Jamani nyie wanaume muwe na huruma acheni dhulma angalieni hata watoto mliozaa, yani hamuoni vibaya 😮na wanawake wenzangu kueni makini kwa kuzaa watoto wengi km mwanaume mkorofi, naamini kipigo cha mungu kitampiga tu huyo baba, mungu akupe nguvu na uwezo upambane na watoto wako
😢😢😢😢ah
Jamani nyie wanaume muwe na huruma acheni dhulma angalieni hata watoto mliozaa, yani hamuoni vibaya 😮na wanawake wenzangu kueni makini kwa kuzaa watoto wengi km mwanaume mkorofi, naamini kipigo cha mungu kitampiga tu huyo baba, mungu akupe nguvu na uwezo upambane na watoto wako
Mtangazaji unakili kamayangu yani dalili aliziona lakini akajipa upofu
Mungu atakulipa nae yatamkuta maliopo ni hapa dunian
kwa kweli sote tunasubiri hadithi ya maisha yako na tafadhali weka moyo wako ndani yake
Wakenya wanasema simu ipo mteja ndio hapatikani akijtena mpe
Unamaanisha nini?