Mhe. Spika kila muda unavyo enda ndivyo anavyo shuka weledi wake wa kusimamia mwenendo wa Bunge. Yaelekea amekuwa mtetezi wa Serikali zaidi kuliko jukumu lake Kuu la kuishauri na kuisimamia Serikali (kwa niaba ya Wananchi). Hoja ya Mbunge kuhusu chai kama isinge rejelewa, Serikali ingeendelea kukaa kimya licha ya agizo walipewa mwanzoni mwa vikao vya Bunge hili linaloendelea. Hata hivyo, majibu ya Serikali ni mepesi sana na Spika kayaridhia!!
Bashe kashindwa kazi. Hajaleta majibu ya tuhuma za Mpina. Mpina ndiyo kawa mushitakiwa. Ushahidi wote wa duka la mobile kupewa tenda la ku import sukari ya mabilioni limezimwa. Hili bunge limekuwa ni la kutetea ufisadi na sio watanzania. Wabunge wanapiga makofi tu bila ya kujali. Hapa bungeni hakuna kitu cha kuwasaidia watanzania. Bashe kashindwa kazi
Kuna hoja ya Mh. Mpina wabunge wamepuuzia na ndio hasa hoja kuu. Mpina hakupinga uagizaji wa sukari, hoja yake kiwango kilichoagizwa kilizidi mahitaji ( gap sugar). Kiwango kilichoagizwa hakijawahi kutokea na haikuidhinishwa na technical team. Na utoaji wa vibali ulikuwa na harufu ya rushwa. Narejea kauli ya Lisu kila kilo ya sukari wajanja walijipatia shs 300. Kibali ya tani 30,000 kilitozwa bilioni 9. Bunge lilitakiwa niangalie kiasi cha sukari kiliendana na mahitaji kwa wakati ule na makampuni yaliyopewa vibali yangewekwa wazi. Hapa kuna harufu ya ufisadi, na wahusika ni wengi. Iko siku tutasikia ukweli.
Bashe nae ni kama Mwigulu tu,nimesha mstukia huyu nae,anatengeneza maongezi ya hekima ya kuigiza kama Mwigulu na kumbe nyuma ya pazia kuna mashaka makubwa ya utendaji na uwajibikaji dhidi ya hiki anacho kisimamia
Na kwamba spika huwa hana rekodi ya hoja ambazo hazijapata majibu ya serikali kwa kipindi husika? Nini maana ya mwenyekiti/spika/kiongozi wa kikao kama hajui yatokanayo na maazimio ya vikao vyake? Uchawa bungeni kwa manufaa ya nani? Sukari dsm sh.2,600 kagera na nadhani kigoma sh.3,200! Hili nalo spika walisemeaje, au unayo maslahi pale wananchi wanapokosa kunywa chai asb kwa sbb ya bei ya sukari kuelemea bajeti ya siku? Hapo hujataja maharagwe sh.3,600-4,000/-. Mungu anawaona, midomo ya watu haitawaacha salama😢
solute kwa mpina,wabunge wa ccm wote wapiga pesa za walala hoi, hamna mtetezi wa wanyonge. namshangaa sana huyu speaker anayejiita speaker wa mabunge ya wazungu anashindwaje kushugulikia hoja za mbunge ambaye anawakilisha kero za wananchi, pia nawashangaa wabunge kama msukuma na wengine.
@mohamedelmi7435 Asante Sana nashukuru. Tusi hilo umemrudishia Mamako. Duuuhhh Wewe unaona wivu kwa usenge tu !!! Pooolleee sana sababu namuonea huruma mamako. Pole zake Mungu atampa mtoto mwema badala yako.
Mohamed enterprise ni pasua kichwa. Alinunua mali nyingi toka serikalini lakini hakuna alichofanya kuendeleza. Hakuwa na nia ya kuendeleza isipokuwa ilimsaidia kupata mikopo kuendeleza biashara zingine. Amekuwa sio mtu sahihi kumkabidhi mali za umma. Na hapa natoa wito kwa reli trc msimpe uendeshaji wa reli atahujumu. Tunaona pia uwekezaji simba hauna uwazi ni maneno tu.
Kwanza mwigulu na speker muliamua kutumaliza wa Tanzania hamna uzalendo hata kidogo na nchi hii😡, bashe nilikukubali sana ulianza vizuri lakini nikama umeshalambishwa asali umeanza kuturuka ki petero tunakuchekitu muhesh🤔
Hapo hakuna kitu ni story tu na kutafuna kodi zetu mna panga mambo hewa manake hatuoni mabadiliko hukunje kilakitu bei juu tozo zimezid na bado mnazidi kuongeza ilituzidi kuwa masikin mtutawale mnavyotaka hamuna uzalendo na wananchi kabisa mmekaa hapo kutumaliza na hiyo katiba ya wazungu ikosiku tutakuja huko bungeni ndio mutajua nchi niyetu sote wa Tanzania tunawatizama tu 😠
Tangu lini mwanamke akaongoza basi tuu watanzania nimataira.ingekuwa kenya walivyouza tuu bandari yeye na samia wake wangeondoka hata hivyo tanganyika uoga umezidi
Ivi wabunge mbona kila atakaeruhusiwa kutoa hoja huwa anajikunjia sana kwenye kipaza sauti yaani (mike, ,) hamuoni kuwa baada ya miaka 10 mtakuwa na vibiongo wote hapo bungeni??
@@adelinelyaruu3036 Hakika!, Imebaki historia. Kulikuwa na mamlaka ya pamba, mamlaka ya kahawa, mamlaka ya tumbaku. Hizi ziliwasaidia wakulima kupata pembejeo na masoko, vyote vimeuawa. Masoko ya mazao haya ni wabunge na viongozi wakuu wa Chama. Halafu waziri anakuja na majibu mepesi!
Nqtaman hatar Leon rais amtoe bashe maana hatumwelewi kabisaaa lakin mpina ndo tunamwelewa sababu anatuelewesha kwa ushaidi kwann bashe nayey asiweke ushaidi kwahy mpina ili tujue mkwel yupi
Mhe. Spika kila muda unavyo enda ndivyo anavyo shuka weledi wake wa kusimamia mwenendo wa Bunge. Yaelekea amekuwa mtetezi wa Serikali zaidi kuliko jukumu lake Kuu la kuishauri na kuisimamia Serikali (kwa niaba ya Wananchi). Hoja ya Mbunge kuhusu chai kama isinge rejelewa, Serikali ingeendelea kukaa kimya licha ya agizo walipewa mwanzoni mwa vikao vya Bunge hili linaloendelea. Hata hivyo, majibu ya Serikali ni mepesi sana na Spika kayaridhia!!
Tena spika akiendelea namnahiyo 2025 atakuwa mbunge wakuteuliwa
Speaker wa bunge lA hovyo
Huyu Tulia hana uwezo wa kiti alichokalia kabisa is beter apishe
Hakuna spika hapa mwili kama muhogo
Hahahaha
Ila jmn khaa umenichekesha sana
Umeona eee vijinga sana hivi vimama vimeuza bandari zetu zoote
Sukari ni bei sana mahindi bei mdogo alafu mnamwambia mpina mwonngo mungu anwaona saw
Wacha chai ife Tuta Agiza Tuta toa Vibali Vya kuagiza Majani ya chai Braziri Hakuna ahida
Unaposema impliment kwan unafkilia kila mtz anajuwa kingereza?,ongea kiswahili usichanganye kungereza
Ongea point, kiingereza waulize wanaokifahamu
Hivi Bashe Hussein hawezi KUONGEA KISWAHILI?
KISWANGLISH.
@@festokemibala5832nyoko mlete mamako atafasili ulitupeleka shule watumwa walugha we now english than you
@@festokemibala5832mlete mamako atafasili ulitupeleka shule watumwa walugha we now know english than you
Bashe kashindwa kazi. Hajaleta majibu ya tuhuma za Mpina. Mpina ndiyo kawa mushitakiwa. Ushahidi wote wa duka la mobile kupewa tenda la ku import sukari ya mabilioni limezimwa. Hili bunge limekuwa ni la kutetea ufisadi na sio watanzania. Wabunge wanapiga makofi tu bila ya kujali. Hapa bungeni hakuna kitu cha kuwasaidia watanzania. Bashe kashindwa kazi
Kwel kabisaa yaan ni wizi mtupu
Ujanja ujanja mtupu.
Yanatokea kwa jirani zetu wakenya ipo siku watanzania wataamua.
Kweli
Kuna hoja ya Mh. Mpina wabunge wamepuuzia na ndio hasa hoja kuu. Mpina hakupinga uagizaji wa sukari, hoja yake kiwango kilichoagizwa kilizidi mahitaji ( gap sugar). Kiwango kilichoagizwa hakijawahi kutokea na haikuidhinishwa na technical team. Na utoaji wa vibali ulikuwa na harufu ya rushwa. Narejea kauli ya Lisu kila kilo ya sukari wajanja walijipatia shs 300. Kibali ya tani 30,000 kilitozwa bilioni 9. Bunge lilitakiwa niangalie kiasi cha sukari kiliendana na mahitaji kwa wakati ule na makampuni yaliyopewa vibali yangewekwa wazi. Hapa kuna harufu ya ufisadi, na wahusika ni wengi. Iko siku tutasikia ukweli.
Kiswahili ndio sawa wabunge wetu kiingereza marekani siyo tanzania
Hili bunge iko cku wa tz watachoka kama wakenya.
Wewe watz huwezi walinganisha na Kenya broo wale ni educated sisi nivilaza tuu hatuwezi jilinganisha nao hata kidogo
Bashe nae ni kama Mwigulu tu,nimesha mstukia huyu nae,anatengeneza maongezi ya hekima ya kuigiza kama Mwigulu na kumbe nyuma ya pazia kuna mashaka makubwa ya utendaji na uwajibikaji dhidi ya hiki anacho kisimamia
Bashe na sipika wote wezi wanalindana hawafai
Na kwamba spika huwa hana rekodi ya hoja ambazo hazijapata majibu ya serikali kwa kipindi husika? Nini maana ya mwenyekiti/spika/kiongozi wa kikao kama hajui yatokanayo na maazimio ya vikao vyake? Uchawa bungeni kwa manufaa ya nani?
Sukari dsm sh.2,600 kagera na nadhani kigoma sh.3,200!
Hili nalo spika walisemeaje, au unayo maslahi pale wananchi wanapokosa kunywa chai asb kwa sbb ya bei ya sukari kuelemea bajeti ya siku? Hapo hujataja maharagwe sh.3,600-4,000/-.
Mungu anawaona, midomo ya watu haitawaacha salama😢
solute kwa mpina,wabunge wa ccm wote wapiga pesa za walala hoi, hamna mtetezi wa wanyonge.
namshangaa sana huyu speaker anayejiita speaker wa mabunge ya wazungu anashindwaje kushugulikia hoja za mbunge ambaye anawakilisha kero za wananchi, pia nawashangaa wabunge kama msukuma na wengine.
Wezi watupu HAKUNA MUWEKEZAJI HAPO… mnalindana- mhindi na msomali UHUJUMU MTUPU 😂
Kwel kabisaa
@mohamedelmi7435 unafirwaa na nguruwe ww kimala mamaako mtoto wa haram
@mohamedelmi7435 Asante Sana nashukuru. Tusi hilo umemrudishia Mamako. Duuuhhh Wewe unaona wivu kwa usenge tu !!! Pooolleee sana sababu namuonea huruma mamako. Pole zake Mungu atampa mtoto mwema badala yako.
@mohamedelmi7435 kisha Jina Mohammed Ddduuuhhh 🤣
Tatizo hawa viongozi ndo wamegawana biashara zote za nchi hii hawa matajiri ni bosheni tu.
Wizara hii ya kilimo angepewa mzalendo kama POLEPOLE. Bashe sio mżąlendo anadanganya watanzania. Mugeni hajifichi.
Mtakutana
Mohamed enterprise ni pasua kichwa. Alinunua mali nyingi toka serikalini lakini hakuna alichofanya kuendeleza. Hakuwa na nia ya kuendeleza isipokuwa ilimsaidia kupata mikopo kuendeleza biashara zingine. Amekuwa sio mtu sahihi kumkabidhi mali za umma. Na hapa natoa wito kwa reli trc msimpe uendeshaji wa reli atahujumu. Tunaona pia uwekezaji simba hauna uwazi ni maneno tu.
Ndo maana alipotezwa muda fulani. Siyo potential mwekezaji bali opportunist na in no time atakuja kivingine kusaidia uongozi kuingia madarakani!
Serikali itawafidia vipi hao wakulima? Mhd ana umuhimu gani kuliko wananchi na familia zao?
Kwanza mwigulu na speker muliamua kutumaliza wa Tanzania hamna uzalendo hata kidogo na nchi hii😡, bashe nilikukubali sana ulianza vizuri lakini nikama umeshalambishwa asali umeanza kuturuka ki petero tunakuchekitu muhesh🤔
Hapo hakuna kitu ni story tu na kutafuna kodi zetu mna panga mambo hewa manake hatuoni mabadiliko hukunje kilakitu bei juu tozo zimezid na bado mnazidi kuongeza ilituzidi kuwa masikin mtutawale mnavyotaka hamuna uzalendo na wananchi kabisa mmekaa hapo kutumaliza na hiyo katiba ya wazungu ikosiku tutakuja huko bungeni ndio mutajua nchi niyetu sote wa Tanzania tunawatizama tu 😠
Mbunge upo vizuri unawapigania wananchi wako sio makamba ameshawishi wakulima wafunge kiwanda nasasahivi amewakimbia nahaongelei kuhusu hilolakiwanda champonde
Tangu lini mwanamke akaongoza basi tuu watanzania nimataira.ingekuwa kenya walivyouza tuu bandari yeye na samia wake wangeondoka hata hivyo tanganyika uoga umezidi
Kazi ipo
WABUNGE NA SPIKA WAO WOTE NI MATAAHIRA MPINA NDIE ANAEJITAMBUA!
Tumepigwa sana mh
kosa la bashe kwenye sukari ni lipi?
Ovyoooooo
Mimi ,bashe simchukulii kama mwenzetu.Jamani au amesahau kuchana?
Ameshiba
Kwel kabisa
Huyu waziri 😢
Wanajadili siku ngapi😮😮
Spika kazi umeshidwa…
Watanzania tuna asira sanaaa ngojen
Ivi wabunge mbona kila atakaeruhusiwa kutoa hoja huwa anajikunjia sana kwenye kipaza sauti yaani (mike, ,) hamuoni kuwa baada ya miaka 10 mtakuwa na vibiongo wote hapo bungeni??
ni ili kukifikia aongee asikike maana kipo chini sana
SASA mlimfungia Mpina Kwa Nini???
Anatetea raia
La kuvunda halina ubani! "hatutakubali sekta hii ife..."! Kwani ni sekta gani nyingine mmekubali ife, ni kahawa, katani, pamba au tmbaku?
Viwanda vya Baba wa Taifa
@@adelinelyaruu3036 Hakika!, Imebaki historia. Kulikuwa na mamlaka ya pamba, mamlaka ya kahawa, mamlaka ya tumbaku. Hizi ziliwasaidia wakulima kupata pembejeo na masoko, vyote vimeuawa. Masoko ya mazao haya ni wabunge na viongozi wakuu wa Chama. Halafu waziri anakuja na majibu mepesi!
Big brain Bashe.uishi maisha marefu Bashe.
Nqtaman hatar Leon rais amtoe bashe maana hatumwelewi kabisaaa lakin mpina ndo tunamwelewa sababu anatuelewesha kwa ushaidi kwann bashe nayey asiweke ushaidi kwahy mpina ili tujue mkwel yupi