ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

DIDA ALIVYOTEMA NYONGO "MIMI SIO MDANGAJI, MAGARI YANGU NA NYUMBA SIJAHONGWA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ย. 2023
  • DIDA ALIVYOTEMA NYONGO "MIMI SIO MDANGAJI, MAGARI YANGU NA NYUMBA SIJAHONGWA"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 451

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 9 หลายเดือนก่อน +17

    Walper ameyatimba kwa Didah🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-yp7lh7pm3o
    @user-yp7lh7pm3o 9 หลายเดือนก่อน +16

    Dida nakukubali sana Asante Kwa kutupongeza wanawake tulio Jenga

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 9 หลายเดือนก่อน +7

    Dida nakupenda sana umeanza kupambana kitambo, Toka hata jack ajaanza kuigiza,Dida safari za kufata mzigo dubai,china kitambo... Dida mpambanaji sana.

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 9 หลายเดือนก่อน +10

    Dida nakupenda sana let me proud of my self nina miliki mijengo miwil ila usafir bado sina naiman Mungu atanijaalia

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 8 หลายเดือนก่อน +7

    Umetuombea tusio na nyumba Hilo la msng Sana namm nasema amen

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 9 หลายเดือนก่อน +20

    Ndio tatizo la kuajiri makanjanja,,,!!!

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 9 หลายเดือนก่อน +17

    Dida ww unapenda San kuwaongelea Wenzio Ila upendi uongelewe

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 9 หลายเดือนก่อน

      kinajifanya tajiri wenziye hawana na yeye pia mdangaji pia

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 9 หลายเดือนก่อน +32

    Dida tatizo lako unaongeleya sana maisha ya watu tizamana na yako uache maisha yawengine afu hata wewe una kasorobo hakuna mkamilifu afu mnakoseya sana wasafi mana imekuwa nifasi ya michambo siyo fasi ya kazi zingine duuuu nishida sana

    • @user-dk8dr4kt7r
      @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน

      Tatizo la wasafi hawaajiri mtu na taluma, ,..ni ushikaji tuu na utakuja waponza.....

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@user-dk8dr4kt7r Nan kakwambia makaratas ndio yanafanya vzr watu wamesema lkn utendaj zero hyo dada mashauz meng hata kpnd kile anagombana na anty Ezekiel almpa za uso kwa kujifanya yy ndio yy

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 8 หลายเดือนก่อน

      @@faithmapondo7370 wambie

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 8 หลายเดือนก่อน

      Lkn umesikiliz mwanzo mpk mwisho!??

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 9 หลายเดือนก่อน +18

    Wafanyakaz wa wasafi mmezidi nyie kutwaaaa kuongelea wenzenu nyny mkiguswa tuu hamtaki. Yani hiyo redio imekua kituo cha mipasho na masengenyo

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 9 หลายเดือนก่อน +8

    Afu kingine Dida mwanamke nikuhongwa mana hata uwe nakazi yamana kama huhongwi huna uzuri wowote nandomana na wewe ndowa zako hazidumu ju unajivuniya kazo ya hapo wasafi ila inabidi uwe unajishusha mana kukaliya maisha ya wengine siyo powa kabisa

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 9 หลายเดือนก่อน +14

    Kituo kinatumika kama mahali pa kumaliza beef binafsi za watangazaji jamani.? Na management inaruhusu wafanyakazi wakitumie kituo kwa maugomvi yao binafsi 😮

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 9 หลายเดือนก่อน +1

      ajabu sana aise..aibu

    • @zahormohd
      @zahormohd 9 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu idriss nae dume bwege anamchochea dida azidi kupayuka

    • @user-un7yn3jk5f
      @user-un7yn3jk5f 9 หลายเดือนก่อน

      Acheni ujinga mbona mnaharibu wasafi hivyo

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 9 หลายเดือนก่อน +1

    D D i D A ......Dida pedeje wakike ❤❤❤❤❤❤❤❤❤jeshi letu ......jembeee

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 8 หลายเดือนก่อน +2

    Didaaa Big up nakupenda Sana sababu You are the strong women katika nchi hii achana na mzushi amechanganyikiwa

  • @user-fr6nz3zc3m
    @user-fr6nz3zc3m 9 หลายเดือนก่อน +19

    Makofi kwawanawake wote tuliojijengea nyumba zetu kwa nguvu zetu

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 5 หลายเดือนก่อน

    Respect kwa wanawake woooooote wapambanaji half kwa nn wanawake tuna roho za husda jamniii

  • @user-dk8dr4kt7r
    @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน +10

    Ulisikia wapi pedeshe akaajiriwa ?? Jaribuni kuwa professionals please..

    • @noelapeter6288
      @noelapeter6288 9 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 9 หลายเดือนก่อน

      Kakutana na dharau za mchaga 😂😂 wachaga kwa dharau hatujambo

    • @CatherineMkuu
      @CatherineMkuu 9 หลายเดือนก่อน

      Dah! Maana halisi ya utangazaji hawaijui.

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 9 หลายเดือนก่อน +9

    Dida hili jambo usingeongelea hapo studio inatakiwa mpaka saivi ulitakiwa uwe umetimuliwa kibarua

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 9 หลายเดือนก่อน +18

    Diamond hawa mwisho wa mwezi wanalipwa pesa kwa kazi hizi zakuongelea watu aisee.

    • @user-pt4ft7ow1s
      @user-pt4ft7ow1s 9 หลายเดือนก่อน

      Umeona my dear

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 8 หลายเดือนก่อน

      @@user-pt4ft7ow1s hana lipa wahuni

  • @boxdad
    @boxdad 9 หลายเดือนก่อน +12

    Kama hudangi siungetulia na mimumeo

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 9 หลายเดือนก่อน

      Ndoa ni rizk ikiisha imeisha hiyo

  • @fatmaOmmy
    @fatmaOmmy 9 หลายเดือนก่อน +8

    Didah ukiguswa2 unajidai unajua kuongea na kuchamba kumbe dawa imekuingia muache kuongelea mamb ya watu fanyeni yenu

    • @mariamdominic6222
      @mariamdominic6222 9 หลายเดือนก่อน

      Sanaa atulie shida Didah Mshamba sanaaaaaaaaaaa tena sana anajionaga kama yeye ndo kila kitu kiuhalisia kama na yeye angekuwa mzuri angeongwa 😂😂😂😂😂😂

  • @gaushehbshshehe3830
    @gaushehbshshehe3830 9 หลายเดือนก่อน +17

    Diamond fukuza hawa watu fake kwa jina watangazaji kwani hii studio ni kijiwe sielewi mbona sielewi

    • @user-dk8dr4kt7r
      @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣

    • @user-zx8pc5rb5r
      @user-zx8pc5rb5r 9 หลายเดือนก่อน

      Awafukuze wewe utachukuwa mshara weke

    • @user-zx8pc5rb5r
      @user-zx8pc5rb5r 9 หลายเดือนก่อน

      Kwani nilazima amjibu dida au angepigia simu kama dada

  • @user-hr4pb4xu3t
    @user-hr4pb4xu3t 9 หลายเดือนก่อน +14

    Fanyeni vipindi acheni usengeremaaa

    • @user-dk8dr4kt7r
      @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน

      Kituo kimekuwa kama kijiwee

    • @user-zx8pc5rb5r
      @user-zx8pc5rb5r 9 หลายเดือนก่อน

      Vipindi venyewe ndio hivyo tuvyonavipenda

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 5 หลายเดือนก่อน

    Akitimuliwa dida wasafi, basi na wasafi itakufa.

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 9 หลายเดือนก่อน +2

    Didah hukuwa hivi my dear! Juma anakufundisha mdomo! Halafu we sio level za Juma hebu acha kufata mkumbo! Ulikuwa kichwa sana! Mnatumia radio vibaya!

  • @infotechtz5837
    @infotechtz5837 9 หลายเดือนก่อน +8

    Hivi nyie wasafi watangazaji na producer wa hicho kipindi cha dida zeroooooo kabisa. Yaan air time yote dakika 16+ mmetumia kujitetea au kisa mpo media kama mlikua mnataka kujitetea na nyie si mgeingia insta mkamjibu. For real this is very very very unprofessional and disappointing kwa chombo kikubwa kama hiki na watangazaji wakubwa kama nyie
    We unahisi kumsema wolper on air umejisafisha au ndo umempa push ya jina lake na bihashara yake .
    Really disappointing and unprofessional as well.

    • @MzeeGumbo
      @MzeeGumbo 9 หลายเดือนก่อน +3

      Yaan hawa ndo wapuuzi kabisa

    • @MzeeGumbo
      @MzeeGumbo 9 หลายเดือนก่อน +4

      Walikaa na mtayarishaji wao wakaona nibora tukajibu on air ambako Tanzania nzima inatusikiliza. Sasa mi pia naona badala ya kumsema wolper ndo mmempandisha

    • @DodomaKwanza
      @DodomaKwanza 9 หลายเดือนก่อน +3

      Utumbo mkubwa

    • @MariamSuleiman-je5zs
      @MariamSuleiman-je5zs 9 หลายเดือนก่อน +2

      Fact

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni nyumba yake na mumewe tena baada ya kumzalia. Dida nakukubali sana.

  • @boxdad
    @boxdad 9 หลายเดือนก่อน +6

    Umepanic dida relax libibi ww

    • @SamirSaid-ip8nn
      @SamirSaid-ip8nn 9 หลายเดือนก่อน

      Dida fanya kz achana na mboo ya kichambana usijishushe

  • @lydiamsheri4095
    @lydiamsheri4095 9 หลายเดือนก่อน +10

    Fanya mambo yako Dida Achana nao

  • @vero57
    @vero57 9 หลายเดือนก่อน +17

    WANAWAKE SIJUI KWANINI HATUPENDANI, KWANZA ACHENI MAMBO YA MEDIA JAMANI KHAAA!!!!

    • @estherboniphace9695
      @estherboniphace9695 9 หลายเดือนก่อน

      Nikipindi cha kuchambana au, duuu tutaogopa hiii chanel

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 9 หลายเดือนก่อน

      Kamwambieni Jacklin Walper aache kuwafuatafuata wenzake wameteseka mpaka hapa walipo yeye kapewa tu. Inaumiza Sana kumtukana mtu kuwa hana chochote

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 9 หลายเดือนก่อน +28

    Protocol ya mtangazaji sio kunyonyoana kwenye radio kama kuna matatizo yenu sio kwenye radio au TH-cam tv.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 9 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa ndugu yangu.. Huyu mpuuzi kabisa huyu mama

    • @user-dk8dr4kt7r
      @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu mama kajisahau anadhani kituo ni cha kwake binafsi...Niko na mashaka na taaluma yake...

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 9 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅 Wacha wanyonyoane wajinga hao

  • @gaushehbshshehe3830
    @gaushehbshshehe3830 9 หลายเดือนก่อน +67

    Diamond fanya reform kwa studio fukuza washikaji

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 หลายเดือนก่อน +17

      Hawezi tokea mwanzo imekua ni radio ambayo ni so unprofessional ni kijiwe tu ndo maana leo bab levo nae mchambuzi wa mpira na siasa, ni chombo cha habari chakushangaza sana we uliona wapi mwanahabari analeta mambo binafsi kama ivyo

    • @CalisternongiHaule-vk6ch
      @CalisternongiHaule-vk6ch 9 หลายเดือนก่อน +7

      Jamani mpaka wanakera,kipindi cha mashamsham kimekuwa kama bongo fleva

    • @user-em3uf8wz6r
      @user-em3uf8wz6r 9 หลายเดือนก่อน +7

      Acheni kujudge mambo yasiyowahusu fanyeni kazi

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 9 หลายเดือนก่อน +5

      Acha amtandike za uso kamtafuta mwenyewe. Huyu Dida na Gig Money ni moto usiupulize.

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 9 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@fahadfaraj6474sasa kwani baba levo kuwa mtangazaji we inakuuma c unasomea tu

  • @abineryantonykilulu954
    @abineryantonykilulu954 9 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona povu wakati mwenzio kaongea kidogo tu
    Simama kwenye miiko ya uandishi usitumie kipindi kusutana watu

  • @josephmshana5833
    @josephmshana5833 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hahahaaa mbon nasie wasikilizaji tunagusishwa"au wasikilizaji hakusema kweli"by Dida

  • @OmarOmar-ob9tb
    @OmarOmar-ob9tb 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wngpy wanerudy baada y wolpa kuonyesh nyumb yke 😂😂😂

  • @user-sf5lk3qo4s
    @user-sf5lk3qo4s 9 หลายเดือนก่อน +7

    Dida honger mwanmke wa shoka

  • @djsebons1389
    @djsebons1389 9 หลายเดือนก่อน +6

    Dida nimekuzarau saana sikuwa najuwa kumbe wanawake wote pumba kasoro maman yangu umecepuka ume panic few sio wakujibizana kwenye radio umekauka saana kwelikweli umesirika eshima yako unaikata tu iviivi ju umecokoneka dah wanawakee koma

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 9 หลายเดือนก่อน +16

    I just congratulate dida...... don't back down keep on pushing your self

    • @user-dk8dr4kt7r
      @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน +3

      Even if you congratulate dida but remember media it's not for personal issues...they must be professionals...

    • @hellenmachibya2681
      @hellenmachibya2681 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ahsante my dida,,,,nakupendagaaa

    • @asyamgeni9819
      @asyamgeni9819 7 หลายเดือนก่อน +1

      For what wao si ndo wameanza anajitia kumsifia huku anamkoroga tena sasa yote hayo unaona utamwimbiaje ana stress still anamkejeli kumpa dili ndo iwe tabu

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 9 หลายเดือนก่อน +25

    Kujenga siyo matako kuwa kila mmoja awe nayo,daa didah mimi najenga mwa huu wa saba sijamaliza kujenga siyo mchezo,namuheshimu sana mwanamke yoyote mwenye kibanda chake japo cha udogo

    • @fatmas7338
      @fatmas7338 9 หลายเดือนก่อน +3

      Ndugu yangu miaka saba si afadhali mm nimeanza kujenfa tangu mwaka 2000 mpaka leo sijamaliza lkn alhamdulillah nipo kibandani kwangu

    • @njuka3515
      @njuka3515 9 หลายเดือนก่อน

      Asante

    • @user-nd8gg4ig7m
      @user-nd8gg4ig7m 9 หลายเดือนก่อน

      Asanteee

    • @seifmbembe95
      @seifmbembe95 9 หลายเดือนก่อน

      Mwanangu niseme kuna maadili ya utangazaji hapo katika maadili ya utangazaji umetoka sasa sisi tusio na radio tutaongelea wapi ? mwanangu huu ni ugomvi wa majumbani usitumie radio ambayo wewe unafanya kazi ndio ukafanya pakumsemea mwenzako na wewe dume Zima hovyo kabisa fuateni maadili ya utangazaji

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@fatmas7338😂😂😂daaa nacheka kwa furaha mama

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 9 หลายเดือนก่อน +7

    Dida acha mdomo..hakuna mtu malaya kama ww sema unachezewa tu..ww kila cku una bwana mpya..sasa kwa nyumba gani ile😂😂😂😂😂😂😂mtu mzima hovyooo

    • @asyamgeni9819
      @asyamgeni9819 7 หลายเดือนก่อน

      Leo anajitia ati anampa hongera wakati ile mwanzo alimkejeli

  • @emmnzey713
    @emmnzey713 9 หลายเดือนก่อน +18

    Walpa has a right to sue not Dida only but also the RADIO STATION itself

    • @strong8534
      @strong8534 9 หลายเดือนก่อน +3

      Do u think the court is a maize field where u can go in & out whenever you want 😅😅😅

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hhhhhhhhhhhhh

    • @jocelyneliaminarukundo3633
      @jocelyneliaminarukundo3633 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@strong8534😂😂😂😂😂

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 8 หลายเดือนก่อน

      Ms.Wolper is a public figure she must prove that the defendant/DIDA acted with actual malice in making the defamatory statement.

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-fr7jj1bo7yDefamatory statement? What is defamatory about being told the truth? C'mon!!!

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 9 หลายเดือนก่อน +3

    HUYU MAMA HAPA STUDIO ANAKARIBIA KUCHANGANYIKIWA..

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 9 หลายเดือนก่อน +2

    DIDA WANGU, MC WANGU KWA HARUSI YANGU NAKUPENDA ❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂JEMBE LANGU HILO HAPA

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 8 หลายเดือนก่อน +2

    Love Dida sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 6 หลายเดือนก่อน

    Dida ni mwanamke na nusu, she is a DIVA ( female version of a hussler) , i like her❤

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 7 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani narudia tena ivi huyu dida ni mzima kweli mbona anashoboka sana na watu au maisha ya watu au ashakuwa kichaa

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 7 หลายเดือนก่อน

    Hii redio dida unamuharibia sana Diamond huyu dada ni mswahilino

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 9 หลายเดือนก่อน +7

    Muache Dida kabisa 😂😂😂

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 9 หลายเดือนก่อน +17

    Hawa wanaitaji wote kubadilishwa maana awafai kabisaaaa. Walianza vizuri lkn siku hizi kimekuwa ni kipindi cha Umbea Kuchambana yaani Uchafu Wote Umo. Diamond angalia hili jambo Watatuulia Media yetu. Fukuza Wote plzzz.

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 9 หลายเดือนก่อน +4

    Walper kayakanyaga kwa dida😂

  • @najmahaliswa8813
    @najmahaliswa8813 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wallah Dada angu Dida umesema kweli mim binafs nina Kiwanja kinanizungusha akili.

  • @Tatu-rr9ms
    @Tatu-rr9ms 9 หลายเดือนก่อน +5

    Tuondeleeni makelele Kaz kumkalia mwenzenu uy dida yeanyamanze kutwa kuachika ilaunamnanga mwenzio

  • @esuvathmollel2475
    @esuvathmollel2475 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa Dida kwamodomo huo ungepata pedeshee yupi😅😅Bora tu ujipedeshee mwenyewe

  • @rehemasaid796
    @rehemasaid796 9 หลายเดือนก่อน +5

    Kwakweli siku ya yy JACK kuonyèsha hy nyumba ndo tutaamini. Ila alikosea kusema nyumba ya DIDA km ya walinzi!

    • @user-ik6si4zj4s
      @user-ik6si4zj4s 7 หลายเดือนก่อน

      Haya kaonyesha sasa 😅

  • @mwanjaaseif5229
    @mwanjaaseif5229 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie mmezidi sana kuongelea watu. Wolper yupo sahihi sana

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 9 หลายเดือนก่อน +6

    Tatzo dida sikuhzi kipndi chako kimekua cha Umbea na Ndo mana Haya yote yanatokea

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimewezaaaa Allhamdulillah kiuchochoroo changuuu

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 9 หลายเดือนก่อน +8

    Dida hakuzidi lolote uyo kidume jakiii hana weupe wowote kimekaaa kama dume 😢😢😢😢 ww mzuri dida ❤

    • @user-dk8dr4kt7r
      @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน

      Elewa hii sio instagram ni kituo cha habari...sasa unafaa uelewée hilo...

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 หลายเดือนก่อน

    Kumbe mnajifanya wa dini kumbe ata hamujui na maana ya maneno neno ishALLAH linamanisha MUNGU akipenda, nashangaa dida anasema ishALLAH amejenga manayake kasema MUNGU akipenda nimejenga vitu ambavyo ha viendani

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hii ni radio au ????

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 5 หลายเดือนก่อน

    IDRISA NAWW MCHOCHEZ SANA NA UMBEA😢😢

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e 9 หลายเดือนก่อน +10

    Kwani lazima muongee mambo yake? Hilo ndio tatizo worlper mzuri nitafauti na dida

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 9 หลายเดือนก่อน +1

      Yeye mwenyewe ndiye alilikoroga kwenye media, acha amtandike za uso huyo ni rafiki yake kamnanga kuwa hana kitu ni masikini.

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 9 หลายเดือนก่อน +2

    sasa kama china ulikuwa unakwenda kwa pesa yakoo na yeye hivo hivoo kudanga munadanga nyote musituchezee akili hakuna mdangaji anayesema anadanga labda masha love

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 8 หลายเดือนก่อน

    Jamaniiii. Anna WATOTO 3. SIO 2. WA KWANZA yuuuu wapiiii????

  • @user-sf5lk3qo4s
    @user-sf5lk3qo4s 9 หลายเดือนก่อน +2

    Amiin inshallah mung anisaidie

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 9 หลายเดือนก่อน +19

    Yaani hawa wanaharibu kituo, kazi ya chombo cha habari siyo hii

    • @angelambondelo2836
      @angelambondelo2836 9 หลายเดือนก่อน +1

      Sana iko kituo ni cha udaku na umbea

    • @user-dk8dr4kt7r
      @user-dk8dr4kt7r 9 หลายเดือนก่อน

      Wamebuma walah..

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 8 หลายเดือนก่อน

    safi sana Dida umetoa yamoyoni hawajijui hao wanajisahau malimbukeni wanatabu ktk mji huu mhhh mtihani wallah

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dida❤❤❤❤

  • @jacobmazengo6302
    @jacobmazengo6302 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mnaiharibu media hiyo,huwez Kuta ujinga huu efm au eatv uongoz mlitizame hilo,hayo cyo tunayotaka wasikilizaji

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo 8 หลายเดือนก่อน +1

    Babu idi uwapatanisheee usi chochoye moto baba idiii😢😢😢

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 9 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂dida kakutana na dharau za mchaga 😂😂

  • @LeticiaMussa-lt3fv
    @LeticiaMussa-lt3fv 8 หลายเดือนก่อน

    Asante dida namshukuru Mungu kwa hiki kibanda changu

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani dada D tumekuelewa😊

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hii redio ni ya KISENGE? Sasa mabishano yenu sisi wananchi tinaskiliza nini. Hili NI sawa na Danguro tu, pumbavu, Malofa, mafala.

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila9185 8 หลายเดือนก่อน

    Hvi hii Radio,ukisemana nje unakuja kutukania Redion,ndo misingi ya utangazaji kweli,Tcra tusaidieni

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jackline Walper mpumbavu. Wenzake wanapambana na maisha kivyaovyao yeye anahongwa anawadharau. Uzuri wake asiwasimange wenzake.

  • @righitkileo
    @righitkileo 8 หลายเดือนก่อน

    Hii redio kumbe si ya kuelemisha jamii.Kila sikukuchamba watu,hovyo sana.jaman achen kuwen wastaarab .Na Munqu akikupa shukuru matambo jayana maana.wenye vitu hawajiqambi.wako kimua

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi Mh.Diomond unaoje ukabidilisha kipindi walau au hata ukiweka vipindi vya Nasoni shule za msingi na sekondari,ukaviita Tution IN Tv and Radio hapo upigi hela😂😂

    • @abdallahmkodo
      @abdallahmkodo 9 หลายเดือนก่อน

      Vipindi vya shule vipo tbc iyo redio ya wasafi iyoniyabiashara vipindi vya shule utalipa garama zauendeshaji

  • @omaryguard5929
    @omaryguard5929 9 หลายเดือนก่อน +5

    Yaani Kati ya watu hawajitambui na kujierewa huwa nashindwaga kuskiliza hii midia kwaajili ya huyu changudoa na yule shoga

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 9 หลายเดือนก่อน +6

    Nyie wasafi ndo mnashindwa kuheshimu wasanii,hasa mashamsham

  • @athmanali
    @athmanali 9 หลายเดือนก่อน +15

    Ati ni Redio presenter and Yuko live alisomea wapi hii kazi kweli.,... Jamani Diamond acha kuajiri watu ambao hawakusoma ili uwalipe cheap labour

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 8 หลายเดือนก่อน

      Amesomea. Kosa nikuongea against someone through registered media. Angejirecord kivyake na kurusha kivyake.

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 8 หลายเดือนก่อน

      Hatariii...wanatufundisha kuchamba😢

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 8 หลายเดือนก่อน

      Hiyo radio ina wasomi wengi tu na hata huwaoni wakijishebedua. Sasa hao nai wapate rizki wanatakiwa wajifunze maadili though informal (si kwa utaratibu usio rasmi).

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 8 หลายเดือนก่อน

      Amesomea. Ni vile anaona akinyamaa ni kuwa ameshindwa.

  • @eliamfiyabo8599
    @eliamfiyabo8599 9 หลายเดือนก่อน +2

    Juma mnafiki Dida funguka

  • @user-dx3qc2lu5i
    @user-dx3qc2lu5i 9 หลายเดือนก่อน +2

    Wanawake sisi jaman daaah😢😢😢

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amin yarabi 😢

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu idirisa Ni shoga ata muoneka muoneka a angaria kanavyojin,gata😂😂😂😂,naona wote mashoga pamoja na lokore😅😅😂😂

  • @user-zx8pc5rb5r
    @user-zx8pc5rb5r 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kipindi ndo kinataka hivyo

  • @PriscaCassian-xd6dw
    @PriscaCassian-xd6dw 8 หลายเดือนก่อน

    Msitupigie makelele kujenga hamjaanzanyie acheni ushamba na ulimbukeni semeni mnachogombania ni nini? kama wivu chuki mziache kilamtu anapambana kivyake katika maisha kilamtu akitaja anacho miliki patakuwa hapatoshi msitumie hiyo wasafi kujisafisha wakati mnawakosea wenzenu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 9 หลายเดือนก่อน

    Ni mdangaji kwa dizaini ya kuolewa kila mwaka na mdomo wako ndo unaachika kila mwaka ,zungumzia maisha yako ciyo ya wengine kwa nini usiziseme sababu zinazokufanya kuachika kila mwaka?? BASATA HIKI KIPINDI NDO CHAKUFUNGIA HAKINA MAADILI YOYOTE

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 7 หลายเดือนก่อน

    Muongo dida kazi yako kukopa kwa watu hadi aibu sasa povu lote hilo la nini mpaka unapanic mnamuharibia Diamond dida hakuna mtu anashindana na wewe dida acha kutumia wcb media na huyo Diamond umemroga

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 8 หลายเดือนก่อน

    Unatumia redid hiyo vibaya huna lolote. Wewe una mdomo na mambo ya watu lakini huna kifua mtu akikusema nyooo

  • @reginardtibishubwamu1522
    @reginardtibishubwamu1522 9 หลายเดือนก่อน +12

    Hivi kweli mwisho wa mwezi mnalipwa kwa kazi za kuongelea watu jmn hii media ina mashoga tu

  • @mohamedmagongo9348
    @mohamedmagongo9348 8 หลายเดือนก่อน

    Inakuwaje unatumia chombo cha habari kumshambulia mtu ambaye una ugomvi naye, huku wewe wenyewe ni mfanyakazi wa hicho chombo cha habari. Sasa hapa Jackline Wolper akikushtaki wewe na chombo chako itakuwaje?

  • @stephennjamaras7987
    @stephennjamaras7987 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hii Radio Imekua Ya Hovyo Sana Watangazaji Wake Wanazingua Sasa Hii Ndio Nini

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 9 หลายเดือนก่อน +3

    Bila kusisitiza Dida ,Wolper ni mrembo kukuliko ila mwalingana mambo.

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 9 หลายเดือนก่อน

      Mrembo halafu hajajichubua kama dida unamkumbuka enzi zamambo hayo ni mweusi kama mkaaa

    • @abdulkaleemmbarak6670
      @abdulkaleemmbarak6670 9 หลายเดือนก่อน

      @@florencemeza6540😂

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw 7 หลายเดือนก่อน

    Binadam hawanaga shukran dida wangu huo ndio mwisho wa wema

  • @denismfumbulwa5586
    @denismfumbulwa5586 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mnatoa maana harisi ya uwana habari. Mnatuletea mambo yenu ya umalaya kwenye hii radio. Watu wengi wanasiliza....

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 9 หลายเดือนก่อน

      Aisee ni kweli na anajidai yeye msafi hajawahi hongwa,wanatoleana Siri za ndani walizokuwa wanaadisiana zamani

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 9 หลายเดือนก่อน +1

    Umemshangaa nini na mmemjadili viba ya hapo studio huyo juma inamhusu nini maisha ya wolpa nyi e niwa mmbea sana hiyo ndio dawa yenu mmezidi umbea hao wanaume nao pia wapo kama wewe dida acheni umbea

  • @user-kp9vj8kb4v
    @user-kp9vj8kb4v 7 หลายเดือนก่อน

    Dida umepata jibu la wolper ,mdomo mwingi wolper kakuchapa na vitendo

  • @FatumajumanneRamadhani
    @FatumajumanneRamadhani 8 หลายเดือนก่อน

    Dida hii ni dunia haya❤❤❤

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 8 หลายเดือนก่อน +1

    Acha umbea Idris we mwanaume acha ugombanishi

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 6 หลายเดือนก่อน

    Jaman wanawake wenye nyumba zetu mjini ebu muje mambo ukuu