ASKOFU MOSES KULOLA MUHUMINI UKIONA MCHUNGAJI AKEMEI DHAMBI AMA HILO KANISA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 32

  • @sarahpetro4418
    @sarahpetro4418 4 ปีที่แล้ว +10

    Barikiwa sana SYLAs TV kutuletea mahubiri ya baba yetu moses kulola nabarikiwa sana na ujumbe wake hakika unagusa mtendo ya kila mmoja

  • @Mroni5451
    @Mroni5451 ปีที่แล้ว +1

    Ole wangu nisihihubiri injili

  • @jaredkaingu6733
    @jaredkaingu6733 2 ปีที่แล้ว

    Pia mim nabarikiwa sana katika mahubiri yake mtumishi huyu, Mungu ni mwema.

  • @ruthmwasomola3907
    @ruthmwasomola3907 3 ปีที่แล้ว +2

    Uyu mungu wetu afananishwi nanadamu yeye nimukusana

  • @rechomethod8288
    @rechomethod8288 3 ปีที่แล้ว

    Ameni baba Moses kulola, muhubili haya yananibadirusha Sana barikiwa baba,

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 4 ปีที่แล้ว +3

    jamani Silass tv niwatie moyo tuko pamoja sana.nafatilia na napenda sana mafundisho haya ya dr.kulola.naombeni muendelee kurusha bila kuchoka kuna watu tunapona mwili na Roho.hii ni injili pekee haipatikan popote tena.ilihubiriwa ikaokoa na mpaka leo inaendelea kuokoa kwa sauti hii.Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu kwa kutujali.mmewekewa taji mbinguni.

    • @samwelmahenge4152
      @samwelmahenge4152 3 ปีที่แล้ว

      Amoke SANGA mahubiri mzr sana nimeguswa sana

  • @CHRISTINAMBWAMBO-ww1py
    @CHRISTINAMBWAMBO-ww1py 10 หลายเดือนก่อน

    Umetwaliwa lakini kazi ya mungu ulioifanya inatenda kazi hata sasa mana tunaponywa na kubadilishwa kupitia mahubiri haya.

  • @selinamrikaria6143
    @selinamrikaria6143 2 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana

  • @issacklamson8246
    @issacklamson8246 ปีที่แล้ว

    Eeeeeeeh unihurumieee

  • @issacklamson8246
    @issacklamson8246 ปีที่แล้ว

    Neno halis la MUNGU

  • @gabrielcosmas3906
    @gabrielcosmas3906 2 ปีที่แล้ว

    Ninataman Roho wa mungu asimame ili wahubiri wengine Kama DR kulola wainuliwe.

  • @seifhamadi7895
    @seifhamadi7895 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakika neno hili limenigusa sana

  • @kamarajoshua8719
    @kamarajoshua8719 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @issacklamson8246
    @issacklamson8246 ปีที่แล้ว

    Eer

  • @ruthmwasomola3907
    @ruthmwasomola3907 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atuhurumie kwahuruma yake

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @glorymadumba3431
    @glorymadumba3431 3 ปีที่แล้ว

    Naomba nitumie kwenye wasapu 0679598210

  • @rahabusanga1559
    @rahabusanga1559 4 ปีที่แล้ว +11

    haya ndo maubiri tunayohitaji katika kipindi hiki,asante YESU kwa neno hili

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @justinaninga135
    @justinaninga135 4 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa Sana mtumishi na mafundisho yako

  • @faidakatana9190
    @faidakatana9190 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungumwema

  • @salomeandrea944
    @salomeandrea944 4 ปีที่แล้ว +2

    Balikiwa sana baba rip

  • @petersobay2128
    @petersobay2128 4 ปีที่แล้ว +3

    Hatutasahau injili yake imenyooka

  • @daviddenis3626
    @daviddenis3626 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina

  • @luciasospeter6897
    @luciasospeter6897 4 ปีที่แล้ว +2

    Babu mahubiri yako natamani watumishi wangefuata nyayo zako

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 4 ปีที่แล้ว

      Ndugu yaani kwa maisha ya sasa unatakiwa wewe ndio uinuke kuanza kuyaishi haya kwa nguvu zote hasa kwa njia ya MAOMBI MENGI kila siku (uombe angalau masaa mawili) na hapo ndipo utaweza kubadilika, nje na hapo haiwezekani ndugu.

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 4 ปีที่แล้ว +5

    Mungu tunaomba utupe wahubiri Wa namna hii.

    • @pastorgodsonjohn8562
      @pastorgodsonjohn8562 4 ปีที่แล้ว +1

      Ni wewe

    • @eliasndabahinyuye5400
      @eliasndabahinyuye5400 4 ปีที่แล้ว

      Nsia Massawe mungu akubariki

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 4 ปีที่แล้ว

      Tafuta namna wewe ndio uwe mhubiri wa aina hiyo, wewe uwe sababu ya baraka ya wengine. Yaani umtafute Mungu kiwango cha kuwa kama kulola, INAWEZEKANA mimi ni mmoja kati ya watu wanaotafuta sura hiyo.

    • @yustomlay1786
      @yustomlay1786 4 ปีที่แล้ว

      Mahubri ya kujiandaa na ufalme wa Mungu