Historia ya Kweli Kuhusu Mijikenda.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
    #education #best #global #home #info #history #mijikenda #kenya #africa

ความคิดเห็น • 75

  • @user-tp5vp3qr3r
    @user-tp5vp3qr3r ปีที่แล้ว +3

    Sawa kabisa elim nzuri sana. Tuelezee kuhusu mkambe pia....nina hamu ya kujua maana mm mkambe.

  • @georgeoguda9644
    @georgeoguda9644 ปีที่แล้ว +5

    1 love history especially when it is told by a true descendent of a community and throwing away the colonial narrative which is biased! please give us more

  • @alibabli
    @alibabli 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jeee wajuaaaa😊

  • @democracy480
    @democracy480 ปีที่แล้ว +3

    Masha allah -Mimi maisha yangu ilikua nikifikiria mswahili kazaliwa na Mwarabu & mijikenda.We learn something new everyday.Jazaka Allahu kheyr

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว

      Shukran. Mola atubariki sote.

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว

      Shukran. Mola atubariki sote.

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 ปีที่แล้ว +1

      Huyo mzee muongo hajui wala hafaham history ya mjikenda kadanganye wasiojielewa

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว

      @@raiyaaaraiyaa6054, ingekuwa vizuri zaidi iwapo wewe (binafsi) ungeeleza historia yenu kwa kiwango uelewacho wewe badili ya kuongea kwa hasira na kutumia maneno ambayo hata wewe mwenyewe huyaelewi vyema! Tafadhali, hebu tuelimishe kidogo kuhusu historia sahihi ya Mijikenda kiwango unachoelewa wewe.

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 ปีที่แล้ว

      ​@@raiyaaaraiyaa6054ww ndio mrogo wamwisho

  • @rashochano6949
    @rashochano6949 ปีที่แล้ว +2

    Shabash.

  • @barakachai7661
    @barakachai7661 ปีที่แล้ว +2

    Kwa upande wangu, nadhani hii historia it's just a way of searching for ones identity and haina uhalisia.
    For example, the Kikuyu believe that they came through mumbi and agikuyu, the masaai believe that they were dropped to the universe with their cattle.
    So the story of the mijikende, is the same story.
    And sidhani kama kuna kabila kenya hii inayoitwa waswahili.

    • @nzorimfaki8112
      @nzorimfaki8112 ปีที่แล้ว

      hakuna kabila la waswahili si kenya wala tanzania

  • @pakashume725
    @pakashume725 ปีที่แล้ว +1

    Asalaam alaykum sheikh Stambuli. Tutengezee kitabu. Unanikuna panapo haswa

  • @kalamamwachiru-vo6tm
    @kalamamwachiru-vo6tm ปีที่แล้ว +4

    Waliotoka Shungwaya ni
    1. Digo
    2. Ribe
    3. Kambe
    4. Jibana
    5. Chonyi
    6. Giriama
    Kauma ni mtoto wa Ribe
    Wakashuru walikuwa Shungwaya kabla uislamu haujafika

    • @jamalsaid5409
      @jamalsaid5409 10 หลายเดือนก่อน

      Thibitisho kako nini ?

    • @kalamamwachiru-vo6tm
      @kalamamwachiru-vo6tm 10 หลายเดือนก่อน

      @@jamalsaid5409 Nenda usome the book of the zanj "kitab al zanuj"

    • @KwehuMedia
      @KwehuMedia 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa warabai walitoka Tanzania ,waduruma ni mchanganyiko wa vizazi vya kutoka msumbiji na wadigo

    • @kalamamwachiru-vo6tm
      @kalamamwachiru-vo6tm 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@KwehuMedia sio wote, baadhi ya Warabai ndio walitoka Rombo na baadhi ya Waduruma ndio mchanganyiko. Wengine walitokana na vizazi vya hiyo miji 7

  • @zizuphbaya7725
    @zizuphbaya7725 หลายเดือนก่อน +1

    Unacceptable buda. Watupoteza

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 ปีที่แล้ว +2

    MBONA WATUONJESHA HISTORIA KUHUSU MIJIKENDA .NASUBURI SANA NIJUE KWA UNDANI

  • @achangomaitambae1229
    @achangomaitambae1229 11 หลายเดือนก่อน +2

    asanta star.kama mswahili ni mtoto wa muarabu mixed na mijikenda na mbona mswahili ndio kampeleka mijikenda mara ya kwanza kuonyeshwa muarabu.

  • @markngwa8386
    @markngwa8386 8 หลายเดือนก่อน +1

    Please give us subtitles so that non Swahili speakers can understand

  • @goodtalent1316
    @goodtalent1316 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee nilidhania ana historia ya mijikenda kumbe niufala tu anaongea anauliza ni mijikenda gani alikua karine ya 8 kwani yeye alionana na mswahili yupi aliezaliwa karine ya 8 akamhadithia hiyo story

  • @simonchama7223
    @simonchama7223 4 หลายเดือนก่อน

    Mswahili ni muenyeji muafrika kuzaa na muarabu. Kwa kua waarabu hawakuja na bibi zao. Sasa huyu mwenyeji alikua nani mwarabu alipokuja.

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanza, ndugu Simon Chama, mpaka ujuwe historia ya Pwani vizuri ndipo uweze kujadili hadi kuelewa jawabu ihusikayo na suali lako! Pili, ujuwe unapotaja Mwarabu huwa wazungumza Mwarabu yupi- wa Yemen, Oman, Morocco, Egypt, au yupi?! Tatu, muhimu sana ufahamu kuwa huyu Mswahili, ambaye watu wengi wamedanganywa kwa muda mrefu kuwa ni huyo unayemaanisha wewe, ndiye huyo Mwafrika aliyekuwako kwenye ufuo huu wa Afrika-Mashariki tangu zamani (yaani, wakati ikiandikwa 'Periplus of the Erythraean Sea' (A.D.45-A.D.60). Hawa Waafrika wengine wanaodai walikuwako na ndiwo waliwazaa hao Waswahili wajieleze uzuri (na watupe ushahidi wao) ili tupate kufahamu vyema wao ni nani.
      Lakini, hata hivyo, usiwache kufuatiliya makala haya ili ufahamu ukweli wa mambo yalivyo.

  • @abubakarrahim8482
    @abubakarrahim8482 ปีที่แล้ว +2

    Mbajuni ndiye asili na usuli wa lugha ya kiswahili kwa dalili na ushuhuda wa kihistoria.

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว +5

      Waswahili ni makundi kumi na mawili (huku kwetu Kenya), na kila mmoja na lahaja yake. Na, hats hill neno 'Bajuni' lilianza kutumika hivi majuzi tu, si neno la tangu azali. Inshaa'Allah, na him fikra pia tutaijadili ipasavyo wakati wake ukifika.

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 ปีที่แล้ว +2

      @@stambuliwash.abdillahinass8123 Sawa Sawa mzee wetu stambuli itakuwa vizuri tupate ufunuo wa msimamo na ufahamu wako kuhusiana na ubajuni lakini juwa kuwa ubajuni bahari yake ni kubwa na madhimbi(mawimbi) ake ni makali jitahidi kwenye ushuhuda na hoja zako maana Kuna mengi yalofichika.

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว +1

      @@abubakarrahim8482, mimi naamini kuwa hayo ni maoni yako, nami nayahishimu. Lakini, nami nimezoweya kuogelea bahari-kuu, hayo mawimbi na kina cha hiyo bahari huwa hainitishi! Maadamu kuna ushahidi wa kutosha, wewe subiri tu mpaka wakati wake ukifika, utayasikia. Kwani, wewe unashaka na ushahidi nilonao?! Tulia tu.

    • @georgeoguda9644
      @georgeoguda9644 ปีที่แล้ว

      0:11 kweli

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 ปีที่แล้ว

      ​... Swalihi sio lugha ya mtu wala kabila ya mtu kasome babu wacha kudanganya hata huna haya wala aibu

  • @hunterthedon
    @hunterthedon 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe mzee wacha ujiga sisi wajikenda usituongelee kabsa ongelea warabu wenzako munafiki tuu wewe hata uwatete warabu wenzako bado haitatosha mutajuja ondoka hapa pwani hata iwe miaka mia mbili ijayo

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh nauliza shingwaya ni wapi?

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  4 หลายเดือนก่อน +1

      Singwaya/Shungwaya iko baina ya Mto Juba na Mto Tana, ikitanganyikiwa na Visiwa vya Lamu.

    • @SWABRASWALEH-nc2lf
      @SWABRASWALEH-nc2lf 4 หลายเดือนก่อน

      @@stambuliwash.abdillahinass8123 jazakallah kheir

  • @user-cj4cd8ft7y
    @user-cj4cd8ft7y ปีที่แล้ว +1

    Uongo

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 ปีที่แล้ว

      Umeona eeeee Tena muongo mkubwa. Huyo mzee a tafuta umarufu. Asicho kijua historia twaijua. Kadanganye warabu koko km yy

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  4 หลายเดือนก่อน +1

      @@raiyaaaraiyaa6054, mimi si Mwarabu! Mimi ni Mswahili asili! Na, naelewa kuwa si rahisi watu kama nyinyi kuelewa. Lakini, mutaelewa tu.

  • @musakibwana4596
    @musakibwana4596 2 หลายเดือนก่อน

    mbona fupi sana?

  • @nassor8819
    @nassor8819 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu mdigo wa Tanga nae atakua mijikenda pia?

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mzee muongo kadanganye warabu wenzio. History ya mjikenda huijui funga domo

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว +1

      Ahsanta sana kwa maoni yako, na nayahishimu. Lakini, mimi si Mwarabu!

    • @nzorimfaki8112
      @nzorimfaki8112 ปีที่แล้ว

      ana uarabu gani basi huyo na ni mkambe

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 ปีที่แล้ว

      @@stambuliwash.abdillahinass8123..... Hata km sio mwarabu wacha uongo. Mtu mzima wa danganya bila aibuu

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 ปีที่แล้ว

      @@nzorimfaki8112..... Ni wale waliokataa kabila zao wakajita waswahili. Na. Kiswahili sio lugha ya mtu kila Mahali Africa utapata Kuna watu Waongea kiswahili

    • @shabanmaulana8594
      @shabanmaulana8594 10 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa matusi ya nini ? Kama wewe waona sio kweli anayo sema silazima, hauna haja ya kumkashifu na wala hakula zimisha mtu kumfwatilia.

  • @mohamedmwamba7857
    @mohamedmwamba7857 ปีที่แล้ว

    Hio Karne ya saba ulikua wapi wewe muarabu Koko nyi c wenyeji wa mwambao babu tulia

  • @mohamedmwamba7857
    @mohamedmwamba7857 ปีที่แล้ว

    Wacha kutupoteza wewe hakuna unalolijua

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว +2

      Wewe unayeamini unajuwa tueleze ujuwayo... lakini, utakapokuwa waeleza, jaribu kutupa na ushahidi wako kuhusu unayoyasema. Wacha u'maskani!!!

  • @mohamedmwamba7857
    @mohamedmwamba7857 ปีที่แล้ว

    Mswahili ni mchanganyiko wa waarabu na wenyeji wa pwani waarabu c wenyeji ni wageni babu acha kutuzengua muarabu wewe

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว +2

      Maoni yako hayo, na nayaheshimu, lakini, mimi si Muarabu. Jaribu kuzuwia 'chuki' zako... huwa hazimasaidii mtu hapa kwenye mtandao.

  • @gertvirtualtechtelecom
    @gertvirtualtechtelecom ปีที่แล้ว +1

    Ongelea Uswahili wenu na historia yenu, Wamijikenda hatujataka wasemaji kutoka kwengine😅

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  ปีที่แล้ว +2

      Kwa hakika, mimi sisemei Mijikenda! Isipokuwa, iwapo unaelewa ninachokieleza kwenye video zangu, mimi huwa nasahihisha urongo ulioenezwa dhidi ya jamii zetu (Waswahili) kwa muda mrefu hadi kusemekana kuwa sisi (Waswahili) ni 'wana-haramu' tunaotokana na jamii ya Mijikenda kuzaa na jamii ya Waarabu! Naa, iwapo unanielewa, hilo ndilo ninalojaribu kufafanuwa mimi ili watu waelewe ukweli wa mambo. Na, kama wewe (au mwengine yoyote hapendi haya nisemayo mimi) basi njia ya kufuata ni moja tu- aidha usisikize nisemayo, au wewe (au yoyote) atowe video zake kueleza ajuwayo yeye. Lakini, hakuna mtu yoyote awezaye kunizuwia nisiseme haya nisemayo!!! Upo?!

    • @gertvirtualtechtelecom
      @gertvirtualtechtelecom ปีที่แล้ว

      @@stambuliwash.abdillahinass8123 No sipo 😅 sasa ni identity mnatafuta

  • @hunterthedon
    @hunterthedon 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe mzee wacha ujiga sisi wajikenda usituongelee kabsa ongelea warabu wenzako munafiki tuu wewe hata uwatete warabu wenzako bado haitatosha mutajuja ondoka hapa pwani hata iwe miaka mia mbili ijayo

  • @hunterthedon
    @hunterthedon 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe mzee wacha ujiga sisi wajikenda usituongelee kabsa ongelea warabu wenzako munafiki tuu wewe hata uwatete warabu wenzako bado haitatosha mutajuja ondoka hapa pwani hata iwe miaka mia mbili ijayo