NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 244

  • @sichanaali7284
    @sichanaali7284 ปีที่แล้ว +12

    Weeeeeeh! nampenda huyu dada ❤❤❤yuko vizuri anajilewa nampendaaaaaah😍😍😍

    • @Chatt-town
      @Chatt-town 9 หลายเดือนก่อน

      Perfection ❤❤❤

  • @hamisahodari9229
    @hamisahodari9229 ปีที่แล้ว +15

    Bila gigy wala uyu dem nilikuag cmjui jmn....🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz ปีที่แล้ว +14

    Niffer: mimi sina boyfriend nina mwanaume
    Niffer baada ya dakika tano: boyfriend wangu mnyamwezi sanaaa

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 ปีที่แล้ว +13

    Hata asemwe vibaya me Niffer nampenda sana, hata Mimi pia napitia unayopitia mpenzi, napigwa vita kisa upambanaji wangu, usiogope Mungu yupo na wanaotuwazia mabaya ukiangalia tumewazid Kwa Kila kitu, ko wache wabwatuke ila Mungu yupo nasi💪

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 ปีที่แล้ว +6

    Niffer mzuri uyu dada uuuuuuwiiiiii💜💜💜💜💜💜💜💜🙆🏻‍♂️✔✔✔

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 ปีที่แล้ว +15

    Unaangaika tu fredy wala hana muda na wewe na ndoman hakujibu coz kakuzarau

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 ปีที่แล้ว

      Saaaaana

    • @rehemalukali8326
      @rehemalukali8326 ปีที่แล้ว

      Kila interview lazima ajiongeleshe kuhus Fred mwenzie yupo kimya

  • @fauziakitenge8061
    @fauziakitenge8061 ปีที่แล้ว +13

    Mmmh niffer anajimaliza kwa huyo ochu

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 ปีที่แล้ว +7

    Aaaa naona wengi wanaomsema bi dada wamepigwa hatua balaaa Yani MTU ukifanikiwa ukizingatia umri mdogo 🤣😂😂😂😂😂aloo niffer achana nao piga KAZ mwenyez mungu yu pamoja na wewe♥️💞♥️❤️❤️💖💖

  • @hawamfaume3171
    @hawamfaume3171 ปีที่แล้ว +35

    Niffer n mzur kuongea anaweza yupo charming sema anauhaya mwingi

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 ปีที่แล้ว +14

    Dada maringo huyu kwa kweli

  • @charlessalimu5875
    @charlessalimu5875 ปีที่แล้ว +23

    Mara boyfriend mara mwanaume wangu, ni hatari na mademu wa Tanzania

  • @preciouspeter2897
    @preciouspeter2897 ปีที่แล้ว

    Mmmh

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 ปีที่แล้ว +18

    Huyu demu kalewa na umarufu

  • @allanikaal6379
    @allanikaal6379 ปีที่แล้ว +9

    I don't know why people catching feeling with this girl first of all ni mdogo inafaa mjue lazim atakuwa na immature nyingii kwa umri wake mambo ya kujickia n kitu cha kawaida ngojeni afike miaka 25 kwenda juu ndo muanze kumwambia aache maringo

    • @halimakanik8789
      @halimakanik8789 ปีที่แล้ว

      Amefika25 vzur tuu

    • @yasinthaprosper4226
      @yasinthaprosper4226 11 หลายเดือนก่อน

      Umeona kaka ndy Ile barehe bado anayo utoto Yani. Akifka25 hatokuwa hvo Kwanza akili itachange.maringo yatapungua NAMI nilikuwa hvo si Mimi Tu Kila kijana

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว +15

    Watu wanawivu sana jamani unamchukia hata usiemjua niugonjwa wa akiri kumchukia usiemjua. Nifff ochu wako na unampenda sana mfike mbali ❤️

  • @Gody360
    @Gody360 ปีที่แล้ว +1

    MaKn

  • @vestinambunda8837
    @vestinambunda8837 ปีที่แล้ว +14

    Tutunze interview🤣 Maan Nana dolly ni pisiii kweliii na akabagwaa🤣🤣🤣 Itakuwa ww sura nzitoo ivoooo punguzaaa mihemkoooo dada weka na akibaaa ya maneno

    • @zailethomary4093
      @zailethomary4093 ปีที่แล้ว +2

      Sem wat mna wiv

    • @dayanandama8873
      @dayanandama8873 ปีที่แล้ว

      Nana hajawahi kudate na ochu ww....ni washkaji tuuh maana wanaigiza series moja ya pazia

    • @vestinambunda8837
      @vestinambunda8837 ปีที่แล้ว

      @@dayanandama8873 Kaa hapo hapo🤣

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 ปีที่แล้ว +17

    Hata akisemwa nakapenda tu. dada Niffer hongera yu found true love uko happy and proud of your Man

  • @mrnobody-qg6ed
    @mrnobody-qg6ed ปีที่แล้ว +3

    We muhaya malaya sana wew I know u since kitambooo

  • @deus8629
    @deus8629 ปีที่แล้ว +2

    Ipo siku huyo mwanaume unae msifia tutasikia story nyingine... tunza hii comment pls

  • @joysarah
    @joysarah ปีที่แล้ว +8

    Eti ana miaka 23😄😄🙌

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 ปีที่แล้ว +1

    Niffet nakupenda san❤

  • @chuchudorice8531
    @chuchudorice8531 ปีที่แล้ว +4

    Kwany kuwa kuwa na ex nikuwa ulikuwa umeolewa mxieeew huyu anajiona Nani kulikuwa wengi wanoma hata kina wema ila Leo wametulia punguza misifa

  • @ashanguya843
    @ashanguya843 ปีที่แล้ว +6

    Wewe aueleweki mara wasema ausuki ayo manywele ulio nayo au auswali tena we mnafiki aueleweki

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 ปีที่แล้ว +3

      Acha makasiriko weweeee

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 ปีที่แล้ว +2

      @@mimikimanga3126 kwakweli, anataka aeleweke ili iwaje sasa,..

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 ปีที่แล้ว +4

    Bila gigy nilikua sikujui hakii vile🤣🤣🤣

  • @masika.zubeda.430
    @masika.zubeda.430 ปีที่แล้ว +3

    She is 23 daah kumbaaa nikoo 12😂🤣🤣🤣

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 ปีที่แล้ว +6

    Tutafut hela jaman salooon hoyeeee

  • @noelalubulilla6362
    @noelalubulilla6362 ปีที่แล้ว

    Hahahahaha sema niffer unampenda ochu ..ata ukimuongelea tu inaonyesha

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 ปีที่แล้ว +2

    Huyu demi mshamba kweli, kweli mjuaji saaana! Mademu kama nyinyi ndio vile

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 ปีที่แล้ว +4

    Eti ongea kiswahili bhn😁

  • @thekennedy2002
    @thekennedy2002 ปีที่แล้ว +4

    Mchaga ww ni mnyamwezi nmekubali unajua interview

  • @munnahbakari725
    @munnahbakari725 ปีที่แล้ว +17

    Kumbe Kfc wanauza na pizza siku hizi na watu hata hamsemi jamani..

  • @daglaskiberenge106
    @daglaskiberenge106 ปีที่แล้ว +3

    unachanga'nya habari mwadada kama ulitoa kimpango wako mlielewana ss sio watoto wadogo ulikolea kisa mkwanja, habari tunayo!

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 ปีที่แล้ว +1

    Kwanza apo kwa urembo atukome!!uyu dada mbaya ilaanajiona sijuwi Rihanna 🤔🤔

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 ปีที่แล้ว +3

    Ila niffa anacheka vizuri kinoma af napenda mdada mwenye kaaibu flani iv kama uyo duh dogo Suma anafaid

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 ปีที่แล้ว +4

    Umaarufu unamlevya na hilo Duka

  • @reneeisaya733
    @reneeisaya733 ปีที่แล้ว +19

    Demu muongo huyu,kfc piza ya matako😂

    • @Luckyme-b4i
      @Luckyme-b4i ปีที่แล้ว +1

      😅😅😅😅😂😂😂

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @stewardmbena3737
      @stewardmbena3737 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว +1

      Sasa uongo wake nini? KFC 🍗 kula 🍕 umeona ni kitu kikubwa

    • @reneeisaya733
      @reneeisaya733 ปีที่แล้ว +1

      @@NR-ll4sr 🤣🤣🤣kfc tangu lini kuna piza

  • @sophiangaoga7451
    @sophiangaoga7451 ปีที่แล้ว +3

    Ila tukitaka ubuyu Zaid tumuone dada mange kimambi kuhusu huyu bibie .

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 ปีที่แล้ว +5

    Huy ndo inaonekana anampenda san mwanaume ila ataachwa muacho mmoja matata

  • @tausihasheem5169
    @tausihasheem5169 ปีที่แล้ว +9

    Nimependa ulivyosema kitu cha kwanza n kumuamin Mungu🙏

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 หลายเดือนก่อน

    Hahahahahaha niffa wewe ni mkubwa huna miaka 23. We know you.

  • @dianadenice3610
    @dianadenice3610 ปีที่แล้ว

    Hujui ata kudanganya mjinga wrw😅😅

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 หลายเดือนก่อน

    Demu muongo umeishi naye pika pakuwa 😅😅😅😅😅😅

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 หลายเดือนก่อน

    Kagongwa naye Kisha anajifanya so kweli 😅😅😅😅😅

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 ปีที่แล้ว +8

    Huyu bado mdogo🥰🥰love you Niffer M napenda unavyompenda Mungu🥰🥰

  • @BlessChaula
    @BlessChaula 2 หลายเดือนก่อน

    Unaweza onaa mume wake ndo mie uku na sijii juii ukuu ase😂

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah nifa uko vzr kuongea

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 ปีที่แล้ว +2

    Nakupnda wedada❤❤❤

  • @canisiusjohnkayombo4996
    @canisiusjohnkayombo4996 5 หลายเดือนก่อน

    Mapenz konyo kweliiii kwaiyo kashaachana na patrick,sahivi niffer kafunga ndoa na mwingine,kwel kila mtu nawakati wake

  • @sweetjesus9863
    @sweetjesus9863 ปีที่แล้ว

    Eti kwenye ile nyumba hakuna gari..kuma wewe unaringia kuma kuna uzee na kifo.Malkia Elizabeth na utajiri kafariki sembuse we we mfyuuuuuu

  • @nasseralhatmi1762
    @nasseralhatmi1762 ปีที่แล้ว +2

    Duuuuuh hii balaa jamani toka lini pizza 🍕 ikauzwa KFC labda pizza ya kwake mwenyewe ndio anaiuza

    • @merisianantandu1327
      @merisianantandu1327 ปีที่แล้ว

      😂😂😂anaona wote washamba hatujui KFC nini inauzwa

    • @vennyrichard2139
      @vennyrichard2139 ปีที่แล้ว

      @@merisianantandu1327 hahàaa KFC sijawah ona pizza jmn

    • @nin6324
      @nin6324 ปีที่แล้ว +1

      Nenda KFC Mikocheni pale kuna Pizza Hut and KFC

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 ปีที่แล้ว +1

      @@nin6324 nafikiri wewe umetoka hospitali ya mirembe angalia vizuri ulivyoandika pizza hut na kfc ni vitu viwili tofauti pizza hut haiuzwi KFC hata siku moja pumbavuuu wewe

    • @mariamyoyote8172
      @mariamyoyote8172 ปีที่แล้ว

      @@merisianantandu1327kwanini wasiuze najiulizaga

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 ปีที่แล้ว

    Ochu hajafkish 25

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 ปีที่แล้ว +3

    Ok sawa ❤️

  • @samwelipaschal6412
    @samwelipaschal6412 ปีที่แล้ว +16

    Aka kadada Kazuri wivu tuache jaman sema ndo ivo wengine atunaga neema mm huyu akiwa rafik tu nalizika

  • @saimarmuhsin9578
    @saimarmuhsin9578 ปีที่แล้ว

    Mfyuuu ujinga tu mwanume si akuoe mnafanya uzinifu kisha manaongea kwa proud kabisa khaa uchafu tu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 ปีที่แล้ว +20

    Kwenda uko unamajigambo sana wewe punguza majivuno

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 ปีที่แล้ว +3

      Anaonyesha sana kibuli huyu majivuno yamemjaa bila kupepesa macho ila mbele ya Camera anajisafisha

    • @nawechi4818
      @nawechi4818 ปีที่แล้ว +1

      Ujuaji wa kihaya🤣

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 ปีที่แล้ว +1

      @@nawechi4818 Aaaah huyu muhaya kumbe au?

    • @nawechi4818
      @nawechi4818 ปีที่แล้ว +1

      @@kennyrogers4734 ndioo🤣🤣

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 ปีที่แล้ว +1

      @@nawechi4818 Ndiomana kumbe bc ndiomana majirani zake wanamuonyesha sababu kuna mambo anayowaonyesha hawapendezewi nayo kbs

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 ปีที่แล้ว +45

    Huyu binti ni mdogo na pengine angefika mbali lakini ni JEURI sana. Anadhani ni maalufu kupita kiasi. Ni mjuaji na ana mdomo sana ... Wanawake wa aina hii huwa hawawezi kuwa HALISI maana ni wadogo lakini hudhani ni wakuuuuubwaaa na wasomi, kumbe ni manunu tu .

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 ปีที่แล้ว +3

    ❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 nakupenda saaana dada

  • @jacklinechuga2569
    @jacklinechuga2569 ปีที่แล้ว +3

    Jomoniii nimekupenda bure niffer

  • @carlitomsolla7287
    @carlitomsolla7287 ปีที่แล้ว +1

    Kwann kawa maarufu uyyu bongo bwana sasa anatak kusemaje

  • @valeriaally6584
    @valeriaally6584 ปีที่แล้ว

    huyo Ochu ndio kwanza anakua,bado ujana hajaumaliza,usijimalize dada ukadharau ulikotoka

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 ปีที่แล้ว

    Mara ana mwanaume tena anageuka ana boyfriend au mm ndiye sijamuelewaaa

  • @rinmo2124
    @rinmo2124 ปีที่แล้ว

    Huyu dada mkorofi, kila siku anagombana na mtu. Amweke ndani kwajili amesema amepata ajali? Sasa hapo amevunja sheria gani?😂

  • @suzanmeela5542
    @suzanmeela5542 ปีที่แล้ว

    Yan kajing'ata akubali tuu ochu ni mwanaume wake ndo ndo hyo boyfriend wake

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 ปีที่แล้ว +1

    Et mnyamwezi kichizi boya kweli wewe

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 11 หลายเดือนก่อน

    Mmh zambi Yule kinyoz amekataliwa 😂😂kisa Hana salali😢

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 ปีที่แล้ว

    Eti ukamweka ndan haya bwana ipo sku mtu atajichangnya ...ntanunua hio kesi hta amini

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 ปีที่แล้ว +6

    GIGI ashukuliwe mmi nilikua simjui hyu

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 ปีที่แล้ว +1

    Unampenda sana patrick cjajua nayy anakupenda hvhv alaf unapenda ukiulizwa kama unadate nae ila patrick cdhan kama anaweza kukuoa kwa ulivo ww ni muongeaji sana na sifa juu sory lkn

    • @paskalinapa6177
      @paskalinapa6177 ปีที่แล้ว

      Yap ata mm siko sure kama anaeza olewa na Patrick Kanumba

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 ปีที่แล้ว

    Mshamba wee muombe msamaha gigy money kwa kumtukana bila sababu za msingi wewe umemwonea gigy wewe ningekuwa mimi ningekunyooosha

  • @neylaboniphace2431
    @neylaboniphace2431 ปีที่แล้ว +1

    Dharau za kihaya🤣

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 ปีที่แล้ว

    Me napita tu maana comment za waja sina la kusema

  • @sonialapatrona511
    @sonialapatrona511 ปีที่แล้ว +1

    Uyu mdada ananyodo saaana

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 ปีที่แล้ว +1

    Wivu wa watu tu.Songa mbele

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 ปีที่แล้ว

    Unamuamini mungu kweli dada angu lkn ujistiri

  • @tabomusic3625
    @tabomusic3625 ปีที่แล้ว

    Babu hakuna kitu kitafanya amani iwepo kwenye mapenzi zaidi ya kipara yaani kipara kinaanza vingine baadae

  • @meshackmwalongo1753
    @meshackmwalongo1753 ปีที่แล้ว

    Sikuzote mwenye akilihajibizani.

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 ปีที่แล้ว +1

    Mademu wa bongo njaa Sana yani

  • @rosenaafya9356
    @rosenaafya9356 ปีที่แล้ว +3

    Nmependa mwishoni
    Saloon gani
    Et needvaa aaaha Sijui😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @beatricenyamvula5039
    @beatricenyamvula5039 ปีที่แล้ว +5

    Ochu anajiaribia kutembea na huyu mtu. Mzima lipua ka nin

  • @EmaMakay
    @EmaMakay 10 หลายเดือนก่อน

    😅😅ety bichwa nimefrah

  • @abasisudi1809
    @abasisudi1809 ปีที่แล้ว +1

    Gud girl but mtii mungu wanadam Wana mengi

  • @najuf8021
    @najuf8021 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nikajua anaakili

  • @jawadufirdaus1971
    @jawadufirdaus1971 ปีที่แล้ว

    Kumbe KFC wanauza Pizza 🍕😂😂😂😂
    🤭🤭🤭🤭🫢

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 ปีที่แล้ว

    Mmmmh majirani hawezi kuongea uongo

  • @stamalamkulungwa8708
    @stamalamkulungwa8708 ปีที่แล้ว

    Dada wawatu anapambana mwacheni jamani

  • @mizesuleiman1834
    @mizesuleiman1834 ปีที่แล้ว

    Sawa ulikua ushuke uongee nao uombe radhi

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 ปีที่แล้ว

    Malaya2 ww

  • @eliasenyaleonard178
    @eliasenyaleonard178 ปีที่แล้ว

    Et ongea kiswahili

  • @swaumironlady3645
    @swaumironlady3645 ปีที่แล้ว

    Mnaanzaga sio yy mwsho wa siku mambo hadharan

  • @francisjuly5761
    @francisjuly5761 ปีที่แล้ว

    Wacuba tushaelewaa😂

  • @jacquelinejames6206
    @jacquelinejames6206 ปีที่แล้ว

    Gaidi what she is 23?but she like 32

  • @joicejoseph8056
    @joicejoseph8056 ปีที่แล้ว +1

    Acha uxenge kuma wewe😏😏😏😏ety una mwanaume.....xo xhila alikua mwanamke!!???? Fala wew

  • @fredgrapher9838
    @fredgrapher9838 ปีที่แล้ว

    Aliposema Bichwa hapo nimemuwaza Ali Kiba…

  • @fatimarita6490
    @fatimarita6490 ปีที่แล้ว

    KFC za tz wanauza 🍕 pizza

  • @joshuamkupi6893
    @joshuamkupi6893 ปีที่แล้ว

    VUNJA BEI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU NIFFER🔥🔥
    th-cam.com/video/9vhp4e5JrBY/w-d-xo.html

  • @sheilahhamid8510
    @sheilahhamid8510 ปีที่แล้ว

    KFC Kuna pizza??

  • @tinalikasi7585
    @tinalikasi7585 ปีที่แล้ว

    We kila mtu rafiki yako

  • @YasiniHasani-og4hc
    @YasiniHasani-og4hc ปีที่แล้ว

    Kwa uzur gani

  • @sundaykomba1327
    @sundaykomba1327 ปีที่แล้ว

    Tutafuten pesa vijana