EX WA NIFFER AONGEA KWA UCHUNGU, ALIYOFANYIWA HADI KUACHANA NI MAZITO😭, VUNJA BEI ATAJWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2024
  • EX WA NIFFER AONGEA KWA UCHUNGU, ALIYOFANYIWA HADI KUACHANA NI MAZITO😭, VUNJA BEI ATAJWA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 308

  • @charlesmasele6327
    @charlesmasele6327 ปีที่แล้ว +69

    Mwana unajielewa sana chukua hii 👊👊 huwezi shindana na mwanamke. ✅✅

  • @ibrahjr5210
    @ibrahjr5210 ปีที่แล้ว +73

    Nilichojifunza ni kwamba, ukiachana na mtu hakuna sababu ya kumuongelea vibaya..kwa 7bu mnajuana madhaifu yenu pamoj na Siri zenu zote ,so it's better Kam kuendelea na maisha mengine at the same time mko peace na bado mnaweza suppotiana kweny angle nyingine ya maisha

    • @dijahmriri523
      @dijahmriri523 ปีที่แล้ว +1

      Dah umeongea point sana

    • @michaelelia7058
      @michaelelia7058 ปีที่แล้ว +1

      Umeongea point

    • @queenmarymakweta5499
      @queenmarymakweta5499 ปีที่แล้ว

      Ni sawa ila ni wapi wengine tutajifunza, sio lazima kila linalokukuta useme ila kama unaona its better kutaka kufanya jamii nini ijufunze unasema

    • @theresiajames7574
      @theresiajames7574 ปีที่แล้ว

      Ishi nayo hiyo..

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 ปีที่แล้ว

      Kweli kbs

  • @mishiomarhassan7115
    @mishiomarhassan7115 ปีที่แล้ว +31

    Gigy 😂😂😂kasema kwely 😂😂😂 sasa nimelewa

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu5387 ปีที่แล้ว +12

    Mtoto anataka hela yule ,,pole sana brother

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว +9

    Usiombee uachwe na Demu alafu akupite kimaendeleo weeeee Chibabaaaa utamia maish yako yooote km huyu mwamba🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️Alafu kwenye interview Niffah aligoma kabisa kumuongelea ukiwa km x...na unamaisha yakoo...Wewe na vunja bei wako woote oya oyaaa...Goooo Niffaah

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว

      wauza kuma lazima msapotiane hua iko ivo huyo dem malaya mbwa kiba mwenyewe kasha mtomba afu kapita vile unaona tena heka heka kwa kiba? sasaivi itakua kapata danga wasafi nako atombeke ad kuma itoke sugu 😷😷

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 ปีที่แล้ว +15

    Akikutana na mwanamke anaendesha nyumba sistuki kanichekwsha sana yaani nimecheka kwanguvu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭paka nimelia 😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 ปีที่แล้ว +20

    Huyo dada yaelekea ana something special,ambayo watu wanamfuatilia sana life yake Em mpeni amani binti wa watu.

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว

      Damu yangu kabisa naniwakawaida kabisa

    • @careeninnocent738
      @careeninnocent738 ปีที่แล้ว

      Wanamuonea wivu ni mpambanaji

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว

      kitu gani malaya huyo anajiuza afu anakuja kwa motivet wajinga kama nyie eti nimepambana labdda kwenye godoro ndio aliko pambana

    • @jan6703
      @jan6703 ปีที่แล้ว +2

      @@careeninnocent738 hivi wewe dada waelewa upambanaji ni kitu gani. Maana naona hata wanaojiuza waziwazi wajiita wapambanaji .

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 ปีที่แล้ว +2

      @@jan6703 ndo wale wale uyo wanapenda sana kujitetea,,,

  • @latiphamohammed9900
    @latiphamohammed9900 ปีที่แล้ว +27

    Kaka kaongea pwet sanaaa kunywa peps ya bariiiiiidi nakuja kukulipia nipo njian🥰

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 ปีที่แล้ว +21

    Hapo mwisho kafunga vizuri kipindi🙌💪

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb ปีที่แล้ว +16

    Vijana wanateseka kwa kukosa ela. Fursa hakuna daaah 😢

  • @joycemenrad9746
    @joycemenrad9746 ปีที่แล้ว +26

    Gigy money atakua alikua sahihi aka ka niff oo jimetoka mbali kumbe kupanganisha wanaume kama makontenda ya mizigo 😉

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว +3

      Mwanamke ni wamambo mengi kwa mujibu wa mwanaume anavojieleza mtu wa matukio lkn anajificha gigy yupo sahihi maneno yake .

    • @starpammy6020
      @starpammy6020 ปีที่แล้ว

      Hahaha 🤣 nyieee

    • @enjoomaliya1399
      @enjoomaliya1399 ปีที่แล้ว

      Mkomeni mtoto wa mwanamke mwenzenu , semeni uzazi wenu watoto wenu , stupid.

  • @hopemusictz9353
    @hopemusictz9353 ปีที่แล้ว +29

    Huyu mwamba sijui ana degree ya maisha...😂😂😂

    • @hassanstoch7607
      @hassanstoch7607 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 ปีที่แล้ว +2

      Ukikutana na challenge flani katika maisha aidha ya mahusiano au kitu chochote,,,,autamatic utakua na uwezo mkubwa sana wa kufafanua ilo tatizo kuliko unavyozania,,,,

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k ปีที่แล้ว +27

    He is wise man

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 ปีที่แล้ว +41

    I'm learning alot from this dude and what he's talking about is real and painful

    • @sophiamfikwa7340
      @sophiamfikwa7340 ปีที่แล้ว

      Yeah for sure he have something makes him painful..but hajataka kuelezea

  • @salmaathman7634
    @salmaathman7634 ปีที่แล้ว +6

    Huyu kaka kajitambua mapema yupo sahih wanawake wengne pasua kichwa ila ndio mama zenu mtafanyaje tuvumilien tu😄😄😄😄

  • @pamelaouma6400
    @pamelaouma6400 ปีที่แล้ว +32

    MUNGU amesema ishini na sisi kwa akili Sana.

  • @thomashudson1083
    @thomashudson1083 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mshikaji kwa jinsi anavyoongea anaonekana alipgwa tukio na huyo demu ambalo lilimuachia maumiv makali mpaka kesho.

  • @raybby9291
    @raybby9291 ปีที่แล้ว +46

    Ila kaka unaonekana bado unampenda sana niffa na alikuumiza

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys ปีที่แล้ว +1

      Weye waapi si kashaowa tayari

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 ปีที่แล้ว +6

      @@Mimy_keys kuoa sio tatizo.watu wanaoa Sana lkn kumkumbuka mtu ni jambo lingine

    • @masoudmsomal8774
      @masoudmsomal8774 ปีที่แล้ว +1

      @@Mimy_keys me nimeoa tyr na mpk leo nampenda ex wang

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 ปีที่แล้ว

      @@masoudmsomal8774 ttz n kumb kumb zinakuendesh vibay

    • @hawasaid6625
      @hawasaid6625 3 วันที่ผ่านมา

      Humjuwi huyu mtu nyamaza

  • @kimambo_photographer5291
    @kimambo_photographer5291 ปีที่แล้ว +24

    Leo nimekuwa wa Kwanzaa 😍

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 ปีที่แล้ว +5

    Niffer unatuwakilisha vizuri safiiii
    wANAUME WA KIACHWA WANAUMIA
    ILA SISI MBONI KILA LEO MNATUUMIZA KENGE NYIEEE.JAMAA BADO UNAMPENDA.PAMBANA NA MKEO.NIFFER LEVEL YA JUU.tafuta pesa kesho watatuheshmu hawa

  • @filbeteromary3153
    @filbeteromary3153 ปีที่แล้ว +10

    🥺Wangap wamegundua kakaa anajtahid asimzungumzie vbaya ila maumivu yanamzid😥

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 ปีที่แล้ว +14

    Nampenda Sana mke wangu !! Uku namuelezea nifeer kwa uchungu!😭😭😭 Pole Sana kaka angu moyo unapendaga mara moja tu

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 ปีที่แล้ว +1

      Unajua kun upend n mapenz usifananish hay mamb kabisa

    • @brightmmbando4406
      @brightmmbando4406 ปีที่แล้ว

      😅😅 Nimecheka aisee, umeusema ukweli

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 ปีที่แล้ว +9

    Huyu jamaa yupo perfect san

  • @Pro_Hacker99
    @Pro_Hacker99 ปีที่แล้ว +25

    Demu akipata sponsor tu wahun tunaachwa😂😂

    • @Dira-90
      @Dira-90 ปีที่แล้ว +1

      Mademu wakipata sponsor tu wahuni tunaachwa 🤣😂

    • @barakatabdul3212
      @barakatabdul3212 ปีที่แล้ว +1

      @@Dira-90 wahuni wanapigwa kibuti but tusimind wahuni italipa 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @dotnatajoseph2620
      @dotnatajoseph2620 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀

    • @venerandamwalimu16
      @venerandamwalimu16 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀😀😀wahuniiiiii

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 ปีที่แล้ว +6

    Uso wa Nifa ukimwangalia akifanyiwa itavyuu unajuwa tu kama muongo gigy alivyosema wengiwao wanadanga walipaniki wote wadanga

    • @jan6703
      @jan6703 ปีที่แล้ว

      Kweli Aziza. Inaudhi mwanamke asimama macho makavu na kujidai eti mpambanaji au special kumbe akiuza mwili . Chefu sana hasa msiwape air time waharibu jamii 😠

  • @sharifaomenda1535
    @sharifaomenda1535 ปีที่แล้ว +10

    Ndio maisha yalivyo wanawake baadhi yao ndivyo walivyo akipata kipya cha zamani hakina faida. Ila wanasahau kipya hakinyemi

  • @hidayakisensi2747
    @hidayakisensi2747 ปีที่แล้ว +32

    Kwel mafanikio yana siri kubwa, kila mtu anahistoria yake yamafanikio

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 ปีที่แล้ว +1

    Yani bro bro brooooo mkasa wako Hauna tofauti na wangu umenigusa pabaya Yani usiombe likakukuta sio wote kweli lkn ktk kumi ni mmoja ndo utapta

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo watu tunashindwa kutofautisha mwanamke wa kupenda na wa kupiga ukatembea, kuna iana ya wanawke hawaitaki kuwaweka rohni ni kuchapa tu alaf mwisho untafuta kitoto kiziuur kishambashamba unakivuta ndani

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh4316 ปีที่แล้ว +26

    Date na muhaya ni wazuri sikatai ila please n please uko in troubles! If you know you know 😞😞😞😞😞😞

    • @sarahkimaro75
      @sarahkimaro75 ปีที่แล้ว

      Kabisaa

    • @UMMAHWASATIYYAH
      @UMMAHWASATIYYAH ปีที่แล้ว

      Ttz sio kabila ni mtu mwenyewe wacheni vijichambo 😂

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 ปีที่แล้ว +12

    Nifa hana akili kumbe kaacha mwanaume anaejielewa

  • @mpalestinatz8265
    @mpalestinatz8265 ปีที่แล้ว +6

    Mwana smart talker sana👊

  • @jescaalfred3410
    @jescaalfred3410 ปีที่แล้ว +3

    Hakuna Cha kumpenda mke wake..huyu Kaka moyo wake bado upo kwa niffer

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 13 วันที่ผ่านมา

      Ur delusional he loves his wife wakudanga wadange wengine kaheshimishwa kawekwa kwa Nyumba kihalali

  • @reneeisaya733
    @reneeisaya733 ปีที่แล้ว +8

    Huyu kaka mstaarabu sana ila akisema amvue nguo huy dada angeaibika sana ,wanawake tuna fake sana maisha jamani

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 ปีที่แล้ว +1

    Mwanamke ni mtu anabadilika since from bustani ya edeni utamjua mwanamke ni mtu wainagani demu kapata jina town ameshabadilika

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 ปีที่แล้ว +9

    Sio mwanamke tuu hata nyie wanaumme mna mambo ya kishenzi sanaaaaa

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 ปีที่แล้ว +2

    KUWA NA MWANAMKE WA "KIHAYA" NI MTIHANI,HAWATOSHEKI.

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 ปีที่แล้ว +13

    Niffa alkua baya tunaokaa Sinza Madukan tunamjua sjui kwanin anamkana kaka wa watu enzi hizo shilla ananyoa pemben ya Galito restaurant

  • @wardaridhwankassim4774
    @wardaridhwankassim4774 ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂 kuna mwanamke mwenzetu kashatuwakilisha vzur huk..! @niffer unazawad ako..!

    • @givenjackson5449
      @givenjackson5449 ปีที่แล้ว +2

      Yaan warda upo kama mm yaan m mwanaume akiumizwa nasikia Raha jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asante sana niffer

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 ปีที่แล้ว

      Hahhahah

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 ปีที่แล้ว

      @@givenjackson5449
      Ndotabiaa yenu

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 ปีที่แล้ว

      Wakituacha wao inakuwa poa ila wakiachwa wao sasa 🙌😂😂

  • @Bise270
    @Bise270 ปีที่แล้ว +1

    Huyu msenge nae qnaelekea bado anamtaka ex wake,mbonq linajiongelesha kwa uchungu hivi alafu mwishoni linajidai nampenda mke wangu,kichefchef😏

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 13 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni mshenzi hounding anaulizwa maswali au huoni

  • @hawaneneko4793
    @hawaneneko4793 ปีที่แล้ว +6

    Big up broo unajielewa mnoo

  • @eliachacky7562
    @eliachacky7562 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mwamba unauchungu moyoni, ila wanawake ni viumbe waajabu sn hapa duniani

  • @idayamataifakey7813
    @idayamataifakey7813 ปีที่แล้ว +4

    Huyu kaka naona bado ana mpenda

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 3 วันที่ผ่านมา

    Ashirafu sisi watu WA sinza ndio tunajuwa mpaka malipo kuwa mnaishi Na alivyo kuwa anashinda saloon kutwa anakuchunga 😅😅😅😅😅😅😅 sisi tunajuwa Ila tunamuangaliaga tu😅

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 ปีที่แล้ว +2

    Hivi mtu mshaachana unakuja mediq kujitangaza kuwa wewe ni ex wake. Unataka pension au???ukuachwa move on na acha kumuongelea ex wako kabisa

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 ปีที่แล้ว +1

    Hata wanaume kaka wanadam wamebadirika sana japo siyo wote

  • @mariamphilipo5789
    @mariamphilipo5789 ปีที่แล้ว +1

    Huyo Kaka anaongea kwauchungu Sana jamani Wana wake tubadilike ukipata akupendae nawewe mpende hivi vitu nivyo kupita tu jamni

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer ปีที่แล้ว +10

    Salute sana bruda👊🏾🏁

    • @nersonjoseph5369
      @nersonjoseph5369 ปีที่แล้ว +2

      Jamaa kajibu vizuri mno ma ex asa ulio kaa nao zaidi ya miaka 2 kupanda ndo uwa maadui wakubwa

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +15

    Uyu kaka anajielewa sana niffa kamuacha mwanaume kafuata maigizo ngoja kitamkuta kitu

    • @stylistofficial1405
      @stylistofficial1405 ปีที่แล้ว

      Kwaiyo ww chawa au hahahahaha 😆

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 ปีที่แล้ว

      Huyo mwanamke katokea kwenye shida kapata kdg kaona kapata

    • @wardamunguakuzidishew9399
      @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +1

      @@kennethbenjamin275 mbona pole yake maana uko aliko ss sio salama ngoja achunwe akistuka kamalizwa

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 ปีที่แล้ว

      @@wardamunguakuzidishew9399 Na lazima yule mbongo movie amchune vya kutosha

    • @wardamunguakuzidishew9399
      @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว

      @@vickydan2869 kabisa kiduka kife🤣🤣🤣

  • @sipriandonko3848
    @sipriandonko3848 ปีที่แล้ว +13

    mzee wa minyoosho mikali🔥🔥🔥🔥

  • @ismahanymahamoud9721
    @ismahanymahamoud9721 ปีที่แล้ว +6

    Huyu Mkaka Bado Anampenda Sana Niffer

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 ปีที่แล้ว +1

    Pole sanaaah mkuuu

  • @aminahassan4214
    @aminahassan4214 ปีที่แล้ว +2

    Huyo niffer mwenyewe anaongelewa yuastiriwa na hyo make up bila make up ni balaa mana hilo sura

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 ปีที่แล้ว

      Nishaenda dukani kwake mtoto wwtu wala sio mbaya Masha'Allah

  • @sawasuleimanmwambungo9706
    @sawasuleimanmwambungo9706 ปีที่แล้ว +1

    Ukiumiza mwenzio jua nawe utkja umizwa maisha ni mzunguuko

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 ปีที่แล้ว +10

    Kaka kaa mbali na Muhaya 😂😂😂😂🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 ปีที่แล้ว +1

    Yan mnapendaa wadada wenye makalio sasa ndo matokeo yake hayooooo😆😁

  • @paschalmushilu1485
    @paschalmushilu1485 ปีที่แล้ว +4

    Good interview

  • @fahmitumu8620
    @fahmitumu8620 ปีที่แล้ว +2

    km mtu hatk kufunguka wanini kufanya nae interview kupotez muda tu

  • @bahatiponera7165
    @bahatiponera7165 ปีที่แล้ว

    Umeliwa sana

  • @eamsatellite2077
    @eamsatellite2077 ปีที่แล้ว +4

    Niffer mnampa credit sana na airtime alafu demu mwenyewe wa kawaida tu dar pisi zipo za kwenda kuliko yeye. Pia ana force umaarufu sana

  • @fatumajeremiha6349
    @fatumajeremiha6349 ปีที่แล้ว +4

    Huyu kaka namjuwa na nifa namjuwa kipindi huyu kaka alikuwa ananyoa ndy kipidi hicho huyu nifa alikuwa kawaida huyu kaka anasema ukweri halafu nifa alikuwa kama tom boy saluni ya huyu kaka ilikuwa sinza madukani 2019

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 ปีที่แล้ว

      Kabisa sinza madukan pemben ya restaurant..nifa alkua anafuga manywele anavaa kitom boy😀

    • @irenewilfred7767
      @irenewilfred7767 ปีที่แล้ว

      Hahahahah

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard2311 ปีที่แล้ว +1

    Huyu kaka bado anampenda niffer Sana woi ongea yake tu inaonyesha jmn

    • @shabanimbugi8372
      @shabanimbugi8372 ปีที่แล้ว

      Ila kademu kazuri broo una haki ya kulalamika

    • @bahatmushi9571
      @bahatmushi9571 ปีที่แล้ว

      Huyu kaka ana kigugumiz alaf watu Kama hawa wanakuaga na hasira ila itakua niffer alimtenda

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 ปีที่แล้ว +12

    kwani huyu jamaa anashida gani kulalama kwingi mzee

    • @zafarmohamedy3013
      @zafarmohamedy3013 ปีที่แล้ว +2

      Weee huna akili, nin maan ya interview sasa

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 ปีที่แล้ว +3

      @@zafarmohamedy3013 shukran mufti kwa kunifahamisha kuwa sina akili

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 ปีที่แล้ว +1

      Wamemfuata wenyewe

    • @hanifaalmas4100
      @hanifaalmas4100 ปีที่แล้ว +1

      Kweli huna akili yy kwani kanawaita si wao

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 ปีที่แล้ว

      @@hanifaalmas4100 sawa wewe mwenye akili

  • @hasnaybyser1972
    @hasnaybyser1972 ปีที่แล้ว +5

    kazi kweli kweli

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 ปีที่แล้ว +4

    Jamaa anajielewa kifala yan,, Nakubal✊

  • @jonessalum6325
    @jonessalum6325 ปีที่แล้ว +1

    😀😀😀 et tuishi nao KWA akili noma sana

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 ปีที่แล้ว +3

    Mwanamke wa huyu kaka ana kaziii ameoa kupunguza stress🤣🤣🤣niffer duka limekuachanisha n mpenz

  • @yusuphmalonja
    @yusuphmalonja ปีที่แล้ว

    Kabisa brooo

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna mwanamke mkweli hata mmoja katika Dunia hii katika swala la mahusiano. Wote ni nyoko tu.

    • @rahmamollely5296
      @rahmamollely5296 ปีที่แล้ว

      Kwendraaaaaa cy wote

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 9 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo hata Mama yako Hakuwa mkwl kwa baba yako!! So ndio?!!! Usutufanyie hivyo wote.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 9 หลายเดือนก่อน

      We dogo shika adabu yako

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 ปีที่แล้ว +1

    Bro nimekwelewa sana

  • @al_hashamneymah1340
    @al_hashamneymah1340 ปีที่แล้ว

    Duh mwamba anakwmbia ht akimkuta mwanamke anaendesha nyumba hawez kushangaa

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 ปีที่แล้ว +3

    Maskini jama bado ana mpenda

  • @ashatybella8641
    @ashatybella8641 ปีที่แล้ว +1

    Nifa mdagaji tu😂😂 afu ukikahona kanajifanya ka toto ka mjini wakati akana lolote 😂😂😂 kama siyo mdagaji ha post boyfriend wake kama hana jihamini 😂😂😢

  • @mumaheza151
    @mumaheza151 ปีที่แล้ว +2

    Good sana boY

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba nimekuelewa hawa viumbe nikuishi nao kwa akili

  • @kelvinp.mbwelwa7982
    @kelvinp.mbwelwa7982 ปีที่แล้ว +1

    I like bro nikwel kabisaaaaaa

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 ปีที่แล้ว +3

    niffer kama ni ex huwezi kana unakubali tu kwani shingapi

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali Sana Kaka umeongea

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 ปีที่แล้ว +1

    Kwani uyo niffer ndo nani Mbona mnampa kiki🤣

  • @ashrafmbonde8716
    @ashrafmbonde8716 ปีที่แล้ว +1

    Usishindane na mwanamke.... Fact

  • @Torono_95
    @Torono_95 ปีที่แล้ว +5

    Bado anampenda uyo dem uyu jamaa

  • @ramanyamawi1568
    @ramanyamawi1568 ปีที่แล้ว +2

    Mchanga hii interview n ngumu sahii akili kichwani

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 ปีที่แล้ว +14

    Sasa siumeachwa na umeowa endelea na kazi zako kamanda

  • @Gody360
    @Gody360 ปีที่แล้ว

    Ndio life

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 ปีที่แล้ว +5

    Kakawawatu anaonekana mstarabu

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 ปีที่แล้ว +1

    Eti unamtaka, eeh unampenda!!!! Basi mtongoze 🙄,

  • @jollywilson9938
    @jollywilson9938 ปีที่แล้ว +2

    Wahaya wanapenda sana katelelo😂😂💔

    • @mohamedabubakar4694
      @mohamedabubakar4694 ปีที่แล้ว

      Cjui kichwani unawaza nn ndugu yetu

    • @nersonjoseph5369
      @nersonjoseph5369 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣sio watu wa kuweka moyo ote hao wanaacha vumbi Sana 🤣

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 ปีที่แล้ว

      Kwa hiyo jamaa hajui kuicheza hiyo????

  • @gorethkalembo8177
    @gorethkalembo8177 ปีที่แล้ว

    Mkaka anaongea kwa hisia saana
    Mpk hurumaa

  • @malleytopmusic3051
    @malleytopmusic3051 ปีที่แล้ว +3

    Wanawake tuishi nao kwa akili lakin anampenda sana mke wake🤣🤣🤣

  • @zena6203
    @zena6203 ปีที่แล้ว

    Oya tembea kwamwendo wako ukiachwa achika unabwabwaja nini kwani unataka awenamwanaume umoja umekuwa babayake ao

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 ปีที่แล้ว

    Sema huyu ni mwanaume kweli anakifua kwanza halafu hako kenye kichwa kikubwa ndo maana hata interview zake siwez kumaliza kwasabb kaongo halafu kanajifanya kanajua kila kitu na ukichanganya na kabila ndo kabisaa shuzi limepata mjambaji

  • @flova7022
    @flova7022 ปีที่แล้ว +1

    Neno female ni atom inayotakiwa iwekwe kwenye periodic table laleki aw

    • @haliyamwijaa6493
      @haliyamwijaa6493 ปีที่แล้ว

      Hahaha, mtuache jamani

    • @flova7022
      @flova7022 ปีที่แล้ว

      @@haliyamwijaa6493 nyie noma...mi nawaogopaga tu hususani nyie weupe

  • @monahmussamonah6229
    @monahmussamonah6229 ปีที่แล้ว +4

    He is humble jmn.

    • @jackngitu1477
      @jackngitu1477 ปีที่แล้ว +1

      Sema watangazaji wa online wanapenda kugaombanisha watu kama watu wameachana kwnn mnafukunyua mambo jiulizen nyny wenyewe mna mambo yenu machafu,hapo niffer ana maisha yake na huyu kaka pia.Jifunzeni kutofuatilia mambo ya binafs ya watu

    • @queen.christelle1
      @queen.christelle1 ปีที่แล้ว

      @@jackngitu1477 kabisa

  • @user-xm2rm7wn6h
    @user-xm2rm7wn6h 7 หลายเดือนก่อน

    Ety ana endesha nyumba😂😂😂😂

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 ปีที่แล้ว +8

    Wanawake wabaya lkn tumewazaa

  • @maryammwinyi932
    @maryammwinyi932 ปีที่แล้ว +1

    Me sijaon 7b y ww kijan kumzungumzia niffa wkt yy alikataa ww kukuzungumzia😏

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว

      malaya yule hana jipya muuza ukundu wenye uvundo 😷😷

    • @maryammwinyi932
      @maryammwinyi932 ปีที่แล้ว

      @@sifatiiman dah usipend kuhukum wat 👎 km unaon kaz y kuuz m*****k n kaz rahis n ww uza wko bax😏

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว

      @@maryammwinyi932 muuza mkundu yule siku zote wauza kuma lazima mteteane malaya utawajua tu

  • @mariamselemani1366
    @mariamselemani1366 ปีที่แล้ว +2

    Kaumbuka duu pole kaka

  • @farhadimranmoodyimran5119
    @farhadimranmoodyimran5119 ปีที่แล้ว +19

    Mwana kama anamambo mengi sana anaficha kustiri dada 😆

  • @antidabanyikwa3259
    @antidabanyikwa3259 ปีที่แล้ว +1

    Bana alikutumia kama ngazii🤣🤣🤣🤣famasiala na wadada ww

  • @joskyroy9009
    @joskyroy9009 ปีที่แล้ว

    Jamaa mwenyewe huja muliza alikuwa katk hari gan mchk kwanza kama angekuwa mahakaman cmunge fungwa nyie