ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

MANENO YA CHAMA BAADA YA KUPEWA JEZI NAMBA 17 NA FARIDI MUSA |

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 369

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 หลายเดือนก่อน +6

    Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      Amen🙏🙏

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 หลายเดือนก่อน +19

    Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 หลายเดือนก่อน +11

    Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa2896 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu ,watunze wasipate majeraha
    Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza.
    Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu
    Aminaa

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 หลายเดือนก่อน +9

    Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 หลายเดือนก่อน +14

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja หลายเดือนก่อน +4

    Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove หลายเดือนก่อน +41

    Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu

  • @octavianluambano9081
    @octavianluambano9081 หลายเดือนก่อน +15

    Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 หลายเดือนก่อน +4

    Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 หลายเดือนก่อน +45

    Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 หลายเดือนก่อน +37

    Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍

    • @ShakiraMasoud-ox5tj
      @ShakiraMasoud-ox5tj หลายเดือนก่อน +1

      Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 หลายเดือนก่อน

      ​@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 หลายเดือนก่อน +4

    Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 หลายเดือนก่อน +21

    Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 หลายเดือนก่อน +17

    Farid much respect wananchi tunakupenda ❤

  • @gwantualexis4064
    @gwantualexis4064 หลายเดือนก่อน +7

    Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃‍♀️‍➡️..😅😅

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @HadiaMohammed-ec2dn
      @HadiaMohammed-ec2dn หลายเดือนก่อน

      Hahaha kama sio yy

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb หลายเดือนก่อน +1

      Hapo anawaza mchakato wa kujipambania kwenye kupata nafas na kuzitumia vzur... Maana nayy Sasa kazini kwake Kuna kaz

  • @yussufshaaban1013
    @yussufshaaban1013 หลายเดือนก่อน +2

    Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj หลายเดือนก่อน +41

    Farid ni mtu wa mungu sana

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 หลายเดือนก่อน +6

    Faridi is incredible player. Well done

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan7298 หลายเดือนก่อน +35

    Ahsante farid mussa malick

  • @jumambwambo
    @jumambwambo หลายเดือนก่อน +7

    Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 หลายเดือนก่อน +1

    Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih

  • @user-bm2wo7hh3b
    @user-bm2wo7hh3b หลายเดือนก่อน +5

    Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤
    LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 หลายเดือนก่อน +6

    Narudia tena kusema
    MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz หลายเดือนก่อน +2

    Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...

  • @JusminSaid-zi6id
    @JusminSaid-zi6id หลายเดือนก่อน +2

    Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o หลายเดือนก่อน +4

    Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions

  • @BonifasMjuni-zi1wg
    @BonifasMjuni-zi1wg หลายเดือนก่อน +8

    Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb หลายเดือนก่อน

      Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali..
      Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm หลายเดือนก่อน +69

    Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns

    • @user-eh5il7pw2f
      @user-eh5il7pw2f หลายเดือนก่อน +8

      Kazi iendelee

    • @yusuphally6420
      @yusuphally6420 หลายเดือนก่อน +8

      Ushindi uendelee furaha idumu na makombe yaendeleea

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j หลายเดือนก่อน +5

      Makombe yaongezeke😅😅

    • @firdawsrammy9992
      @firdawsrammy9992 หลายเดือนก่อน +3

      Daima mbele nyuma mwiko

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t หลายเดือนก่อน +3

      Ubingwa uendelee

  • @Official83640
    @Official83640 หลายเดือนก่อน

    Kumbe Kiswahili kinapanda vizuri maa'shaallah 💚💛💚💛

  • @FredyPeter-rn2il
    @FredyPeter-rn2il หลายเดือนก่อน +10

    Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f หลายเดือนก่อน +27

    Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu

    • @francepaul7711
      @francepaul7711 หลายเดือนก่อน

      Ila watu 😂😂😂

    • @mrsabdul-mz8hh
      @mrsabdul-mz8hh หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂Akh nacheka zangu tuu mie😅😅

    • @elikanakuhanda7559
      @elikanakuhanda7559 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน +6

    Respect kwako Farid Mussa

  • @user-he1om2lu1f
    @user-he1om2lu1f หลายเดือนก่อน +3

    Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.

  • @LuckyAden-cd7wo
    @LuckyAden-cd7wo 23 วันที่ผ่านมา

    Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 หลายเดือนก่อน +11

    Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂

    • @kimrudiger4454
      @kimrudiger4454 หลายเดือนก่อน +3

      Mke wa mtu huyo yupo kazini🤣

    • @Encky3v
      @Encky3v หลายเดือนก่อน +2

      Oi😂😂😂😂🙌

    • @bethmahela2182
      @bethmahela2182 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

    • @geralddeus1434
      @geralddeus1434 หลายเดือนก่อน

      Mmmh balaaa😂

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy หลายเดือนก่อน +9

    Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana

    • @ezekiaomary7927
      @ezekiaomary7927 หลายเดือนก่อน

      kwan unajua analipwa shingapi

  • @amidoibraimo6021
    @amidoibraimo6021 หลายเดือนก่อน

    Ongera Faridy kwa uweledi ulionae big up sana

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 หลายเดือนก่อน

    Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana

  • @raymondkisinga4374
    @raymondkisinga4374 หลายเดือนก่อน +12

    Big Up Farid Musa👏👏

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 หลายเดือนก่อน +5

    Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 หลายเดือนก่อน +6

    Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉

  • @_kidayyo
    @_kidayyo หลายเดือนก่อน +6

    Faridi hanaga baya🔥🔥🔥👏

  • @SüddyThíägø
    @SüddyThíägø หลายเดือนก่อน +7

    Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 หลายเดือนก่อน +18

    Asante kaka Farid Musa

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 หลายเดือนก่อน +3

    Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha

  • @steamtvtz
    @steamtvtz หลายเดือนก่อน +5

    Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u หลายเดือนก่อน

    Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛

  • @user-pn1cb1lw4l
    @user-pn1cb1lw4l หลายเดือนก่อน +6

    Kubali sana faridi musa

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko หลายเดือนก่อน +7

    Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc หลายเดือนก่อน +5

    Naipenda sana yanga

  • @Shadia544
    @Shadia544 หลายเดือนก่อน +10

    Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 หลายเดือนก่อน +2

    Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏

  • @RamsoPedro
    @RamsoPedro หลายเดือนก่อน +10

    Yanga bwana mko Vizuri

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki farid musa malick for the love

  • @CosmasCosam
    @CosmasCosam หลายเดือนก่อน

    Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew

  • @Ba63828
    @Ba63828 หลายเดือนก่อน +2

    Twatotela baiche for playing for WANANCHI

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q หลายเดือนก่อน +8

    Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote

  • @ErastoAmosy
    @ErastoAmosy หลายเดือนก่อน

    Umetisha farid bigp saana

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu หลายเดือนก่อน

    Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      We huogopi?

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d หลายเดือนก่อน

    Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee

  • @CalvinMbaraka
    @CalvinMbaraka หลายเดือนก่อน

    So wise Farid much respect

  • @RazakciAbdulRazakciAbdul
    @RazakciAbdulRazakciAbdul หลายเดือนก่อน

    Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba

  • @VanesaKeneth
    @VanesaKeneth 28 วันที่ผ่านมา

    Farid mungu akutangulie muungwana sana

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 หลายเดือนก่อน

    Hapo wanapngelea simba jike shirikisho

  • @malietamaliet
    @malietamaliet หลายเดือนก่อน +9

    😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz หลายเดือนก่อน +1

      😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan หลายเดือนก่อน

      Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet หลายเดือนก่อน

      @@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      @@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.

  • @pascaljonathan6865
    @pascaljonathan6865 หลายเดือนก่อน

    Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 หลายเดือนก่อน +9

    Mshery anategea😂😂

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 หลายเดือนก่อน +6

    Chama mbona kama amepania sana 😅😅

    • @sewandomkuchu9267
      @sewandomkuchu9267 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha,,,,,Mpira ni umri kaka!!

    • @mosesjacksonkarashani2642
      @mosesjacksonkarashani2642 หลายเดือนก่อน

      @@jumakapilima7295 Tusubiri tuone kama ni kweli. Kuna wazee wa kazi.

  • @fikcountry5547
    @fikcountry5547 หลายเดือนก่อน

    Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕

  • @tintin0019
    @tintin0019 หลายเดือนก่อน +8

    OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA

    • @paulnzilo7252
      @paulnzilo7252 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 meno aina gani huchangia kupata injury?

  • @LimseyMassawe
    @LimseyMassawe หลายเดือนก่อน +5

    Mmemuona diara

    • @user-kd9tc4tl5f
      @user-kd9tc4tl5f หลายเดือนก่อน

      Mazoezini hayupo ila Airport walikuwa watatu Aucho musonda na Diara

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 หลายเดือนก่อน

    Eeeh Mungu iepushe timu yetu dhidi ya kashfa na watu wote wenye roho mbaya dhidi yetu... eh Mungu ilinde timu yetu na viongozi wake, wape mafanikio na busara na nguvu na hekima za kukiendesha club yetu ya yanga. Amen.

  • @shabaniiddi510
    @shabaniiddi510 หลายเดือนก่อน

    Farid unajua sana mdogo angu sema endelea kukaza utafika mbali sana na kukubali kinoma

  • @HamisKibungulu
    @HamisKibungulu หลายเดือนก่อน +1

    Big up faridi ndo uhungwana huo

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 หลายเดือนก่อน +1

    Big up kwa Farid Musa ❤

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 หลายเดือนก่อน

    Uo ndio upendo wa timu faridi alicho kifanya Kwa chama ni kitu Cha maana sana MUNGU akubariki faridi Kwa upendo wako

  • @user-hg8jj3xk6c
    @user-hg8jj3xk6c หลายเดือนก่อน

    Farid big up sana kaka

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz หลายเดือนก่อน

    Farid ur man full of love to the fellow player

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 หลายเดือนก่อน

    be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 หลายเดือนก่อน +3

    Uta ng'aa sana msimu ujao, 12 ni namba ya baraka

  • @fredanthony740
    @fredanthony740 หลายเดือนก่อน

    Respect sana Farid mussa

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 หลายเดือนก่อน

    Hiyo Avic Town Nizaidi Yahuko Walikoenda Hao Jirani Zetu Kuzurura.

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 หลายเดือนก่อน +4

    Big up farid mussa

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉 naombeni tu mfocus na mambo yenu msijekutolewa mchezoni kwa figisu zozote zile

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 หลายเดือนก่อน

    Eeehee km alivyotamani Aucho wamekutana kucheza pamoja.

  • @ChachaWambura-ol2lq
    @ChachaWambura-ol2lq หลายเดือนก่อน +1

    Hapo sawa kama kapewa jezi yake kazi ipo

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f หลายเดือนก่อน

    Farid hongela San kk hapo umefanya vizul san

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 หลายเดือนก่อน

    NATAKA kuona combination ya Aucho, Mkude, Chama na Pacoume

  • @abouybaramia534
    @abouybaramia534 หลายเดือนก่อน

    Lile shangaz aisee waun wanafanyishwa nalo mazoez

  • @mkombozimella8436
    @mkombozimella8436 หลายเดือนก่อน

    Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

    Mtu wa maana kabisa Farid Musa, mzidi kudumu katika hilo pendo wachezaji wetu.

  • @ellymtz6886
    @ellymtz6886 หลายเดือนก่อน

    Safi sana faridi Musa..🙏🏻

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 หลายเดือนก่อน +1

    Ewaaaah..wamekwisha sasa😂

  • @user-yn6wf7qq7s
    @user-yn6wf7qq7s หลายเดือนก่อน

    💚💚💚Kwako faridiiiiii

  • @BeckaJunior
    @BeckaJunior หลายเดือนก่อน +1

    Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅