake

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa mwongo ni rahisi kuwa tajiri njoo na uongo wako leo umetokewa na Yesu anzisha kabisa bas umasikini umeuaga

  • @drsilo
    @drsilo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiristo bn eti kanisa ni hali ndo inahusiana je na uunguu

  • @francisprot5586
    @francisprot5586 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba na ya Java

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 7 หลายเดือนก่อน +1

    😅😅😂😂😂😂😂

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 7 หลายเดือนก่อน

    Tuwaombee kwa mungu hawa manabii wa uwongo kwakwer

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 7 หลายเดือนก่อน +1

    biashara ya dini inahela kumaanina ,ila kwa wakristo ,waislam hata ubweke mpaka utoke povu , utaondoka mishipa ikiuma mia mbovu hutoiona 😂😂😂

  • @basiribonga689
    @basiribonga689 7 หลายเดือนก่อน

    Kwamba kanisa lina police station? Sawa bana

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 7 หลายเดือนก่อน

    TUJIANDAYE YESU KRISTO ANARUDI TUJITAKASE KUMLIPA KILA MTU UJILA WAKE TUWE MACHO MUNGU ATUFUNGUE MACHO TUONE HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO YESU KRISTO ANARUDI WAPENDWA

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb 7 หลายเดือนก่อน +3

    Itabidi niende uislamu jamani daah

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 7 หลายเดือนก่อน

      Karibu bila shaka ALAH JALAH JALAL akuongoze.

    • @drsilo
      @drsilo 7 หลายเดือนก่อน

      Karibu na utajua km ukristo hamna kitu hamna pasta atakaezungumzia hili..lakn ktk hamn mtu atakaeichezea DINI njoo ktk din ya haki

    • @joniajohn4716
      @joniajohn4716 6 หลายเดือนก่อน

      Don't get lost
      Yesu ndie njia ya kweli na uzima , pasipo Yeye hakuna atakae mbona MUNGU alie hai. Leo kubali umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako ingali neema ipo.
      Nenda katika kanisa linalohubiri neno la kweli na uzima....sio miujiza miujiza pekee haiwezi kukujenga kiimani. Ufundishwe neno la Mungu vizuri ili uweze kukulia wokovu. Ukikomaa kiroho na kiimani kama Neno la Mungu linavyoagiza upepo wa UONGO wa ibilisi na agents wake wakiwemo manabii wa uongo hautakuyumbisha kwa sababu utakua umejengwa katika misingi imara.
      Ndugu usipotee muslims and christians don't worship the same God unfortunately. Yesu ndie njia ya KWELI NA UZIMA that's it.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 6 หลายเดือนก่อน

      ### Yusto karibu kwenye Uislamu, huku kwetu mtu haamki asubuhi akawa nabii ama mtume, kubwa atakua sheikh tu, atowe mawaidha aseme na kunukuu ya Mungu muumba.

  • @RojahKamalza-lw3ls
    @RojahKamalza-lw3ls 7 หลายเดือนก่อน

    Mmeona hiyo pua lakin

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 7 หลายเดือนก่อน +1

    HAPO USA HAPO KUNA VITU VINGI SANA PALE........!!!

  • @simionngayayi6903
    @simionngayayi6903 7 หลายเดือนก่อน +3

    Unakuaje mtumishi wa Mungu alafu una hereni kwenye pua cha pili ukawa na Rasta za bandia huo ni utumishi wa Mungu ama ni usanii 🤔🤔🤔

    • @veeJesus
      @veeJesus 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani wapi imeandikwa ukiwa mtumishi usiwe na kipini au kuwa na rasta ni dhambi. Iv huwa mnasoma biblia au mnahukumu tu kwa vile mna bando.

    • @africa7479
      @africa7479 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@veeJesus wewe hebu ona aibu hapi shetani mwenyewe nachukua nukuu kwa mshangao

    • @user-cb2us2nu2m
      @user-cb2us2nu2m 7 หลายเดือนก่อน +1

      Moyo ndio utakutetea siku ya kihama 😊

    • @lazarojoseph7541
      @lazarojoseph7541 7 หลายเดือนก่อน

      Hetani tu

    • @lazarojoseph7541
      @lazarojoseph7541 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@veeJesusAcha kutetea ujingi kutoboa pua na mirasta unaona ni sawa ndio maana dini ya kikristo ndio inasupport ushetani waislam watabaki kuwa juu kwa misimamo yao na kuto kusupport ujinga au ushetani

  • @mazulacelestine3038
    @mazulacelestine3038 7 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,? Mathayo 24 inaongea mengi, lakini leo mafuriko na majanga ya asili tunaita mabadiliko tabia ya nchi, wakati ukweli Ni dalili za siku za mwisho, tunadanganywa ili tusimtafute kristo, changamkeni watu wa Mungu, Mwili wako Ni hekalu la Mungu, ya Nini kuvaa makolokolo? Ma tattoo yote Ni miungu,, Aya Bwana awaongoze njia njema: 1kor 6;19 miili Ni Mali ya Mungu

  • @haridimpelengana1246
    @haridimpelengana1246 7 หลายเดือนก่อน

    Haya misukule nendeni kwenye usiku wa maajabu mkapandikiziwe chip za ushoga.
    Mungu si mwendawazimu

  • @sittymnengwe5057
    @sittymnengwe5057 6 หลายเดือนก่อน

    People em kuweni makini jamani mtu wa Mungu anavaa kipini kasuka hereni macheni jamni watu muwe makin hawa n wapotzaji wanakusanya nafsi t

  • @fatumasalumu2869
    @fatumasalumu2869 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna dini hapo

  • @Boaz22
    @Boaz22 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bro sky, prophet sio mchungaji, ni Nabii😅😅

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 7 หลายเดือนก่อน

    jamani kuweni makini hawa ndy wanasapoti ushoga

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi we mungu kava hirini😂😂😂😂

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 7 หลายเดือนก่อน

      Wanasema unyamwezini ni mambo ya kawaida

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@stanastana3199 Ikiwa unanyamwezini ni jambo la kawaida, kwa Yesu na bikira Maria nako ni la kawaida?

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 7 หลายเดือนก่อน

    Mwe Mwe Mweee🤔

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sijawahi kuona manabii wanavaa vipini na hereni na vipensi😂😂

  • @manaseiranga5273
    @manaseiranga5273 7 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba ufanye nae interview