ALI KAMWE NA AHMED ALYY USO KWA USO UTACHEKA/ MPANGO KAZI WAO UPO HIVI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ม.ค. 2024
- ALI Kamwe Ofisa Habari wa Yanga na Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari ndani ya Simba uso kwa uso walikuwa na tambo zao kila mmoja kwa namna yake katika kuibua mabosi wapya wajao.
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa
Huo ubora kwenye mashindano gani?
Kwenye ndondo huko
Ndio mafanikio yenu😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@masoudmwakoba2757
Nawakubali sana hawa jamaa sio yule manara matusi mengi na kelele mingi
Huu ndo utani unaotakiwa wa simba na yanga, nje ya mpira urafiki uwepo,kila la heri Ally na Ahmed
Mimi pia Ally Kamwe na Ahmed Ally nimewapenda bure. Kuna kitu cha kujifunza hapo. BRAVO!!! Upendo na udugu
Mungu aendelee kuwapa moyo wa kupendana hivyo hivyo , wanasoka wote hasa watani wa jadi tunapaswa kujifunza kitu hapa, ahsante sana mbali na kuchangia kukuza vipaji mmetoa somo pia, ahsanteni sana.
AHMED ALLYNA ALLY KAMWE MMENIFURAHISHA SANA NIMEWAPENDA SANA. UKWELI MNAPENDANA SANA. SAFI SAAAANA. HAO WANAOWACHONGANISHA WAACHE HY TABIA NYIENI MARAFIKI SANA. MNAFAA SANA KWENYE TIMU ZETU ZA MPIRA. ASANTENI SANA VIJANA
Classic
Hawa jamaa wanajuana vizuri sanaa nje ya mpira
Tecno kweli aisee
Simba na yanga ni wapinzani ila so kama awapatani maji yanayotoka mto msimbazi ndo yanayojaza jangwani
Nawapenda sana hawa
Nawapenda San Viongaz wa mchezo ongera San na mungu awape nguvu
Nimeipenda sanaa hiiii imeenda kweli hakuna uaduii
Mpira ni amani furaha na upendo sio uhadui ,,,safi Sana vijana
Nyie vijana mna mambo lkn vizuri sana vijana wa mateam makubwa Tanzania
Nawapendaaaa
WAPO WATU HAMSALIMIANI SABABU YA MPIRA😂😂, HALAFU WANAO UPAMBA MPIRA NDO HAOOO WANAENDA MADUKANI PAMOJA KAMA UNAVYOONA NDUGU MTANZANIA. 😂😂😂 #mpira ni utani usiweke kwenye damu utakutesa😂😂
Kabisa yaani😂
Wako vzur sanaaa
Napenda mkiwa hivyo
Hapo kweli mmechangia lakini sio kwakuupenda hiyo tecno
Ahmed Ally & Ally Kamwe,...nawapenda sn,Mimi Simba damu....huu ndio Utanzania,tutaniane tunavyoweza but udugu wetu ubaki pale pale,Kuna nyakati nilikuwa naumia sana, sisi mtaani Simba na Yanga tunapendana na pia ni ndugu,...lkini Kuna jmaa yule msemaji feki WA Yanga a.k.a Man......r HUYU kiumbe alitaka kupanda mbegu ngumu sn ktk TAIFA letu,...lkini ameshindwa.
Tanzania ni Amani na Upendo
Usimhukumu mtu...kwani hakuwahi kusema baya alivokua kwenu???!! Ninyi mna roho za vinyongo na visasi...mtu anenda anapoona pana mfaa usilazimishe mambo!! Hata wachezaji wanahama kutokana na maslahi ni mjinga tu ndo atabakia na ushabiki wa kutojiongeza😏
Inapendeza sana jaman muwe vivi hivi siku zote
Aahhhhhh hamed we
Ameeeen
safiii
Nimewakuli maafisa abli yanga na simba❤
Dah utadhan sio wao wakiwa kwenye issue serious za timu zao, sio yule babu matusi ndio kipaumbele chake 😅
Hawa jamaa tofauti na mpira wanajuanna
Ahmed Aly kashinda
Huwezi nunua simu kubwa kama hiyo kwa ngojera kama za ahmed ally za mpaka kadi toa hela nimeipenda😂😂😂😂
👍👍👍
Moja merekwa kutoka zanka jamani amekuwaje
Ni wapi apo
Mlikua wapi miaka yote? Mmeufanya utani wa jadi uwe wa amani sana.Nawakubali
Hawa jamaa inabid wawe Tim moja
Hapana mpira hauta noga hivyohivyo ndio safi
io laki4 na 20 ni pro au
Inapendeza sana
Mkovizuri wasemaji wetu
Kuwa shule sio kujua English ahmed jaman
Nyinyi asaa muna ubumbavu 😂😂😂
Ahmed Aly haache tabia za kunyanyua vidole juu mtoto wa kiume
Babu edi na babu ali 😅😅😅😅😅
Natoa ya kufananaaa na wee we we
Hawa jamaa bwana wanafurahisha sana😂😂
Yan apo Ahmed Ally asha salenda Kwa Ally Kamwe!! Mpole huyoooo😂😂😂😂 lakin ally acha mateso yako kwa ahmed
Acha utoto tangazo hili wewe
Ndio unabust vpaj au kuftengenza
Wewe ni Kuma
Utanzania ndiohuu sijelas
Classic
500000 nahitaj
😅😅😅😅😅
😂😂😂 kisipiker vs miwani 😂😂kizazi jeuri
Si mchezo
Hawa jamaa wanajuana
kumbuka wamefanya kazi wote azam media
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii combination ni noumer
Hawa jamaa wanaelewana sasa, cc tunauana bure
Classic
Me ndo mana sa hivi,sitaki kuumia na mpira Wala kumchukia msemaji yoyote😅😅😅,tunaumbuka sie mashabiki
Hahahahahah Et Unaandika Kwa Kulemba San Aisahihishwi
😂😂😂
Yan bongo kwel mipango ziroo
Tuoneshe uwo wako uliosoma😢