Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.
kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote
Pole Sana bro
Huyu mwandishi nampenda sana
Anahoji kwa hekma sana
Kweli kz ya yk unaiweza👍👍
Tunajifunza hasa
yupo vizuri sana
Sanaaaaa adi raha ♥️♥️♥️
Mashaallah anastahili kua muandishi hongera kk
Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.
Asante sana kwa ushauri wako nazani utawasaidia watu wengi ushauri wako
labda bange Ila siyo heroen
Naomba namba yako ya simu nahitaj elimu Zaid katika hili
Apime damu kwanza
Jamani anakiri makosa
Anatakiwa asaidiwe sio kuhoji tuuu
hongereni madoctor kwa kz zuri
Anavyoelezea ugumu wa maisha mpaka inaskitisha wallah maisha magumu jamani
kuna story ya mkaka mmoja alikua anafanya kaz mochwari,alisema mwizi alipigwa wakajua amekufa bwana akafufuka..kumbe ndo uyu jaman🙌🏼🙌🏼
Maskin dah
Sawa tumewasikia na Polen sana ila sasa sisi kama wanafamilia wa Maximum Tv tunafanyaje ili kuwasaidia Hawa ndugu zetu ??
Maskini huyu kaka anaumwa hayuko sawa kabisa 😔😔
Ww mwenyewe unakunywa pombe uruka inaonyesha 😂🤣
Mdomo sasa huruma
@@aminakipande5645 hiyo ni mouth cancer kiss zinaambukiza na kuna hizi pombe kali pia husababisha
@@judithmelvinealuchio8968 ni cancer au makovu ya kuungua
Jamani huyu mkk asaidiwe jamani
Anatia huruma
Pole
Huyujamaa akiongea anakaamgonjwaalafu pia anaupungufuwa afraid damu
Wanatakiwa wasaidiwe sio kuwauliza tuuu
Kweli
Jesus Christ mtembelee huyu ndugu. Nairobi tupo
Inaoneka hanavidole maskini
S sahihi kabisa lakini hamkuweka no yake tukitaka kumsaidia chochote
Wacha na hizo sigara pia zote ni madhara makubwa sana
Kiukweli huyu mkaka anaakiri basi tu jamn ugumu wa maisha kweli kila jambo linasababu kbs Mungu amkumbuka tu.
Jaman maisha haya
Weken namba zao tuwasaidie
😢😢😢😢😢 daaa hadi inauma
YESU PEKEE TU NDO ALIYEFUFUKA KUTOKA KWENYE KIFO HAO WENGINE WALIPITIWA NA USINGIZI MZITO WATU WAKAJUA WAMEKUFA
🤣🤣🤣👍👍👍
nmecheka sanaa😂😂😂
kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu alizimia
Duuh maisha haya jamani hadi huruma
Sasa usharudi kwa Mola wako
pole
Mbona kama mteja uyoo avuti unga kwer uyoo mmm
Pole kaka
Dua pole kaka mapito hayo
Kaka yangu namuonea huruma
Mung mwema mochwar kabisa 🙄🙄🙄
Mungu anakuhitaji umtumikie sasa
Mungu akufanyie wepesi
Ipo siku mungu atakupa usikate tamaa mungu yuko na ww
Pole sana ndugu yangu
Nice
Pole sana
We ni Eric mtoto wa herieti chumila mdogo wa rucy na caro na mashana?? Nijibu moyo wangu upoe mana kama ni wewe nimekukea sana pale yombo 😊😊
Dah pole sana huyu atakuwa ana ukosefu wa vitamin ndio maana mdomo huko hivyo 🤲🤲
daaa inasikitisha Sanaa MH hi Dunia inachangamotoo pole Sanaa"
Pole
Subuhanallah polekaka
Uwache sasa kazi iyo
Umeamshwa ili utubu mwenyezi mungu kakupa muda ili utubu
Sema wanawake tuna huruma sana🙌
Kwann 🙄
🤣🤣🤣🙈
@@aminakipande5645 😅😅😅
😅😅😅😅
Hee
Auwahu akibaru mtihani mkubwa mungu atunusuru
Siyo Auwahu akibaru
bi hadija
Inaoneka hanavidole maskini
Huyo Kaka Ni mkorof sn! Anapita kkoo akiombaomba ukimwambia sina anakutukana matus makubwa mpaka unakimbia,mshesz sn huyo
Ni kweli
Kheee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bonde la Muhimbili Hilo Nimekaa sana hapo Maisha Usikie mpaka Sasa hivi nipo Dubai namshukuru sana Mwenyezi mungu zaidi ya Sana.
Pole na mm nipo Dubai tukuane kama hutajali
Dubai sehem gani upo