Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
@@OscarDzombo Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@@OscarDzombo Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye. .
Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤
❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu
Semeni ukweli
@@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur
@@OscarDzombo Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa
@@OscarDzombo Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza
Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩
Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤
Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏
Yupo anaendelea na Steve
Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana
Uyu dada kipenzi changu namkubali sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
Y😂😢😮😮😅😅😅
Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya
Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu
Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉
Yuko good sana❤
Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩
Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈
Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano
Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊
Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.
😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi
Wewe uolewe naye ❤❤
Ninamtaka,nishaampenda❤️❤️Niko Kenya..🎉
I love you kidot juu ameongea true
Nakupenda unavyo ongea mashallah huna majigambo umependeza
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi
Nakupenda bule hajra kidoti❤
Nitamkujia😊❤❤❤
Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi
Kidoti mzuri pia yupo na khekima mpka Raha♥️♥️🥰
Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂
Mashalla upendeza sana 💯💯✅✅✅⚘🌷💐🌺🌹🥀❤❤❤❤❤
MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE
Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅
Uyu dad nampendaga laaans
Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa
Haji Manala sijui ajamuonae Uyu Hajila
Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up
Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉
aka ka dada nakapendaga jaman tangazaji aka ka Reina natamani nione naye cku2
Huyu mwanamke huwa nampenda sana.
Mimi ndo bwana wake uyo mke wangu mtarajiwa uyo
Dada kasem kweli
Reina ❤❤❤
MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂
Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂
Yes
Nakupend san ❤ ww hajra❤
Atra
Unajuwa
Valasana
Dada
Tenaukomuzurisan❤❤
Je vous en courage mes frères et sœurs un jour je serais là
Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....
Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu
Nakupenda cn hajra❤❤❤
Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak
Huyu demu namkubali huyu❤❤❤
amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar
Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko
Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao
Imbwa impesa imbwa ww jinga kabxa nyokomwana sana.
Najua kidoti we mali ya steve..napendaga sana ukuwe wife wa stive mweusi.
Mwambie Steve Niko hapa 😂😂
😂😂😂😂🙌🙌
Wewe nani?
Wow Dada mzuri huyu
Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs
HAJRA MWAAA VERY NICE
Steve mwenywe anasemaje😅😅😅
Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu
Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana
Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅
Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik
Kweli kabisa
Wewe ndio weefy acha kujificha
Steve bwana kuchekesha tu kuoa aaaah
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye.
.
Namu penda hajira ❤
Hongereni
Hajira mmmmhh sawa nimekupata
Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya
Steve owa
Mzuri sawa ila kuolewa sasa
Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu
Sasa si akuoe mwenyewe ajira
Kapendeza kweli yan
Niko kenya huyo demu ni mali safi bana
Dada kazi poa
Hajira ana pendeza sana
Can l get contact for that Lady please she is very beautiful
😁😁😁stev kavurugwa antk pesa
True
Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV
Naomba connection mrembo huyo.
Hajra kapendeza jmn
Alafu kizuri bala
Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊
Uzinifu kwa wasanii kama wimbo wa taifa
Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂
Mhhh unamjua
Set timer
Pao
Mashallah hajira Mashallah
Kidoti MashaAllah uko vizuri
Tivu wetevu mwingi demu hujawaonyesha nyumban kwa Familia
Anahekima sana huyo dada
Ft
Nataka nikuoe
Nice
Mm nataka ilo gauni nitalìajw
Stive sakapesa
ajira mbona mumeto sana dubu tz kapokonya