MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mpina ni mbunge wangu
Wa jimbo la kisesa,
Hongera sana
Saizi ushakuwa jembe
Usiogope tuko nyuma yako❤❤
Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana
Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.
Hongera Mhe Mpina,
Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia!
Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!
Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako
Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki
Mungu akubariki Mh Mpina.
Dr Tulia is one of best speaker in this country big up madam ur right mauwa yako chukua una umakini ulio pitiliza mpina yupo right tulia yupo right ila hao wengine wame rukia gar kwa mbele na kukosa umakini hasa huyu jenista kwanza ana poteza mda😂😂😂😂😂
Spika wetu nakupenda Sana asa unapotoa maelekezo nimempenda upivyomjibu jenista muagama huyu kazi yake ni kuwazuia wabunge kusema!!! Hongera mh spika wetu!!!
Wabunge wanafanya utoto😢😢😢
Hongera sana Mbunge Mpina.Tunahitaji kuwa wakweli na wawazi sio makofi tu.Haileti maana yoyote.Hatutajenga Taifa hili kwa style hiyo
Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka
Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako
Mpn Doo mmbunge peke yake
Yaani kama huyu
Anaejiita Jenister ni hovyoo kabisa
Mpina excellent
Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv .
Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi
Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina
Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki
Mim ninaiman kunawabunge awajielewi na awajui majukum yao
Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all
Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....
Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa
Speaker,of course she's bright leader
Hongera Luhaga lakini Msemakweli kwa tanzania yetu huwa hadumu angalia majambazi wezi watakuuwa
Professional speaker i love you my dear good day you stand with Tanzanias citizen
Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.
Hongera mhe mpina kusimamia ukweli ni bora kuliko makofi mengi!
Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo
spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana
Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.
Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo
Jenista Umepuyanga kipumbavu mno
Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono
Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana
Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi
Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.
Hongera ndugu mbunge Mpina
Mungu aipe Tanzania viongozi wakuwatetea watanzania. Kwa woga tulio nawo viongozi wengi hawafanyi Kazi zawo kwa faida ya watanzania, bali kutetea nafasi zawo na kujishibisha wenyewe. Wabunge walizko bungeni kwa kutetea haki za watanzania kimya. Hawana hata AIBU kupiga męża kumpinga Mpina mutetezi wa watanzania. Hawa jeśli tuwaite vyula viziwi.
Hivi kwanini? Mpange kununua tugoma twangozi hamoni kwamba wengine wanaiga kupiga ngoma
😂😂😂😂😂
Asante mbunge kutusemea wafugaji
Safi sana spika makini .
Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?
Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii
Safi mpina
Jenista anatetemeka jamani
damu za watanzania ni zito
Mnalindana kisa vyeo mpeni lukusa mpina mpina hongera mungu akulinde
Tulia ni kiongozi bora sana
Sana!
Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana
Ahsante sana muheshiwa spika
Asante sana sipika kuto kuwa na upande
HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.
Kabisa kaka
Tanzania tuna wabunge wawili tu mpina na kishimba tu
dr Msukuma na Gwajima umewaweka wapi?
Hongera spika nakufutilia kwa karibu sana hebu wamuache mpinaachngie jamani
Safi sanaaa spikaa
Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie
APO UMEWAFAFANULIA VIZURI AO MACHAWA
Inasikitisha sana
Asante sana Madam Speaker
Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.
Shida sana Hawa,hiko ndo walichokiona,hapa mbona rahisi tu,kama rrais kakataza kwa cheo chake alichonacho,na kitu hiko bado kinafanyika basi raisi karuhusu,
Very Sad Kwa Upande Wa Wabunge Busara Nikumuqcha Mbunge Achangie Hoja Yake hata kama haikufurahishi Wewe na Finally Serikali ndo inaambiwa na inatakiwa kujibu Wabunge nao wanamfanyia fujo Mbunge mwenzao, Hongera Mpina Tuko pamoja
Mpina yupo sahihi kabisa
SAFI MPINAAAA
Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo
Ilindio tatizo lawabinge uchwara yanimbunge mwenzao anachangia vituvinavyo wakwaza wananchi wanampinga kwavituvyaukweli hawandio wabunge tunao wategemeakweli sibola hatatusiwe lawabinge kamahawa
Ni mmoja ya mbuge ambaye wananchi wake wanajivunia kuwa na mbunge imara na mtulivu hongera saana damu ya kisukuma kwa utumishi mzur
Hii na Tanganyika iliyojaaa viongozi njaa wabunge wanatumiwa wanatumika
Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.
Bunge la Tanzania ni kama la kitoto. Makofi ya muda mrefu ni ukosefu wa Hekima na Busara.
Spika anaakili sana
Mpina hoyeee
Jamani mpeni aendelee
Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.
Hamjitambui , mpina oyeee
Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao
Mpina anasema uchungu wa watanzania.
Spika uko vizuri
Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi
Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?
😮Mpina kawa Mwiba kwa ccm yao wenyewe!!
wew mama unamtea waziri afwatirii ndio oja ya mpina umepewa nafasi nyingine yakuongea bado unaongea utombo
Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna
Wananchi wa Jimbo analotoka mpina 2025 mpeni maua yake
Hii tabia ya wabunge kulindana bungeni ni mbaya sana, hampendi kusikia ukweli, wanaoumia ni wananchi nyinyi wabunge mnakula kodi zetu halafu mnashindwa kuwa wazalendo kweli 😡😡😡
Mhe spika umetisha ,maelezo yako ya mashiko makubwa
Naona wizuu mm mwenzenu natamani mpina angekuwa mbunge wangu
Ninaiman kuwa kuna wabunge awajielewi na awajitambui,
Sasa kama waziri mkuu anatoa maagizo arafu hayatekerezeki na yeye nimmoja wao Kwenye tatizo ndomana ndomana hayatekelezeki🎉
Mpina Yuko sahihi kuwa maelekezo ya waziri mkuu hayafuatwi na mtoa maelekezo kanyamaza
Wabunge wetu nimabogas wanakuja kwenye majimbo yetu tunapaswa kuwa pig mawe hawana akili kaz kupiga makof hyo niakil
Yaani nchi hii ni shida hilo ndo Bunge letu
Acheni mpina achangie ukweli wa kauli ya mpina spika ameishaifafanuwa vzr...
Hayo majuha yanapiga makofi hata kuchangia hayachangii .
Hapo kweli panabunge kwa makofi bila utaratibu
CCM ni jana la nchi yaani anayesema ukweli wabunge hawatakuwa upande wake ni genge la wahuni hawafai kuendelea kuiongoza nchi hii yanashangilia kinafiki
Mpina..unapingania..haki..ya..wanyonge .lakini..wengi..wenu..mnatunyoga..kona..mpina.kila.siku..wafugaji..wataifishwa..mfugo..yao..na..kubaki..masikini.😭😅😭😭🙏
Ukweli wabunge hawana heshima kumdhalilisha mubunge anapo toa hotuba spika binafsi naomba ukemee tabia hii
Acheni atutetee tuliopembezoni mwa mbuga.
Waheshimiwa Wabunge Wetu , Anachorenga Mbunge , Hoja Ya Mpina Ni Ukweli Watendaji Walioko Huku Wamejikita Kwenye Utaratibu Wao , Hata Aridhi kunavitu Haviko Sawa Mpina Anacholengo Waziri Mkuu Amri Yake Watendeji Wanapuuza , Wanachofanya Wabunge Ni mambo Ya Hovyo Kwa Viongozi Tunaamini Unakinzana Kwa Fujo kumzuia Mtu Kuwakilisha Wanannchi
Watu wanalindana tu.Uchaguzi ujao hakuna kuwachagua Hawa machawa
SAWA KABISA MAMA. WATOA TAARIFA NI KOMBI.
Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee
hivi wabunge mwisholini kuachia ubunge naomba kuwenakikomo kunawabunge wamekaa mudasana bungeni
Mm
Hao ni wabunge wa serekali sio wa wananchi
Wewe mama hizo ng'ombe huuzwa kihalali!
Spika tulia maua yako 🎉 unajua mpina si mwamini sana lakini spika umetenda haki safi sana hongera
Kikubwa kinacho takiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya viongozi wa juu Maagizo Yana tolewa Mhe waziri wetu Mkuu. Haya tekelezwi.
Anachosema Mpina ni kwamba maagizo ya waziri mkuu hayatekelezwi
Chawaaaaa wengiiii mmmmmmmmnoooooooo
Swala ni utekelezaji kwa vitendo sio kutosimamia utekelezaji