Kila la kheri lakini nawakumbusha2 wachezaji wangu mkiwa safarini kama hivyo jitahidi sana kuwa mnatumia mda mwingi sana mnaomba dua mwenyezimungu awafakishe salama.
Niitakie kila la kheri INSHAALLAH timu yetu pendwa young Africans (Yanga) mfke salama salmini na INSHAALLAH MUNGU awalinde na awasimamie kwa kila jambo na atujaalie ushindi mnono kwa kila mchezo yaaa Rabbal aaalamin Birahamatika yaaa Arhamma raaahiminn 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
young Africans is the best team in Africa, there is no example, it is a very happy team for all the players, they enjoy life very much, that's why every player wants to play, young Africans is a threat team in Africa
Ninachokionabkwenye hili chama langu la yanga.kila idara ina Watu mahili Sana. Kiukweli hawa idara ya matangazo NI nyoko.videos na picha zao na jinsi wanavyoripoti matukio NI amazing. Nawakubali sanaaaa. YANGA MBELE DAIMA NA NYUMA MWIKO.
Safari njema allah awe nanyi kila mlifanyalo tupo nyuma enu kwa dua daima mbele nyuma mwiko 💚💛🇹🇿
Kila la kheri lakini nawakumbusha2 wachezaji wangu mkiwa safarini kama hivyo jitahidi sana kuwa mnatumia mda mwingi sana mnaomba dua mwenyezimungu awafakishe salama.
Inshaallah
INSHAALLAH BIRAHAMATIKA YAAA ARHAMMA RAAAHIMINN 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Naam
Mungu awatangulie wananchi ngoja niongezee kipaji nami nije niwasapoti
Kama unamini yanga itakuwa timu tishio Africa tujuane kwa like🎉
Kama unaamini Yanga hii itakuwa tishio Africa nzima gonga like chap tufahamiane.
Kabixa mzee baba 🙌 🙏
kbsa
Lakini Kuna IHEFU msisahau😅
Yang Kwa mwak huu ni tishio 🙏🙏🙏
Tena ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 wa kuotea mbali msimu huu wajipange sana
Mungu ibariki young Africans forever
Dah Yaaan yanga ni big up sana
Safi.sana.chamaletu.molaawafikishe.salama.kwa.mzee.madiba.
Niitakie kila la kheri INSHAALLAH timu yetu pendwa young Africans (Yanga) mfke salama salmini na INSHAALLAH MUNGU awalinde na awasimamie kwa kila jambo na atujaalie ushindi mnono kwa kila mchezo yaaa Rabbal aaalamin Birahamatika yaaa Arhamma raaahiminn 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Musonda na Aucho wanaenjoy sana
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 💚💛💚💚💚👏
Natokea mkoa wa songwe niawatakie wote wachezaji wangu safari njema mungu awalinde.
Nawaombea baraka tele mungu atupe furaha daima
waoooh mmenikumbusha mwaka 2019 wakat na mie niko ndan ya chombo nikielekea huko huko SOUTH AFRICA..KILA LA KHERI KWENU
Chama unafurahi kweli umefika mahali sahihi na mungu akubariki katika jina la YESU kristo Amen
Kama Umemsikia DICKSON JOB Akisema "MBONA WATAKOMA PALE KATI" Na Cleotus Chota CHAMA Akifurahishwa Na Hilo Gonga Like Hapa!!
Mwenyezi mungu awabariki katika safari yenu
That's my team bravooo 💚🖤💚
TIMU YANGU. PENDWA. MUNGU AKULINDENI NAMFIKE SWALAMA 💚💛💚💛💚🇴🇲🇴🇲🇴🇲 FROM OMAN
Mungu awasimamie muende Salama na mrudi Salama pia mkafanye vizuri huko kwa timu zote mtakazo chezanazo InshaAllah mrudi na UBINGWA
Tunaenda kuanzia pale tulipoishia,...
All the best my team
Dawa ya msimu inaandaliwa 💚💚💚💚
Kila laheri chama langu mungu awatangulie❤
Naombeni ndugu zangu msikilize huu Wimbo wa mzee magoma
th-cam.com/video/u3_W_tELZ3s/w-d-xo.htmlsi=xbNCNKG4dqejSYGn
Yani yanga wangepost ata Giza ningeangalia💛💛💛💚💚
😂😂😂😂
@@paulmushi2428kheeee😅😅😅
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimeipenda hio
😂😂😂😂😂
Asante.mungu.kweri.yanga.tamu.wape.saramu
young Africans is the best team in Africa, there is no example, it is a very happy team for all the players, they enjoy life very much, that's why every player wants to play, young Africans is a threat team in Africa
Mungu awatangulie wanajeshi wetu
Mungu awafanyie wepesi katika michezo mnayoenda kucheza amiin 🙏
Daah aucho na mosonda dam dam yani 🔰🔰🔰🔰
Yanga hii ni tatizo jipya la Africa ❤
The club above all 🔰
Mungu awatangulie na awasimamie
Ninachokionabkwenye hili chama langu la yanga.kila idara ina Watu mahili Sana. Kiukweli hawa idara ya matangazo NI nyoko.videos na picha zao na jinsi wanavyoripoti matukio NI amazing. Nawakubali sanaaaa.
YANGA MBELE DAIMA NA NYUMA MWIKO.
Niwatakien safari njema wanangu wa yanga naipenda sana timu yangu ya yanga
yanga bingwa 💚
Mashindan mema💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚🧡💚🧡💚👍👍👍👍🙏🙏🙏
Alf linatokea lizee uko limeshiba mbege Linasema nyoko nyoko dedeq zak
Sio mbege tu ,naona hadi gongo imo mle
YOUNG AFRICANS ni Bayern leverkusen watupu
Tupo vizuri
Timu yangu Bora nawapenda sana
Yanga 2pen rahaaa mashabik wen jmn daaah❤❤❤🎉🎉🎉
Tunaimani na timu yetu ipo vzr kila idara ✍️
Kila la kheri Chama langu
atari sanaa tunawatakia safari njema
Mungu awape nguvu,tunawaombea kaanze na hao tuwe na mwanzo mzr
Mungu awatangurie timu yenye uwepo mkubwa tanzania
Mwenyezi Mungu atulinde
Yanga kuwa bingwa haiepukiki kama kifo2
Niwatakieni safari njema Allah awajaalie mafanikio ktk kila hatua inshaallah ❤❤❤
Hadi raha jamani💚💚💛💛
Shekan dogo anafurahi kuewa na yanga
Tuwaombeeee wafikee salaam
Kama unaamini mwaka huu yanga itakuwa tishio African gonga like chapu
Ila jmn kwahyo Cha Ni mwananchi kweli 💛💛💚💛💚
Saw mnaenda south ndo babu kaju na farid mcheze drafti
I'm very happy 😁😁😁 good my team
Mungu ibariki yanga ibariki Tanzania
💚💚💚💚💚💛💛💛💛
Uhakika Kwa yanga da Africa
Ndani ya pipa
💚💛🔰
Safi sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Kwaiyo hapo goma likitunguliwa tumepoteza wachezaji wote😅😅😅
Mungu awalinde wananchi safarini
Timu hii ndo tumpe mzee magoma labda tumpe ile y wanawake
Allah awatangulie wapambanaji wetu
Magoma mwehu sana
Angani kwa kwenda mbere makoro bastuu mpaka matako kuota uperee😂😂😂😂
Aucho na musonda wanaenjoy tu
daa aise mmenikumbusha mwaka 2023 safali ya Qatari full kuinjoy
Aucho na musonda ni ndugu😂😂😂😂😂
💚💚💚💚💚💚
💚
Hatari sana
Yanga Bingwa ✅
Kwa maandalizi haya tuombe Mungu.
❤❤❤
Wawooooo
Mkate tiketi za yanga day na mnunue Jez
Yanga tamuuuuu 💚💛
Kaiser chiefs we are coming for you
Jaman mwenye brich simwoni
Mungu pamoja nanyi wapambanaji wetu
Safi mashujaa wetu!
Huyo Magoma anasemaje
Allaah Akbar
Mungu awalinde
🙌🙌👋💚💛💚💛💚
🎉🎉🎉🎉🎉
Mzee magoma anataka na yeye awe anasafir na tim akiona hivi roho inaumia utadhani anachangia ata 100😅
🔥🙏
CHAMA CHAMA CHAMA CHAMA BABA 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mabosi bwana sisi yanga karibuni chapioni zabia watapenda kuisoma namba ya Tanzania kua niipi
Nmegundua kwanini Chama kipaji chake ni kikubwa na kinaendelea kukua
SAFARI NJEMA,KILA LA HERI MUNGU AWATANGULIE. AMINA . NAIPENDA TIMU YANGU YANGA.DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Kwa mara ya kwanza kwenye ndege uo ni ushamba
Chama anacheza game kama languuu😂😂
Jmn Mbona Pacome Aziz Ki Diarra Max hawaonekan?
All the best