Salama nakupenda sanaaaaa zaman ulikua mkaliii enz za pb unawachamba kina 20%nilikua sikupend ila tangu uwe sweetgirl bint mwenye tabasam nakupenda jaman unatabasam kwa manjonjoo
Nmeangalia nkajikuta nmezama na kusahau kuwa hii ni part 2 na kudhani ni part 1 wakati nmeshaingalia iyo part 1 tayari. Very nice interview; nna uhakika Godliver alisali kwanza na kumuomba Mungu nini cha kuongea kabla ya kuja kwenye interview
Aisee kongole Godliver talanta yako ni kubwa mnoo tunakutegemea kwenye Hollywood wakati ujao ucheze Filamu na Kina John Dywane (The Rock) Ufanye Science Friction Hiyo filamu Jay Z awe mtozi (producer) mhusika mkuu wewe na will smith .......pia unapendeze kwenye fantasy
NIMEPENDA, Katika kila eneo Ambalo mtu anafanya kazi kwa kujua msingi wake, nikimaanisha kuwa, hali ya mtu kuelewa kuwa MUNGU Ndiye msingi wa kila jambo, ambao ukiweka mambo yako juu ya msingi huo, you will never die poor, na hautatikiswa wala kuondolewa, InShort NIMEPENDA kujitambua kwa GODLIVER, Bakia hapo my sister utakula mema mengi ya nchi
Nakuelewa sana mdada nakupnda pia na Kwa uchache unahistoria kama yangu kwenye upande wa dini......yesu ni BWANA
Ulianzia kwenye uislam pia
Good Interview, Amenifanya nitake kuokoka na kumkabidhi Huyu YESU Maisha yangu
Karibu Sana Kaka MUNGU akusaidie
Karibu Mungu anakupenda sana
Waooh hongera sana Dadangu kumpokea YESU ubarikiwe sana na utamuona akikushindia
Karibu sana kwa YESU KUNA RAHA
Glory be To God.... A star made by Jesus Himself.
Wanawake wanaojitambua
I love the interview
Nakupenda sanaaa
Endelea kumwamini Mungu 🙏
Bwana azidi kupokea utukufu wake kupitia Godliver inawezekana kabisa watu wa Mungu kuwa msanii na kumcha Mungu ur blessed dada
Hongera sana Godliver, professionalism, kumpenda Yesu na kumwakilisha katika kazi yako ya sanaa ni mahibiri tosha. Wewe ni mfano wa kuigwa
Kati ya interview niliwah kuangalia nzuri na hiii,hongereni sana
Nimejifunza kitu kwamba kila jambo ni kumtanguliza Mungu ubarikiwe sana dada
Salama nakupenda sanaaaaa zaman ulikua mkaliii enz za pb unawachamba kina 20%nilikua sikupend ila tangu uwe sweetgirl bint mwenye tabasam nakupenda jaman unatabasam kwa manjonjoo
Godliver anajua sana pia anampenda nakumuamin Mungu
Bbn bo nyjuih
Bbn
Kweli ukimpokea Yesu anakubadilisha, anakuinua anakupa kibali hakika Mungu azidi kukutunza dada Godliv
Jamani. Mbona ile ya salama na zuchu hatuipati TH-cam. Ipo vipande vipande imekuaje
Yan sijui wanaweka lini
Nice interview keep going Godliver n God bless up ur career🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Glory to God... She is really good, cool and professional
Ukiwa mtangazaji uta noga sana Una sauti nzuri sana G
Nakupenda Sanaa Godlive natamani sana nikuone
Nice discussion 👌
Nice experience and excellent 👍
Nice explanation 👌
Mungu akubariki sana wewe ni shabiki wangu ❤️❤️❤️
Nakupenda sana binti yangu. Nakuombea mafanikio zaidi na zaidi. Keep it up my love.
Keep going my dear sister neema ya mungu ijuuu yako....we love you
She is so humble anaonyesha n mrembo
Salama asante sana kwa kutuletea mgeni pendwa but me lop u ver much ver ver much my dear...
good speaking,, en smile alot 😘
Mungu azidi kukubariki sana nakuku inuwa zaidi uhedeleye bele zaidi.Pamoja na Mungu ahutaziwilika tena utazidi kusoga mbele zaidi❤❤❤
Keep the fire burning😍😍God is taking you to places❤️
Nampenda huyu dada aseeee
Nakupenda sana dada angu mungu azidi kukutunza
Very nice interview I appreciate nakupenda Godliver
Gns.....Mungu amuweke sana uyu dada
Godliver your so special in Jesus.
Huyuuuu dada kuzariwa bongo bahati mbayaaa ungekuwa mbele tuuu ww habali nyingine au South Africa ww hela
She is very clever and talented.
Yaan hapa vichwa vimekutana so amaizing mashallah bless guys 🖕👌
Wonderful interview 👏
Best interview ever
Indeed!
YESU ni njia na kweli na uzima mtu haji kwangu bila kupita kwa YESU
I like this interview well done 💕💕💕💕😘😘😘
Asante sana yaan Kuna kitu kikubwa nimejifunza
Safi sana nimekuelewa GOD bless u
Well said apo kwenye kutuambia wadada
U said it all sisy
Jamani Mwanaidi wajina 😀
Salam napend saàn hich kipid chak saàn msalim Na da Anna
Godliver Mungu akubariki.
Kumbe kwenye interview wanakaribishana Chakula,wow!salama mkarimu
MUNGU hana upendeleo,barikiwa
God be with her♥️♥️
Ila salama jamani una chekesha sana wewe dada.
Unaweza kuanguka lakini ukiinuka unainuka na sura mpya...Go kipenzi changu Godliver MUNGU ndio kila kitu kwetu
Godlvr🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🤛God bless you sstr
unaongea vizuri,unafunza unajenga na unampenda YESU nakupenda najifunza kupitia wewe
Mm nampenda Sana huyu dada
Napenda ingekuwa unauliza miaka yao ili tujue,sababu wengine tunaogopa kwasababu ya umri wetu kuona mdogo au mkubwa
Kwa nini unaogopa kujulikana umri wako
Nampenda sana na anajua sana kuigiza
Nimekupenda sana dada
Ahahaha mi nilijuaga Mzee ahahaha
Sijachoka kuangalia Aiseee G yupo vizuri mnoo
Nakupenda bule anna wa jua kali
Nmeangalia nkajikuta nmezama na kusahau kuwa hii ni part 2 na kudhani ni part 1 wakati nmeshaingalia iyo part 1 tayari. Very nice interview; nna uhakika Godliver alisali kwanza na kumuomba Mungu nini cha kuongea kabla ya kuja kwenye interview
Salama naomba uniunganishe na huyu dada
Nampenda sana huyu dada❤ she is special
My favorite
Mbona ile interview ya Zuchu haipo?
Aisee kongole Godliver talanta yako ni kubwa mnoo tunakutegemea kwenye Hollywood wakati ujao ucheze Filamu na Kina John Dywane (The Rock) Ufanye Science Friction Hiyo filamu Jay Z awe mtozi (producer) mhusika mkuu wewe na will smith .......pia unapendeze kwenye fantasy
NIMEPENDA,
Katika kila eneo Ambalo mtu anafanya kazi kwa kujua msingi wake, nikimaanisha kuwa, hali ya mtu kuelewa kuwa MUNGU Ndiye msingi wa kila jambo, ambao ukiweka mambo yako juu ya msingi huo, you will never die poor, na hautatikiswa wala kuondolewa,
InShort NIMEPENDA kujitambua kwa GODLIVER, Bakia hapo my sister utakula mema mengi ya nchi
Anna bill mazengo nampenda mnooo
nakupenda saaa dada anguu
Is blessed to do the interview with legend Salama 🔥🔥🔥🏆🏆🏆❤️❤️❤️❤️
Two
Lov you two
❤❤
Glory to God
🔥🔥
Nakupenda sana
💙🔨👏
This interview wud be much interesting if it was a gospal interview😊
U said something
I like you Godliver a.k.a Anna.
Nice interview..waooo
🥰🥰🥰
👏👏👏👏👏👏
I love her
Huyu dada jaman yupo vzr
W😮W
Amen
Ahahaha 😂 et makengeza
Amesema ukweli kuhusu wasanii kutokua serious na kaz
Ant ana samahani naomba uniunganishe kwenye sanaa zenu
❤️❤️❤️
Napenda ingekuwa unauliza miaka yao ili tujue,sababu wengine tunaogopa kwasababu ya umri wetu kuona mdogo au mkubwa
Ww miaka ya mtu inakusaidia nn yani jaman😂😂😂watu mmekazana kutaka kujua miaka ya watu heee ukijua yako inatosha tu jaman
@@sikudhanicharles3933 🤣🤣
Nakupenda bure bure Godliver
@@sikudhanicharles3933 😂😂😂
@@Catherine-mh8sw nop
Napenda ingekuwa unauliza miaka yao ili tujue,sababu wengine tunaogopa kwasababu ya umri wetu kuona mdogo au mkubwa