Anakuwa na mawenge akifika golini mzize jitahidi uwe.makini jitahidi na kuongea na mwenyezimungu km giza lipo litaondoka In sha Allah nawote wachezaji kunawakati shetani anawa ziba macho mjitahidi huyo shetani awaogope. Nawapenda wote wachezaji wangu 🎉🎉🎉
Clement Mzize anapaswa kufanya mazoezi mengi ya namna ya kufunga ( kuueleleza Mpira wabuni kwa usahihi) " anapoteza nafasi nyingi ambazo,kama ataongeza umakini na kushuti kwa usahihi,anaweza kuzigeuza hizo nafasi kuwa magoli "
Mzize hebu ukikaa uwe unangalia highlight za mechi za nyuma ukifika kwenye lango uwe unatoa assist usilaximishe kufunga mechi zote ambazo umetoa assist kwenye goli matokeo yametokea tena mazuri rehea mechi ya simba na yanga zile 5
Bonge moja la mpira wa kimataifa.. yanga tupo juu sana 💚💛
Yanga noma aisee
Najitahd niwe wa Kwanza ila wap nyie wanayanga eeeeeh noma💛💛💛🧡💚💚💚💚🖤🖤💛💛🧡🧡💚💚🖤🖤🖤🖤🖤
@@YusuphMandale ahahahahhahha
😅😅
Nipeni like zangu yanga bingwa mapemaaaaaaaaaaaaaa msimu huu 🎉🎉🎉
Kwel
D za❤Upendo😢😢😂😢 byw😂
Osur😮😅 yangu 😢 bya the😂 sio
@@EvanceKomu😂 ya r ya 2
Pongezi sana kwa wachezaji.wetu mmepambana vizuri kwa timu kubwa kama hii🎉🎉🎉
Asante sanaaa wateja washanisumbua sana studioo
Nimewahiiii 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻
🎉🎉🎉
Yanga bingwa 2024/25
🎉🎉🎉
San@@Samalextz
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote.
Anakuwa na mawenge akifika golini mzize jitahidi uwe.makini jitahidi na kuongea na mwenyezimungu km giza lipo litaondoka In sha Allah nawote wachezaji kunawakati shetani anawa ziba macho mjitahidi huyo shetani awaogope. Nawapenda wote wachezaji wangu 🎉🎉🎉
Mungu ibaliki Tanzania Mungu wa baliki wachezaji wa yanga amin🎉
Daima mbele nyuma mwiko kazi wanayo❤❤❤.
MIMi yanga daima mbere nyumu mwiko
Dakika ya 6:08 Mzize kakosa goli la wazi.! Mzize anakazi kubwa sana ya kufanya kuwa mmaliziaji mzuri..
Zooooooona Daima mbele nyuma mwiko 💪
Daima mbele nyuma mwiko twawapenda sana wachezaji wetu ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Congratulations guys God bless
Wananchiiii hoyeee 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪🏆🏆🏆🏆🏆
pamoja sanaaaaas
Wamejitahidi mno team yangu pendwa 🟢💛💚💛🥎
Balleke 100% Mwananchi
Vip Wana yanga
Yanga bingwa in GSM'S VOICE 😂🔥🔥🔥
Simba wata poteana
Yanga bingwa
Yanga hawatishi sana
Max anajua ❤❤
😮kiukweli Yanga wapo vizur
Yanga moto sana Makori msirete timu tunawara
nakubali broo
Spirit Ile ya kipindi Cha pili dakika za mwishoni ndio mnatakiwa muwe nayo tangia mpira unapoanza
Lazima uwasome wapinzan, unaweza kufa saba
Safi sana nilikuwa naingoja hii
Mungu awasaidie timu yangu
Tumeiona timu yetu tabu ipo palepae🎉🎉
Hatari sana😊😊😅😅😅
huyu goalkeeper wa Yanga anahitaji mazoexi ya ziada na mawaidha kiac, yanga tutakuwa juu zaid ya hapa, hussein athman kutoka Nairobi Kenya
Mfuatilie tena mechi zake utamjua vizuri
Uko vizry ❤
Hii nzuri😂
Dakika 90 zimekuwa kama dakika 30 " Yanga bingwa a gain "
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉
Tuliwaonesha nas Tupo
Mabingwa wa nchi🇹🇿
Wajerumani ulimi nje,
mbona Umekanyagw👹👹👹👹👹
Kama ulaya tu yan
Clement Mzize anapaswa kufanya mazoezi mengi ya namna ya kufunga ( kuueleleza Mpira wabuni kwa usahihi) " anapoteza nafasi nyingi ambazo,kama ataongeza umakini na kushuti kwa usahihi,anaweza kuzigeuza hizo nafasi kuwa magoli "
Jumanne baleke
Vip
Yanga mabingwa
😢Iyo kosa ya mzize nimestuka utasema mpira unachezwa saiv live
Mzize kaja kivingine msimu huu
Highlights touches za Max please 🥺
Zipo mbona
Daima mbele
Atar sana
❤❤
safisanaa
Max killer sana Ila azz atar kaondoka na Kijiji Cha makumbushao
Mbona hatumii chama naomba msimtenge chama
💚💛
Utopolo oyeeeee🧟🧟🧟🧟🧟🧟
Japo tumefungwa ila mashaallah yanga wamecheza bwana chukuaeni 🎉🎉🎉
Wamecheza au wamechezewa
@@MasumbukoMacho umechezelewa broo
Mimi Leo Leo naenda kuchukua ticket yang mapema maana siyoo kwa yanga hii
Hii ndio ability yetu
Naona utopolo kwenye hii video wanakata mashambulizi ya mpinzani😅😅😅😅
Kabisa
Game nzulii san
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yanga hii inashika nafasi ya 5 Bundesliga
Azizi andabwile nikiungo washoka.
🔥🔥
💚💛💚💛
Duuh sikupata nafac ya kutazama hii mechi kumbe yanga ilipiga mpira kama ulaya aiseee 😂😂😂😂 burudaniii
🎉🎉🎉🎉 good game
Yanga
Wamepambana atakaeleta maneno sio shabiki mkweli wapewe maua yao au mnasemaje wadau?
Kumalamamaako kuma ww mbwa hao wamefungwa tu ww kwni unasemaji
@@lahdadibrahim5006 hongera kwa matusi unahitaji medali
Timu kubwa inachezaga na timu kubwa
Azam media wajitathimini na hivyo vifaa vyao vipya havipo katika ubora mzuri
💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛
Yanga itakuwa wamoto tusubirie itakuwa timu hatari sana
Hii ndo pre-season sasa siyo wale kina mwafulani mechi wanachezea chumban 😅😅
Yanga hii ni hatari ndugu zangu
Maria kwa yanga babarao
Yanga Mabingwa
😊😊😊wanabahat ata ivo
Mzize nani kamloga kwann anakuwaga kipofu kuona lango
Mzee magoma
Papuchi 2 anamiliki kwa wakati moja,atachoka tu
Ivi Moira wa yanga wa mwaka huu Simba atahuweza kweri
nice game
Ww alwatan hizi high light inatakiwa kipyenga cha mwisho kazi yako ya kwanza unatupia highlight kwenye app yetu paka you tube fasta fasta
Mi Simba ila young na umwaka itakuw Moto kabisa
Team haikabi
🎉🎉🎉nic
Mzize nguvu nyingi kuliko maarifa.
Mzize hebu ukikaa uwe unangalia highlight za mechi za nyuma ukifika kwenye lango uwe unatoa assist usilaximishe kufunga mechi zote ambazo umetoa assist kwenye goli matokeo yametokea tena mazuri rehea mechi ya simba na yanga zile 5
Jamani nami nimefika kabisa nipo
Mm simba ila kwenye hii highlights mmetisha
Kichapo kiheshimiwe Ubaya ubwela
we zombie
Hizo levo za simba
Wanaorudia hii gem tujuane
Yanga watu watatoa musimu huu
Ubingwa ni wa Yanga Hilo linajulikana.
🔥🙌