MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 375

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223
    @zephreinsuleimanpriciselyu5223 5 หลายเดือนก่อน +11

    Mpina ni mbunge wangu
    Wa jimbo la kisesa,
    Hongera sana
    Saizi ushakuwa jembe
    Usiogope tuko nyuma yako❤❤

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi ปีที่แล้ว +9

    Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 11 หลายเดือนก่อน +13

    Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.

  • @Luhende1
    @Luhende1 ปีที่แล้ว +15

    Hongera Mhe Mpina,
    Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia!
    Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako

    • @gagalinodenatrick1652
      @gagalinodenatrick1652 6 หลายเดือนก่อน

      Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki Mh Mpina.

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dr Tulia is one of best speaker in this country big up madam ur right mauwa yako chukua una umakini ulio pitiliza mpina yupo right tulia yupo right ila hao wengine wame rukia gar kwa mbele na kukosa umakini hasa huyu jenista kwanza ana poteza mda😂😂😂😂😂

  • @GeraldRamogi
    @GeraldRamogi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Spika wetu nakupenda Sana asa unapotoa maelekezo nimempenda upivyomjibu jenista muagama huyu kazi yake ni kuwazuia wabunge kusema!!! Hongera mh spika wetu!!!

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 ปีที่แล้ว +12

    Wabunge wanafanya utoto😢😢😢

  • @SillinusNyanda
    @SillinusNyanda 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Mbunge Mpina.Tunahitaji kuwa wakweli na wawazi sio makofi tu.Haileti maana yoyote.Hatutajenga Taifa hili kwa style hiyo

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 7 หลายเดือนก่อน +4

    Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka
    Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako

  • @mokeya
    @mokeya 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv .
    Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi

  • @danielmkulat1598
    @danielmkulat1598 ปีที่แล้ว +4

    Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina

  • @JosephLukumaiLukumai
    @JosephLukumaiLukumai 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki

    • @Msafirimzigwa
      @Msafirimzigwa 3 หลายเดือนก่อน

      Mim ninaiman kunawabunge awajielewi na awajui majukum yao

  • @MasanyiwaDeus
    @MasanyiwaDeus 5 หลายเดือนก่อน

    Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....

  • @DealDeskPro
    @DealDeskPro ปีที่แล้ว +1

    Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa

    • @magesagambajr3546
      @magesagambajr3546 7 หลายเดือนก่อน

      Speaker,of course she's bright leader

  • @emmanuelkahangamabula6527
    @emmanuelkahangamabula6527 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera Luhaga lakini Msemakweli kwa tanzania yetu huwa hadumu angalia majambazi wezi watakuuwa

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 3 หลายเดือนก่อน

    Professional speaker i love you my dear good day you stand with Tanzanias citizen

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 4 หลายเดือนก่อน +2

    Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.

  • @Yohanarhobi
    @Yohanarhobi 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera mhe mpina kusimamia ukweli ni bora kuliko makofi mengi!

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 10 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo

  • @Trys6254
    @Trys6254 ปีที่แล้ว +5

    spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 ปีที่แล้ว +5

    Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 ปีที่แล้ว

      Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 10 หลายเดือนก่อน +3

    Jenista Umepuyanga kipumbavu mno

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 ปีที่แล้ว +6

    Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 10 หลายเดือนก่อน

      Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 11 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 ปีที่แล้ว +3

    Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera ndugu mbunge Mpina

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu aipe Tanzania viongozi wakuwatetea watanzania. Kwa woga tulio nawo viongozi wengi hawafanyi Kazi zawo kwa faida ya watanzania, bali kutetea nafasi zawo na kujishibisha wenyewe. Wabunge walizko bungeni kwa kutetea haki za watanzania kimya. Hawana hata AIBU kupiga męża kumpinga Mpina mutetezi wa watanzania. Hawa jeśli tuwaite vyula viziwi.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi kwanini? Mpange kununua tugoma twangozi hamoni kwamba wengine wanaiga kupiga ngoma

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 10 หลายเดือนก่อน

    Asante mbunge kutusemea wafugaji

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana spika makini .

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 11 หลายเดือนก่อน +1

      Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 ปีที่แล้ว +1

    Safi mpina

  • @maxtz1089
    @maxtz1089 23 วันที่ผ่านมา +1

    Jenista anatetemeka jamani
    damu za watanzania ni zito

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 หลายเดือนก่อน

    Mnalindana kisa vyeo mpeni lukusa mpina mpina hongera mungu akulinde

  • @laurentmichael8124
    @laurentmichael8124 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tulia ni kiongozi bora sana

  • @AllyMohammedi-u1o
    @AllyMohammedi-u1o 8 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 7 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana muheshiwa spika

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana sipika kuto kuwa na upande

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 7 หลายเดือนก่อน

    HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania tuna wabunge wawili tu mpina na kishimba tu

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera spika nakufutilia kwa karibu sana hebu wamuache mpinaachngie jamani

  • @andrew29468
    @andrew29468 11 หลายเดือนก่อน

    Safi sanaaa spikaa
    Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie

  • @martinmukude8258
    @martinmukude8258 11 หลายเดือนก่อน +1

    APO UMEWAFAFANULIA VIZURI AO MACHAWA

  • @williamnyakasi2323
    @williamnyakasi2323 3 หลายเดือนก่อน

    Inasikitisha sana

  • @MwalimuD
    @MwalimuD 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Madam Speaker

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 2 หลายเดือนก่อน

    Shida sana Hawa,hiko ndo walichokiona,hapa mbona rahisi tu,kama rrais kakataza kwa cheo chake alichonacho,na kitu hiko bado kinafanyika basi raisi karuhusu,

  • @Dominaevance
    @Dominaevance ปีที่แล้ว +1

    Very Sad Kwa Upande Wa Wabunge Busara Nikumuqcha Mbunge Achangie Hoja Yake hata kama haikufurahishi Wewe na Finally Serikali ndo inaambiwa na inatakiwa kujibu Wabunge nao wanamfanyia fujo Mbunge mwenzao, Hongera Mpina Tuko pamoja

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina yupo sahihi kabisa

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 3 หลายเดือนก่อน

    SAFI MPINAAAA

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo

  • @MogelaSaileni
    @MogelaSaileni 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ilindio tatizo lawabinge uchwara yanimbunge mwenzao anachangia vituvinavyo wakwaza wananchi wanampinga kwavituvyaukweli hawandio wabunge tunao wategemeakweli sibola hatatusiwe lawabinge kamahawa

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926 3 หลายเดือนก่อน

    Ni mmoja ya mbuge ambaye wananchi wake wanajivunia kuwa na mbunge imara na mtulivu hongera saana damu ya kisukuma kwa utumishi mzur

  • @emmanuelkahangamabula6527
    @emmanuelkahangamabula6527 22 วันที่ผ่านมา

    Hii na Tanganyika iliyojaaa viongozi njaa wabunge wanatumiwa wanatumika

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 2 หลายเดือนก่อน

    Bunge la Tanzania ni kama la kitoto. Makofi ya muda mrefu ni ukosefu wa Hekima na Busara.

  • @timothalex3249
    @timothalex3249 ปีที่แล้ว +2

    Spika anaakili sana

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 ปีที่แล้ว +1

    Mpina hoyeee

  • @barbimeley5569
    @barbimeley5569 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani mpeni aendelee

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 7 หลายเดือนก่อน

    Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.

  • @EmmanuelMagadula-f1y
    @EmmanuelMagadula-f1y 2 หลายเดือนก่อน

    Hamjitambui , mpina oyeee

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao

  • @imanuelmalya1511
    @imanuelmalya1511 3 หลายเดือนก่อน

    Mpina anasema uchungu wa watanzania.

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 หลายเดือนก่อน

    Spika uko vizuri

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni4964 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz ปีที่แล้ว +2

    Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?

  • @SmithJamesMalumalu-gj9sn
    @SmithJamesMalumalu-gj9sn 20 วันที่ผ่านมา

    😮Mpina kawa Mwiba kwa ccm yao wenyewe!!

  • @NwakaMwangajapho-p3h
    @NwakaMwangajapho-p3h หลายเดือนก่อน

    wew mama unamtea waziri afwatirii ndio oja ya mpina umepewa nafasi nyingine yakuongea bado unaongea utombo

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna

  • @JaphetNdele
    @JaphetNdele 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wananchi wa Jimbo analotoka mpina 2025 mpeni maua yake

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 3 หลายเดือนก่อน

    Hii tabia ya wabunge kulindana bungeni ni mbaya sana, hampendi kusikia ukweli, wanaoumia ni wananchi nyinyi wabunge mnakula kodi zetu halafu mnashindwa kuwa wazalendo kweli 😡😡😡

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 2 หลายเดือนก่อน

    Mhe spika umetisha ,maelezo yako ya mashiko makubwa

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or หลายเดือนก่อน

    Naona wizuu mm mwenzenu natamani mpina angekuwa mbunge wangu

  • @Msafirimzigwa
    @Msafirimzigwa 3 หลายเดือนก่อน

    Ninaiman kuwa kuna wabunge awajielewi na awajitambui,

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama waziri mkuu anatoa maagizo arafu hayatekerezeki na yeye nimmoja wao Kwenye tatizo ndomana ndomana hayatekelezeki🎉

  • @EzekielMpemba
    @EzekielMpemba 4 หลายเดือนก่อน

    Mpina Yuko sahihi kuwa maelekezo ya waziri mkuu hayafuatwi na mtoa maelekezo kanyamaza

  • @deusjoseph8554
    @deusjoseph8554 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wabunge wetu nimabogas wanakuja kwenye majimbo yetu tunapaswa kuwa pig mawe hawana akili kaz kupiga makof hyo niakil

  • @MzeeMkoloni
    @MzeeMkoloni 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani nchi hii ni shida hilo ndo Bunge letu

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche9953 7 หลายเดือนก่อน

    Acheni mpina achangie ukweli wa kauli ya mpina spika ameishaifafanuwa vzr...

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo majuha yanapiga makofi hata kuchangia hayachangii .

  • @JofreySanga-lu8pn
    @JofreySanga-lu8pn 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo kweli panabunge kwa makofi bila utaratibu

  • @MussaHuyya
    @MussaHuyya 7 หลายเดือนก่อน

    CCM ni jana la nchi yaani anayesema ukweli wabunge hawatakuwa upande wake ni genge la wahuni hawafai kuendelea kuiongoza nchi hii yanashangilia kinafiki

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 3 หลายเดือนก่อน

    Mpina..unapingania..haki..ya..wanyonge .lakini..wengi..wenu..mnatunyoga..kona..mpina.kila.siku..wafugaji..wataifishwa..mfugo..yao..na..kubaki..masikini.😭😅😭😭🙏

  • @JohnVenance-b1n
    @JohnVenance-b1n 3 หลายเดือนก่อน

    Ukweli wabunge hawana heshima kumdhalilisha mubunge anapo toa hotuba spika binafsi naomba ukemee tabia hii

  • @mahirimahiri2643
    @mahirimahiri2643 11 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni atutetee tuliopembezoni mwa mbuga.

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 11 หลายเดือนก่อน +1

    Waheshimiwa Wabunge Wetu , Anachorenga Mbunge , Hoja Ya Mpina Ni Ukweli Watendaji Walioko Huku Wamejikita Kwenye Utaratibu Wao , Hata Aridhi kunavitu Haviko Sawa Mpina Anacholengo Waziri Mkuu Amri Yake Watendeji Wanapuuza , Wanachofanya Wabunge Ni mambo Ya Hovyo Kwa Viongozi Tunaamini Unakinzana Kwa Fujo kumzuia Mtu Kuwakilisha Wanannchi

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 ปีที่แล้ว +1

    Watu wanalindana tu.Uchaguzi ujao hakuna kuwachagua Hawa machawa

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 5 หลายเดือนก่อน

    SAWA KABISA MAMA. WATOA TAARIFA NI KOMBI.

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee

  • @charles-lc4pp
    @charles-lc4pp 3 หลายเดือนก่อน

    hivi wabunge mwisholini kuachia ubunge naomba kuwenakikomo kunawabunge wamekaa mudasana bungeni

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed 5 หลายเดือนก่อน

    Mm

  • @tumainimapesa6870
    @tumainimapesa6870 ปีที่แล้ว +1

    Hao ni wabunge wa serekali sio wa wananchi

  • @IbrahimMmalugu-gw8jl
    @IbrahimMmalugu-gw8jl หลายเดือนก่อน

    Wewe mama hizo ng'ombe huuzwa kihalali!

  • @JOSHUAJeremiah-y2m
    @JOSHUAJeremiah-y2m 7 หลายเดือนก่อน

    Spika tulia maua yako 🎉 unajua mpina si mwamini sana lakini spika umetenda haki safi sana hongera

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 ปีที่แล้ว

    Kikubwa kinacho takiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya viongozi wa juu Maagizo Yana tolewa Mhe waziri wetu Mkuu. Haya tekelezwi.

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 5 หลายเดือนก่อน

    Anachosema Mpina ni kwamba maagizo ya waziri mkuu hayatekelezwi

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 ปีที่แล้ว +2

    Chawaaaaa wengiiii mmmmmmmmnoooooooo

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 3 หลายเดือนก่อน

    Swala ni utekelezaji kwa vitendo sio kutosimamia utekelezaji