Sasa dada unaomba usaidiwe halafu unataka kufungua biashara ya duka la bei kubwa kiasi hicho duka la vifaa vya ujenzi bora uanze na biashara ya sokoni kuuza vitunguu,nyanya na mboga mboga utafanikiwa kusaidiwa na nyumba ya kupanga tafuta ya bei ndogo pia ili kwa baadae uweze kulipa kodi wew mwenyew
Hadithi ya maisha ya msichana ambaye anaishi katika uongo na usaliti kwa sababu anachofanya kinamuangamiza kwa sababu kazi yake halisi ni ukweli mwingine.
Conglaturation Caren for providing us with a very good show...keep it up please
Thank you so much, for your comment, I will🙏
Yaani upangiwe nyumba ya 250000😂
😢
kwel mama umepitia magum Sana Ila ndo Dunia ilivo
Wamam punguzen roho mbaya achen wajukuu wakae duuh mwanza watuy wamekaa kam mashetan
Akae hapo ili km wanamtoa waende serikali za mtaa baada ya hapo ataludi kuteseka nyumba za kupanga azifai
Mnyoshee Mungu mikono,na choxi la nguvu Mungu atamkalisha kiuno chini,atatambaa km nyoka.
Kweli kabisa😊
@@carenmihayo7991Mnamzungumzia mungu wakati ninyi nyote ni wasaliti na watu mliofanya mambo ya kutisha...na mnajua kabisa ninachokizungumza.
Cha msingi hapo usihame kamwe mpk wanao wajenge nyumba yao usihame hapo awezi toa wajukuu wake
Kweli kabisa
Sasa dada unaomba usaidiwe halafu unataka kufungua biashara ya duka la bei kubwa kiasi hicho duka la vifaa vya ujenzi bora uanze na biashara ya sokoni kuuza vitunguu,nyanya na mboga mboga utafanikiwa kusaidiwa na nyumba ya kupanga tafuta ya bei ndogo pia ili kwa baadae uweze kulipa kodi wew mwenyew
Ushauri mzuri asante sana
Wewe mm naona umelogwa unaama kwenda wapi banana nao mpka watoto wako wajitegemee ndio uondoke acha uoga wewe
Sote tuna mifupa chumbani kusimulia....sote tuna hadithi sawa?
Caten kwahiyo unataka kutuambia kitu kwani umependa comment yangu... au unataka nikusimulie kisa cha msichana?
Hadithi ya maisha ya msichana ambaye anaishi katika uongo na usaliti kwa sababu anachofanya kinamuangamiza kwa sababu kazi yake halisi ni ukweli mwingine.