HIZI NDIZO NYUMBA WATAKAZO PEWA WANANCHI WA ZANZIBAR KAMA FIDIA YAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ย. 2023
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 717 619 834
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

ความคิดเห็น • 24

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 8 หลายเดือนก่อน +2

    Inshallah wapeni watu khaki zao maana dhulma mbaya sanaa

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga6338 7 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน +4

    Serikali ina pesa kwa nini hamjengi nyumba za horofa karume alikenga maghorofa ili kusev ardhi na tumeona matokeo plz fikirieni hilo

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 8 หลายเดือนก่อน +7

    Wamejengewa watu fulani. lkn pia mkuu anasema hataki kusikia mtu kadhulumiwa.. nadhani ni vizuri bs kuepuka dhulma ktk sanduku la kura maana inanzia huko

    • @NoufelSalim
      @NoufelSalim 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana our President Hussein Ali Mwinyi

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 2 หลายเดือนก่อน

    Mnatoa,nyumba,ardhi,zao,mtaenda,lipa,kwa,mwenyenzi,mungu

  • @abdallahmohd3777
    @abdallahmohd3777 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 bora nicheke ansema hataki kuona mtu adhulumiwa, wakatii yeyemweyewe,kadhulumu.dhulma kubwa kuliko ardhi

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน +5

    Hao wote naamini kungejengwa ghorofa kama za michenzani basi majengo 2 yangetosha kwa wote na ardhi nyengine wakapata vizazi vyetu muhim miundo mbinu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน +4

    Washauri wa rais watu wa ardhi mshaurini raisi kujenga maghorofa ili kusev ardhi znz hatuna ardhi ya kutosha kujenga nyumba za chini tu kwa kila mmoja

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er 8 หลายเดือนก่อน +1

      Sahihi

    • @ArafaMussah
      @ArafaMussah 8 หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi wangelipata watu wengi sana

  • @amemasudi5735
    @amemasudi5735 8 หลายเดือนก่อน

    Zitatolewa Bure au kuna fidia Maalum

  • @nureyna629
    @nureyna629 8 หลายเดือนก่อน

    Wapi hii?

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu et hatki kuskia mtu kudhulumiwa , ila uongo sheikh dhulma unaipenda , maana km huipendi ungeakataa basi icho kiti cha urais.umedhulumu watu mpk wengine washatangulia mbele ya haki.

  • @juma2979
    @juma2979 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo badae utasikia wakubwa wamezipora

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 8 หลายเดือนก่อน

      Hatowahi inshallah

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 8 หลายเดือนก่อน +3

    Its fine lakin kikubwa kinachotakiwq ni zanzibar yenye mamlaka yake kamili

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 8 หลายเดือนก่อน +1

      Watu wapo mkutanoni wewe unafusa nani alinyang'anywa kitu zanzibar, unaleta vitu ambavyo havina mahusiano na kilichopo hapo.

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 8 หลายเดือนก่อน

      @@fahadfaraj6474 hhhhhhh sawa mwenye macho haambiwi tizama

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 8 หลายเดือนก่อน

      @@omarmohammed5157 sasa hapo watu wamepewa nyumba tena nzuri bado tunaleta siasa haya wangetolewa pasi na Kupewa kitu ka ilivo kwengine kila mahala na jambo lake hayo mangine kwenye uchaguzi huko ndo tutayasema si katika hili .

    • @fakihbakari
      @fakihbakari 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@omarmohammed5157mamlaka kamil ni lazima 👍👍👍

    • @HalimaOthman-tc3io
      @HalimaOthman-tc3io 8 หลายเดือนก่อน

      Anazingua

  • @aliabdallasaid3174
    @aliabdallasaid3174 8 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa Raisi Kuna uharibifu wa mamlaka ya maji Zanzibar ktk ukanda wa pemba tunawadai pesa zetu za fidia kwa uharibifu wa mabomba ya maji ya uvico 19 mpaka Leo hawajatulipa katika shehia ya gombani mwaka unafika tokea uharibifu huo kufanyika kwahivyo muheshimiwa tunakuomba usimamie fidia hio